LMTM HErbal Centre
Tunashughulika na Tiba kwa kutumia dawa asilia zitokanazo na miti,wanyama,wadudu na matunda . Pia tuna dawa na mafuta kwa urembo na utanashati
Practitioners of traditional and alternative medicine n reseachers of remedies used by the maasai as alternative medicines
05/02/2026
Kwa update nyingi you can also visit our channel
MAASAI TRADITIONAL MEDICINE(LMTM HERBAL CENTRE)🥦🥦🧄 – WhatsApp channel Follow MAASAI TRADITIONAL MEDICINE(LMTM HERBAL CENTRE)🥦🥦🧄's WhatsApp channel. Tiba asili kwa magonjwa yote ya binadamu.... Join 1 follower for the latest updates.
03/09/2025
Sharing is caring...
📢CALL FOR. APPLICATION:
Anyone who got a passionate in quality control , quality assurance and the development of safe and effective herbal products don't miss this opportunity to advance your expertise !!
✅ Master of science in quality assurance & quality control of herbal products
✅ Master of science in herbal product development
📌 Duration: 2 Years
📌 Application deadline: 11th september 2025
25/02/2025
MAUMIVU YA TUMBO CHINI YA KITOVU KWA WANAWAKE.
Kutokana na sababu mbalimbali, wanawake wengi hupatwa na tatizo la maumivu ya tumbo chini ya kitovu kwa nyakati tofauti.
Maumivu haya mara nyingi hutokea katika kibofu cha mkojo au katika via vya uzazi vya mwanamke.
Mara nyingi ni ngumu kujua sababu hasa ya maumivu , lakini kwa kuzingatia dalili na maelezo ya mgonjwa ,daktari anaweza kujua chanzo cha tatizo.
DALILI NA SABABU ZA MAUMIVU YA TUMBO CHINI YA KITOVU KWA WANAWAKE.
• DALILI KUU ni maumivu ,ambayo yanaweza kuwa chini ya kitovu katikati, kulia na kushoto. Kuna yale ya upande mmoja yanayosambaa.
•Kuna maumivu mengine chini ya kitovu huwapata wanawake wanaposhiriki tendo la ndoa kwa ndani ya uke au chini ya kitovu.
•Pia yapo ambayo huwapata wanawake wakati wameinama, wakati wa kunyanyua vitu vizito, wakati wa kucheka au kuimba, na wngine wakiwa wamelala kifudifudi.
SABABU ZA MAUMIVU YA TUMBO CHINI YA KITOVU KWA WANAWAKE
👉Mirija ya uzazi kujaa maji mazito na machafu ambayo huzuia yai kutembea kwenye mirija ya uzazi.
Mwanamke ambaye amewahi kuambiwa na daktari kwamba anatakiwa asafishwe kizazi chake/mirija ya uzazi na wakati huo huo anasikia maumivu chini ya kitovu kushoto na kulia au upande mmoja kuna uwezekano akawa na tatizo la mirija ya uzazi kuziba kutokana na kujaa maji machafu.
👉Kutokukomaa kwa mayai ya uzazi.
Hii husababisha vifuko vya mayai ya uzazi kuvimba(ovaritis) na kumletea mwanamke maumivu chini ya kitovu mithili ya kichomi. Mwanamke ambaye anamaumivu chini ya kitovu na wakati huo huo ana matatizo ya hedhi mfano hedhi kukoma au kutokuwa na mpangilio maalum kunauwezekano mkubwa akawa na tatizo la vifuko vyake vya mayai ya uzazi kutokomaza mayai na hivyo mayai kutotoka kwenye vifuko hivyo na kusababisha kuvimba na hatimaye kumsababishia mwanamke maumivu makali mithili ya kichomi.
👉Kuvimba kwa kuta za mji wa mimba na kuta za mirija ya uzazi (PID/Pelvic Inflamatory Disease).
