Fikia Mafanikio
Hatua za mafanikio na
Dkt. Emmanuel Theophilo
0767595644
23/01/2024
Nakukaribisha katika semina siku ya JUMAPILI Saa 7:00 mchana
Location
MWENGE COMPLEX
Njoo Ujifunze jinsi ambavyo unaweza kuingiza Zaidi ya Tshs 300,000 Kila wiki kwa kutumia muda wako wa ziada tena kwa mtaji mdogo sana kwa kutumia mfumo wa biashara ya kimtandao.
0767 595 644
Nipigie kujua zaidi pia nijukishe k**a utahudhulia.
kidogo hapa
, umechoka kufanya kazi usiku na mchana na kuishia kupata haba?
Je, umechoka kuhairisha shughuli za kubudurika na wale uwapendao kisa hupati MUDA?
Je, uko tayari kujituma na kufanya kazi kwa bidii kwenye biashara yako inayoweza kubadili maisha yako?
Ondoa shaka, SUMA ndio funguo wa kutimiza ndoto zako na zaidi!
BF SUMA ni nini?
BF SUMA
✨Bright Future
✨ Superior
✨Unique
✨Manufacturer of America
Hii ni kampuni inayozalisha MBADALA ZA KIASILI zenye ubora wa hali ya juu, ubora wa kimataifa.
Kampuni ilianza mwaka 1993 mjini Hong Kong ikizalisha dawa mbadala za mifupa.
Baada ya muda mfupi, kampuni ilisambaa hadi Marekani kwa sababu ya WAKE WA KIPEKEE.
Kampuni iliendelea kusambaa haraka duniani kote kwa sababu ya WA BIDHAA ZAKE. Iliingia Tanzania Febuari 2012.
Unataka kujua zaidi kuhusu SUMA?
Basi unakarishwa katika SEMINA hii kubwa
uanze safari ya mafanikio pamoja na sisi
23/01/2024
Napenda kukukaribisha katika SEMINA kubwa ya KIPATO endelevu
SIKU ya JUMAPILI maeneo ya Mwenge complex muda saa 7:00 mchana.
Kwa wewe ulipo Dar es salaam au karibu na Location Mwenge complex karibu sana njoo ujifunze jinsi ambavyo unaweza kujiingizia KIPATO endelevu kwa muda wako wa ziada tena kwa mutaji mdogo sana.
Nipigie Simu k**a utashiriki ili nikuweke kwenye orodha ya wageni maana watu watakua wengi sana
+255767595644
+255621217832
WATU
0767 595 644
Mafanikio hayaendi kwa watu wanaosubiri hali au mazingira yawe kamili. Mafanikio yanaenda kwa watu wanaoamua kufanya kwa yale waliyonayo, na kwa wakati wa sasa na sio kusubiri wakati wowote ule.
Mafanikio hayaendi kwa watu wanaosema wako 'bize' na hawana muda, na watafanya kesho au muda mwingine. Mafanikio yanaenda kwa watu wanaojitoa kutafuta muda na kuchukua hatua za kufanya.
K**a wewe ni bado wa kusema huna muda, utafanya kesho, basi nikwambie mafanikio tayari yamekupiga kikumbo cha kwaheri. Mafanikio hayataki watu wa namna hiyo kabisa, yanataka uchukue hatua.
Unatakiwa ujue mafanikio hayasubiri mtu na hayasubiri hali yoyote iwe nzuri. Ni jukumu lako wewe kutengeneza mazingira yatakayokusaidia katika kufanikiwa kwako na sio mtu mwingine bali ni wewe.
JAMBO LA KUZINGATIA NA KUFANYIA KAZI, elewa mafanikio hayaendi kwa wanaosubiri kesho au kusubiri mazingira yawe bora. Mafanikio yapo kwa wanaochukua hatua sasa, chukua hatua, utafanikiwa.
YA KUJIFUNZA ITAKUFIKISHA HARAKA
0767 595 644
Dunia ya sasa inataka ujifunze sana mambo mbalimbali yatakayokusaidia kuwa bora zaidi kwenye maisha yako au jambo ulifanyalo.
Ukitaka kuwa mtalamu kwenye jambo fulani ni lazima utenge muda wa kujifunza kuhusu jambo hilo. Hata k**a jambo hilo unalijua kwa kiasi gani? Amini bila kujifunza zaidi kuhusu kitu hicho basi ujuzi wa kile unachokijua utabaki ule ule kila siku.
Maisha yanataka ujifunze, hivyo jifunze kuhusu pesa, mahusiano, utalamu fulani, dini, pia jinsi ya kuishi na watu wanaokuzunguka katika maisha yako. Kila kitu kinahitaji kujifunza.
Kwani hata watalaam wa mambo wanasema ukijifunza somo la maisha utajifunza vingi kuhusu maisha. Usipojifunza utaendelea kusukumwa na maisha na kila kitu kwako utakiona kichungu tu.
