Afya Msingi Assurance
Health education
06/06/2024
*JINSI YA KUTIBU NA KUTOKOMEZA HOMA YA INI (HEPATITIS B) NDANI YA WIKI 12 TU:*
Rejesha Tumaini La Afya yako sasa...
HOMA YA INI INATIBIKA:
*HEPATITIS B* :- Ni homa ya INI inayosababishwa na kirusi wa Hepatitis B (HBV) Tafiti zinaonesha watu zaidi ya Bilioni mbili Sawa na 33% wameambukizwa Virusi vya Homa ya Ini Duniani kote. Na kusababisha vifo takribani laki 6 kila mwaka. Ni hatari Sana.
Hivo kila mtu yuko hatarini kupata maambukizi ya HOMA YA INI, Na hatari kubwa zaidi ni kwa Wagonjwa wa Figo hasa wale wanaofanyiwa Dialysis.
Virusi hvyo vina uwezo wa kusambaa na kuambukiza watu mara 100 zaidi ya virusi vya Ukimwi.
Zifuatazo ni miongoni mwa njia za usambaaji wa virusi vya homa ya ini ambazo ni pamoja na:-
1️⃣ Kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.
2️⃣ Kujamiiana na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya INI
3️⃣ Kuchangia vifaa vyenye ncha kali k**a sindano hasa kwa watumiaji wa madawa ya kulevya au wachora tattoo, miswaki.
4️⃣ Kuongezewa damu ambayo ina maambukizi ya virus vya homa ya INI aina ya Hepatitis B
5️⃣ Kunyonyana Ndimi Denda’ na mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya INI
6️⃣ Kuchangia Nguo, taulo na mtu mwenye ugonjwa huu.
7️⃣ Kukumbatiana na mtu mwenye HOMA YA INI wakati mkiwa mnavuja jasho.
Tafiti za kitaalamu zinaonesha kuwa virusi hivi ni hatari kuliko virus vya ukimwi kwa sababu vinaweza kuishi nje ya mwili wa binadamu (yaani nje ya mfumo wa damu) kwa siku saba 7 na Pia hata kwenye Damu iliyo Ganda na bado vikaambukiza HOMA YA INI .
Hivo tunaweza Sema Virusi vya HOMA YA INI ni hatari zaidi ya VVU.
Mtu mwenye homa ya INI ana wastani mdogo Sana wa kuishi kuliko mwenye UKIMWI.
Kwa maana hiyo, mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini hufariki dunia haraka sana k**a hatopatiwa matibabu mapema basi huishi muda mfupi sana kuliko mwenye VVU.
BAADHI YA DALILI ZA HOMA YA INI (HEPATITIS B)
♦ Uchovu wa mara kwa mara
♦ Kichefuchefu & Kutapika
♦ Mwili kuwa dhaifu na Uchovu wa Mwili.
♦ Homa kali & Kupungua Uzito.
♦Mwili Kuwashwa Sana (Hii ni dalili ya kuwa na Saratani ya INI)
♦ Kupoteza hamu ya kula.
♦ Kupata Choo Cheusi .
♦ Maumivu makali ya tumbo upande wa ini.
♦ Macho na ngozi kuwa vya njano(Jaundice)
♦ Mkojo Njano, mweusi au kuwa na rangi iliyokolea k**a coca-cola.
Kuna baadhi ya wagonjwa wa homa ya INI hukaa muda mlefu [Miaka mingi] pasipo kuona dalili yoyote za homa ya ini, kwa kipindi hiki ini likiendelea kuharibika hatimae huja kupata ugonjwa mkali wa ini na ini kushindwa kabisa kufanya Kazi.
Hii hatua huitwa “CHRONIC HEPATITIS B ”
Dalili huja kuonekana wazi wazi kipindi kirefu baada ya Maambukizi.
Ps.Kwa wenye maambukizi ya virusi aina C matibabu ya Dawa kwa wiki 7 humaliza tatizo [Kupona kabisa] .
Na kwa wenye Virus aina ya B matibabu ya Dawa ni kwa wiki 12 hadi 16 humaliza virus wote. [Kupona Kabisa bila tatizo kujirudia ]
BAADHI YA MADHARA YA HOMA YA INI (HEPATITIS B)
➡ INI kushindwa kabisa kufanya kazi (liver failure).
➡ Mwili Kuwashwa Sana & INI Kuvimba
➡ Saratani ya INI (Liver Cancer / (HEPATOCELLULAR CARCINOMA ).
➡ Figo kuferi na kujaa maji & Kutapika Damu
➡ Maumivu ya tumbo yasiyo isha upande wa INI.
➡ Tumbo Kuvimba na Kujaa Maji, Sura na miguu Kuvimba na Vifundo vya Miguu.
➡ Njaa ya mara kwa mara, Homa ya Manjano na Kutapika Damu
➡ Manjano ya Ngozi na Macho yasiyo isha (Jaundice)
➡ Mgonjwa Kupoteza maisha (KIFO)
👏 Ndugu Yetu Yawezekana umesumbuka Sana na tatizo hilo na hata kukata tamaa na kukosa majibu sahihi ya muktabari wa Afya yako.
Hii ni Habari njema kwako na kwa Ndugu yako kwani Suluhisho limepatikana tena lakudumu na unapona kabisa Chukua hatua Sasa,Ufurahie Afya yako.
HUDUMA HII BORA YA MATIBABU ITAAMBATANA NA USHAURI BURE WA LISHE NA CHAKULA
Bonyeza namba hii tuwasiliane WhatsApp / Piga SIMU Kwa maelezo zaidi.
📞📞+255710 573 385
AU FIKA OFISINI KWETU, TUPO DAR ES SALAAM MBEZI STAND NDOGO MKABALA NA STAND KUBWA YA MABAS YA MAGUFULI: NYOTE MNAKARIBISHWA.
13/05/2024
NJIA RAHISI YA KUTOKOMEZA KABISA KISUKARI......
JE UMEKUWA UKISUMBUKA KWA MUDA MREFU NA KISUKARI BILA YA MAFANIKIO YA KUPONA?
Rejesha Afya yako na Tumaini lako lililopotea.. KISUKARI KINATIBIKA.
