Halima NA TIBA BORA

Halima NA TIBA BORA

Share

Boresha afya yako

15/11/2023

Fahamu Tatizo La Uvimbe Kwenye Kizazi (Uterine Fibroids) Kwa Wanawake Na Tiba Yake.

Uvimbe kwenye kizazi ni uvimbe ambao hutokea katika misuli laini ya mfuko wa uzazi wa mwanamke (Uterus).

Tatizo la uvimbe kwenye kizazi hujulikana kwa kitaalamu k**a uterine fibroids/leiomyoma/uterine myoma.

Uvimbe huu husababisha kubadilika kwa umbo na ukubwa wa kizazi. Mara nyingi Wanawake wengi huanza kupata maumivu makali wakati wa hedhi kutokana na tatizo hili. Wakati mwingine mwanamke anaweza kupata tatizo hili akiwa kwenye ujauzito, hali hii inaweza kusababisha shida wakati wa kujifungua na kupelekea mwanamke kujifungua kwa upasuaji.

Tatizo hili huweza kuongezeka ukubwa wakati wa ujauzito kutokana na kiasi kikubwa cha homoni ya estrojeni. Kuvuja damu na maumivu ya tumbo pia huweza kutokea kutokana na uvimbe kupoteza damu yake. Kwahiyo madaktari wa wanawake hupendekeza mgonjwa kufanyiwa ultrasound mara kwa mara ili kufatilia maendeleo ya uvimbe.

Tatizo la uvimbe kwenye kizazi ni kubwa na linawatokea wanawake wengi sana. Inakadiriwa kwamba 75% ya wanawake hupata tatizo hili katika kipindi fulani cha maisha yao. Kwa mujibu wa jarida la New England Journal of Medicine, kila mwaka zaidi ya wanawake 200,000 wanafanyiwa upasuaji wa kuondoa kizazi chote (hysterectomy) kutokana na tatizo hili.

Kuna aina kuu nne (4) za uvimbe kwenye kizazi kulingana na sehemu unapotokea kwenye mfuko wa uzazi ambao ni pamoja na;

1) Intramural Fibroids.
Hii ni aina ya uvimbe ambayo uwapata sana wanawake. Aina hii ya uvimbe hukua na kumea kwenye misuli ya ukuta wa mfuko wa mimba (uterus). Kadri uvimbe huu unavokua basi husababisha kupanuka au kuvutika kwa kizazi na kusababisha dalili k**a hedhi.

2) Subserosal Fibroids.
Aina hii ya uvimbe hukua nje ya ukuta wa mfuko wa mimba, wakati mwingine kuelekea kwenye kibofu cha mkojo. Aina hii ya uvimbe huweza kusababisha maumivu ya chini ya mgongo kutokana na kwamba uvimbe huu unasukuma neva za uti wa mgongo na kusababisha presha kubwa kwenye eneo la chini ya mgongo.

3) Submucosal Fibroids.
Aina hii ya uvimbe hukua karibu na ukuta wa kizazi. Hii inaweza kusababisha kutokwa na damu kwa muda mrefu wakati wa hedhi na shida kwenye kushika ujauzito.

4) Cervical Fibroids.
Huu uvimbe hukua kwenye tishu za mlango wa kizazi ambao huitwa cervix. Uvimbe hutokea mara chache sana ukilinganisha na aina zingine za uvimbe kwenye kizazi.

Uvimbe Kwenye Kizazi Husababishwa Na Nini?
Uvimbe kwenye kizazi husababishwa na wingi wa vichocheo mwilini, homoni ya estrogen ambayo hupelekea mwanamke kupata hedhi, ambapo matumizi ya njia za uzazi wa mpango pia ni vichocheo ambavyo huchangia kuongezeka kwa homoni ya estrogen.

Mambo yafuatayo yanaongeza uwezekano kwa mwanamke kupata uvimbe kwenye kizazi;

1) Kurithi.
k**a mama au dada yako aliwahi kuugua tatizo la uvimbe kwenye kizazi basi wewe pia utakuwa kwenye hatari zaidi ya kupata uvimbe huu.

2) Umri.
Wanawake wenye umri zaidi ya miaka 30 wapo katika hatari ya kupata tatizo hili.

3) Lishe.
Matumizi ya vyakula vya wanga na sukari kupita kiasi huongeza hatari ya kupata tatizo hili.

