Afya na Lishe

Afya na Lishe

Share

Tunawasaidia watu kuondoa Changamoto Mbalimbali za Kiafya kwa kutumia Bidhaa zetu za Virutubisho.Was

13/02/2025

HAUPONI TATIZO LA NGUVU ZA KIUME KWA SABABU UNAFANYA HAYA MAKOSA KILA SIKU.+255757087021
Ninaposikia mtu anasema siamini dawa za mitandaoni au hawa ni waongo huwa sishangai kabisa maana naelewa wazi kwa asilimia 70% huyu mtu anafanya haya makosa ndio maana hapati matokeo. Inawezekana na wewe unaesoma ujumbe huu haya makosa unayafanya au ushayafanya au bado unaendelea kuyafanya..
Je Ni Makosa Gani Hayo Yanayofanywa?

Kosa1.. Unakurupuka kutumia dawa za kuongeza nguvu za kiume bila kujiuliza k**a hiyo dawa inahusiana vipi na tatizo ulilonalo.. haiwezekani dawa moja ikatibu kila mtu..
Kosa 2.. Hutatui chanzo au vyanzo vya tatizo lako... na inawezekana mpaka sasa ukawa bado hujui chanzo cha tatizo lako ni nini? Tatizo la nguvu za kiume haliji kwa bahati mbaya lina chanzo na lazima kuondoe chanzo cha tatizo kwanza.. kutokuwa na uwelewa juu ya tatizo lako ndio maana kila siku unatumia dawa na hupati matokeo yeyote.
Kosa 3. Ulaji wako bado mbovu, unakula vyakula vile vile kila siku. Unakula kushiba sio kuujenga mwili. Hupati matokeo sababu unaulisha mwili vyakula ambavyo sio sahihi. Kwenye kuimarisha nguvu zako za kiume chakula ni 70% sasa wewe unapuuzia hili hizo nguvu zitatokea wapi.?
Kosa 4. Unapuuza mazoezi. Huna ratiba ya mazoezi alafu unataka uwe imara kitandani. Umeona wapi Ronaldo kuwa Mfungaji Bora wa bao Bila ya kufanya mazoezi? Unataka uwende nusu saa mazoezi hufanyi iyo pumzi utaitolea wapi..
Je Umejua ulipokuwa unakosea.?..
K**a umeguswa na hili na leo upo tayari kubadilika ili urudishe nguvu zako za kiume.

Nipigie kwenda namba +255757087021 au Tuma ujumbe neno KIUME kwenye Nitakuelekeza nini ufanye kutatua tatizo hili ili usiendele kupoteza pesa nyingi kwa kurudia haya makosa kila siku.

15/12/2022

TUMBO LANGU NI DOGO TU, NI K**A HALIPO VILE 😁😁

Ukijiangalia katika kioo, Unachukizwa na mwili wako mwenyewe. Hauna la kufanya, unabaki kuhuzunika tu. Tumbo! Tumbo!

Na mara Nyingine unajifariji
na kusema “Tumbo langu ni dogo tu, ni k**a halipo vile!” 😁😁😁

Usiendelee kujilaumu na kukwazika njoo Upate Elimu,Miongozo, na Suluhisho sahihi Namna ya Kupungua Uzito na kitambi tupigie sasa hivi au tuma ujumbe whatsapp andika +255757087021 Utapata kuhudumiwa haraka

💯Follow us on Instagram kwa Dondoo za afya

12/12/2022

KWANINI MADEREVE WENGI WA MAGARI MAKUBWA HUWA NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME???