Iko Hivi...
KISUKARI ; Ni ugonjwa unaotokana na mtu kuwa na Sukari nyingi kupita kiasi kwenye Damu.Ugonjwa huu huvuruga utaratibu wa kuingizwa kwa Sukari kwenye Chembe/Seli kutoka kwenye Damu.
Tafiti zinasema; Ugonjwa wa Kisukari unatajwa kuwa ni miongoni mwa magonjwa hatari Sana na husababisha vifo vingi Duniani kote,Kisukari unashika nafasi ya 5 kati ya Magonjwa yanayo sababisha vifo vingi.
Zaidi ya watu milioni 285+ wameathiriwa na wanaugua Kisukari Sawa na 6.6% ya watu wote Duniani.
Kwa Tanzania kiwango cha Watu wanaougua Kisukari ni Asilimia 9 kati ya Watanzania Milioni 61+. Na hizi ni Takwimu za Wizara ya Afya zilizotolewa na Serikari Dar es salaam kupitia msemaji wa Serikari, September 14/2023 =Hakika hali ni mbaya Sana.
AINA MBILI ZA KISUKARI
1⃣Kisukari cha Kuzaliwa nacho/IDDM
(Diabetes type one)
Hii hutokana na kuchangiwa kwa vinasaba (D.N.A) vya Kisukari kutoka kwa MAMA au BABA(Family story).
2⃣Kisukari cha Ukubwani/NIDDM.(Diabetes Type Two) .
Hii hutokana na madhara ya Mtindo wa Maisha(Lifestyle).
SABABU ZA SUKARI KUPANDA/KUZIDI KWENYE DAMU.
1⃣Inaweza kuwa ni Kufeli kwa ogani ya Kongosho na kushindwa kuzalisha Insuline (Insuline Homone) ipasavyo
2⃣Inaweza kuwa Kukwama kwa Insuline kwenye Damu ( Insuline Resistance)
3⃣Kuwepo/Kuzidi kwa Mafuta Mabaya Mwilini (High Level of Bady Choresterol).
4⃣Kushuka kwa N.A.D (Nicotinamide Adenine Dinuclotide)
Hiki ni kimeng'enya kinachopatikana ndani ya Seli za Binadamu na Kazi kubwa ya N.A.D ni...
(A) Kubadili Sukari(Glucose) kuwa Nishati ya Mwili (Nguvu) =(To Convert Sugar /Glucose to Energy).
(B) Kuimarisha shuguri za uwepo wa mwili kuwa na nguvu(Body Metabolism)
Note.Sio kila mgonjwa wa Kisukari anaweza kupata Kisukari kupitia sababu hizo zote nne tajwa hapo.
Na ndiomaana watu wengi wameshindwa kutibu Kisukari ni baada ya kutojua Sababu za Sukari Kupanda na kutoa/Kupata matibabu pasipo kuzingatia mgonjwa Sukari yake inapanda sababu ni nini..!!!
Swali : Wewe unatibu Kisukari unalenga sababu ipi iliyokusababishia Sukari kupanda/kupata Kisukari kati ya hizo nne; k**a chanzo cha Sukari kupanda;Au tunatibu tu?
▶Hivyo usishangae kuona unafanya jitihada sana kujitibia Kisukari ila bado hauponi.
BAADHI YA DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI.
1⃣Kupungua Uzito gafla.
2⃣Kupata haja ndogo mara kwa mara hasa nyakati za usiku(Friquenty urination).
3⃣Kuhisi Kiu,Kukaukiwa mate na kunywa maji mara kwa mara kuliko kawaida.
4⃣Kuhisi njaa kila wakati na kula sana.
5⃣Kupata Ganzi ya miguu,mikono, nk.
6⃣Kupungua/Kukosa nguvu za kiume na Kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa Wanawake.
7⃣Udhaifu wa macho kuona/Uoni hafifu.
8⃣Kupata Uchovu/Mwili Kuchoka Sana.
9⃣Ngozi kupauka,Maumivu ya kichwa na Kutokwa jasho Sana.Nk.
MIONGONI MWA MADHARA YA UGONJWA WA KISUKARI NI...
(1) Kupata Malengelenge au Vidonda visivyopona haraka.
(2) Kuugua Magonjwa ya Figo na hata Figo Kufeli.
(3) Kupata Magonjwa ya Moyo; Pressure,Moyo kutanuka,Kupalalaizi(Stroke), Heart Attack/Heart Failure, nk.
(4) Matatizo ya Ngozi
(5) Kupoteza Kumbukumbu,Pia kuwa na hasira
(6) Miwasho Ukeni na hata U.T.I ya mara kwa mara.
(7) Upungufu wa Nguvu za kiume na Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa Wanawake.
(8) Athari katika mfumo wa mmeng'enyo wa Chakula na kusababisha Kukosa Choo au Kupata Choo kigumu (Constipation).
(9) Athari Kiuchumi na hata Kupoteza Maisha (Kifo).
PS. Hivyo huu sio wakati wa kuendelea kuteseka na tatizo la Kisukari kwani Suluhisho limepatikana.!!!!
KUMUONA DAKTARI NA KUPATA USHAURI NI BURE KABISA.
Bonyeza namba hii Tuwasiliane WhatsApp au Piga simu.
📞+255710 573 385
WAKATI UKIWA UNAENDELEA NA HUDUMA BORA YA MATIBABU, ITAAMBATANA NA USIMAMIZI SAHIHI WA CHAKULA NA LISHE KWA MWENYE CHANGAMOTO YA KISUKARI HADI UIMARIKE.
TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM TANZANIA=KIMARA STOP OVER.
KARIBU TUKUHUDUMIE
13/05/2024
KISUKARI INATBIKA
11/05/2024
NJIA RAHISI YA KUTOKOMEZA KABISA KISUKARI......
JE UMEKUWA UKISUMBUKA KWA MUDA MREFU NA KISUKARI BILA YA MAFANIKIO YA KUPONA?
Rejesha Afya yako na Tumaini lako lililopotea.. KISUKARI KINATIBIKA.
Iko Hivi...