4) Uzito Mkubwa Na Kitambi.
Wanawake wenye uzito mkubwa na kitambi wako kwenye hatari zaidi ya kupata tatizo hili.

5) Matumizi Ya Njia Za Kupanga Uzazi.
Matumizi ya vidonge vya uzazi wa mpango huongeza ukuaji wa fibroids kwani vidonge hivi huweza kupandisha homoni ya estrogen kwa wingi.

6) Kubalehe Mapema.
Wanawake wanaobalehe mapema na kuanza kupata hedhi chini ya miaka 10 wako kwenye hatari zaidi ya kupata tatizo hili.

7) Wanawake Wenye Shinikizo Kubwa La Damu.

👉Zifuatazo ni dalili zinazojitokeza kwa wanawake wengi zaidi wenye uvimbe kwenye kizazi;

1) Kupata hedhi inayochukua siku nyingi kuanzia siku 7 na zaidi (Prolonged menstrual bleeding).

2) Kupata hedhi nzito (Heavy menstrual bleeding).

3) Kujiskia umeshiba muda mwingi (Abdominal fullness).

4) Maumivu ya nyonga.

5) Kupata mkojo mara kwa mara na kushindwa kutoa mkojo wote kwenye kibofu.

6) Kukosa choo kwa muda mrefu au kupata choo kigumu.

7) Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa.

8) Maumivu chini ya mgongo na kwenye miguu.

9) Madhara mbalimbali ya uzazi k**a ugumba na mimba kutoka.

Matibabu ya uvimbe kwenye kizazi yanaweza kugawinyika katika sehemu tatu (3) ambazo ni pamoja na;

1) Upasuaji (Myomectomy).
Tiba hii hutumika endapo Uvimbe ni mmoja na sio kubwa sana. Matibabu haya hutoa Uvimbe na kubakiza kizazi.

2) Hysterectomy.
Haya matibabu yanahusisha kutoa sehemu ya Uvimbe yote iliyo katika kizazi maana yake kutoa kizazi chote endapo Uvimbe utakuwa mkubwa sana au vivimbe vikiwa vingi vikiwa katika kizaz

3. Kwa kutumia virutubisho lishe pia unaweza kutibu tatizo hili bila upasuaji na ukapona kabisa.

👉Yafuatayo ni baadhi ya madhara ya uvimbe kwenye kizazi kwa wanawake ambayo ni pamoja na;

1) Ugumba (infertility).

2) Kukosa choo (constipation).

3) Figo kushindwa kufanya kazi (kidney failure).

4) Tumbo kuvimba (abdominal distention

#0658750923 #🩺🔬📞☘️☘️

26/03/2023

MADHARA YA KUTUMIA MATE KATIKA TENDO LA NDOA KWA MFUMO WA UZAZI WA MWANAMKE*

Na Dr.

Kabla sijaanza na madhara nianze na kuelezea kazi ya mate kinywani.

Mate ni mchanganyiko wa maji, uteute na kimeng'enya kinachofahamika k**a *sarivary amylase* au *Ptyalin*
-Kazi ya maji yaliyo katika mate ni kuyeyusha chakula kinywani
-Kazi ya ute ni kulainisha chakula kiwe rahisi kumeza
-Kazi ya kimeng'enya (salivary amylase) ni kubadili wanga / kabohaidrete kuwa sukari rahisi *maltose*
Kwaiyo tunaona kazi kubwa ya mate ni kimeng'enya chakula.

Kinywa cha binadamu kimeundwa na mamia ya bacteria (oral micro flora) ambao ni rafiki kwa afya ya kinywa.

Pia katika mfumo wa uzazi wa wanawake kuna aina ya bacteria(lactobuciluss bacteria) pamoja na Fungus (candida albicans) ambao ni rafiki kwa mfumo wa uzazi wa mwanamke.

*Sasa tatizo hutokeaje?*
Unapochukua mate na kuyaweka katika uke wa mwanamke unahamisha bacteria wanaopatikana katika mdomo na kuwaleta katika uke.
Kumbuka hao ni aina tofauti za bacteria hivyo hawawezi kuishi pamoja matokea yake hukinzana na husababisha either wageni au wenyeji kudhoofika,
Wenyeji wanapodhoofika hufanya bacteria wageni kutawala eneo hilo na kwa kuwa bacteria hao sio eneo husika kwao kuishi huanza kuleta madhara makubwa katika uke na kupelekea aina mbali mbali za maambukizi katika via vya uzazi vya mwanamke.

