Mary Unyunyu

Mary Unyunyu

Share

It deals with all kind of cosmetics and Perfumes for Both Men and Women....@maryunyunyu

12/11/2024

Create memories with your signature scent. We are here to serve you, dear customer. For affordable prices 😍🥰.

07/08/2024

Marashi (kutoka kitenzi chenye asili ya Kiarabu “kurasha”; kwa Kiingereza “perfume”) ni mchanganyiko wa mafuta na manukato yanayonukia vizuri ambayo hupulizwa au kupakwa katika mwili, nguo, viatu au hata nyumba. Marashi hufanya kunukia vizuri hata pahala palipokuwa pakinuka vibaya

Utumiaji wa marashi ya kisasa ulianza katika karne ya 19 baada ya kutengenezwa kwa vitu k**a vanilin na coumarin.

Utengenezaji wa marashi ulianzia nchini Mesopotamia na Misri na baadaye kuboreshwa katika nchi za Warumi na Persia.

Mtengenezaji wa kwanza wa marashi yaaminika alikuwa mwanamke aliyebobea katika somo la Kemia. Kwa jina aliitwa Tapputi. Ametajwa katika maandishi ya kale ya Mesopotamia. Alitengeneza marashi kwa kuchanganya maua yaliyopondwapondwa, mafuta, calamus na manukato mengine. Mchanganyiko huo aliuchunga na kuuweka kwa muda.....Tutaendelea..............🌺 💪 😍 #🌺

07/08/2024

Unakuwaje mdada wa mjini na hunukii??? Unaijua ASALI wewe ushawahi kugandwa basi k**a unataka ugandwe k**a Luba kila utakapo pita usikose hii Perfume inapatikana kwa TZS 80,000/= tu🌹

06/08/2024

Gentlemen Mirada hii Wakaka siyo ya kukosa kabisa Sheria za kuwa Gentlemen lazima unukie vizuri 🌹🔥Karibuni sana

06/08/2024

RAMZ LATIFA kiboko ya wanaopenda kunukia vizuri na kunukia k**a oud yani ni balaaa , Usikubali kuacha maadui zako wakucheke kwa kunuka jasho , Available now Tzs 45,000/=

03/08/2024

Usikubali kukosa hii kitu mdada yani ni balaa.Inapatikana kwa Tsh 40000/= Pia kwa jumla kuanzia pc 6 utapata kwa Tsh 25000 karibuni sana🌹

03/08/2024

PERFUME ZA KUPIMA ZINAPATIKANA KATIKA MILLS TOFAUTI NA SMELLS ZOTE ZA KIJANJA
USIWAZE KUHUSU KUNUKIA WEWE TOA HELA NIKUTENGENEZEE BOMU HATARI😊🔥 ... Tunauza kwa jumla na Rejareja karibuni...
..Mills 3...Tsh 5000..Mills 6...Tsh 10000.. Mills 12...Tsh 15000.. Mills 30...Tsh 25000..Mills 50...Tsh 35000.. Mills 100...Tsh 55000 .

Karibuni Mary Unyunyu kiboko ya vijasho mjini 😊

03/08/2024

Good morning my beautiful customers,, Tupo tayari kuwahudumia chagua smell nzuri utingishe maadui zako tunapokea oda karibuni sana….🥰

17/11/2023

Anza siku yako ukinukia kitajiri karibuni tunapokea oda 🥰🌺yuh

18/10/2023

AROMA SENORA NATURAL SPRAY
🌺AVAILABLE NOW
🌺TSH 150,000/=
🌺PRESS YOUR ORDER NOW
CALL/ WHATSAPP VIA MY BIO 😊🙏

18/10/2023

UNYUNYU MATATA KABISA

USIKUBALI KUNUKA KIJASHO KARIBU TUKUHUDUMIE 🌺🌺

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Website

Address


Dar Es Salaam