KISUKARI ; Ni ugonjwa unaotokana na mtu kuwa na Sukari nyingi kupita kiasi kwenye Damu.Ugonjwa huu huvuruga utaratibu wa kuingizwa kwa Sukari kwenye Chembe/Seli kutoka kwenye Damu.
Tafiti zinasema; Ugonjwa wa Kisukari unatajwa kuwa ni miongoni mwa magonjwa hatari Sana na husababisha vifo vingi Duniani kote,Kisukari unashika nafasi ya 5 kati ya Magonjwa yanayo sababisha vifo vingi.
Zaidi ya watu milioni 285+ wameathiriwa na wanaugua Kisukari Sawa na 6.6% ya watu wote Duniani.
Kwa Tanzania kiwango cha Watu wanaougua Kisukari ni Asilimia 9 kati ya Watanzania Milioni 61+. Na hizi ni Takwimu za Wizara ya Afya zilizotolewa na Serikari Dar es salaam kupitia msemaji wa Serikari, September 14/2023 =Hakika hali ni mbaya Sana.
AINA MBILI ZA KISUKARI
1⃣Kisukari cha Kuzaliwa nacho/IDDM
(Diabetes type one)
Hii hutokana na kuchangiwa kwa vinasaba (D.N.A) vya Kisukari kutoka kwa MAMA au BABA(Family story).
2⃣Kisukari cha Ukubwani/NIDDM.(Diabetes Type Two) .
Hii hutokana na madhara ya Mtindo wa Maisha(Lifestyle).
SABABU ZA SUKARI KUPANDA/KUZIDI KWENYE DAMU.
1⃣Inaweza kuwa ni Kufeli kwa ogani ya Kongosho na kushindwa kuzalisha Insuline (Insuline Homone) ipasavyo
2⃣Inaweza kuwa Kukwama kwa Insuline kwenye Damu ( Insuline Resistance)
3⃣Kuwepo/Kuzidi kwa Mafuta Mabaya Mwilini (High Level of Bady Choresterol).
4⃣Kushuka kwa N.A.D (Nicotinamide Adenine Dinuclotide)
Hiki ni kimeng'enya kinachopatikana ndani ya Seli za Binadamu na Kazi kubwa ya N.A.D ni...
(A) Kubadili Sukari(Glucose) kuwa Nishati ya Mwili (Nguvu) =(To Convert Sugar /Glucose to Energy).
(B) Kuimarisha shuguri za uwepo wa mwili kuwa na nguvu(Body Metabolism)
Note.Sio kila mgonjwa wa Kisukari anaweza kupata Kisukari kupitia sababu hizo zote nne tajwa hapo.
Na ndiomaana watu wengi wameshindwa kutibu Kisukari ni baada ya kutojua Sababu za Sukari Kupanda na kutoa/Kupata matibabu pasipo kuzingatia mgonjwa Sukari yake inapanda sababu ni nini..!!!
Swali : Wewe unatibu Kisukari unalenga sababu ipi iliyokusababishia Sukari kupanda/kupata Kisukari kati ya hizo nne; k**a chanzo cha Sukari kupanda;Au tunatibu tu?
▶Hivyo usishangae kuona unafanya jitihada sana kujitibia Kisukari ila bado hauponi.
BAADHI YA DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI.
1⃣Kupungua Uzito gafla.
2⃣Kupata haja ndogo mara kwa mara hasa nyakati za usiku(Friquenty urination).
3⃣Kuhisi Kiu,Kukaukiwa mate na kunywa maji mara kwa mara kuliko kawaida.
4⃣Kuhisi njaa kila wakati na kula sana.
5⃣Kupata Ganzi ya miguu,mikono, nk.
6⃣Kupungua/Kukosa nguvu za kiume na Kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa Wanawake.
7⃣Udhaifu wa macho kuona/Uoni hafifu.
8⃣Kupata Uchovu/Mwili Kuchoka Sana.
9⃣Ngozi kupauka,Maumivu ya kichwa na Kutokwa jasho Sana.Nk.
BAADHI YA MADHARA YA UGONJWA WA KISUKARI NI...
♦ Kupata Malengelenge, Gangrene na hata Vidonda visivyopona haraka.
♦ Kuugua Magonjwa ya Figo na hata Figo Kufeli.
♦ Kupata Magonjwa ya Moyo; Pressure,Moyo kutanuka,Kupalalaizi(Stroke), Heart Attack/Heart Failure, nk.
♦ Matatizo ya Ngozi
♦ Kupoteza Kumbukumbu,Pia kuwa na hasira
♦ Miwasho Ukeni na hata U.T.I ya mara kwa mara.
♦ Upungufu wa Nguvu za kiume na Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa Wanawake.
♦ Madhara katika mfumo wa mmeng'enyo wa Chakula, Kukosa Choo au Kupata Choo kigumu (Constipation). Tumbo Kujaa Ges,nk.
♦ Athari Kiuchumi na hata Kupoteza Maisha (Kifo).
PS. Hupaswi kuendelea kuteseka na tatizo la Kisukari kwani Suluhisho lime patikana, Usikate Tamaa .!!!!
KUMUONA DAKTARI NA KUPATA USHAURI NI BURE KABISA.
Bonyeza namba hii Tuwasiliane WhatsApp au Piga simu.
📞+255710 573 385
KWA HUDUMA BORA YA MATIBABU ITAAMBATANA NA USIMAMIZI SAHIHI WA CHAKULA NA LISHE ILI KUDHIBITI KISUKARI HADI KUPONA KABISA.
TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM TANZANIA=KIMARA STOP OVER.
KARIBU TUKUHUDUMIE, TAMBUA AFYA YAKO NDIO UTAJIRI WAKO.
19/03/2024
HELLO HABARI ZENU WADAU WANGU WA AFYA... NATUMAI TUKO SALAMA.?
Leo kwenye Afya yako..... Napenda nikukumbushe na kukufahamisha kuhusu Maajabu ya Tunda Aina ya Tango na Umuhimu wake katika Afya yako.
Najua wengi sana tunalifahamu Tango kuwa ni tunda, lakini tunda hili watu wamekuwa hawalipi kipaumbele kwenye kulitumia kwa kula au kunywa Juice yake k**a ilivyo kwa matunda mengine.