Mwanamke anayesikia maumivu chini ya kitovu katikati na pembeni kwa wakati mmoja na wakati huo huo akawa anatokwa na uchafu mzito mithili ya maziwa mtindi kunauwezekano akawa na PID hasa hasa k**a amewahi kukumbwa na tatizo la kuharibika kwa mimba kabla haijafikisha miezi mitano.
👉Afya mbovu ya kibofu cha mkojo ikiambatana na matatizo ya maambukizi kwenye mfumo mzima wa mkojo (UTI). Maumivu chini ya kitovu yanayohusisha afya mbovu ya kibofu cha mkojo huambatana na mgonjwa kutoa haja ndogo kidogo sana ila mara kwa mara.
MATATIZO HAYA YANATIBIKA, UONAPO DILILI HIZO WAHI MATIBABU KWANI MATATIZO MENGINE KATI YA HAYO NI HATARI .
K**A TAYARI UNASUMBULIWA NA P.I.D, MIRIJA KUJAA MAJI/UCHAFU AMA VIMBE KWENYE MAYAI MATIBABU YAPO PIGA/SMS INBOX NAMBA 0717500072/0743198164
https://chat.whatsapp.com/H2SEW1tCWBqB5oUNjlCwXo
Wanafamilia habari zenu.
TABIA 7 ZINAZOKUCHELEWESHA KUPONA BAWASIRI.
1. Kutokunywa maji ya kutosha kila siku
Tafiti zinasema kutokunywa maji ya kutosha kila siku kunaweza kukuletea ugonjwa wa bawasiri.
K**a haunywi maji mengi ya kutosha kila siku ni rahisi sana wewe kupatwa na tatizo la kufunga choo au kupata choo kigumu kila mara na mwisho wake ni bawasiri.
Maji ni maji. Juisi, chai, soda au pombe haviwezi kuwa mbadala wa maji na tena vinywaji hivi vinaweza kukausha zaidi hata yale maji machache uliyonayo tayari mwilini.
Haijalishi uwe unaishi sehemu zenye joto au sehemu za baridi jizoeshe tabia ya kupenda kunywa maji mengi ya kutosha kila siku kwa mjibu wa uzito wako.
2. Kukaa tu chini au kwenye kiti masaa mengi
Kwenye dunia hii ya sasa ya kidigitali unaweza kupata vitu vingi ukiwa umekaa tu kwenye computer, simu au runinga (TV).
Wakati maisha yanaweza kuonekana rahisi kuishi kwa namna hii bado aina hii ya maisha inaweza kudhoofisha misuli ya mwili wako na kukuletea Zaidi bawasiri.
Unapokaa tu masaa mengi ni rahisi kuongezeka uzito na unene ni moja ya sababu kuu inayosababisha ugonjwa wa bawasiri.
Mazoezi ya viungo mara nyingi ni dawa ya uhakika kwa magonjwa mengi yatokanayo na tabia.
Kukaa mua mrefu kwenye kiti au chini kunavuruga na kuharibu mfumo wa mmeng’enyo wa chakula na kukuletea magonjwa k**a bawasiri, vidonda vya tumbo, gesi kujaa tumboni na mengine mengi yanayohusiana na tumbo.
Tazama TV kwa vipindi vile mhimu tu hasa taarifa ya habari, tofauti na hapo usitumie zaidi ya saa moja ukiwa umekaa tu ili kuepuka kuongeza zaidi tatizo la bawasiri.
3. Kula Zaidi vyakula feki
K**a unaishi mjini basi ni ukweli usiopingika kwamba unakula Zaidi vyakula feki (junk foods) na tena vingine vyenye kusisimua (spiced).
Vyakula hivi huongeza msukumo au presha sehemu ya eneo la misuli ya haja kubwa. Jambo hili linaweza kukuletea bawasiri au kuchelewesha uponyaji wa bawasiri uliyonayo tayari.
