Ukuu wa mungu

Ukuu wa mungu

Share

ABOUT BF SUMA
Anza leo!! Mabadiriko yanaanza na wewe
kazi kwako! Dr. Emmanuel Theophilo
+255767595644

13/01/2024

, umechoka kufanya kazi usiku na mchana na kuishia kupata haba?

Je, umechoka kuhairisha shughuli za kubudurika na wale uwapendao kisa hupati ?

Je, uko tayari kujituma na kufanya kazi kwa bidii kwenye biashara yako inayoweza kubadili maisha yako?

Ondoa shaka, ndio funguo wa kutimiza ndoto zako na zaidi!

Itakupa vitu fifuatavyo
MZURI
ZA KIMATAIFA KILA MWAKA BURE
ZA KIFAHARI BURE
NZURI BURE.

Hayo yote unayapata baada ya kuanza kazi na kufikia lenki flani katika biashara yetu hii.

Kufahamu zaidi 0767 595 644

ni nini?
BF SUMA
✨Bright Future
✨Superior
✨Unique
✨Manufacturer of America
Hii ni kampuni inayozalisha DAWA MBADALA ZA KIASILI zenye ubora wa hali ya juu, ubora wa kimataifa.
Kampuni ilianza mwaka 1993 mjini Hong Kong ikizalisha dawa mbadala za mifupa.
Baada ya muda mfupi, kampuni ilisambaa hadi Marekani kwa sababu ya UZALISHAJI WAKE WA KIPEKEE.
Kampuni iliendelea kusambaa haraka duniani kote kwa sababu ya UBORA WA BIDHAA ZAKE. Iliingia Tanzania Febuari 2012.
Unataka kujua zaidi kuhusu BF SUMA?
Basi endelea kusoma hapo chini!
Au piga simu +255767595644

malengo ya BF SUMA?
1. Kukufanya wewe uwe na AFYA BORA
2. KUKUONGEZEA KIPATO
Utapataje KIPATO kupitia BF SUMA?

Usambazaji wa bidhaa za BF SUMA unatumia mfumo wa mtandao(network marketing). Nini maana ya network marketing?

Mfumo wa mtandao wa BF SUMA unakuruhusu kufurahia FAIDA ZA kiafya za bidhaa zake, KUPATA FAIDA kwa kuuza bidhaa zake na pia KUPATA MAPATO NA MARUPURUPU!

Unapataje haya mapato na marupurupu?
Mapato na Marupurupu yanagawiwa kulingana na zako na za watu walio chini yako. Pesa utakayopata pia itatofautiana kulingana na cheo ulichonacho. Picha hapo chini inaonesha vyeo(ranks) vya usambazaji.
Kwa kila cheo unapata kiasi gani cha mapato?

KUSOMA KWA MAKINI SEHEMU INAYOFUATA.
POINTI 1 = DOLA 1 ILIYOTUMIKA KUNUNUA BIDHAA YA BF SUMA

KUNDI LAKO NI WATU WALIO CHINI YAKO KATIKA MTANDAO.

Kwa cheo cha '1 Star':
Cheo hiki utakipata pale utakapojiunga k**a msambazaji wa BF SUMA.
Utakuwa hujanunua bidhaa yoyote ya BF SUMA na hivyo hakutakuwa na mapato yoyote.

Kwa cheo cha '2 Star':
Cheo hiki utakipata pale k**a:
-Umenunua bidhaa zenye jumla ya *pointi 20* na zaidi kwa mwezi huo.
-Utakuwa bado huna mtu chini yako.

BF SUMA itakulipa 5% ya pointi zako.

Kwa cheo cha '3 Star':
Cheo hiki utakipata k**a:
-Umenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 20 na zaidi kwa mwezi huo.
-Wewe pamoja na kundi lako mmenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 300 na zaidi, tangu ulivojiunga na BF SUMA.

BF SUMA itakulipa 9% ya jumla ya pointi zako na za kundi lako.

Kwa cheo cha '4 Star':
Cheo hiki utakipata k**a:
-Umenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 30 na zaidi kwa mwezi huo.
-Wewe pamoja na kundi lako mmenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 1000 na zaidi, tangu ulivojiunga na BF SUMA.

BF SUMA itakulipa 13% ya jumla ya pointi zako na za kundi lako.

Kwa cheo cha '5 Star':
Cheo hiki utakipata k**a:
-Umenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 40 na zaidi kwa mwezi huo.
-Wewe pamoja na kundi lako mmenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 5000 na zaidi, tangu ulivojiunga na BF SUMA.

BF SUMA itakulipa 17% ya jumla ya pointi zako na za kundi lako.

Mfano: K**a pointi zote ni 5100 malipo yatakuwa:
17% mara 5100= DOLA 867 sawa na TSHS 1,387,200 KWA MWEZI!!