Jifunze vitu vipya kila wakati, ili uweze kufanikiwa
0767 595 644
23/01/2024
YA KUONDOKANA NA MADENI NA KUFIKIA
0767 595 644
Orodha ndefu ya madeni ndiyo kitu pekee ambacho kinakufanya ushindwe kuona thamani ya kila fedha yako unayoipata, hii ni kwa sababu kila fedha unayoipata hupitiliza moja kwa moja katika kulipa madeni hayo.
Orodha ndefu ya madeni imesababisha maisha ya wengi kuwa na majuto kila iitwapo leo. watu wengi wanashindwa kufanya vitu vya maana kwa sababu ya mlolongo mlefu wa madeni.
Ikiwa unataka kuona thamani ya fedha unayoipata basi inakubidi kuachana na utitiri wa madeni yanayokusonga, na njia pekee ya kuepukana na madeni ni kuishi kulingana na kipato chako.
0767 595 644
, umechoka kufanya kazi usiku na mchana na kuishia kupata haba?
Je, umechoka kuhairisha shughuli za kubudurika na wale uwapendao kisa hupati ?
Je, uko tayari kujituma na kufanya kazi kwa bidii kwenye biashara yako inayoweza kubadili maisha yako?
Ondoa shaka, ndio funguo wa kutimiza ndoto zako na zaidi!
Itakupa vitu fifuatavyo
MZURI
ZA KIMATAIFA KILA MWAKA BURE
ZA KIFAHARI BURE
NZURI BURE.
Hayo yote unayapata baada ya kuanza kazi na kufikia lenki flani katika biashara yetu hii.
Kufahamu zaidi 0767 595 644
ni nini?
BF SUMA
✨Bright Future
✨Superior
✨Unique
✨Manufacturer of America
Hii ni kampuni inayozalisha DAWA MBADALA ZA KIASILI zenye ubora wa hali ya juu, ubora wa kimataifa.
Kampuni ilianza mwaka 1993 mjini Hong Kong ikizalisha dawa mbadala za mifupa.
Baada ya muda mfupi, kampuni ilisambaa hadi Marekani kwa sababu ya UZALISHAJI WAKE WA KIPEKEE.
Kampuni iliendelea kusambaa haraka duniani kote kwa sababu ya UBORA WA BIDHAA ZAKE. Iliingia Tanzania Febuari 2012.
Unataka kujua zaidi kuhusu BF SUMA?
Basi endelea kusoma hapo chini!
Au piga simu +255767595644
malengo ya BF SUMA?
1. Kukufanya wewe uwe na AFYA BORA
2. KUKUONGEZEA KIPATO
Utapataje KIPATO kupitia BF SUMA?
Usambazaji wa bidhaa za BF SUMA unatumia mfumo wa mtandao(network marketing). Nini maana ya network marketing?
Mfumo wa mtandao wa BF SUMA unakuruhusu kufurahia FAIDA ZA kiafya za bidhaa zake, KUPATA FAIDA kwa kuuza bidhaa zake na pia KUPATA MAPATO NA MARUPURUPU!
Unapataje haya mapato na marupurupu?
Mapato na Marupurupu yanagawiwa kulingana na zako na za watu walio chini yako. Pesa utakayopata pia itatofautiana kulingana na cheo ulichonacho. Picha hapo chini inaonesha vyeo(ranks) vya usambazaji.
Kwa kila cheo unapata kiasi gani cha mapato?
Kujua zaidi 0767595644 Theophilo
22/01/2024
ILI UWEZE KIMAISHA HAYA
Dkt.
0767595644
Kwenye maisha yako, ni bora kujitangaza wewe, kuliko kuwaletea wengine maneno. Pia ni bora kutangaza soko lako, kuliko kwenda kinyume na washindani wako. Ni bora pia kufanya kazi zako, kuliko kutumia nguvu nyingi kupinga kazi za wenzako.
Unapokuwa na nafasi ya kufanya mambo yako, acha kupambana. Jifunze kutengeneza sheria zako zitakazo kuongoza kwenye njia ya mafanikio na si kupambana. Ukifanya hivyo hutafika mbali kimafanikio, k**a kujinadi, jinadi wewe na sera zako, basi.
22/01/2024
JAMBO LA KATIKA YAKO
. Emmanuel
0767595644
Mojawapo ya jambo muhimu katika safari ya mafanikio yako, ni uzingativu. Watu wote ambao huwa wanafanikiwa katika mambo yao ni watu wa kuzingatia sana. Hawa huwa ni watu ambao hawana papara, wakianzisha jambo hulifatilia mpaka kulifanikisha.
Mara nyingi unapoweka nguvu ya uzingativu katika jambo moja, huwa zinaleta matokeo makubwa na kuyashangaza. Hakuna kinachoshindikana katika nguvu hizi za uzingativu zinapotumika.
Hiki ni kitu ambacho unatakiwa kukiweka kwenye akili yako na kukifanyia kazi. Na hili ni jambo la lazima sana katika safari yako ya mafanikio, bila hivyo huwezi kufanikiwa
Dkt. Emmanuel Theophilo
Njoo upate mengi kuhusu mafanikio yako.
0767595644
au bonyeza WhatsApp button
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Mwenge Complex
Dar Es Salaam