Vyakula feki ni vyakula vya madukani, vya kwenye makopo
27/10/2023
TATIZO LA KUKOSA USINGIZI (INSOMNIA)
Tatizo la kukosa usingizi (insomnia) linawapata mamilioni ya
watu duniani. Kukosa usingizi (insomnia) ni tatizo la kawaida
linalomfanya mtu ashindwe kupata usingizi, kuendelea kulala,
au kuamka mapema sana alfajiri na kushindwa kupata
usingizi tena akirudi kitandani. Unaweza kuamka na kujisikia
bado umechoka. Insomnia haikupunguzii nguvu na
uchangamfu wako tu, bali afya, ufanisi wa kazi na bora wa
maisha yako.
Watu wengi hupata tatizo la kukosa usingizi kwa kipindi
kifupi, kinachodumu siku au wiki kadhaa. Mara nyingi hiï
hutokana na msongo wa mawazo au kuumia sehemu ya mwili.
Lakini watu wengine hupata insomnia inayodumu mwezi au
zaidi.
Dalili Za Tatizo La Kukosa Usingizi
Kushindwa kupata usingizi usiku
Kuamka usiku
Kuamka mapema mno asubuhi
Kusikia k**a hujapumzika vizuri baada ya kuamka
Uchovu na kusinzia mchana
* Hasira, mfadhaiko na wasiwasi
Shida kutuliza mawazo, kufanya jambo moja ulilokusudia
na usahaulifu
> Kufanya makosa mengi au ajali
> Kuwa na wasiwasi
https://chat.whatsapp.com/H2SEW1tCWBqB5oUNjlCwXo
29/09/2023
Je, Nini Vyanzo Vya Mzunguko Mbaya Wa Damu?
K**a nilivyosema hapo awali kwamba zipo sababu nyingi mbalimbali, lakini nitapenda nielezee baadhi ya sababu hizi nazo ni k**a hizi zifuatazo:
1. Mishipa Ya Ateri Kusinyaa
Ugonjwa wa mishipa ya ateri kusinyaa ni aina ya ugonjwa wa mishipa ya damu. Ugonjwa wa mishipa ya damu ambao husababisha kusinyaa kwa mishipa ya ateri. Ugonjwa huu unaweza kusababisha mzunguko mbaya wa damu chini, hasa kwenye miguu yako. Kwenye ugonjwa uliohusishwa k**a vile mafuta kujaa kwenye mishipa ya damu(atherosclerosis), mishipa ya ateri hukak**aa kwasababu ya mafuta au uchafu unaogandamana kwenye kuta za mishipa kwa ndani ya mishipa ya damu. Magonjwa yote haya mawili hupunguza mtiririko wa damu kwenye miguu na kunaweza kutokea maumivu.
Kupungua kwa mtiririko wa damu kwenye miguu kunaweza kusababisha matatizo k**a haya:
• Miguu kufa ganzi na kuchomachoma
• Mwili kuchoka
• Miguu kuuma
• Miguu kuvimba
Muda mwingine inaweza kusababisha mishipa ya neva pamoja na tishu kuvimba.
Pasipo kufanya matibabu haraka, mwendo mdogo wa damu pamoja na uchafu au mafuta kwenye kuta za mishipa ya damu kunaweza kusababisha kiharusi. Mishipa ya ateri ni mishipa mikuu ya mishipa midogo ya damu inayopeleka damu kwenye ubongo. K**a mafuta yakilundikana kwenye kuta za mishipa ya ateri kwa ndani, basi utakuwa na hatari ya kupatwa na shambulio la moyo.
2. Mabonge Ya Damu
Mabonge ya damu huziba mtiririko wa damu, yaweza kuwa kwa muda au kwa kudumu. Yanaweza kuendelea kuwapo mahali popote mwilini mwako, lakini mabonge ya damu yanayoendelea kwenye mikono au miguu yanaweza kusababisha matatizo ya mzunguko wa damu.