Nikushauri hata k**a hulipendi basi naomba anza kujenga mazoea ya kutumia Tango au juice ya Tango utanufaika Sana kwa Afya yako.
Nahitaji ufahamu kuwa Tango ni muhimu Sana hasa kwa wagonjwa wa Kisukari na hata Pressure.
NAJUA UNALIFAHAMU TUNDA TANGO ILA MIMI NATAKA ULIJUE ZAIDI..
Endelea 👇👇👇
Mara kadhaa Tumekuwa tukila au kunywa Juice ya Tango k**a moja ya matunda. Lakini vipi Ulishawahi kujiuliza umuhimu wa Tango katika Afya ya mwili wako?
Wengi wetu Tumekuwa tukila matunda kwa kupenda radha yake na sio faida za tunda hilo na ndiomaana Tango ni miongoni mwa Tunda ambalo halipewi kipaumbele.
Lakini awali ya yote lazima kufahamu/Kujiuliza ni Tango lipi linafaa kulitumia/kula?
Jibu ni kwamba ; Sio Kila Tango bali Hakikisha unapata Tango linalofaa na
Tango linalofaa ni lile lililokolea rangi ya kijani na lisiwe linatepeta(Laini) Tango la Aina hiyo ni zuri Sana kwani linakuwa na ujazo mkubwa na uwingi wa Virutubisho vyake. 👇👇👇
SASA ZIFAHAMU FAIDA KADHA WA KADHA ZA TANGO KATIKA MWILI/KIAFYA PALE UNAPOKULA TANGO au JUICE YA TANGO.*
k**a ifuatavyo.
➡ Tango husaidia kukupatia mwili Maji(Huongeza maji Mwilini), Kwani asilimia kubwa ya tunda hili limetawaliwa na maji na maji ni muhimu Sana kwako na hasa kwa wanaougua Kisukari na Presha.
➡ Tango huupatia mwili kiwango kikubwa cha Vitamin B na Baadhi ya Madini muhimu mwilini.
*Mfano* Madini ya *Silca* yaliyomo kwenye Tango husaidia Kucha na Nywele kung'aa na kutoonekana tofauti machoni pa watu, Tambua mgonjwa wa Kisukari anathirika Sana katika Kucha(kung'oka kuacha) na Nywele kukosa afya na kuwa Nyepesi.
Pia Kuna Madini ya *Silicon* na *Sulfur* ambayo ni muhimu Sana mwilini na kwa mgonjwa wa Kisukari madini haya husaidia kuzuia na hata kuondoa vimbe k**a *Malengelenge* , *Mapele nk.* kwa urahisi katika ngozi na kufanya ngozi kuwa nyororo,Nadhifu na isipauke.
➡ Tango husaidia kupunguza/kuondoa kiwango kikubwa cha URIC ACID mwilini na hivo Kufanya Figo kuzidi kuwa salama na lisiweze kuharibika au kupata Magonjwa ya Figo au Figo KUFELI.
*NOTE* :Mtu mwenye Kisukari huwa na kiwango kikubwa Sana cha URIC ACID mwilini na huathiri Sana mifumo ya mwili k**a Mifupa,Mfumo wa Mmeng'enyo wa Chakula,INI,FIGO, NK.
*Endelea kunifatilia..* 👇👇
➡ Tango husaidia Kupunguza *Tatizo la Kisukari na Madhara yatokanayo na Kisukari,* Na
*Pia Hurekebisha Shinikizo la Damu.*
Hii ni kutokana na kuwepo wa madini ya *Potassium na Magnesium* ambayo ni muhimu Sana katika utendaji kazi wa *Moyo.*
➡ Husaidia kuimarisha Kinga ya mwili kutokana na uwepo wa Vitamin A, B, C, B1, B6 na D
Lakini pia Tango husaidia Kupunguza Uzito wa Mwili,Kwakuwa ni tunda lenye maji mengi hivo hivo lina kiwango kidogo cha Calories ambayo husaidia Kupunguza Uzito.
➡ Tango husaidia kurekebisha mmeng'enyo wa Chakula kutokana na uwepo wa maji na nyuzinyuzi(Fibers) na hivo huzuia tatizo la kukosa Choo au kupata Choo kigumu... Tatizo la kukosa Choo au kupata Choo kigumu husumbua Sana kwa watu wenye changamoto ya Kisukari pia.
➡ Husaidia kupunguza/Kushusha homa pale inapopanda.
➡ Husaidia kukukinga na Magonjwa ya Viungo, Gout na Baridi yabis Arthritis.
➡Tango Huondoa Uchovu na HangOver ukila vipande 3-4 kabla ya kulala.
Pia Huondoa Harufu mdomoni na
Pia Husaidia kuondoa Sumu mwilini. 👇👇
Nadhani mpaka kufikia hapo utakuwa umegundua Sasa kwanini tunasema muhimu kula Tango na Juice ya Tango.
Ushauri wangu, Zingatia na jenga tabia ya kula Tango ili iwe mazoea kwako kula Tango.
Mwisho japo sio kwa umuhimu Nakuruhusu kunipigia simu pale unapokuwa na jambo au Tuma ujumbe wako wa Mawazo au swali kupitia ukurasa huu.
Tambua asilimia kubwa ya Tiba ya Kisukari huchangiwa pia na Kubadiri tabia ya Mtindo wa maisha.
AFYA YAKO NDIO UTAJIRI WAKO. MUNGU AKUBARIKI. 📞+255710 573 385 / +255694 300 892
14/03/2024
𝐍𝐉𝐈𝐀 𝐑𝐀𝐇𝐈𝐒𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐓𝐎𝐊𝐎𝐌𝐄𝐙𝐀 𝐊𝐀𝐁𝐈𝐒𝐀 𝐊𝐈𝐒𝐔𝐊𝐀𝐑𝐈......
𝐉𝐄 𝐔𝐌𝐄𝐊𝐔𝐖𝐀 𝐔𝐊𝐈𝐒𝐔𝐌𝐁𝐔𝐊𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐌𝐔𝐃𝐀 𝐌𝐑𝐄𝐅𝐔 𝐍𝐀 𝐊𝐈𝐒𝐔𝐊𝐀𝐑𝐈 𝐁𝐈𝐋𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐀𝐅𝐀𝐍𝐈𝐊𝐈𝐎 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐎𝐍𝐀?
