health.bones

health.bones

Share

Zay Consult and Health care ! tunawasaidia wanawake kuondokana na maumivu ya mifupa tel 0786276122

10/06/2025

MUHIMU USOME KUHUSU UKARABATI WA MIFUPA UNAVYOFANYIKA MWILINI

*Osteoporosis ni nini*?
Ni hali ambapo mifupa inapungua au inalika , na kufanya mifupa kuwa dhaifu na kuwa rahisi kuvunjika. Hii hutokea kwa sababu ya kutokuwa na usawa kati ya seli zinazojenga mfupa na zile zinazolika.

🔄 *Je, mwili unaweza kurekebisha mifupa iliyolika*?
*Ndio* — mfupa ni tishu hai (living tissue), na mwili una uwezo wa kuujenga upya kupitia mchakato unaoitwa:

🔁 *Bone Remodeling*
Ni mchakato wa kawaida wa mwili wa kuondoa mfupa wa zamani na kujenga mpya. Mchakato huu unahusisha aina mbili za seli kuu:

🟠 *Osteoclasts*

Huvunja na Kuondoa mfupa wa zamani (bone resorption).

🔵 *Osteoblasts*

Hujenga mfupa mpya (bone formation).

Kwa watu wenye afya nzuri ya mifupa, mchakato huu uko sawa.
Lakini kwa watu wenye osteoporosis, kazi ya osteoclasts inakuwa kubwa kuliko ya osteoblasts,
*hivyo mifupa inazidi kulika badala ya kujengwa*.

🧬 *Je, seli hujengwa upya au kurekebishwa*?

✅Seli mpya huzaliwa (cell regeneration) — hasa osteoblasts huongezeka k**a mwili una virutubisho vya kutosha (k**a Calcium, Vitamin D, na protini).

*Hakuna "ukarabati wa seli za zamani*" moja kwa moja — badala yake, *Seli mpya huchukua nafasi ya zile zilizokufa au kuzeeka*.

*Mfumo wa mfupa hujirekebisha kidogo kidogo kila siku, lakini urekebishaji mkubwa huhitaji msaada wa virutubisho, mazoezi, na Lishe Bora*

✅ Virutubisho na Lishe Bora za Husaidia Ukarabati
*Calcium & Vitamin D – Msingi wa kujenga mfupa mpya*.

*Hormone Therapy* (kwa wanawake) – Huongeza kiwango cha estrogeni ambacho husaidia kulinda mifupa.

🏃‍♂️ *Mazoezi na Lishe*
Mazoezi ya kubeba uzito (weight-bearing) k**a kutembea, kupanda ngazi, na mazoezi ya nguvu huchochea mfupa kujijenga.

✅Lishe yenye protini, mboga mboga, matunda, na virutubisho husaidia seli mpya za mfupa kukua vizuri.

✅ *Hitimisho*
Mifupa ina uwezo wa kujijenga upya, lakini mchakato huu huchelewa au kusimama kabisa ikiwa mwili hauna virutubisho vya kutosha au kuna magonjwa k**a osteoporosis.

✅Osteoporosis:
Katika Hali Hii
Seli mpya huzaliwa, lakini ni lazima mazingira ya mwili yawe bora.

✅Hakuna ukarabati wa seli za zamani, bali mabadiliko hutegemea seli mpya kujenga sehemu zilizolika.

✅Tibalishe, mazoezi na Lishe Bora ni njia muhimu za kusaidia mchakato huu.

05/06/2025
05/06/2025
26/02/2025
15/11/2024
12/11/2024

_**Tangazo muhimu kwa Wanawake watu wazima ,wenye changamoto ya magoti*
Wanawake wengi wamekuwa wakisumbuliwa na matatizo ya mgongo, nyonga, kiuno ,shingo na magoti.
*Haijalishi umeshakunywa dawa kiasi gani, umeshatibiwa hospitali nyingi kiasi gani na changamoto bado ipo palepale*
K**a wewe ni muhanga ningependa kuongea na wewe.