Pia bacteria hao wakati mwingine huweza kuzoeana na kuzaa bacteria ambao ni chotara Ambao huwa wanaweza kuwa wapole au wakali sasa wakiwa wakali husababisha madhara makubwa wakati mwingine hupelekea kansa ya kizazi, uvimbe na magonjwa mengine ya mfumo wa uzazi.

Kumekuwa na malalamiko wanawake kadhaa ambao nimeweza kuongea nao kuhusiana na suala la matumizi ya mate.

Kumekuwa na matumizi yasiyo idhinishwa ya mate kwa wapenzi wengi. Wanaume wamekuwa wakitumia mate during s*x kwa kupaka before k**a kilainishi.

Kiukwel hili ni kosa la kiufundi.
Dada usikubal mumeo apake mate ndo aingize, ukiona anahitaj kupaka mate au mafuta ujue huyo anakubaka.
Sababu anakuwa hajakuandaa kiasi cha kutosha wewe kuingilika.

*Kwani ana haraka za nini?*
Alikuwa jela au?*

Sehem za siri za kiume na za k**e zimeundwa maalum na vilainishi vyake vya kiasili original na visivyo na madhara.
Ukiona mwanamke ameloana sehemu zake za siri ujue huyo sasa yupo tayari na anakukaribisha uingie, Ni kwamba ameshakufungulia mlango we ingia tu.

Lakin unapokuta kukavu ujue kuwa unambaka na hayupo tayari. Na hii ni pia kuwafundisha akina kaka kuacha ujinga eti wanataka Uke mkavu??

we una akili kweli?

Kiasili uke umeumbwa inapokuwa tayari kuliwa iwe imeiva vizuri basi inakuwa na ute ute mlaini ili kuondoa michubuko au misuguano.

Sasa unaposema kuwa unataka uke mkavu unakuwa huelewi unachozungumza kiuhalisia.
Wadada msikubali uke kuwa mkavu wakati wa kuliwa ndo mwanzo wa kuambukizwa magonjwa maana husababisha michubuko.
Kuna jamaa yangu nilimfundisha jambo hili na lilimsaidia asipate ukimwi baada ya kutembea na dada mmoja aliyeathirika bila kinga 2 times.

Tabia ya kupaka mate imekuwa ikiwatia kichefu chefu wanake wengi maana inafikia wanaume wengine huweka hata makohozi. Wanaume tuacheni mambo haya tunakuwa hatuwatendei haki wanawake binafsi napenda kuloane mpaka hata maji yamwagike kuloane hasa chapa chapa.
Sasa wewe kazana kutafuta kavu.

Ntakuja kuwaeleza akina dada nini kinasababisha ukavu ukeni na nini kifanyike badala ya mate.

*Tahadhari* mwanamke usijizuie kumwaga maji au kutoa maji kwa kuogopa mwanaume atasema una maji mengi acha huo ujinga. jiachie mwaga hata kuloanisha godoro k**a hajui uthamani wa kitendo hicho achana naye huyo ni mbakaji tu.

Nimeandika kwa hisia kidogo kutokana na mate huchangia kwa kiasi kikubwa sana wanawake kupata maambukizi ya fangas na bacteria ya mara kwa mara bila kujua k**a wakati mwingine chanzo ni mimate inayotoka kwenye vinywa vyenye fangasi.

Wakati mwingine wadada wenyewe huwa mnapenda hicho kilainishi si kizuri kuweni makini na afya za hizo starehe zetu ???

Ahsante k**a nimeeleweka.

NB K**A MWANAMKE ANA SHIDA YA UKE KUWA MKAVU HATA K**A MWENZAKE ANAMUANDAA VIZURI WASILIANA NAMI TUTATUE SHIDA HIYO HARAKA HATA K**A UNASHIDA YA KUKOSA TENDO LA NDOA HARUFU MBAYA UKENI KUTOKA UCHAFU WASILIANA NAMI KWA SIMU NAMBA 0658750923

07/01/2023

*MWANAUME NA MWANAMKE NI VYEMA MKAFAHAMU SIRI HII:*

Tendo la ndoa kwa binadamu ni *DAWA* kwao.
Mwanamke au Mwanaume asiposhiriki tendo la ndoa kwa muda mrefu anauwezo wa kupata changamoto za;
▪︎ Kuwa na hasira mara kwa mara.
▪︎ Msongo wa Mawazo usio ufahamu chanzo chake.
▪︎ Kuwa na Makasiriko (Mood) za mara kwa mara.
▪︎ Ugomvi katika ndoa na
▪︎ Kupungua kwa uwezo wa kufikiri au Kung'amua jambo kwa haraka.
▪︎ Wanaume kuwa na hatari ya kupata changamoto ya Tezi Dume & Ugumba.
▪︎ Na kwa baadhi ya kina Baba au kina Mama hupata changamoto ya kukosa usingizi pia.

