mixh na afya

mixh na  afya

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from mixh na afya, Health/Beauty, Dar es salaam, Dar es Salaam.

27/12/2024

UJUMBE HUU NI MUHIMU SANA KWAKO

Rejesha afya na furaha yako

Tokomeza tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ndani ya wiki moja:

Upungufu wa nguvu za kiume:- Ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamilifu au kushindwa kusimamisha uume vizuri.

Shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, hisia na mishipa ya damu, misuli ya uume.

Tafiti zinaonesha kuwa katika wanaume watano (5) basi mmoja kati yao ana tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

Upungufu wa nguvu za kiume huashiria kutokuwa sawa kiafya hivyo ni tatizo linalohitaji tiba.

1) Kukosa Hamu Ya Kufanya Tendo La Ndoa.

2) Kutokuwa Na Uwezo Wa Kurudia Tendo La Ndoa Zaidi Ya Mara Moja.

3) Kutokuwa Na Uwezo Wa Kusimamisha Uume Kabisa.

4) Kuwahi Kufika Kileleni.

5) Kuchoka Sana Baada Ya Tendo La Ndoa Na Hata Kukinai Kabisa/Hata Kusikia Kichechefu.

SABABU ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME:

Zifuatazo ni baadhi ya sababu za tatizo la upungufu wa nguvu za kiume;

-Uzito kupita kiasi na unene uliozidi.

-Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi.

-Uvutaji wa sigara na unywaji wa pombe.

-Kuwa na mawazo na wasi wasi.

-Kuwa na tatizo la kibofu cha mkojo.

-Matumizi makubwa ya dawa zenye kemikali za kutibu magonjwa k**a kansa, vidonda vya tumbo, kisukari, presha, magonjwa ya moyo nk.

-Tabia za kujichua kwa muda mrefu.

-Umri hasa wazee Wasiliana Nasi 0693874271

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam
Dar Es Salaam