khadija na afya
Karbuni sana kwenye hii page ,ambapo nitatoa elimu ya afya kuhusu magonjwa yasiyo ya kuambukiza
13/01/2024
FAIDA ZA CHIA SEEDS KIAFYA
Tafiti zinaonesa kwamba unapotumia mbegu hizi mara kwa mara inaweza kuimarisha afya ya mwili wako na kukukinga na magonjwa mbalimbali.
Zifuatazo ni faida za matumizi ya mbegu hizi.
1.KULAINISHA NGOZI NA KUPUNGUZA DALILI ZA UZEE (SKIN AND AGING)
Tafiti zinaonesha kwamba ndani ya mbegu hizi kuna kemikali zinazosaidia kupunguza makali ya radikali huru (free radicals) zinazotengenezwa mwilini mwetu na kuleta matatizo mbali mbali kwenye ngozi.Kemikali hizi zinajulikana k**a phenolic ant oxidants.Na kulingana na tafiti Mbegu za chia ndo chakula chenye ant oxidants nyingi kuliko vyakula vingine.
Soma makala ya utafiti huu hapa: UTAFITI KUHUSU MBEGU ZA CHIA
ANTOXIDANTS zinasaidia kutengeneza seli mpya za ngozi na kuondoa zile zilizokufa hivyo kuzuia ngozi kuharibika na kuwa na makunyanzi,Pia kutumia mbegu hizi inasadia kuepusha seli za ngozi kufa kabla ya muda wake kutokana na magonjwa.
2.MFUMO WA KUMENG'ENYA CHAKULA (Digestive system)
Mbegu za chia zina kiwango kikubwa cha Fibers. Kwa kijiko kimoja unapata 11gram za fibers.K**a tunavyojua fibers zinasaidia sana katika kumeng'enya chakula.
Pia Taasis ya Ugonjwa wa kisukari nchini marekani (AMERICAN DIABETIC ASSOSIATION), Na shirika la afya nchini Uingereza (NATIONAL HEALTH INSTITUTE) wanasema kuwa mbegu za chia zinasaidia kubalance kiwango cha sukari mwilini hivyo zina faida kwa wagonjwa wa kisukari.Kutokana na kiwango kikubwa cha fibers ambazo zinasaidia kongosho kuzalisha Insulin ya kutosha.
Mbegu hizi zina LINELONIC ACID ambayo inausaidia mwili kufyonza VITAMIN A,B,D na E kutoka kwenye vyakula.
Fibers pia zinasaidia kuimarisha kuta za utumbo Hivyo kusaidia kuondoa tatizo la kukosa choo au kupata choo kigumu sana (Constipation).
Mbegu hizi zinasaidia kupunguza uzito kwa watu wenye uzito uliopita kiasi kwani tafiti zinaonesha kwamba mbegu hizi ziwapo tumboni husharabu maji na kuvimba hvyo kumfanya mtu ajisikie ameshiba ndo maana tafiti zinasema mbegu za chia ni nzuri kuondoa njaa ( hunger suppresser) hivyo nzuri kwa watu walio katika program ya kupunguza uzito ( Diet)
Soma makala ya utafiti hapa : MBEGU ZA CHIA NA KUPUNGUZA UZITO
Itaendelea
0695064897Kwa USHAURI
13/01/2024
Herniated lumbar disc Ni ugonjwa mbaya unaoathiri disc za uti wa mgongo Hutokea pale disc hukandamiza mishipa ya fahamu (nerve root) Na HUPELEKEA DALILI ZIFUATAZO
1.maumivu makali wakati wa kulala na kuamka 2.maumivu makali ya mgongo na nyonga na kiuno unaposimama au kutembea mda mrefu..
3. Miguu kuishiwa nguvu na kufa ganzi hadi kwenye unyayo
Maumivu ya afya ya herniated disc huwa fanya watu wengi kukosa raha na kuingia kwenye msongo wa mawazo na kuendelelea kupata madhara makubwa
Ikiwa ni miungoni mwa watu wenye stress za maumivu haya chukua maamuzi sahihi ya kuanza kupata suluhisho la kudumu. 0695064897
13/01/2024
Madhara ya Kula kupita kiasi (au Kula Vitu Vibaya) kwenye maumivu ya mifupa 0695064897
Ulaji usio wa busara na / au kupita kiasi unaweza kuathiri ukali wa ugonjwa wa arthritis. Uzito huongeza kiwango cha shinikizo la viungo vyako vya kubeba uzito lazima vihimili. Baada ya muda, paundi hizo za ziada zinaweza kuharakisha uharibifu wa uharibifu na kuongeza maumivu katika viungo vya mgongo wako wa chini, nyonga, magoti, vifundo vya miguu na miguu.
K**a ilivyoelezwa hapo juu, mkusanyiko wa uric acid husababisha mashambulizi ya gout . Hata hivyo, purines zinazounda asidi ya uric pia zipo kwa kiasi kikubwa katika aina maalum za vyakula. Mifano ni pamoja na nyama za ogani, vyakula na vinywaji vyenye sukari, samaki wa mafuta, samakigamba, nyama za pori, na chachu.