Kwa jina naitwa Zuhura Ibrahim
Jina la taaluma ni *Zay Consult and Health care Utajifunza
1.Kurejesha uteute kwenye joints.
2. Mifupa isisagane
3.Kutibu ganzi ya miguu na mikono ya muda mrefu
4.Utajifunza jinsi ya kupunguza uzito unaondana na urefu wako kwa kupitia mpangilio maalimu wa chakula matunda na mbogamboga
kupitia Program maalum ya BONE HEALTH PROGRAM

*Wiki hii nitaandaa darasa la bure kwa ajili yako la Namna ya kutatua tatizo lako.*

*Ikiwa umevutiwa karibu uhudhurie darasa la watsup la bure*

*Bonyeza Kitufe Cha WhatsApp Hapo Chini, Kabla Ya Darasa Letu halijajaa.*

Madam Zuhura Ibrahim

Mkurugenzi, Bone health program

chat.whatsapp.com 12/11/2024

_**Tangazo muhimu kwa Wanawake watu wazima ,wenye changamoto ya magoti*
Wanawake wengi wamekuwa wakisumbuliwa na matatizo ya mgongo, nyonga, kiuno ,shingo na magoti.
*Haijalishi umeshakunywa dawa kiasi gani, umeshatibiwa hospitali nyingi kiasi gani na changamoto bado ipo palepale*
K**a wewe ni muhanga ningependa kuongea na wewe.

Kwa jina naitwa Zuhura Ibrahim
Jina la taaluma ni *Zay Consult and Health care Utajifunza
1.Kurejesha uteute kwenye joints.
2. Mifupa isisagane
3.Kutibu ganzi ya miguu na mikono ya muda mrefu
4.Utajifunza jinsi ya kupunguza uzito unaondana na urefu wako kwa kupitia mpangilio maalimu wa chakula matunda na mbogamboga
kupitia Program maalum ya BONE HEALTH PROGRAM

*Wiki hii nitaandaa darasa la bure kwa ajili yako la Namna ya kutatua tatizo lako.*

*Ikiwa umevutiwa karibu uhudhurie darasa la watsup la bure*

*Bonyeza Kitufe Cha WhatsApp Hapo Chini, Kabla Ya Darasa Letu halijajaa.*

Madam Zuhura Ibrahim

Mkurugenzi, Bone health program

chat.whatsapp.com

30/10/2024

📌Mtu mwenye upungufu wa uteute kwenye viungo hadi viungo vinatoa milio, yampasa achukue hatua kadhaa ikiwemo mabadiliko ya lishe na kufanya mazoezi mepesi ya kukiwezesha kiungo kudumu kikiwa kinafanya kazi
Pamoja na hayo pia inampasa

📌Kula vyakula vyenye collagen: Collagen ni sehemu kuu ya uteute kwenye viungo. Vyakula k**a samaki, na mboga za kijani kibichi zinaweza kusaidia kuongeza collagen mwilini.

11/10/2024

[10/10, 12:07] Bone and Health: NAMNA YA KUPUNGUZA UZITO
⚫Watu wengi wanapoanza kupunguza uzito huwa wanapenda tu kuona kilo zikishuka
⚫Kiu halisia watu wengi wanataka kuondoa mafutaau kuchoma mafuta mwilini
⚫Taratibu za afya zinasema Usikose kula milo mikubwa 2 kwa siku
[10/10, 12:07] Bone and Health:
Kupunguza uzito kwa njia sahihi
➡️ kunahitaji mabadiliko ya muda mrefu katika mtindo wa maisha. Hapa kuna maelekezo kadhaa ya msingi:

1️⃣Lishe bora:
Kula vyakula vyenye afya k**a matunda, mboga mboga, nafaka nzima (usikoboe nafaka), protini zenye afya, (k**a maharage,njegere,kunde,choroko,dengu na mbaazi)na mafuta yenye afya k**a vile mafuta ya samaki, mbegu za chia, na parachichi. Epuka vyakula vyenye kalori nyingi, sukari iliyosafishwa, na mafuta yaliyosindikwa.