Mabonge ya damu yanaweza kuendelea kutokana na sababu mbalimbali, na yanaweza kuwa hatari mno.!
https://chat.whatsapp.com/H2SEW1tCWBqB5oUNjlCwXo
13/02/2023
SARATANI YA KOO (CANCER OF THE ESOPHAGUS)
Saratani ya koo ni miongoni mwa magonjwa ya kutisha. Ni aina ya saratani inayokumba tezi ya thyroid . Ikumbukwe kuwa tezi ya thyroid ipo sehemu ya mbele ya shingo ya mwanadamu ikiwa na sehemu mbili (lobes) moja kila upande wa shingo.
AINA ZA SARATANI YA KOO
✍🏻Kuna aina kuu mbili za kansa ya koo, nazo ni;
👉🏻Adenocarcinoma
👉🏻squamous cell carcinoma.
✍🏻Aina hizi hutofautiana kulingana na jinsi seli zake zinavyoonekana kwenye darubini. Hata hivyo, pamoja na tofauti hizi za kimuonekano, utambuzi na matibabu ya aina hizi za saratani ya koo hufanana.
✍🏻Aina zote hizi mbili huanza kwanza kuathiri seli zilizo katika utando wa ndani wa ukuta wa koo yaani mucosa kabla ya kusambaa maeneo mengine.
VISABABISHI
👉🏻Umri (watu wenye umri mkubwa 40 na kuendelea)
👉🏻Jinsia (Wnaume wako hatarini zaidi)
👉🏻Uvutaji sigara
👉🏻Unywaji pombe kupindukia
👉🏻Ukosefu wa lishe bora
👉🏻Unene kupindukia
👉🏻Matatizo ya tumbo
👉🏻Tatizo sugu la kucheua tindikali
DALILI ZA SARATANI YA KOO
👉🏻Chakula kukwama kwenye koo.
👉🏻Maumivu wakati wa kumeza chakula hasa chakula kigumu
👉🏻Maumivu kwenye kifua au mgongoni
👉🏻Kupungua uzito
👉🏻Kiungulia
👉🏻Sauti ya mkwaruzo au kikohozi kikavu cha zaidi ya wiki mbili
✍🏻Hata hivyo ifahamike kuwa dalili hizi zinaweza kutokea pia kwa baadhi ya magonjwa mengine tofauti na saratani ya koo. Hivyo ni vizuri kumuona daktari kwa uchunguzi zaidi.
MATIBABU
Baada ya mgonjwa kufanya uchunguzi na kugundua tatizo, tunatoa dawa inayotibu kulingana na aina na stage alipofikia
0756181816/0717500072/Whatsapp 0743198164
Follow this link to join my WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/H2SEW1tCWBqB5oUNjlCwXo
*JINSI YA KUJIKINGA NA UGONJWA WA BAWASIRI*
1. Kula vyakula asilia kwa wingi. Kula matunda zaidi, mbogamboga na nafaka nzima (zisizokobolewa). Kufanya hivyo kunalainisha kinyesi na kuongeza wingi wake, ambayo itakusaidia kuepuka na shida inayoweza kusababisha Bawasiri.
2. Kunywa maji mengi kunywa glasi 6 had nane za maji ( au lita 2~3) na vimiminika vingine k**a chai au juisi za matunda halisi (sio pombe) kila siku kusaidia kuweka kinyesi laini.
3. Kula virutubisho vya nyuzinyuzi. Watu wengi hawapati kiwango cha nyuzinyuzi (Fibres) kilichopendekezwa - gramu 20 hadi 30 kwa siku katika lishe yako. Uchunguzi umeonesha kuwa virutubisho vya nyuzinyuzi, k**a vile psyllium (Metamucil) au methylcellulose (citrucel) huboresha Dalili za jumla na kutokwa na damu kutokana Bawasiri.