Madereva wanaoendesha magari ya masafa marefu na wale wanaoendesha magari muda mrefu wanao uwezekano mkubwa wa kuwa na upungufu wa nguvu za kiume. Ukaaji kwenye kiti muda mrefu unasababisha mzunguko wa damu kutokuwa mzuri kwa sababu mishipa midogo ya damu sehemu za siri hushindwa kabisa kusukuma damu vizuri na wakati mwingine mishipa hiyo inaharibika kabisa.Hali hii inaweza kutokea pia kwa watu wanaokaa Ofisini muda mrefu

Ikiwa wewe dereva na Umegundua umeathirika na upungufu wa nguvu za kiume lazima utafute Njia Salama ya Kutatua Changamoto yako. Ni muhimu sana kuangalia unakula nini, wapi, saa ngapi na kivipi. Chunguza afya yako mara kwa mara hasa sukari, presha, figo, ini na magonjwa ya moyo. Tumia virutubisho katika umakini wa hali ya juu utarudi katika hali yako ya Kawaida

Virutubisho vinavyofaa zaidi kwa kundi hili ni Vile vyenye kuboresha Mzunguko wa Damu, Vinavyoupa Nguvu Mwili na Virutubisho vyenye mchanganyiko wa Madini

Kwa ushauri, Elimu,Miongozo, Suluhisho sahihi kwa upande wa afya ya uzazi tupigie sasa hivi au tuma ujumbe whatsapp andika +255757087021 Utapata kuhudumiwa haraka

Mtag rafiki yako ambaye Ungependa ajifunze somo hili

18/06/2022

Jinsi Ya Kutumia Matunda na Mboga Mboga ili Kuondokana Na Changamoto ya Nguvu za KIUME:

Je, Unafaham kwamba matunda na mboga mboga Zina nafasi kubwa sana katika kuboresha Afya ya Uzazi na kukusaidia kuondokana na Changamoto ya Nguvu za KIUME??? : 0757087021

Huenda umekua ukihangaika kutumia madawa Mengi Kutatua changamoto yako bila mafanikio, Na labda kimoyo moyo unajiambia kuwa huwezi kupona tena changamoto yako!

Mimi nikuambie tu Ukweli kwamba "Hakuna Tatizo lisilokua Na Suluhisho" na Kitu ambacho kitakufanya uweze kupata Matokeo Mazuri na Ya kudumu ni kwa Kutumia Virutubisho vitokanavyo na Matunda na Mboga mboga.

Matunda Haya Yana umuhim Mkubwa Sana na Husaidia Kuboresha Mzunguko wa Damu ambapo ndio Eneo muhimu Sana Katika Afya ya Uzazi kwa Wanaume

1.Tunda aina ya Komamanga (Pomegranate) hii ina protein maalum ya L-Arginine ambayo husaidia Kutanua mishipa ya Damu ili kuruhusu Damu kutembea vzuri

2.Matunda aina ya Berries (strawberries, blueberries, blackberries na raspberries) Matunda haya Yana Asili ya Wekundu na husaidia Sana kwenye Mzunguko wa Damu wa Mwanaume

3.Matunda k**a Apples, Ndizi na Tikitimaji pamoja na Vyakula k**a Asali Mbichi, Mimeatiba ya Maca na Mbegu za Maboga

"By the Way" Unaweza kupata Bidhaa maalum zenye mchanganyiko mzuri kàbisa wa matunda haya ambayo tayari vimeandaliwa Katika ubora mzuri na Wengi wamenufaika, Wahi Upate Elimu Hii Bureee kabisa
Tuma neno AFYA kwenda WhatsApp 0757087021

18/06/2022

UKIPIGA PUNYETO YAFUATAYO YATAKUWA MSHAHARA WAKO

�Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.

�Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.

�Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea.

�Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza

�Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi.

�Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri.

�Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena.

�Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo.

�Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito.