𝐑𝐞𝐣𝐞𝐬𝐡𝐚 𝐀𝐟𝐲𝐚 𝐲𝐚𝐤𝐨 𝐧𝐚 𝐓𝐮𝐦𝐚𝐢𝐧𝐢 𝐥𝐚𝐤𝐨 𝐥𝐢𝐥𝐢𝐥𝐨𝐩𝐨𝐭𝐞𝐚.. 𝐊𝐈𝐒𝐔𝐊𝐀𝐑𝐈 𝐊𝐈𝐍𝐀𝐓𝐈𝐁𝐈𝐊𝐀.
𝐈𝐤𝐨 𝐇𝐢𝐯𝐢...
𝐊𝐈𝐒𝐔𝐊𝐀𝐑𝐈 ; Ni ugonjwa unaotokana na mtu kuwa na Sukari nyingi kupita kiasi kwenye Damu.Ugonjwa huu huvuruga utaratibu wa kuingizwa kwa Sukari kwenye Chembe/Seli kutoka kwenye Damu.
Tafiti zinasema; Ugonjwa wa Kisukari unatajwa kuwa ni miongoni mwa magonjwa hatari Sana na husababisha vifo vingi Duniani kote,Kisukari unashika nafasi ya 5 kati ya Magonjwa yanayo sababisha vifo vingi.
Zaidi ya watu milioni 285+ wameathiriwa na wanaugua Kisukari Sawa na 6.6% ya watu wote Duniani.
Kwa Tanzania kiwango cha Watu wanaougua Kisukari ni Asilimia 9 kati ya Watanzania Milioni 61+. Na hizi ni Takwimu za Wizara ya Afya zilizotolewa na Serikari Dar es salaam kupitia msemaji wa Serikari, September 14/2023 = Hakika hali ni mbaya Sana.
𝐀𝐈𝐍𝐀 𝐌𝐁𝐈𝐋𝐈 𝐙𝐀 𝐊𝐈𝐒𝐔𝐊𝐀𝐑𝐈
1⃣ 𝐊𝐢𝐬𝐮𝐤𝐚𝐫𝐢 𝐜𝐡𝐚 𝐊𝐮𝐳𝐚𝐥𝐢𝐰𝐚 𝐧𝐚𝐜𝐡𝐨/𝐈𝐃𝐃𝐌
(𝐃𝐢𝐚𝐛𝐞𝐭𝐞𝐬 𝐭𝐲𝐩𝐞 𝐨𝐧𝐞)
Hii hutokana na kuchangiwa kwa vinasaba (D.N.A) vya Kisukari kutoka kwa MAMA au BABA(Family story).
2⃣ 𝐊𝐢𝐬𝐮𝐤𝐚𝐫𝐢 𝐜𝐡𝐚 𝐔𝐤𝐮𝐛𝐰𝐚𝐧𝐢/𝐍𝐈𝐃𝐃𝐌.(𝐃𝐢𝐚𝐛𝐞𝐭𝐞𝐬 𝐓𝐲𝐩𝐞 𝐓𝐰𝐨) .
Hii hutokana na madhara ya Mtindo wa Maisha (Lifestyle).
𝐒𝐀𝐁𝐀𝐁𝐔 𝐙𝐀 𝐒𝐔𝐊𝐀𝐑𝐈 𝐊𝐔𝐏𝐀𝐍𝐃𝐀/𝐊𝐔𝐙𝐈𝐃𝐈 𝐊𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄 𝐃𝐀𝐌𝐔.
1⃣Inaweza kuwa ni Kufeli kwa ogani ya Kongosho na kushindwa kuzalisha Insuline (Insulin Homone) ipasavyo
2⃣Inaweza kuwa Kukwama kwa Insulin kwenye Damu ( Insulin Resistance)
3⃣Kuwepo/Kuzidi kwa Mafuta Mabaya Mwilini (High Level of Badly Cholesterol).
4⃣Kushuka kwa 𝗡.𝗔.𝗗 (𝗡𝗶𝗰𝗼𝘁𝗶𝗻𝗮𝗺𝗶𝗱𝗲 𝗔𝗱𝗲𝗻𝗶𝗻𝗲 𝗗𝗶𝗻𝘂𝗰𝗹𝗼𝘁𝗶𝗱𝗲)
Hiki ni kimeng'enya kinachopatikana ndani ya Seli za Binadamu na Kazi kubwa ya 𝗡.𝗔.𝗗 ni...
(A) Kubadili Sukari(Glucose) kuwa Nishati ya Mwili (Nguvu) =(To Convert Sugar /Glucose to Energy).
(B) Kuimarisha shuguri za uwepo wa mwili kuwa na nguvu(Body Metabolism)
𝐍𝐨𝐭𝐞.
Sio kila mgonjwa wa Kisukari anaweza kupata Kisukari kupitia sababu hizo zote nne tajwa hapo.
Na ndio maana watu wengi wameshindwa kutibu Kisukari ni baada ya kutojua Sababu za Sukari Kupanda na kutoa/Kupata matibabu pasipo kuzingatia mgonjwa Sukari yake inapanda sababu ni nini..!!!
𝐒𝐰𝐚𝐥𝐢 :
Wewe unatibu Kisukari unalenga sababu ipi iliyokusababishia Sukari kupanda/kupata Kisukari kati ya hizo nne; k**a chanzo cha Sukari kupanda;Au tunatibu tu?
▶Hivyo usishangae kuona unafanya jitihada sana kujitibia Kisukari ila bado hauponi.
𝐁𝐀𝐀𝐃𝐇𝐈 𝐘𝐀 𝐃𝐀𝐋𝐈𝐋𝐈 𝐙𝐀 𝐔𝐆𝐎𝐍𝐉𝐖𝐀 𝐖𝐀 𝐊𝐈𝐒𝐔𝐊𝐀𝐑𝐈.
1⃣Kupungua Uzito gafla.
2⃣Kupata haja ndogo mara kwa mara hasa nyakati za usiku(Friquenty urination).
3⃣Kuhisi Kiu,Kukaukiwa mate na kunywa maji mara kwa mara kuliko kawaida.
