Mary Unyunyu
It deals with all kind of cosmetics and Perfumes for Both Men and Women....@maryunyunyu
12/11/2024
Create memories with your signature scent. We are here to serve you, dear customer. For affordable prices 😍🥰.
07/08/2024
Marashi (kutoka kitenzi chenye asili ya Kiarabu “kurasha”; kwa Kiingereza “perfume”) ni mchanganyiko wa mafuta na manukato yanayonukia vizuri ambayo hupulizwa au kupakwa katika mwili, nguo, viatu au hata nyumba. Marashi hufanya kunukia vizuri hata pahala palipokuwa pakinuka vibaya
Utumiaji wa marashi ya kisasa ulianza katika karne ya 19 baada ya kutengenezwa kwa vitu k**a vanilin na coumarin.
Utengenezaji wa marashi ulianzia nchini Mesopotamia na Misri na baadaye kuboreshwa katika nchi za Warumi na Persia.
Mtengenezaji wa kwanza wa marashi yaaminika alikuwa mwanamke aliyebobea katika somo la Kemia. Kwa jina aliitwa Tapputi. Ametajwa katika maandishi ya kale ya Mesopotamia. Alitengeneza marashi kwa kuchanganya maua yaliyopondwapondwa, mafuta, calamus na manukato mengine. Mchanganyiko huo aliuchunga na kuuweka kwa muda.....Tutaendelea..............🌺 💪 😍 #🌺
07/08/2024
Unakuwaje mdada wa mjini na hunukii??? Unaijua ASALI wewe ushawahi kugandwa basi k**a unataka ugandwe k**a Luba kila utakapo pita usikose hii Perfume inapatikana kwa TZS 80,000/= tu🌹
06/08/2024
Gentlemen Mirada hii Wakaka siyo ya kukosa kabisa Sheria za kuwa Gentlemen lazima unukie vizuri 🌹🔥Karibuni sana
06/08/2024
RAMZ LATIFA kiboko ya wanaopenda kunukia vizuri na kunukia k**a oud yani ni balaaa , Usikubali kuacha maadui zako wakucheke kwa kunuka jasho , Available now Tzs 45,000/=
03/08/2024
Usikubali kukosa hii kitu mdada yani ni balaa.Inapatikana kwa Tsh 40000/= Pia kwa jumla kuanzia pc 6 utapata kwa Tsh 25000 karibuni sana🌹
03/08/2024
PERFUME ZA KUPIMA ZINAPATIKANA KATIKA MILLS TOFAUTI NA SMELLS ZOTE ZA KIJANJA
USIWAZE KUHUSU KUNUKIA WEWE TOA HELA NIKUTENGENEZEE BOMU HATARI😊🔥 ... Tunauza kwa jumla na Rejareja karibuni...
..Mills 3...Tsh 5000..Mills 6...Tsh 10000.. Mills 12...Tsh 15000.. Mills 30...Tsh 25000..Mills 50...Tsh 35000.. Mills 100...Tsh 55000 .
Karibuni Mary Unyunyu kiboko ya vijasho mjini 😊
03/08/2024
Good morning my beautiful customers,, Tupo tayari kuwahudumia chagua smell nzuri utingishe maadui zako tunapokea oda karibuni sana….🥰
17/11/2023
Anza siku yako ukinukia kitajiri karibuni tunapokea oda 🥰🌺yuh
18/10/2023
AROMA SENORA NATURAL SPRAY
🌺AVAILABLE NOW
🌺TSH 150,000/=
🌺PRESS YOUR ORDER NOW
CALL/ WHATSAPP VIA MY BIO 😊🙏
18/10/2023
UNYUNYU MATATA KABISA
USIKUBALI KUNUKA KIJASHO KARIBU TUKUHUDUMIE 🌺🌺
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Dar Es Salaam