K**A UMEKUMBANA au UNAKUMBANA NA CHANGAMOTO K**A HIZO USISITE,

Tuma ujumbe neno KIUME kwenda whatsapp namba 0757087021 au piga simu usaidiwe mapema

26/05/2022

Kilele cha juu kabisa cha furaha katika ndoa ni FURAHA inayopatikana katika tendo lenyewe la ndoa. Ili furaha hiyo ipatikane ni lazima tendo hilo liwe limefanyika katika hali ya afya kwa wanandoa wote wawili.
Nguvu za kiume ni neno linalotumika mara nyingi kumaanisha ‘Uwezo wa mwanaume kufanya tendo la ndoa’. Na inapokuwa tofauti na hivi, tunaita ni ‘kupungua au kukosa nguvu za kiume’.
Kupungukiwa kwa nguvu za kiume hutofautiana toka mtu mmoja hadi mwingine. Inaweza kuwa ni hali ya kutokuwa na uwezo wa kusimamisha uume, au hali ya kutokuwa na uwezo wa kufika kileleni kwa muda mzuri wa kutosha.
Pamoja na hayo yote, elimu muhimu ambayo mwanaume anatakiwa kuwa nayo, ni kuwa nguvu za kiume hazipatikani kwa kutumia madawa ya kemikali au mahala pengine; bali zinatokana na Virutubisho Muhimu kutoka kwenye Vyakula

Ni vyema kuwa Makini na Matumizi ya Dawa mbalimbali ili kulinda Afya ya Nguvu hizi za Kiume

Kujifunza Zaidi kuhusu Vyakula na Virutubisho Muhimu kwa Nguvu za KIUME
Tuma neno KIUME kwenda WhatsApp 0757087021

20/05/2022

Ndizi zina virutubisho vingi k**a vile vitamini, nyuzinyuzi, protini, wanga, madini ya chuma na virutubisho vya sukari k**a ‘Sucrose’ na ‘Fructose’. Unashauriwa kula ndizi mbili kwa siku kwa muda wa mwezi tu, afya yako itaimalika.

Bila shaka kuna faida nyingi lakini hapa zipo 5 kati ya nyingine nyingi;

Kuondokana na tatizo la Kiungulia

Ndizi kiasili sio tunda lenye asidi kwa wingi, ikumbukwe kuwa kiungulia husababishwa na uwepo wa asidi nyingi mwilini. Hivyo ndizi ni tiba kwa wote ambao wanasumbuliwa na kiungulia. Kula japo ndizi moja kwa siku basi itatuliza haraka na kuondoa dalili zote za kiungulia.

Kuondoa Presha

Ndizi pia zina wingi wa madini ya ‘Sodiam’ na ‘Potassium’ ambayo huweka sawa presha ya damu na kuimarisha afya ya moyo. Madini hayo pia husaidia kutanua misuli ya moyo ili kufanya kazi zake kwa urahisi.

Kuongeza Nguvu

Endapo utakula ndizi mbili kabla ya kazi yoyote hakika nguvu zako zitaongezeka. K**a ilivyoelezwa awali ndizi zina vitamini, madini, wanga, na ‘Glycemic’ (kiwango cha sukari yenye kutia nguvu mwilini) ambavyo vyote hivyo ni vyanzo vizuri vya kutia nguvu mwilini kwa haraka.

Kuondokana naugonjwa wa Vidonda vya tumbo

Ndizi zina mchanganyiko wa vilainishi na nyuzinyuzi ambazo hulainisha tumbo na kupelekea kuzuia mikwaruzo kwenye utumbo hivyo kuzuia vidonda vya tumbo.

Husaidia wagonjwa wa Anaemia

Anaemia kitaalamu ni ugonjwa unaosababishwa na upungufu wa madini ya chuma mwilini, madini hayo husaidia kwenye uzalishaji wa chembechembe za damu nyekukundu ambazo huhitajika kwa wingi mwilini.

Ndizi zina madini ya chuma ambayo huwasaidia wagonjwa wa Anaemia kwa sababu madini ya chuma husukuma uzalishaji wa ‘Haemoglobin’. Hivyo huongeza chembechembe nyekundu za damu na kuongeza mzunguko wa damu mwilini.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Tazara, Near Mfugale Fly Over
Dar Es Salaam