4⃣Kuhisi njaa kila wakati na kula sana.
5⃣Kupata Ganzi ya miguu,mikono, nk.
6⃣Kupungua/Kukosa nguvu za kiume na Kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa Wanawake.
7⃣Udhaifu wa macho kuona/Uoni hafifu.
8⃣Kupata Uchovu/Mwili Kuchoka Sana.
9⃣Ngozi kupauka,Maumivu ya kichwa na Kutokwa jasho Sana.Nk.
𝐌𝐈𝐎𝐍𝐆𝐎𝐍𝐈 𝐌𝐖𝐀 𝐌𝐀𝐃𝐇𝐀𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐔𝐆𝐎𝐍𝐉𝐖𝐀 𝐖𝐀 𝐊𝐈𝐒𝐔𝐊𝐀𝐑𝐈 𝐍𝐈...
(1) Kupata Malengelenge au Vidonda visivyopona haraka.
(2) Kuugua Magonjwa ya Figo na hata Figo Kufeli.
(3) Kupata Magonjwa ya Moyo; Pressure,Moyo kutanuka,Kupalalaizi(Stroke), Heart Attack/Heart Failure, nk.
(4) Matatizo ya Ngozi
(5) Kupoteza Kumbukumbu,Pia kuwa na hasira
(6) Miwasho Ukeni na hata U.T.I ya mara kwa mara.
(7) Upungufu wa Nguvu za kiume na Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa Wanawake.
(8 ) Athari katika mfumo wa mmeng'enyo wa Chakula na kusababisha Kukosa Choo au Kupata Choo kigumu (Constipation).
(9) Athari Kiuchumi na hata Kupoteza Maisha (Kifo).
𝗣𝗦. Hivyo huu sio wakati wa kuendelea kuteseka na tatizo la Kisukari kwani Suluhisho limepatikana.!!!!
𝐊𝐔𝐌𝐔𝐎𝐍𝐀 𝐃𝐀𝐊𝐓𝐀𝐑𝐈 𝐍𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐀𝐓𝐀 𝐔𝐒𝐇𝐀𝐔𝐑𝐈 𝐍𝐈 𝐁𝐔𝐑𝐄 𝐊𝐀𝐁𝐈𝐒𝐀.
𝐁𝐨𝐧𝐲𝐞𝐳𝐚 𝐧𝐚𝐦𝐛𝐚 𝐡𝐢𝐢 𝐓𝐮𝐰𝐚𝐬𝐢𝐥𝐢𝐚𝐧𝐞 𝐖𝐡𝐚𝐭𝐬𝐀𝐩𝐩 𝐚𝐮 𝐏𝐢𝐠𝐚 𝐬𝐢𝐦𝐮.
0710 573 385
𝐖𝐀𝐊𝐀𝐓𝐈 𝐔𝐊𝐈𝐖𝐀 𝐔𝐍𝐀𝐄𝐍𝐃𝐄𝐋𝐄𝐀 𝐍𝐀 𝐇𝐔𝐃𝐔𝐌𝐀 𝐁𝐎𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐀𝐓𝐈𝐁𝐀𝐁𝐔, 𝐈𝐓𝐀𝐀𝐌𝐁𝐀𝐓𝐀𝐍𝐀 𝐍𝐀 𝐔𝐒𝐈𝐌𝐀𝐌𝐈𝐙𝐈 𝐒𝐀𝐇𝐈𝐇𝐈 𝐖𝐀 𝐂𝐇𝐀𝐊𝐔𝐋𝐀 𝐍𝐀 𝐋𝐈𝐒𝐇𝐄 𝐊𝐖𝐀 𝐌𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄 𝐂𝐇𝐀𝐍𝐆𝐀𝐌𝐎𝐓𝐎 𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐒𝐔𝐊𝐀𝐑𝐈 𝐇𝐀𝐃𝐈 𝐔𝐈𝐌𝐀𝐑𝐈𝐊𝐄.
𝐓𝐔𝐍𝐀𝐏𝐀𝐓𝐈𝐊𝐀𝐍𝐀 𝐃𝐀𝐑 𝐄𝐒 𝐒𝐀𝐋𝐀𝐀𝐌 𝐓𝐀𝐍𝐙𝐀𝐍𝐈𝐀
𝐊𝐈𝐌𝐀𝐑𝐀 -𝐒𝐓𝐎𝐏 𝐎𝐕𝐄𝐑....
𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐓𝐔𝐊𝐔𝐇𝐔𝐃𝐔𝐌𝐈𝐄.
12/03/2024
NJIA RAHISI YA KUTOKOMEZA KABISA KISUKARI......
JE UMEKUWA UKISUMBUKA KWA MUDA MREFU NA KISUKARI BILA YA MAFANIKIO YA KUPONA?
Rejesha Afya yako na Tumaini lako lililopotea.. KISUKARI KINATIBIKA.
Iko Hivi...
KISUKARI ; Ni ugonjwa unaotokana na mtu kuwa na Sukari nyingi kupita kiasi kwenye Damu.Ugonjwa huu huvuruga utaratibu wa kuingizwa kwa Sukari kwenye Chembe/Seli kutoka kwenye Damu.
Tafiti zinasema; Ugonjwa wa Kisukari unatajwa kuwa ni miongoni mwa magonjwa hatari Sana na husababisha vifo vingi Duniani kote,Kisukari unashika nafasi ya 5 kati ya Magonjwa yanayo sababisha vifo vingi.
Zaidi ya watu milioni 285+ wameathiriwa na wanaugua Kisukari Sawa na 6.6% ya watu wote Duniani.
Kwa Tanzania kiwango cha Watu wanaougua Kisukari ni Asilimia 9 kati ya Watanzania Milioni 61+. Na hizi ni Takwimu za Wizara ya Afya zilizotolewa na Serikari Dar es salaam kupitia msemaji wa Serikari, September 14/2023 =Hakika hali ni mbaya Sana.
AINA MBILI ZA KISUKARI
1⃣Kisukari cha Kuzaliwa nacho/IDDM
(Diabetes type one)
Hii hutokana na kuchangiwa kwa vinasaba (D.N.A) vya Kisukari kutoka kwa MAMA au BABA(Family story).
