Dr Maryam Mussa
Karibu kwenye ukurasa huu kupata suluhisho la magonjwa sugu yasioambukizwa
19/06/2024
Mwanaume Nisikilize Kwa Umakini Sana. K**a Uko Serious Na Kuondokana Na Changamoto Za Nguvu Za Kiume Ni Lazima Kufuata Utaratibu Wa Matibabu. ACHA KUTAFUTA NA KUTUMIA DAWA BILA KUFAHAMU CHANGAMOTO YAKO VIZURI.
USIDANGANYIKE! Hakuna Dawa Ya Kuboost Ya Kupaka Wala Ya Kunywa Inayomaliza Changamoto Za Nguvu Za Kiume, Pasipo Kufuata Utaratibu Wa Matibabu.
Ukiwa Na Changamoto Za Nguvu Za Kiume Fuata Utaratibu Huu Wa Matibabu Kwa Makini Kabisa Itakusaidia Kwa 100%.
👉 Fanya Vipimo Sahihi Vya Uzazi. Vipimo Hivi Vitahusisha;
✅ Afya Ya Misuli na Mishipa Inayopitisha Damu Hadi Kwenye Uume (Hii Ni Msaada Kwa Walioathirika Na Punyeto Pia),
✅ Homoni Ya Kiume (TESTOSTERONE) - Hii Ikiwa Kwa Kiwango Cha Chini Ni Athari Kwa Afya Ya Mwanaume,
✅ Uwezo Wa Kusimamisha (ER****ON TRANSMITTER) - K**a Uwezo Wa Kusimamisha Uko Chini Lazima Uathiri Uanaume Wako,
✅ Magonjwa Yanayoathiri Afya Ya Mwanaume (Moyo, Ini, Bawasiri, Figo, Vidonda Vya Tumbo, Presha, Kisukari n.k)
✅ Wingi Na Uimara Wa Mbegu Za Kiume. Ni Lazima Kufanya Vipimo Hivi Wewe Mwanaume Mwenye Changamoto Ya Nguvu Za Kiume Kabla Hujatumia Dawa Yoyote Ile.
👉 Kula Vyakula Vyenye Madini Mengi Hasa Madini Chuma, Calcium, Protein Na Zinc. Vyakula K**a Samaki Wa Omega 3, Karanga, Korosho, Tangawizi, Vitunguu Swaumu, Nafaka Zisizokobolewa Zote Na Matunda Tofauti Tofauti K**a Parachichi, Ndizi n.k.
Vyakula Na Matunda Hayo Huboresha Mzunguko Wa Damu Na Kuongeza Madini Muhimu Mwilini.
👉 Acha Mitindo Hatarishi Inayoathiri Uanaume Wako. ACHA PUNYETO! PUNGUZA STRESS KABISA! ISHI MAISHA YA FURAHA NA FANYA KAZI ZAKO KWA BIDII.
MUHIMU
👉 USITUMIE KABISA DAWA ZA KUBOOST ILI KUWA NA NGUVU ZA MUDA MFUPI ZINAZIDI KUKUATHIRI.
K**a unahitaji msaada zaidi baada ya kuathirika na ukosefu wa nguvu za kiume na punyeto nipo tayari kukusaidia kwa kufuata utaratibu wa matibabu kwa kuanza na vipimo vya mfumo wa uzazi nilivyozungumzia hapo juu kwa thamani ndogo sana kwa vituo vyetu vyote vya afya.
Jisajili kupata huduma ya vipimo sahihi vya afya ya mwanaume kwa thamani ya tsh 30,000 tu program maalumu ya kuwa imara kiume na kuongeza ubora wa mbegu za kiume na matibabu yanayofuata utaratibu kwa kuwasiliana nasi hapa chini. 👇
0748576640
Au bonyeza neno WHATSAPP hapo chini sasahivi kupata nafasi hii adhimu. Mwenye changamoto ya nguvu za kiume unahitaji msaada wa haraka sasahivi.
0748576640
MWANAMKE NI LAZIMA UWE MAKINI SANA UNAPOTAFUTA SULUHU LA CHANGAMOTO ZA UZAZI ZINAZOKUSUMBUA KWA MUDA MREFU
Matatizo mengi sana ya wanawake yana dalili za kufanana, yana vyanzo vinavyofanana fanana (baadhi ya changamoto) na matokeo yake huwa yanaonekana kufanana na hiyo ndio sababu wanawake wengi hawaponi changamoto za mfumo wa uzazi kwani wanatumia dawa nyingi wakidhani wanafahamu changamoto zao vizuri lakini kumbe hawafahamu kabisa.
K**a mwanamke una changamoto za kiafya hasa afya ya uzazi, karibu sana kwenye vituo vyetu vya afya vya Gcat Health Clinic vinavyopatikana kwenye zaidi ya mikoa 15 Tanzania kupata suluhu la changamoto yako.
Tunatibu changamoto nyingi za afya ya uzazi wa mwanamke k**a;
👉 P.I.D
👉 Kuvurugika kwa homoni za uzazi (hormone imbalance)
👉 Kutokwa na uchafu sehemu za siri wenye harufu mbaya sana
👉 Fangasi ukeni na uke kuwa mkavu
👉 Mvurugiko wa siku za hedhi
👉 Maumivu makali sana ya tumbo na maumivu ya kiuno mara kwa mara
👉 Mimba kuharibika
👉 Uvimbe kwenye kizazi
👉 Mirija ya uzazi kuziba
👉 Maambukizi kwenye mfumo mzima wa uzazi
👉 Kukosa hamu ya tendo la ndoa
👉 Ovarian cyst na mayai ya uzazi kutokukomaa
Na kubwa zaidi......
👉 KUKOSA UJAUZITO KWA MUDA MREFU
K**a una dalili za changamoto tajwa hapo juu na nyingine nyingi, wasiliana nasi sasahivi kwa suluhisho la kudumu kwani;
✅️ Utafanya vipimo vya mfumo mzima wa uzazi ili kufahamu changamoto yako vizuri kwa thamani ndogo ya tsh 20,000 tu! Ndio ni tsh elfu ishirini tu (pasipo vipimo sahihi ni sawa na kuotea ugonjwa tu).
✅️ Utapata matibabu sahihi kutokana na majibu ya vipimo vya uzazi utakavyofanya.
Sisi ni daraja la afya yako njema ya uzazi, Mungu unayemuamini azidi kukupa afya njema wewe na uzao wako.
Dr. Maryam M***a
0748576640
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Majumbasita
Dar Es Salaam