2️⃣Kudhibiti Chakula
Punguza mwili
kwa kula kidogo kidogo. Tumia sahani ndogo, chagua vyakula vyenye kalori kidogo, na epuka kula zaidi ya mahitaji yako.

3️⃣Kufanya mazoezi:
Jumuisha mazoezi ya aina mbalimbali k**a vile kutembea, kukimbia, mazoezi ya nguvu, na yoga kwa angalau dakika 30 kila siku. Mazoezi yatakusaidia kuchoma kalori na kujenga misuli.

4️⃣Kunywa maji ya kutosha:
Kunywa maji ya kutosha kila siku. Maji husaidia katika mmeng'enyo wa chakula na kukupa hisia ya ukamilifu.

5️⃣Lala vya kutosha:
Lala kwa muda wa masaa 7-9 kwa usiku. Kupata usingizi wa kutosha kunaweza kusaidia kudhibiti hamu yako ya kula.

6️⃣Tambua malengo yako na pitia mchakato
Weka malengo yanayoweza kufikiwa na uzingatie maendeleo yako. Hakikisha unapitia mchakato wa kupunguza uzito kwa ustahimilivu na uvumilivu.

7️⃣ Pata msaada:
Ikiwa unahisi ni ngumu kudhibiti uzito wako peke yako, unaweza kufikiria kupata msaada kutoka kwa mtaalamu wa lishe au mkufunzi wa mazoezi ili kukusaidia kufikia malengo yako.

Kumbuka, kupunguza uzito kwa njia sahihi kunahitaji muda na uvumilivu. Usitegemee matokeo ya haraka na epuka kutumia njia zisizo salama au za haraka ambazo zinaweza kudhuru.

09/10/2024

📌Kawaida kazi ya kwanza ambayo fundi yoyote wa ujenzi kazi huifanya kabla ya
kuanza rasmi shughuli ya ujenzi ni kufanya usafi wa nguvu kwenye eneo analokusudia
kulijenga. Lengo kuu la kufanya usafi ni kuondoa vikwazo na vipingamizi mbalimbali
ambavyo vinaweza kupunguza ubora wa kazi yake na pengine vivyoweza kumletea
shida wakati akiendelea na Ujenzi.
📌 Jambo la kwanza na muhimu ni
kufanya Usafi wa mwili wako kwanza, kabla ya kubadilisha diet (mlo), kufanya mazoezi na kutumia virutubisho ili uweze kupona maradhi ya mifupa
Naomba utambue kuwa sehemu kubwa sana ya maradhi yanayotusumbua
husababishwa na mlundikano wa takataka na sumu nyingi ndani ya miili yetu zinazotokana na unywaji wa dawa nyingi za maumivu na dose mbalimbali, sumu zilizomo kwenye vyakula k**a mbogamboga, matunda ambayo hupigwa dawa, sumu zilizo kwenye mahindi ambayo huhifadhiwa yasioze sumu za moshi wa magari na hata maji tunayokunywa. Sasa
ukianza kutumia dawa moja kwa moja bila kuusafisha mwili wako utakuwa ni k**a yule
fundi asiye na akili ambaye huanza ujenzi bila kuondoa miti, visiki, miiba, na takataka
mbalimbali ambazo zitamsumbua yeye mwenyewe wakati anaendelea na kazi yake.

03/10/2024

CHANZO CHA MAGONJWA YOTE NI ACID MWILINI
1.✅chanzo cha magonjwa yote yanayotusumbua ni asidi kuzidi mwilini kwa Kiswahili asidi ni tindikali.

✅ Ili mwili uwe salama lazima tuwe na alikaline nyingi kuliko asidi. Alikaline kwa Kiswahili ni nyongo.