2⃣Kisukari cha Ukubwani/NIDDM.(Diabetes Type Two) .
Hii hutokana na madhara ya Mtindo wa Maisha(Lifestyle).
SABABU ZA SUKARI KUPANDA/KUZIDI KWENYE DAMU.
1⃣Inaweza kuwa ni Kufeli kwa ogani ya Kongosho na kushindwa kuzalisha Insuline (Insuline Homone) ipasavyo
2⃣Inaweza kuwa Kukwama kwa Insuline kwenye Damu ( Insuline Resistance)
3⃣Kuwepo/Kuzidi kwa Mafuta Mabaya Mwilini (High Level of Bady Choresterol).
4⃣Kushuka kwa N.A.D (Nicotinamide Adenine Dinuclotide)
Hiki ni kimeng'enya kinachopatikana ndani ya Seli za Binadamu na Kazi kubwa ya N.A.D ni...
(A) Kubadili Sukari(Glucose) kuwa Nishati ya Mwili (Nguvu) =(To Convert Sugar /Glucose to Energy).
(B) Kuimarisha shuguri za uwepo wa mwili kuwa na nguvu(Body Metabolism)
Note.Sio kila mgonjwa wa Kisukari anaweza kupata Kisukari kupitia sababu hizo zote nne tajwa hapo.
Na ndiomaana watu wengi wameshindwa kutibu Kisukari ni baada ya kutojua Sababu za Sukari Kupanda na kutoa/Kupata matibabu pasipo kuzingatia mgonjwa Sukari yake inapanda sababu ni nini..!!!
Swali : Wewe unatibu Kisukari unalenga sababu ipi iliyokusababishia Sukari kupanda/kupata Kisukari kati ya hizo nne; k**a chanzo cha Sukari kupanda;Au tunatibu tu?
▶Hivyo usishangae kuona unafanya jitihada sana kujitibia Kisukari ila bado hauponi.
BAADHI YA DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI.
1⃣Kupungua Uzito gafla.
2⃣Kupata haja ndogo mara kwa mara hasa nyakati za usiku(Friquenty urination).
3⃣Kuhisi Kiu,Kukaukiwa mate na kunywa maji mara kwa mara kuliko kawaida.
4⃣Kuhisi njaa kila wakati na kula sana.
5⃣Kupata Ganzi ya miguu,mikono, nk.
6⃣Kupungua/Kukosa nguvu za kiume na Kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa Wanawake.
7⃣Udhaifu wa macho kuona/Uoni hafifu.
8⃣Kupata Uchovu/Mwili Kuchoka Sana.
9⃣Ngozi kupauka,Maumivu ya kichwa na Kutokwa jasho Sana.Nk.
MIONGONI MWA MADHARA YA UGONJWA WA KISUKARI NI...
(1) Kupata Malengelenge au Vidonda visivyopona haraka.
(2) Kuugua Magonjwa ya Figo na hata Figo Kufeli.
(3) Kupata Magonjwa ya Moyo; Pressure,Moyo kutanuka,Kupalalaizi(Stroke), Heart Attack/Heart Failure, nk.
(4) Matatizo ya Ngozi
(5) Kupoteza Kumbukumbu,Pia kuwa na hasira
(6) Miwasho Ukeni na hata U.T.I ya mara kwa mara.
(7) Upungufu wa Nguvu za kiume na Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa Wanawake.
(8) Athari katika mfumo wa mmeng'enyo wa Chakula na kusababisha Kukosa Choo au Kupata Choo kigumu (Constipation).
(9) Athari Kiuchumi na hata Kupoteza Maisha (Kifo).
PS. Hivyo huu sio wakati wa kuendelea kuteseka na tatizo la Kisukari kwani Suluhisho limepatikana.!!!!
KUMUONA DAKTARI NA KUPATA USHAURI NI BURE KABISA.
Bonyeza namba hii Tuwasiliane WhatsApp au Piga simu.
📞+255710 573 385
WAKATI UKIWA UNAENDELEA NA HUDUMA BORA YA MATIBABU, ITAAMBATANA NA USIMAMIZI SAHIHI WA CHAKULA NA LISHE KWA MWENYE CHANGAMOTO YA KISUKARI HADI UIMARIKE.
TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM TANZANIA=KIMARA STOP OVER.
KARIBU TUKUHUDUMIE.
10/03/2024
*KISUKARI SASA KINATIBIKA.......*
*TOKOMEZA UGONJWA WA KISUKARI, DHIBITI ILI UPONE KABISA BILA KUTUMIA DAWA ZA KEMIKALI📌💊 .*
Iko Hivi... 👇👇👇
*KISUKARI* ; Ni ugonjwa unaotokana na mtu kuwa na Sukari nyingi kupita kiasi kwenye Damu.Ugonjwa huu huvuruga utaratibu wa kuingizwa kwa Sukari kwenye Chembe/Seli kutoka kwenye Damu.
Tafiti zinasema; Ugonjwa wa Kisukari unatajwa kuwa ni miongoni mwa magonjwa hatari Sana na husababisha vifo vingi Duniani kote,Kisukari unashika nafasi ya *5* kati ya Magonjwa yanayo sababisha vifo vingi.
Zaidi ya watu milioni 285+ wameathiriwa na wanaugua Kisukari Sawa na 6.6% ya watu wote Duniani.
Kwa Tanzania kiwango cha Watu wanaougua Kisukari ni Asilimia *9* kati ya Watanzania Milioni 61+. Na hizi ni Takwimu za Wizara ya Afya zilizotolewa na Serikari Dar es salaam kupitia msemaji wa Serikari, September 14/2023 =Hakika hali ni mbaya Sana.
*AINA 3 ZA KISUKARI*
1⃣Kisukari cha Kurithi/Kuzaliwa nacho (Diabetes type one)
Hii hutokana na kuchangiwa kwa vinasaba (D.N.A) vya Kisukari kutoka kwenye familia(Family story) na aidha MAMA,BABA au wote kwa pamoja.
Aina hii ya Kisukari (Diabetes type one) nayo imegawanyika katika sehemu kuu mbili ambazo ni..
👉Primary Diabetes type one.
👉Secondary Diabetes type Two.
2⃣Kisukari cha Ukubwani (Diabetes Type Two) .
Aina hii ya Kisukari hutokana na madhara ya Mtindo wa Maisha(Lifestyle), Hii kitaalamu hujulikana k**a ;"Non Insuline Dependent Diabetes Mellitus (NIDDM)
3⃣Kisukari cha Mama mjamzito (Gestational diabetes).
Hii ni aina ya Kisukari ambayo humpata mama mjauzito.
*HATUA MBILI ZA KISUKARI*
🅰Kisukari katika hatua ya Awali (Pre Diabetes)
Katika hatua hii huwa hatusemi kuwa ni mgonjwa wa Kisukari ndiomaana watu huwa hawatilii maanani kuchukua hatua stahiki kudhibiti na kuona ni kawaida(hupuuzia) na ndipo wengi huangukia katika hatua ya pili bila kujua na kuathirika zaidi.
🅱Kisukari hatua ya Pili (secondary Level)
Hatua hii mtu hutamburika rasmi kuwa ni mgonjwa wa Kisukari.
*KWANINI SUKARI INAPANDA/KUZIDI KWENYE DAMU.?*
Hapa tunahitaji kuwa Makini Sana kuelewa kwani ndiko kunakofanya watu wengi kushindwa kudhibiti/Kutibu KISUKARI na kuamini huwezi kupona Kisukari japo wapo baadhi huamini Kisukari Unapona.Hasa niliowahudumia wakapona na wale walio pata na wanaoendele kufatilia elimu ya Kisukari na Ushauri wetu👇👇
*SABABU za Sukari Kupanda/Kuzidi Kwenye Damu.*
1⃣Inaweza kuwa ni Kufeli kwa ogani ya Kongosho na kushindwa kuzalisha Kichocheo cha Insuline (Insuline Homone) ipasavyo
2⃣Inaweza kuwa Kukwama kwa Insuline kwenye Damu ( *Insuline Resistance*)
3⃣Kuwepo/Kuzidi kwa Mafuta Mabaya Mwilini (High Level of Bady Choresterol).
4⃣Kushuka kwa *N.A.D* (Nicotinamide Adenine Dinuclotide)
Hiki ni kimeng'enya kinachopatikana ndani ya Seli za Binadamu na Kazi kubwa ya *N.A.D* ni...
👉Kubadili Sukari(Glucose) kuwa Nishati ya Mwili (Nguvu) =(To Convert Sugar /Glucose to Energy).
👉Kuimarisha shuguri za uwepo wa mwili kuwa na nguvu(Body Metabolism)
*Note*.Sio kila mgonjwa wa Kisukari anaweza kupata Kisukari kupitia njia hizo zote nne tajwa hapo.
Na ndiomaana watu wengi wameshindwa kutibu Sukari ni baada ya kutojua namna ya kudili na *Sababu za Sukari Kupanda* na kutoa/Kupata matibabu bila kuzingatia mgonjwa Sukari yake inapanda sababu ni nini..!!!
*Swali* : Wewe unatibu Sukari unalenga kitu gani kati ya hivo vinne k**a chanzo cha Sukari kupanda;Au unatibu tu kwasababu unataka kutibu Kisukari?
▶Hivyo usishangae kuona unafanya jitihada kujitibia lakini huponi, na hata kukata tamaa au kuamini kuwa Kisukari hakina tiba.
*_BAADHI YA DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI._*
👉Kupungua Uzito gafla
👉Kupata haja ndogo mara kwa mara hasa nyakati za usiku(Friquenty urination)
👉Kuhisi Kiu,Kukaukiwa mate na kunywa maji mara kwa mara kuliko kawaida
👉Kuhisi njaa kila wakati na kula sana.
👉Kupata Ganzi ya miguu,mikono, nk.
👉Kupungua/Kukosa nguvu za kiume na Kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa Wanawake
👉Udhaifu wa macho kuona/Uoni hafifu.
👉Kupata Uchovu/Mwili Kuchoka Sana.
👉Ngozi kupauka,Maumivu ya kichwa na Kutokwa jasho Sana.Nk.
*MIONGONI MWA MADHARA YA UGONJWA WA KISUKARI NI... .*
🔥Kupata Malengelenge au Vidonda visivyopona haraka.
🔥Kuugua Magonjwa ya Figo na hata Figo Kufeli.
🔥Kupata Magonjwa ya Moyo; Pressure,Moyo kutanuka,Kupalalaizi(Stroke), Heart Attack/Heart Failure, nk.
🔥Matatizo ya Ngozi
🔥Kupoteza Kumbukumbu,Pia kuwa na hasira
🔥Miwasho Ukeni na hata U.T.I ya mara kwa mara.
🔥Upungufu wa Nguvu za kiume na Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa Wanawake.
🔥Athari Kiuchumi na hata Kupoteza Maisha (Kifo)
*KUMUONA DAKTARI NA KUPATA USHAURI NI BURE.*
Bonyeza namba hii Tuwasiliane WhatsApp au Piga simu.
📞+255710 573 385
WAKATI WA HUDUMA BORA YA MATIBABU IKIWA INAENDELEA ITAAMBATANA NA USIMAMIZI SAHIHI WA CHAKULA NA LISHE KWA WENYE CHANGAMOTO YA KISUKARI HADI UIMARIKE.
*TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM TANZANIA=KIMARA STOP OVER.*
*KARIBU TUKUHUDUMIE* .
08/03/2024
Katika Afya yako mdau wangu wa afya, Matunda na mboga mboga huchukua nafasi kubwa Sana kuboresha afya yko na kinga ya mwili...... Yapo matunda Aina nyingi Sana ila hapa nasisitiza tunda Aina ya Tango kwani lina faida kubwa Sana wa mtu mwenye changamoto ya Kisukari..... Unaweza ukala kwa ukatafuna na wakati mwingine ukatengeneza Juice ya Tango, Faida zote elekez ktk Picha zitakuwa ufanisi mzuri katika kudhibiti Sukari
Kwa kufahamu zaidi kuhusu Ugonjwa wa Kisukari na jinsi gani unaweza kujitibia... Usisite kuwasiliana nasi WhatsApp au piga simu.. 📞+255710 573 385
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Kimara Stop Over
Dar Es Salaam