Kagua utaratibu wako wa sasa wa lishe na daktari wako wa arthritis. Unaweza kupata mpango sahihi wa mlo, uliounganishwa na mazoezi ya chini ya athari na mazoea mengine ya manufaa, hukuwezesha kujiondoa paundi za ziada, kupunguza mkazo kwenye viungo vyako, huku pia kukupa fursa ya kuondoa vyakula hivyo vya gout kwenye orodha yako. .0695064897
13/01/2024
TIBA YA ASILI KWA MAUMIVU YA VIUNGO NA VIUNGO KUSAGANA. (0695064897)
MIFUPA KUSAGANA KATIKA MAUNGIO,, NA TIBA YA MAUMIVU YA VIUNGO )mfano
mgongo,nyonga,magoti nk
KWANZA, TUJIELIMISHE KIDOGO.🖐
KWA NINI MIFUPA HUSAGANA KWENYE VIUNGO NA KULETA MAUMIVU MAKUBWA?
=>KICHWA CHA MFUPA KATIKA VIUNGO KIMEZUNGUKWA NA MFUPA LAINI UITWAO GEGEDU(CARTILAGE)
KAZI YA GEGEDU(CARTILAGE ) NI KUZUIA MFUPA USISAGANE NA MFUPA MWENZAKE KWENYE VIUNGO,
PIA KUNA UTE UTE (SYNOVIAL FLUID) AMBAO NI GRISI YA VIUNGO,,HUSAIDA KULAINISHA MJONGEO(MOVEMENT)
MTU ANAPOFIKISHA MIAKA 30 CARTILAGE HUANZA KULIKA NA KUSABABISHA MIFUPA KUGUSANA NA KUSAGANA KWENYE VIUNGO HADI ULE UTE KUPOTEA,
HII HUSABABISHA MAUMIVU MAKALI KWENYE VIUNGO, HADI KUPELEKEA MTU KUSHINDWA KUJONGEA IPASAVYO,
TATIZO HUONGEZEKA UMRI UNAPOZIDI KUWA MKUBWA NA UZITO UNAPOONGEZEKA,
ARTHROEXTRA NA ZAMINOCAL PLUS NI ZA ASILI HAZINA KEMIKALI, IMETHIBITISHWA NA TFDA,kupata huduma piga (0695064897)
13/01/2024
KARIBU NIKUSAIDIE KUTATUA CHANGAMOTO ZAKO ZA KIAFYA KWA KUTUMIA TIBA ASILIA ZILIZOBORESHWA ZAIDI NA KUTHIBITISHWA NA MAMLAKA YA CHAKULA NA DAWA HAPA NCHINI
CHANGAMOTO NINAZOZITATUA NIKAMA ZIFUATAZO :; 👇👇👇👇
1. Bawasiri bila upasuaji, kujisaidia choo kigumu
2. Uvimbe wa tezi dume bila upasuaji
3.matatizo ya mifupa
4. Pressure.
5. Kisukari
6. UTI ,fangasi ukeni ,miwasho sehemu za Siri kwa mwanamke ,PID n.k
7. Uvimbe kwenye kizazi
8. Upungufu wa nguvu za kiume .
9. Matatizo ya ngozi yote n.0695064897
13/01/2024
Habar karbun katka page hii ambayo itakuwa ikitoa elimu ya afya kuhusu magonjwa yasiyo ya kuambukiza k**a pressure, kisukar,tezi dume,PID ,UTI sugu,masuala ya uzazi,upungufu wa nguvu za kiume,n.k na matibabu yake .0695064897
13/01/2024
FAHAMU KUHUSU NGUVU ZA KIUME
Vyanzo Vipo Vingi ambavyo mara nyingi wengi huvipuuza, hivyo vyanzo huathiri taratibu na vingine huathiri haraka, tunashauri watu kuwa makini sana ili kujiimarisha vizuri. Kuna mitindo ya maisha inayoweza kukuweka hatarini kupata tatizo la nguvu za kiume nayo ni pamoja na;
✍️Kuwa na halemu (Cholesterol) na Shinikizo la damu (B.P) au ugonjwa wa moyo
✍️Kuvuta sigala na unywaji wa pombe
✍️Uzito kupita kiasi na unene uliozidi
✍️Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
✍️Kisukari
✍️Kuwa na mawazo na wasiwasi
✍️Matumizi ya madawa mbalimbali
✍️Umri hasa wazee
✍️Utumiaji wa vinywaji vinavyobadili hali ya mwili
✍️Kuwa na tatizo la kibofu
✍️Tabia za kujichua kwa mda mrefu
✍️Kutopata usingizi kamili
✍️Matumizi makubwa ya dawa zenye kemikali za kutibia magonjwa k**a kansa, vidonda vya tumbo, moyo, kisukari, B.P, na magonjwa mengine
DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
✍️Kuwahi kufika kileleni
✍️Kukosa hamu ya mapenzi
✍️Kushindwa kurudia tendo la ndoa
✍️Uume kusimama kwa uregevu au kushindwa kusimamisha
✍️Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu; Miguu, uso na tumbo kuvimba na kujaa maji
✍️Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo
✍️Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa)
✍️Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji
TIBA YETU ITAKUSAIDIA;
👉Kuondoa tatizo la Kuwahi kufika kileleni
👉Kuongeza uzalishaji wa mbegu za kiume
👉Kuondoa tatizo la Homon Imbalance
👉Kuzuia maumivu ya korodani na Korodani kupanda juu
👉Kuimarisha na Kuongeza nguvu katika mirija ya uume
👉Kuupa Msuli wa Pelvic nguvu
👉Kuepusha uume Kusinyaa katikati ya mchezo
👉Kuzalisha mbegu Zenye ubora na kuzuia Ugumba/Utasa
👉Kusafisha kibofu Cha Mojo
👉Kuzuia na kutibu maambukizi kwenye Uzazi, maumivu ya mgongo na tumbo kwa mwanaume
👉Kuzuia Korodani kuvimba au kusinyaa
Kwa mawasiliano zaidi 0695064897
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Dar Es Salaam
0695064897