Kwa cheo cha '6 Star':
Cheo hiki utakipata k**a:
-Umenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 50 na zaidi kwa mwezi huo.
-Wewe pamoja na kundi lako mmenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 8000, tangu ulivojiunga na BF SUMA.

BF SUMA itakulipa 22% ya jumla ya pointi zako na za kundi lako.

Kwa cheo cha 'Leader':
Cheo hiki utakipata k**a:
-Umenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 50 na zaidi kwa mwezi huo.
-Wewe pamoja na kundi lako mmenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 12000 na zaidi, tangu ulivojiunga na BF SUMA.

BF SUMA itakulipa 28% ya jumla ya pointi zako na za kundi lako.

Mfano: K**a pointi ni 13,000 malipo yatakuwa:
28% mara 13,000= DOLA 3,640 sawa na TSHS. 5,824,000 KWA MWEZI!!

cheo cha 'Senior Leader':
Cheo hiki utakipata k**a:
-Umenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 100 na zaidi kwa mwezi huo.
-Una mtu mmoja(1) mwenye cheo cha 'Leader' katika kundi lako.

SUMA itakulipa 28% ya jumla ya pointi zako na za kundi lako.
Pia utapata bonasi ya 5% ya jumla ya pointi za huyo Leader wa chini yako na watu walio chini yake.

Kwa cheo cha 'Diamond Leader':
Cheo hiki utakipata k**a:
-Umenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 100 na zaidi kwa mwezi huo.
-Una 'Leader' wawili(2) katika kundi lako.

BF SUMA itakulipa 28% ya jumla ya pointi zako na za kundi lako.
Pia utapata bonasi ya kulipiwa safari BURE na BF SUMA pamoja na bonasi zote za vyeo vilivopita.

Kwa cheo cha 'Senior Diamond Leader':
Cheo hiki utakipata k**a:
-Umenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 100 na zaidi kwa mwezi huo.
-Una 'Leader' watatu(3) katika kundi lako.

BF SUMA itakulipa 28% ya jumla ya pointi zako na za kundi lako.
Pia utapata bonasi ya kununuliwa gari BURE na BF SUMA pamoja na bonasi zote vyeo vilivopita.

Kwa cheo cha 'Crown Leader':
Cheo hiki utakipata k**a:
-Umenunua bidhaa zenye jumla ya pointi 100 na zaidi kwa mwezi huo.
-Una 'Leader' wanne(4) katika kundi lako.

SUMA itakulipa 28% ya jumla ya pointi zako na za kundi lako.
Pia utapata bonasi ya kugharamia kujenga au kununua nyumba BURE na BF SUMA pamoja na bonasi zote za vyeo vilivopita.
Pia utakuwa kati ya wale watakaopewa 3% ya faida ya mauzo ya kanda ya Africa!!

Kwa cheo cha 'Senior Crown Leader':
Cheo hiki utakipata k**a:
-Umenunua bidhaa zenye jumla ya *pointi 100* na zaidi kwa mwezi huo.
-Una 'Leader' watano(5) katika kundi lako.

BF SUMA itakulipa 28% ya jumla ya pointi zako na za kundi lako.
Pia utakuwa kati ya wale watakaopewa 1.5% ya faida ya mauzo ya DUNIA!!
Pia utapata bonasi zote za vyeo vilivopita.

MALIPO YOTE HULIPWA KWA DOLA ZA KIMAREKANI.
```MALIPO HULIPWA KWA MWEZI.```

K**a una maswali yoyote kuhusiana na mfumo wa malipo, wasiliana nasi:
Simu: +255 767595644
+255621217832 WhatsApp

maajabu ya mfumo huu!

Nchini Kenya, mwanamama mmoja huingiza 13,000 KWA MWEZI k**a mapato!!

Hapahapa Tanzania, baba mmoja aitwaye Mr. John aliingiza 2,100 NDANI YA WIKI 3!! Leo anaingiza zaidi ya DOLA 9,000 KWA MWEZI!! Na hiyo ni baada ya kujiunga na mfumo huu KWA MIEZI 5 TU!!

Pia wewe waweza kuwa mmoja wa wale watakaotoa ushuhuda hapo juu.

HATUA SASA NA BADILI MAISHA YAKO!!
```HAKUNA KIKOMO CHA MAPATO!!!```

Pia kuna BONASI k**a:
1. MFUKO MAALUMU KWA AJILI YA SAFARI BURE!!
Je wataka kusafiri daraja la kwanza kwenye ndege?
Je wataka kulala kwenye hoteli yenye hadhi ya nyota 5?
Fanya safari yako iwe vile upendavyo!! Malipo yote yatafanywa na kampuni!!!
Bonasi hii ni yako ukiwa na cheo cha 'Diamond Leader' na kuendelea!
UTAPOKEA HADI DOLA 3000!!!

2. MFUKO MAALUMU KWA AJILI YA GARI BURE!!
Je, wataka kutimiza ndoto yako ya kumiliki GARI LA KIFAHARI??? Weka order tu!! Kampuni italilipia KABISA gari lako!!

Bonasi hii ya kushangaza ni yako ukiwa na cheo cha 'Senior Diamond Leader' na zaidi!
POKEA GARI LENYE THAMANI YA HADI DOLA 25,000 BURE!!!

3. MAALUMU WA NYUMBA BURE!!
Wataka kufanya ndoto yako ya kumiliki nyumba bora na ya kifahari kuwa kweli? Pata nyumba yako sasa!! Kampuni italipia KILA KITU!!

Bonasi hii ni YAKO ukiwa na cheo cha 'Crown Leader' na kuendelea!!
HADI DOLA 300,000 KWA AJILI YA NYUMBA YAKO!!

4. BONASI YA 'CROWN LEADER'!!
Bonasi hii ni yako ukifika cheo cha 'Crown Leader'! ```UTAKUWA NA HAKI YA KUPATA 3% YA FAIDA KATIKA KANDA YAKO!!```

5. BONASI YA 'SENIOR CROWN LEADER'!!
Bonasi hii ni yako ukiwa ma cheo cha 'Senior Crown Leader'!!
UTAKUWA NA HAKI YA ASILIMIA 1.5 YA FAIDA YA BF SUMA DUNIANI KOTE!!
```UNAKUWA K**A MMOJA WA WAMILIKI!!``` (SHAREHOLDER)

, MARUPURUPU, BONASI ZOTE HIZI NI ZAKO!!
```UNANGOJEA NINI??
JIUNGE NASI LEO!!```

LEO na POKEA KIFURUSHI CHAKO CHA BURE CHA BF SUMA!!!
Kifurushi hiki cha BURE kina:
1. Kijitabu chenye orodha na maelezo kuhusu dawa za BF SUMA
2. Kijitabu cha mpango bora wa kibiashara kwa ajili yako
3. Utachagua bidhaa 1 au zaidi yenye point 20 na kuendea na hivyo utapata nafasi ya kuingia star 2'
4. Badge maalumu ya BF SUMA
5. Kitambulisho k**a msambazaji wa BF SUMA

6. BOKSI 1 LA #'REISHI COFFEE' BURE!!!

Kahawa hii muruwa na ya kiasili itakupa uchangamfu na kukujaza virutubisho!!

Je, upo tayari kubadili maisha yako leo kwa kuwa sehemu ya familia ya usambazaji wa BF SUMA??

nasi SASA na uanze maisha yenye AFYA BORA na KIPATO ZAIDI.
Tupigie: +255 767595645

Kujiunga ni Tshs. 150,000 TU!!
```HUTATOZWA PESA TENA!!```
JIUNGE LEO UPATE '4 IN 1 REISHI COFFEE' YENYE THAMANI YA Tshs. 31,000 BURE!!!
MAISHA YAKO LEO!!

Je, upo nje ya Tanzania? Wasiliana nasi ili uweze kujua jinsi ya kujiunga na familia hii yenye manufaa makubwa!

Je we u mwanachama wa kikundi chochote cha maendeleo? Tunatoa semina BURE!! Wasiliana nasi tufanyie semina kikundi chako popote mlipo!!

Je, unataka tuje kufanya semina mahali ulipo? Wasiliana nasi! Tunatoa semina popote ulipo!!

Je, una maswali yoyote kuhusiana na BF SUMA? Wasiliana nasi na uliza! Tupo muda wote kwa ajili yako!

Waweza kupiga simu
+255767595644
+255621217832

YA KUFANYA NDOTO ZAKO ZOTE ZIWE KWELI NI HII* HAPA!!
!!
```JIUNGE NA FAMILIA YETU SASA!!```

Majina ya watoa shuhuda yamebadilishwa kuwalinda

Ni Mimi mwandishi wako Dkt. Emmanuel Theophilo
+255767595644
+255621217832
+255759560018
+255787871752
+255695059918

TUNAPATIKANA MIKOA IFUATAYO

Dar es salaam
Morogoro
Mwanza
Arusha
Mbeya
Dodoma
Kigoma
Iringa
Bukoba
Tabora
Moshi
Njombe
Msoma
Zanzibar

YANAANZA NA WEWE
0767595644
0621217832 WhatsApp

10/01/2024

Je, umechoka kufanya kazi usiku na mchana na kuishia kupata haba?

Je, umechoka kuhairisha shughuli za kubudurika na wale uwapendao kisa hupati ?

Je, uko tayari kujituma na kufanya kazi kwa bidii kwenye biashara yako inayoweza kubadili maisha yako?

Ondoa shaka, ndio funguo wa kutimiza ndoto zako na zaidi!

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address


Dar Es Salaam