✅ Mwili unahitaji asilimia 20 tu ya asidi na asilimia 80 ya nyongo. Hii ina maana gani?

✅ Hii ina maana kwamba k**a huwezi kuacha kabisa vyakula vyenye acidi basi punguza.
✅ punguza kula vyakula vya asidi kuepuka kinga zako kudhoofika na kupungua.

✅ Lakini pia vyakula vya asidi huongeza sumu kwenye mwili na kupelekea saratani na kufeli kwa viungo mbalimbali vya mwili k**a vile ini, figo na mapafu.

✅Figo ikifeli inabidi uchague kuitoa au kusafisha damu kwa kutumia mashine ya dialysis, Gharama ya kusafisha figo kwa wiki si chini ya laki tatu.

✅Hiyo ni figo, bado sijazungumzia kansa zote kuanzia tezi dume hadi shingo ya uzazi.

✅ Lakini vyakula hivi vyenye asidi ni vyakula gani?

✅ Nyama zote ukitoa kuku wa kienyeji ni asidi tupu. K**a huwezi kuacha nyama, basi punguza.

✅Vyakula vyote vya wanga ni asidi tupu. K**a huwezi kuacha wanga, basi punguza Wali kula vijiko viwili tu. Ugali kula ngumi moja.

✅ Angalizo! K**a unafanya kazi za kutumia nguvu ruksa kugonga sana wanga upate nguvu maana wanga itachomwa na kazi ngumu.

✅Vyakula vingine vyenye asidi tuvikimbie ni, sukari, miwa, soda, pombe zote, vyakula vyote vya ngano,na mlonge. Duh! Hadi mlonge .🫢🫢

✅ Mbona hivi ndo vyakula vyetu vya kila siku toka enzi hizo? Anataka tufe? Hapana.

✅ Zamani tulitumia nguvu katika kila kitu, tulitembea kwa mguu,tuliunguza tulivyokula, siku hizi kuna daladala, bodaboda, basi na magari ya private
✅Ulaji wa vyakula hivyo vyenye asidi hutengeneza vik**asi flani hivi vyenye sumu wataalam wanaviita (toxic mucus )

✅Sasa hivyo vik**asi vikizidi kwenye mapafu unapata nimonia, vikizidi kwenye pancreatic duct unapata kisukari,

✅Vikizidi kwenye mapingili ya mwili na kwenye maungio ya magoti husabaisha mgongo kuuma na magoti kuuma , vikizidi kwenye retina husababisha upofu,

✅Vikizidi kwenye thyroid gland husababisha kansa ya koo, yaani vikizidi sehemu yoyote ile ya mwilini magonjwa ni halali yako.

✅ Tunaweza kumaliza magonjwa yote mwilini na kuishi bila kuumwa kwa kula vyakula vyenye nyongo kwa wingi na kupunguza au kuacha vyakula vyenye asidi.

✅ Nyongo inaondoa sumu mwilini.Lakini vyakula hivyo vyenye nyongo ni vipi?

✅ Limao ni mfano wa vyakula vyenye nyongo nyingi ingawa wengi tunadhani lina asidi. Limao ni msaada mkubwa kwa ini kwani humsaidia ini kuondoa sumu mwilini, jenga urafiki na limao.
✅Vyakula vingine vyenye nyongo au alkali ni k**a matunda,mbogazamajani za kijani,matango,tangawizi,na vyakula vya mizizi k**a ,viazi ,magimbi,muhogo, ndizi nk pia tupendelee kula vyakula jamii ya Maharage, mayai,maziwa na samaki.
✅Kumbe ni aina ya ulaji wetu ndiyo unafanya sisi kuandamwa na magonjwa. Tuleni vitu vya asili, mizizi kwa wingi.

✅Chai na kahawa ni sumu katika mwili, vinywaji hivyo tumia zako mchaichai au maji

✅Kutokunywa maji ni sawa na kulia chakula kwenye vyombo vichafu.
✅CHAKULA NA MAJI NI DAWA

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam