KOMBE Herbal Clinic

KOMBE Herbal Clinic

Share

KOMBE HERBAL CLINIC
TUNATIBU MAGONJWA YAFUATAYO KWA KUTUMIA MIMEA NA MATUNDA TIBA:KUTOKWA NA UCHAFU UKENI, PUMU, UGUMBA JINSIA ZOTE n.k.......

23/03/2025

VITU VINAVYOSABABISHA MWANAMKE KUSHINDWA KUPATA MIMBA NI;*
1.Kutokuwa na uwiano mzuri wa homoni (Hormonal Imbalance)
2.Ovaries kushindwa kutoa mayai au kua na uvimbe ( Ovarian cyst)
3.Kuziba kwa mirija ya uzazi
4.Mirija ya uzazi kujaa maji
5.Uvimbe katika kizazi (uterine fibroid)
6Magonjwa k**a vile PID,
7.Endometriosis:-Hii ni hali ambayo seli za ndani ya mfuko wa uzazi huanza kuota nje ya fuko hilo au hata sehemu nyingine.
Hizo hapo ni baadhi ya sababu zinazoweza kusababisha mwanamke asipate ujauzito.
*DALILI*
1.Mwanamke anayesumbuliwa na maumivu chini ya tumbo mara kwa mara naye yupo katika hatari hii kwani upo uwezekano wa kuathiri mirija yake ya uzazi na ikaziba kabisa, mzunguko wa hedhi unavurugika na kupoteza hamu ya tendo la ndoa
2.Wanawake wengine hupata maumivu ya kiuno na tumbo kwa muda mrefu sio dalili nzuri, matiti au chuchu kutoa maziwa pia huathiri kwa kiasi kikubwa uzazi na inakua vigumu kupata ujauzito hasa kwa wasichana
3.Maumivu wakati wa hedhi pia si dalili njema katika mfumo wa uzazi kwani inaweza kuwa una maambukizi sugu ya kizazi (chronic pid), uvimbe katika kizazi (uterine fibroid) na nyinginezo.
AINA ZA TIBA
unaweza jitibia tatizo hili kupitia mimea asilia... aina zote mimea na miti ya matunda nidawa pia mimea mingi Mungu katujalia ni dawa kuondosha tatizo hili...
Kuna dawa a kutibia tatizo hili
1. Chukua mbegu ya parachichi la kienyeji (HASS) saga upate unga wake kisa saga unga wa tangawizi changanya na asali ya nyuki wadogo (iwe original) ... DAWA hii itakusaidia kuweka sawa mzunguko wako. ( UKIKOSA UJE OFISINI UNAPATIKANA KWA HARAKA
Pia tumekuandalia dawa inaitwa REHEMA MIX dawa hii hugusa maeneo yote ya mfumo wa uzazi na kutibu maradhi yote na kukuwezesha kushika ujauzito...
kwa maelezo zaidi Nipigie Simu namba 0713 234 444
Tupo Dar Es Salaam Mbezi Magari Saba karibu na chuo cha St. Joseph

26/10/2024

Magonjwa yanayotibiwa na kitunguu swaumu.
Na
Dokta Kombe
Kutoka Kombe herbal Clinic Kimara stop Over

Kitunguu swaumu ni jamii ya vitunguu ambayo kwa kitaaluma, huitwa allium sativum au Allium cepa .

Jamii hii ilianza kutumika katika mabara mbalimbali duniani hususani Asia, Afrika na Ulaya takribani miaka 6000 iliyopita.

Matumizi makuu nyakati hizo yakiwa viungo katika mboga na tiba.

Kitunguu swaumu kimetajwa kwenye vitabu mbalimbali vya dini vikielezea faida zake katika kutibu maradhi mbalimbali yasababishwayo na
Bakteria,
Matatizo katika mapafu,
Matatizo katika mfumo wa umengโ€™enyaji chakula,
Matatizo ya kuishiwa nguvu. n.k

Chukuwa kitunguu swaumu kimoja
Kigawanyishe katika punje punje 6
Menya punje moja baada ya nyingine
Kisha vikatekate vipande vidogo vidogo sana na kisu na uache hivyo katika hewa kwa dakika 10
Meza k**a unavyomeza dawa na maji nusu lita kila unapoenda kulala.

Namna nyingine nzuri zaidi ni kuviweka ndani ya kikombe kimoja (robo lita) cha mtindi koroga vizuri na unywe na hii itakusaidia kupunguza harufu mbaya ya kitunguu swaumu huku ukipata faida nyingine muhimu zilizomo kwenye mtindi.

Fanya hivi kila siku au kila mara unapopata nafasi na hivyo utakuwa mbali na kuuguwauguwa.
Haya ni baadhi ya magonjwa yaliyothibitika kutibika na yanatibika au kukingika na kitunguu swaumu:

(1) Huondoa sumu mwilini,
(2) Husafisha tumbo,
(3) Huyeyusha mafuta mwilini (Cholestrol),
(4) Husafisha njia ya mkojo na kutibu U.T.I,
(5) Hutibu amoeba,
(6) Minyoo na Bakteria wengine,
(7) Huzuia kuhara damu (Dysentry),
(8) Huondoa Gesi tumboni,
(9) Hutibu msokoto wa tumbo,
(10) Hutibu Typhoid,
(11) Huondoa mabaka mabaka kwenye ngozi,
(12) Hutibu mafua na malaria,
(13) Huzuia meno kungโ€™ooka na kutuliza maumivu,
(14) Huongeza SANA nguvu za kiume pia hutibu uanithi (kushindwa kusimama kabisa uume),
(15) Hutibu maumivu ya kichwa,
(16) Hutibu kizunguzungu,
(17) Hutibu shinikizo la juu la damu,
(18) Huzuia /kinga ya saratani/kansa,
(19) Hutibu maumivu ya jongo/gout,
(20) Huuongezea nguvu mfumo wa mmengโ€™enyo wa chakula,
(21) Huongeza hamu ya kula,
(22) Huzuia damu kuganda,
(23) Husaidia kutibu kisukari,
(24) Husaidia kutibu tatizo la kukosa usingizi
(25) kinaondoa msongo wa mawazo/stress na kukufanya uishi miaka mingi
(26) Mba ya ngozi
(27) Jipu lililofungwa na lililowazi
(28) vidonda vya kuungua moto
(29) Maambukizi ya sikio
(30) Upungufu wa vitamins

Kwa Elimu k**a hizi nyingi jiunge kwenye Page yetu ingia Google andika neno "Kombe herbal clinic" kisha like page au YouTube na Instagram Kwa Nina hilo hilo Au bonyeza link hii utajiunga.
https://www.facebook.com/kombeher/

Pia Kombe herbal clinic

TUNATIBU
1) U.t.I sugu inayojirudiarudia
2) Fangasi(miwasho mwilini)
3) Nguvu za kiume Kwa dozi 1 tu.
4) Uzazi
5) Utokwaji Wa Uchafu k**a maziwa mtindi ukeni tena Kwa dozi 1 tu.
6) Tezi dume
7) Sukari
8)Presha
9) Vidonda vya tumbo
10) Pumu
11) Vimbe mbalimbali
12) Maumivu makali wakati Wa hedhi/kupitiliza na kutokuona kabisa
13) Bawasili n.k

06/09/2023

Habari? Kombe herbal clinic inapenda kukukumbusha kuwa ofisi zetu bado zipo kimara stop over na tunapatikana siku zote za wiki kuanzia saa 2 asubuhi hadi saa 12 jioni karibuni Sana.

18/08/2023

I๐—ท๐˜‚๐—ฒ ๐˜๐—ฒ๐˜‡๐—ถ ๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ฒ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐˜‚๐—ป๐—ฑ๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐—น๐—ฒ๐—ผ (๐—ฝ๐—ฟ๐—ผ๐˜€๐˜๐—ฎ๐˜๐—ฒ ๐—ด๐—น๐—ฎ๐—ป๐—ฑ)!!
Prostate gland ni tezi ambayo inapatikana katika mfumo wa uzazi wa wakina baba na ipo kwa maumbile ya duara chini ya kibofu cha mkojo na vile vile ipo katikati ya mrija wa haja ndogo (urethra) pamoja na njia ya haja kubwa (re**um)!!!

Na kazi kubwa ya tezi hii ni kusaidia kutengeneza majimaji ya uzazi manii(semen) ambayo husafirisha mbegu (s***m) kutoka kwenye korodani na kupeleka mbegu hizo kwenye via vya uzazi vya mwanamke ili kufanikisha utaratibu wa fertilization!!!!

Lakini kwa sasa kumekuwa na tatizo kubwa ambalo wanaume wengi na kwa rika zote hukutana nalo tatizo la tezi dume !!

Tezi dume ni maambukizi ya bacteria kwenye hii tezi ambayo hupelekea kuleta inflamation yaani maambukizi ambayo hupelekea kubadilisha ukubwa wa maumbile wa ile tezi na ndio mtu anakuwa anapata tatizo la tezi dume kitaalam tunaita (prostatitis) !!!

๐—ฆ๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜‡๐—ฎ ๐˜‚๐—ด๐—ผ๐—ป๐—ท๐˜„๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐˜‚ !!
1.utu uzima
-watu kuanzia miaka hamsini na kuendelea wako hatarini zaidi.

2.maambukizi ya bacteria kwenye njia ya haja ndogo (urethra)
-hii inaweza kusababishwa na shida UTI isioyoisha (chronic UTI)
-maambukizi ya magonjwa ya zinaa k**a vile gonorrhea na kaswende !

3.uvimbe kweny tezi dume
-hii inaweza tokana na kugongwa via vya uzazi,uvimbe kwenye kizazi n.k

4.kushiriki tendo la ndoa kinyume na maumbile
-hii inachangia kwa aslimia kubwa vijana kwa wazee kuathirika na tatizo hili la tezi dume

๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐˜‡๐—ฎ ๐˜๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜‡๐—ผ ๐—ต๐—ถ๐—น๐—ถ:-
1.maumivu wakati wa kupata haja ndogo
2.kupata haja ndogo kwa tabu
3.kwenda haja ndogo mara kwa mara na mara nyingi usiku
4.haja ndongo kutoka kidogo kidogo
5.kutoa uchafu kwenye njia ya haja ndongo
6.kutokwa damu kwenye njia ya haja ndogo
7. Maumivu ya tumbo chini ya kitovu ama kwenye kitovu
8.maumivu kwenye korodani na hata nyuma ya njia ya haja kubwa
9.choo kigumu (constipation)
10.maumivi kwenye uume
11.maumivu wakati wa kumaliza tendo (enjaculation pain)

๐—ž๐˜„๐—ฎ mawasiliano p๐—ถ๐—ด๐—ฎ,๐˜€๐—บ๐˜€,๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—”๐—ฝ๐—ฝ ๐—ป๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐—ฒ๐—ฟ

+๐Ÿฎ๐Ÿฑ๐Ÿฑ ๐Ÿณ13234444

15/06/2023

NINI KINAKUFANYA UKOSE AMANI?
TUPIGIE TUTAKUSAIDIA 0713234444

14/12/2022

FAIDA ZA MDALASINI

(1) MATATIZO YA MOYO
Badala ya kutumia siagi na jam kwenye mkate pakaza asali na mdalasini ya unga na kula k**a kifungua kinywa asubuhi. Inasadikika kuwa husaidia kuepuka kuziba mirija ya damu ya kwenye moyo, mshtuko wa moyo na kujaa mafuta kwenye mirija ya damu

(2) BARIDI YABISI AU KUPOOZA
Pakaza mafuta sehemu iliyoathirika na uchue pole pole. Na fanya chai ya asali na mdalasini na unywe kila siku kupunguza maumivu ya viungo

(3) NYWELE ZENYE KUTOKA/KUKATIKA

Changanya mafuta ya moto ya zaituni, asali kijiko 1 cha kula na mdalasini ya unga kijiko 1 cha chai pakaza kwenye nywele kaa nayo kwa dakika 15 kisha osha nywele

(4) MAAMBUKIZI YA KIBOFU
Changanya mdalasini ya unga kijiko 1 cha chai, asali 1/2 kijiko cha chai na maji ya uvuguvugu na unywe. Hii husaidia kuondoa bakteria waliokuwepo kwenye mfumo wa mkojo

(5) MAUMIVU YA JINO
Pakaza mchanganyiko wa asali na mdalasini ya unga kwenue jino linalouma

(6) MAFUTA MWILINI
Tia asali na mdalasini ya unga kwenye maji ya moto au chai ya majani ya kijani(green tea) na unywe

(7) MAFUA/KIFUA
Chukua maji ya asali ya moto kiasi (asali ilochanganywa na maji) pamoja na mdalasini ya unga kidogo na unywe inasaidia kuupa mwili kinga zidi ya maradhi hasa kwa kipindi cha baridi

(8) KUVIMBIWA
Tia unga wa mdalasini kiasi kwenye kijiko cha asali na ule kabla hujala kitu hii husaidia kupunguza kiungulia na kuepuka kuvimbiwa
(9) MAISHA MAREFU

Kawaida tunashauriwa kunywa chai iliyotengenezwa pamoja na asali na mdalasini ya unga kuimarisha kinga ya mwili na kuilinda na bakteria na maradhi mengineyo
PIA K**A UNA SHIDA ZINGINE TUPIGIE
KOMBE HERBAL CLINIC 0713234444 TUPO DAR ES SALAAM

07/10/2022

DAWA YA FANGUS ZA VIDOLENI (miguuni na mikononi)

Dawa ya kutibu fangus za mikononi na miguuni ni asali mbichi.

Tafuta asali mbichi uwe unapaka eneo lililoathirika muda wa kulala jioni utapata matokeo ndani ya wiki tu.

Hakikisha unajisafisha kwanza kwenye eneo lenye fangus alafu ukimaliza jipake hiyo asali.

05/10/2022

Karibu kombe Herbal clinic tunapatikana kimara Stop over Kwa matatizo mbalimbali ya kiafya husisite tuna dawa yako.

23/07/2022

Dawa ya Asili ya uzazi wa mpango.

Je, Unaangaika na kuweka kijiti?
Je, Umechoma sindano?
Je, Siku zako zinasumbua kutoka

TUMIA MAGADI YA ASILI
Kila Unapomaliza kukutana na mwenza wako koroga kijiko kimoja Cha chakula Kisha unywe swala la mimba itakuwa historia kwako Usichoke hakikisha umepata magadi ya Asili hayo hayana madhara ya aina yoyote.
K**a unatatizo lingine k**a
P.i.d,fangasi, bawasili na uzazi Kwa ujumla tuone kombe Herbal clinic tupigie au WhatsApp 0713234444

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Kimara Stop Over
Dar Es Salaam
11000

Opening Hours

Monday 08:00 - 18:00
Tuesday 08:00 - 18:00
Wednesday 08:00 - 18:00
Thursday 08:00 - 18:00
Friday 08:00 - 18:00
Saturday 08:00 - 18:00
Sunday 08:00 - 18:00