♧ Hivyo, Kushiriki tendo la ndoa ni muhimu sana kwa Afya yako.

*▪︎ Sasa, Inawezekana ukawa unapenda kushiriki tendo la ndoa vyema, Lakini unapitia mapungufu haya wakati wa kushiriki tendo...*👇

i. Unawahi mapema sana kufika kileleni wakati wa tendo au hata kabla ya kuanza tendo.

ii. Unashindwa kurudia tendo la ndoa mara tuu ukifika kileleni.

iii. Unakosa hamu ya tendo la ndoa kabisa, mara baada ya kufika kileleni,
Labda mpaka dakika 20 mpaka 40 ndo unapata tena hamu ya tendo la ndoa.

iv. Unachoka sana, mpaka unapitiwa na usingizi kabisa mara baada ya kumaliza round ya kwanza ya tendo huku mwili wako ukiwa umechooka kabisa.

K**a unapitia mojawapo ya Dalili hizi, tafadhali naomba tuwasiliane in box kwa ajili ya USHAURI na TIBA.
📲 *0658750923*

🙏 *FIKA KWENYE PHARMACY ZETU.*

🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

08/12/2022

*TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME – CHANZO, DALILI & TIBA YA KUDUMU.*

*UTANGULIZI* –
Upungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamililifu, kushindwa kusimamisha vizuri na kushindwa kutungisha mimba. s
Shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na mirija ya damu. Tatizo hili huripotiwa kuwa katika wanaume watano (5) basi mmoja kati yao anatatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Upungufu wa nguvu za kiume huashiria kuto kuwa sawa kiafya au kisakolojia hivyo ni tatizo linalohitaji tiba.
Hili tatizo huwanyima watu raha kwa kuwa na mawazo, kuwa na matatizo katika mahusiano. Watu wengi wenye tatizo hili wanahitaji kutumia dawa zisizo na madhara na kubadilisha mitindo ya maisha yao ili kuweza kurudisha hali zao na kuondoa tatizo na cha msingi ni kuzingatia yale utakayoelekezwa.

*CHANZO CHA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME*
Tatizo la nguvu za kiume lina vyanzo vingi ambavyo mara nyingi wengi huvipuuza, hivyo vyanzo huathiri taratibu na vingine huathiri haraka, tunashauri watu kuwa makini sana ili kujiimarisha vizuri. Kuna mitindo ya maisha inayoweza kukuweka hatarini kupata tatizo la nguvu za kiume nayo ni pamoja na;

1. Kuwa na lehemu (Cholesterol) na Shinikizo la damu (B.P) au ugonjwa wa moyo

2. Kuvuta sigala na unywaji wa pombe

3. Uzito kupita kiasi na unene uliozidi

4. Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi

5. Kisukari

6. Kuwa na mawazo na wasiwasi

7. Matumizi ya madawa mbalimbali

8. Umri hasa wazee

9. Utumiaji wa vinywaji vinavyobadili hali ya mwili

10. Kuwa na tatizo la kibofu

11. Tabia za kujichua kwa mda mrefu

12. Kutopata usingizi kamili

13. Matumizi makubwa ya dawa zenye kemikali za kutibia magonjwa k**a kansa, vidonda vya tumbo, moyo, kisukari, B.P, na magonjwa mengine.

*DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME* .
Dalili za kuonesha kuwa una tatizo la upungufu wa nguvu za kiume karibia zote zinahusiana na hali itakayo onekana katika tendo la ndoa au mda wa kujamiiana, hizo dalili zake ni k**a;

1. Kuwahi kufika kileleni

2. Kukosa hamu ya mapenzi

3. Kushindwa kurudia tendo la ndoa

4. Uume kusimama kwa uregevu au kushindwa kusimamisha

5.Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu; Miguu, uso na tumbo kuvimba na kujaa maji

6. Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo

7. Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa)

8. Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji

*JINSI YA KUEPUKANA NA KUPATA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME.*

Kula vyakula asilia na usile vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi

1. Tibu magonjwa yako yanayokuweka hatarini k**a kisukari, moyo,
2. punguza unene na mengine.

3. Punguza (balansi) kiwango cha halemu (choresterol) au mafuta yaliyozidi

4.Balansi usito wako

5. Usivute sigara

6. Punguza au acha kunywa pombe

7. Punguza mawazo

8. Kula vizuri vyakula bora hasa asilia na sio vyakula vyenye kemikali

9. Lala vizuri kwa muda mzuri – masaa 7 hadi 9

10. Usitumie dawa zenye kemikali nyingi huathiri mfumo wa uzazi

11. Kunywa maji ya kutosha

*TIBA YA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME*
Hili ni tatizo ambalo huwanyima raha watu wengi kwasababu linaashiria upungufu flani wa kimwili, tunawashauri watu wengi wafanye mazoezi, kula chakula bora hasa asilia na pia wanywe maji mengi ili kuimarisha afya zao. Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume linaondolewa japo ni kwa mda mrefu kidogo, wengi hudanganywa na kupewa dawa za kuongeza nguvu pale unapoenda kujamiiana na sio dawa ya kutibu.
Tuna dawa ya kutibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ambayo ni ya asili isiyo na kemikali ambayo hufanya mtu kupona na kuimarika kabisa. Dawa hiyo hutibu kwa mda kulingana na ukubwa wa tatizo, ukianza kutumia baada ya wiki mbili huonesha mabadiliko ambazo ni *Xpower man capsule, xpower man coffee na zaminocal plus. Hivi ni virutubisho lishe vinavyotibu na kutokomeza kabisa tatizo.*
*XPOWER MAN CAPSULES*
Ni virutubisho maalumu kwa waathirika wa Punyeto na wenye Upungufu Wa Nguvu Za Kiume sugu wote.

*kirutubisho hiki fanya kazi zifuatazo:-*
✅Huongeza Hamu Na Uwezo Wa Kufanya Tendo La Ndoa
✅Hufungua Mirija Midogomidogo Ya kibofu Kwenye Uume Ambayo Hufa Kwa Ajiri Ya Umri Na Kisukari/Presha
✅Huondoa Uchovu baada(kabla) ya tendo la ndoa pia huondoa uchovu wakati wa kuamka asubuhi.
✅Huongeza Wingi Wa Afya Wa Mbegu Za Kiume na kasi yake.
✅Huondoa Tatizo La Maumivu Uume Ukiwa Umesimama
✅Humfanya Mwanaume Akae Muda Mrefu Kwenye Tendo
✅Huongeza Kinga Kwenye Via Vya Uzazi
✅Humfanya Mwanaume Arudie Tendo Bila Kuchoka Na Kwenye Ubora Wa Hali Ya Juu
✅Huondoa Tatizo La Uume Kusimama Ukiwa Legelege
✅Huondoa Tatizo La Uume Kurudi Ndani Na Kuwa K**a Wa Mtoto
✅Huondoa Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za kiume Na Ugumba Kwa Wanaume na kuongeza kasi ya mbegu ili kurutubisha yai kwenye faropiani tube.

Kwa msaada wa tiba na ushauri wasiliana nami kwa simu namba 0658750923

07/12/2022

*SULUHISHO LA JINO SIYO KUNG'OA.* *RUDISHA TABASAMU LAKO KWA KUTUMIA DR TS.* *BILA KUNG'OA JINO*

Dr.Ts natural herbal toothpaste ni dawa ya meno ambayo imetengenezwa na mimea ya asili na Salama kwa afya ya mtumiaji ambayo ni;
1️⃣Panax notoginseng
2️⃣Green tea (majani chai)
3️⃣Lonicera japonic

KWA_WENYE_MATATIZO_YA_MENO K**A;

1️⃣Kutoa harufu mbaya mdomoni.
2️⃣.Meno kuwa ya njano
3️⃣.Kuoza kwa meno
4️⃣.Meno kuwa ya brown
5️⃣.Kutokwa damu kwenye fizi na kuvimba fizi.
6️⃣. Inasaidia kuua wadudu
Kwa kutumia dawa ya meno hii basi matatizo yako ya meno *yataisha kabisa na kukulejeshea* tabasamu lako.

