Dr. Shaban Amiri

Dr. Shaban Amiri

Share

Tunatibu Kwa Tiba Asili na Kutoa Ushauri Bure kabisa kwa Wagonjwa

22/01/2024

BAWASIRI INATIBIKA BILA OPERATION.

‼️•Tumia muda wako
SOMA HADI MWISO•

🍇UFAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI NA TIBA YAKE.
(Miwasho uvimbe na maumivu Katika sehemu ya haja kubwa)HEMORRHOIDS.

Bawasiri ni ugonjwa ambao unatokana na kuathirika kwa mishipa ya sehemu ya ndani na nje ya haja kubwa na kupelekea wakati mwingine kutoa damu na maumivu wakati wa haja kubwa,
Mara nyingi tatzo hili huwapata watu kuanzia umri wa miaka 25-70.
Ila kwa sasa ugonjwa huu unawaathili mbaka watoto wa umri wachini kabisa.
BAWASIRI YA NDANI.
Hiki ni kinyama kinacho ota ndani kabla ya kutoka nje.
➡️Huanza kwa mtu kukosa choo maumivu makali wakati wa kijisaidia
➡️pia uvimbe huanza kujitengeneza kwa kutoka ndani ya tundu la haja kubwa hasa pale wa Kati wakujisaidia

BAWASIRI YA NJE
➡️Hi ni ambayo hujitokeza sehemu ya nje ya tundu moja kwa moja baada ya ndani kujiimarisha vizuri.
Bawasiri ni tatizo linalo anzia kwenye mfumo wa mmeng'enyo wa chakula, huu mfumo ukiwa mmbovu upelekea misuli ya haja kubwa kutanuka, hivyo husababisha kuanza kusikia maumivu na miwasho kwa ndani.

Bawasiri huweza kusababishwa pia na
➡️ Kufanya mapenz kinyume na maumbile
➡️ujauzito
➡️kuhara kwa muda mrefu
➡️kutopata choo kwa muda mrefu

🍇DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI

-kujisaidia choo chenye harufu Kali
-kupumua na kushindwa kuzuia kinyesi pale unapo pumua(kujamba).

-Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia

-Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa

-Kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)

-Kijiuvimbe katika eneo la tundu(mlango)wa kutolea haja kubwa.

-Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha.

-Bawasir kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa

🍇MADHARA YA BAWASIRI
➡️upungufu was damu mwilini
➡️kupata maumivu makali wakati was kujisaidia
➡️kutopata hamu ya tendo la ndoa kwa jinsia zote
➡️Kuathirika kisaikolojia na kupelekea kutojiamini katika hadhara ya watu hasa pale miwasho inapo zidi.

1)Tiba yake hospital ugonjwa huu ni operation,kukata uvimbe ili usiendelee kukua
2)Tiba hiyo huwa chanamgamoto ya kujirudia tena baada ya muda Fulani,
3)pia upelekea maumivu makali kwa mgonjwa na kutokwa na damu mara kwa Mara

MATIBABU YA TIBA ASILI

Tunatibu ugonjwa wa bawasiri bila operation na unapona kabisa bila kujirudia tena na Tunatowa ushauri kwa wagonjwa

_Kwanza Mgonjwa wa Bawasiri anatakiwa kufahamu ya kwamba,matibabu si dawa pekee.Watu wengi wanaamin kwamba matibabu ni dawa pekee na jambo hili limepelekea wengi kuteseka na matatzo kwa muda mrefu sana bila mafanikio na kupelekea kukata tamaa ya kutafuta tiba na badala yake humuona kila mtoa huduma ni tapeli_

Zifuatazo ni sababu zinazowafanya wagonjwa wengi kuteseka na Bawasiri kwa muda mrefu licha ya kutumia dawa mbali mbali:

1.Kutopata dawa sahihi
-Si kila dawa inayotangazwa kutibu Bawasiri inaweza kutibu Bawasiri bali dawa yenye ufanisi wa kutibu ndio inaweza kutibu Bawasiri.

2.Kutofuata ushaur wa daktari.
-Usipofuata yale ambayo daktari anakuelekeza ili kupata suluhisho la Tatzo lako ni ngumu kupona tatzo lako.

3. Kutoziacha sababu zilizopelekea upate Bawasiri. Katika hili wengi wamefeli kwani haiwezekani ukapona Bawasiri ikiwa sababu zilizopelekea upate Bawasiri hutaki kuziacha mfano;
-Pombe
-Uzito mkubwa
-Ulaji mbovu
-Kuingiliwa kinyume
-Kula sana pilipili
-Kukaa sana chini
-Kunyanyua vitu vizito
-Kutotibu Magonjwa k**a Ngiri na Vidonda vya TUMBO
-Kutokula vyakula vya kulainisha choo k**a vile Mboga za majani & matunda
-Kula udongo(wajawazito)
-Kujisaidia kwenye vyoo vya kukaa.
-Kuharisha mara kwa mara
-Kujisaidia choo Kigumu

Hata utumie dawa zaid ya 100,usipoziacha sababu hizo ni ngumu sana kupona Bawasiri na matokea yake kila mtoa tiba utamuona Tapeli kumbe sababu ni wewe mwenyewe kutofuata miongozo,maelekezo na USHAURI kutoka kwa daktar

Kwa Tiba na Ushauri wasiliana na Dr. Shaaban

☎ +255 0653 316 892
✅ WhatsApp

22/01/2024

Karibu CARE & CURE HERBAL CLINIC

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Kipati
Dar Es Salaam