4. Vuta pumzi kisha shikilia pumzi yako wakati wa kujaribu kupitisha kinyesi.
*👈5. Nenda haja mara tu unapohisi hamu. Ikiwa unasubiri na hamu inakwenda, kinyesi chako kinaweza kukauka na kuwa KIGUMU kupitisha.*
*6. Fanya mazoezi. Kuwa imara kunasaidia kuvimbiwa na Kupunguza SHINIKIZO kwenye mishipa, ambayo inaweza kutokea kwa muda mrefu wa kusimama au kukaa. Mazoezi pia yanaweza kusaidia kupoteza uzito kupita kiasi ambao huchangia Bawasiri.*
*7. Epuka kukaa kwa muda mrefu. Kukaa muda mrefu sana, haswa kwenye choo kunaweza kuongeza shinikizo kwenye mishipa katika sehemu ya haja kubwa.*
_Tunajali matibabu bora na ushauri_🩺
Usisite kuwasiliana nasi endapo unasumbuliwa au unamfahamu mtu mwenye changamoto hii kwa muda mrefu
*📝Bawasiri husababisha maumivu na kuwasha hasa sehemu ya haja kubwa na ugumu wa kukaa.*
*VYANZO VYA UGONJWA WA BAWASIRI*
1. Kuwa na kinyesi kigumu (constipation).
2. Kuketi kwa muda mrefu kwenye choo.
3. Kuharisha (kuhara) mara kwa mara.
4. Kuvimbiwa pamoja na gesi tumboni (hali ya tumbo kujaa gesi).
5. Kuwa mnene au mzito.
6. Kuingiliwa kinyume na maumbile.
7. Kutokula vyakula vyenye nyuzinyuzi.
8. Kuinua/kunyanyua vitu vizito mara kwa mara.
9. Kutokunywa maji mara kwa mara.
*MADHARA/ATHARI ZA UGONJWA WA BAWASIRI*
1. Upungufu wa damu; mara chache upotezaji damu sugu kutoka kwa Bawasiri Unaweza kusababisha upungufu wa damu ambayo hauna seli nyekundu za kutosha za damu kubeba oksijeni kwenye seli za mwili.
2. Bawasiri sugu huweza kusababisha maumivu makali.
3. Kinyesi kutoka bila kujitambua.
4. Kusumbuliwa na maumivu ya uti wa mgongo, kiuno na nyonga.
5. Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi vizuri kutokana na Maumivu.
6. Bawasiri huweka hatari ya vimelea na saratani ya utumbo mpana (COLON CANCER) na Saratani ya sehemu ya haja kubwa (A**L CANCER).
*KWANINI KUFANYIWA UPASUAJI SIO MZURI?*
✍🏽 Bawasiri kwa hospitali ni kufanyiwa upasuaji mdogo (minor surgery) kwa ajili ya kuondoa kinyama.
*✍🏽 Mapungufu makubwa ya matibabu haya ni kwamba asilimia kubwa ya wagonjwa wanaofanya upasuaji wa tatizo hili, tatizo HUJIRUDIA kwasababu upasuaji huondoa athari za tatizo yaani ni sawa na kukata mti ukaacha mzizi bila shaka mti huo utachipua na kumea tena. Lakini pia upasuaji wa Bawasiri huwa na maumivu makali sana na uponaji wa kidonda huchukua mpaka miezi miwili, hali hii ya kukaa na kidonda kwa muda mrefu huweza kupelekea kupata kansa ya utumbo.