*FAIDA ZA DR TS TOOTHPASTE:*
👉🏾Hung'arisha meno.
👉🏾Huimarisha meno na fizi
👉🏾Huondoa tatizo la kutokwa damu wakati wa kufanya usafi wa kinywa.
👉🏾Huwafaa watu wanaosumbuliwa na meno
👉🏾Huondoa tatizo la kutokwa damu kwenye fizi na meno
👉🏾Hutibu tatizo la meno kumeguka meguka
👉🏾Huondoa tatizo la meno kutingishika mara kwa mara
👉🏾Huondoa bacteria hatarishi katika kinywa
👉🏾Hulinda kinywa kisipatwe na magonjwa hatarishi
👉🏾Huondoa tatizo la harufu kinywani
👉🏾Huwafaa watu wenye ukungu/meno kuoza
👉🏾Hukinga kinywa dhidi ya saratani
👉🏾Huodoa uchakavu wa meno
👉🏾Huwafaa watu wenye tatizo la mabakabaka katika ulimi(Geographic tongue)
👉🏾Ni ssuluhisho kwa watu waopata vidonda kinywani nk.

*NI ASILI NA SALAMA KWA AFYA BORA YA KINYWA NA MENO*.

Photos from Halima NA TIBA BORA's post 18/04/2022

Kuwa na muonekano wa tofauti na feminage ,ni nzur kwa watu wenye changamoto k**a hizi👉walioharibika na vipodozi, wenye makovu, chunusi na uzee kwn hupambwa dhidi ya uzee... wasiliana nami kwa simu namba 0658750923

Photos from Halima NA TIBA BORA's post 18/04/2022

Kwa changamoto yoyte na ngoz kwa watu wa jinsia zote na pia umri wowote tumia anatic soap kwa afya ya ngozi yako wasiliana nami kwa simu namba 0658750923

Photos from Halima NA TIBA BORA's post 02/04/2022

Usiendelee kuteseka njoo upate suluhisho leo.. 0658750923

27/03/2022

Kwa msaada wowote wa tiba na ushauri .. wasaliana nami kwa simu namba 0658750923 ...

19/03/2022

Bawasiri ni nini
Huu ni Ugonjwa unaotokana na kuvimba/kupasuka kwa mishipa ya damu sehemu ya haja kubwa na kupelekea kuota kwa kinyama amcho ndio huitwa Bawasiri/mgoro/Hemorrhoid

Sababu au chanzo cha bawasiri ni hizi zifuatazo
1. Kuwa na Kinyesi kigumu (Constipation)
2. Kuketi kwa muda mrefu kwenye choo
3. Kuharisha (Kuhara) mara kwa mara
4. Kuvimbiwa
5. Kuwa mnene au mzito
6. Kuwa mjamzito
7. Kuingiliwa nyuma kimaumbile
8. Kutokula vyakula vyenye nyuzinyuzi
9. Kuinua/Kunyanyua vitu vizito mara kwa mara

DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI

1.kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa

2.kujitokeza kwa kinyama/vinyama eneo la haja kubwa

3.kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa

4.kupata kinyesi chenye damu

5.kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia

6.Kupata maumivu ya tumbo/kiuno hasa Bawasiri inapofikia hatua mbaya

Madhara ya bawasiri ni haya yafuatayo
1.Upungufu wa damu mwilini

2.Kutokwa na kinyesi bila kujitambua

3.kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa

4.kupungukiwa nguvu za kiume

5.kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu

6.Kupata tatizo la kisaikolojia

7.Kupata kansa ya utumbo ( Colorectal cancer)
8.Mwili kudhoofika mwili na kinga kupungua

07/03/2022

VISABABISHI/VYANZO VYA HORMONE IMBALANCE
-U.T.I SUGU
-PID(pelvic inflammatory diseases) maambukizi katka via vya uzazi(NYONGA)
-FANGASI SUGU UKENI
-Matumizi ya njia za uzazi wa mpango k**a sindano,njiti,kitanzi na vidonge
-Matumizi ya P2
-Utoaji wa mimba
-Kuto zingatia MLO KAMILI matumizi ya vyakula vyenye mafuta na sukari kwa wingi
-Matumizi ya pombe/bangi/utambuk

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address


Buguruni Malapa
Dar Es Salaam
HAIG