Follow this link to join my WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/H2SEW1tCWBqB5oUNjlCwXo
09/02/2023
*BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE*
➖ Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa
*CHANZO CHA BAWASIRI*
➖ Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
➖ Tatizo sugu la kuharisha
➖ Ujauzito
➖ Uzito wa mwili kupita kiasitt
➖ Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
➖ Kupata haja kubwa ngumu
➖ Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
➖ Kunywa pombe
➖ Kula sana nyama nyekundu
➖ Vidonda vya tumbo
➖ Ngiri(Chango/Hernia
➖ Kula sana pilipili
➖ Kunyanyua vitu vizito
*DALILI ZA BAWASIRI*
➖ Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
➖ Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
➖ Kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
➖ Kupata kinyesi chenye damu
➖ Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
➖ kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa
➖ Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa
➖ Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya utumbo (Cancer) kwasababu kile kinyama kinakaa k**a kidonda
➖ Uume kusinya (unapoteza urefu na ukak**avu)
*MADHARA YA BAWASIRI*
➖ Upungufu wa damu mwilini
➖Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
➖ Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
➖ Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
➖ Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
➖ Kupata tatizo la kisaikolojia
➖ Kutopata ujauzito
➖ Mimba kuharibika
kwa matibabu bila upasuaji piga *0717500072/0756181816/Whatsapp 0743198164*
Follow this link to join my WhatsApp group:
KUTOPATA CHOO KWA MUDA MREFU AU KUPATA CHOO KIGUMU - (CONSTIPATION) - SULUHISHO
"CONSTPATION NI NINI ?
Hili ni Tatizo la kutopata Kwa Muda Mrefu au Kupata Mara Chache
Lakini Kwa Shida Sana na Nguvu Kubwa huwa inatumika Katika Kuhakikisha Walau hicho Kidogo Kinatoka , Kwa Sababu Ya Choo hicho Kuwa Kwenye Muundo K**a tope Jeusi au Vipande Vipande K**a Cha Mbuzi na Kwa Kiwango Kikubwa Kinatawaliwa na Miungurumo isiyokwisha tumboni na Hewa Nyingi Wakati wa Kwenda haja ( Kujamba Sana ) Inayoambatana na Harufu Kali Sana.
CHANZO CHA CONSTIPATION NI NINI ?
Constipation inasababishwa na mfumo mbovu wa mmeng'enyo wa chakula
Kwenye utumbo mdogo ambao una urefu wa takribani mara 10 mpaka 13 ya urefu wa mtu husika , Kwenye Utumbo huo kuna Villars , hivi ni k**a vidole ambavyo muda Wote huwa vinachezacheza ili kumeng'enya chakula ,
Ila kutokana na sumu tunazoingiza mwilini kila siku kutoka kwenye vinywaji , Chakula , Dawa , Hewa tunzovuta Pamoja na Mafuta tunayokula kwenye vyakula huwa Viaenda kujipachika katikati ya Villars (vidole) na hivyo kusababisha vidole visimame (blocked)
hivyo chakula Kinakuwa hakimeng'enywi na kusababisha chakula tunachokula kupitiliza moja kwa moja kwenye utumbo mkubwa K**a Kilivyo na hapo ndio tatizo linapoanzia.
Tatizo hili la Constipation hupelekea Watu kupata Magonjwa Mengi na Kusababisha Vifo Vingi Sana Kwa Watu Mbali Mbali Mbali na Wengine Bila Kufahamu Chanzo Cha Magonjwa Waliyonayo - Hata Baada ya Vipimo Vya Kimaabala .
K**a Unapata Choo Mara Moja(1) Kwa SIKU Na Unakula Mara Tatu (3) Upo Kwenye Hatari Kubwa Ya Kupata Magonjwa Yafuatayo:
~Kansa ya Utumbo.
~Uzito uliozidi.
~Bawasir i(Vinyama sehemu ya haja kubwa).
~Maumivu ya Kiuno , Mgongo , Mabega , Kichwa , Misuli.
~Kukosa usingizi(Insomnia)
~Kukosa hamu ya kula (Loss of appetite).
~Tumbo kujaa gesi.
~Vidonda vya tumbo (Ulcers).
~Upungufu wa nguvu za kiume.
~Kushindwa kubeba mimba au kuzaa ( Ugumba ).
~Kupasuka kwa utumbo.
~Ileocecal valve incompetence.
~Kutoa harufu mbaya mdomoni
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
79289
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |