jide online clinc

jide online clinc

Share

tuna wasaidia watu kujenga afya kwa kutumia virutubisho

04/04/2025

👆Hiyo Mishipa Yenye rangi Nyekundu ni mishipa ya damu ya uume inaitwa *"Pe**le Artery"* Mishipa hii ikijaa damu ndo uume unasimama.
Damu Ikitoka na Uume na unalala na Kusinyaa.

*♥︎ Sasa K**a wewe katika ujana wako ulikuwa unajichua Mara kwa Mara,* Ulikuwa unaiua mishipa hii taratibu na kwasasa k**a unapata shida kusimamisha Uume Basi tambua hii mishipa imekufa.

*♥︎ K**a Umetumia Sana Vi**ra au Madawa ya Ku Boost,*
Madawa hayo yanaongeza Msukumo mkubwa wa damu kwa mara moja, hali ambayo hupelekea Baadhi ya Mishipa hiyo Kupasuka kutokana na Udogo wa hiyo Mishipa au Kutanuka sana hali ambayo hupelekea Mishipa hiyo kupoteza Uwezo wake.

*♥︎Magonjwa Ya Presha, Sukari, Uzito Mkubwa* Magonjwa huathiri sana Mishipa hii ya Damu na Kuifanya kujaa Mafuta Mabaya (Cholesterols) na Kupunguza Kiasi cha Damu inayoingia Kwenye Mishipa hii. Hali hii husababisha Uume Kushindwa Kusimama Vizuri.

K**a Umeathiriwa na Changamoto hizo na hutaki kupata Tiba itafikia hatua wewe hata uwekewe kiuno kwenye uume wako Jamaa atakuwa analala tu , hata uchezewee vipi jamaa bado atakuwa analala tuu🙅‍♂️

_*SULUHISHO LAKE LIPO...*_

K**a Upo tayari kutatua hilo tatizo Virutubisho Vya Omega 3, Maca, Nature Min na Pollen Supplement Vitakusaidia Kumaliza Kabisa Changamoto Hii.

Siku 5 Mpaka 10 za kuanza Matumizi, tayari utakuwa umeanza kuona Matokeo mazuri Kabisa.

✅*_Dozi hii Nzima Utaipata Kwa Tsh.366,000/= Tuu_*

✅ *_Nusu Dozi Utaipata Kwa Tsh. 185,000/= Tuu_*

✅*_Robo Dozi Utaipata Kwa Tsh.135,000/= Tuu_*

*Wewe Utapenda Upate Full Dozi, Nusu Dozi au Robo Dozi ??*

*Nifahamishe tafadhali

Tuwasiliane kwa whatsapp namba 0620 414 884

02/04/2025

Kwakawaida ili mwanamke aweze kufika kileleni inamchukua dk 10 adi dk 15 apo kwa wastani anaweza kufika kileleni,...
..Sasa ili mwanaume kuhakikisha mwanamke anafika kileleni ni lazima uwe na uwezo wa kushiriki tendo la ndoa zaidi ya mwanamke yaani dk 15 adi dk 20 apo lazima utafanikiwa kumridhisha MWANAMKE bila hivyo ni ndoto kumfikisha kileleni...
.Sasa kwa bahati mbaya wanaume wengi wanachukua dk 5 adi 10 tu kufika kileleni mapema jambo linalopelekea kushindwa kumridhisha mwanamke,..
..ili kuhakikisha unashiriki tendo la ndoa kwa muda mrefu ni lazima upate kiwango kikubwa cha madini proteini na vitamini kwa kiwango sawa ambavyo vitaenda KUCHOCHEA uzalishwaji wa homoni za kiume(Testosterone)..
.Homoni za kiume ndio msingi wa mwanaume kushiriki vizuri tendo la ndoa bila kuchoka wala kuwahi kufika kileleni mapema, mwanaume unapoona UNAWAHI kufika kileleni mapema hizi homoni zinazalishwa kwa kiwango kidogo na si kingine...

Na ndio maana unashauriwa walau kupata package ya multi maca, bee pollen na Nature mini ili kwenda kusaidia kuchochea uzalishwaji wa homoni za kiume..

Na ndio maana mwanaume ambaye anatumia hii package anakuwa na uwezo mkubwa wa kushiriki tendo la ndoa zaidi ya malamoja bila kuchoka wala kuwahi kufika kileleni mapema kikubwa zaidi itakusaidia kuwa na uume wenye nguvu ambao unasimama kwa muda mrefu

Kikubwa zaidi hii package siku yaleo nitakusaidia kuipata kwa 275,000/= tu, by the way k**a ikitokea UMELIPIA sasahivi nitakusaidia kuipata kwa 195,000/= tu..

Kioffici tupo makumbusho pamoja na Mwananyamala A dar es salaam..kwa watu ambao wapo dar es salaam unaweza kuja officn au ukaletewa..

Kwa watu wa mikoani unasafirishiwa package yako unapokea tunaanza utaratibu unasafirishiwa baada ya kulipia package yako..

26/03/2025

_*Kwanini Wanaume Wengi Wakifikisha Umri wa Miaka 38 na Kuendelea, Wanaanza Kupata Dalili za Kutanuka Kwa Tezi Dume?*_

*Iko Hivi...*

▪︎Kila Mwanaume ameumbwa akiwa na hii Ogani ya Tezi Dume.

Ili hii Tezi Dume Iweze Kufanya Kazi Yake Vizuri hutegemea Homoni ya Kiume Ya *Testosterone*, Hivyo ili Tezi Dume Ifanye Kazi Vizuri lazima kuwe na Kiwango sahihi Cha Homoni hii ya Kiume Mwilini.

Sasa, Kadiri Umri Unavyoongezeka Kwa Baadhi ya Wanaume Kiwango Cha *Testosterone* huanza Kupungua Mwilini.

Hali hii Hupelekea kuanza Kujitokeza Kwa mabadiliko ya k**emia Kwenye Homoni hii ya *Testosterone* na Kuipelekea Kuwa *Dihydrotestosterone (DHT)*

Mabadiliko haya Husababisha Seli za Tezi Dume Kukua zaidi (Kuvimba) na hivyo Kusababisha Tezi Dume Kuwa na Ukuaji Mkubwa Usio wa kawaida.
Na Matokeo yake Hupelekea Tatizo La Kutanuka Kwa Tezi Dume Kuwa Kubwa Zaidi.

▪︎Lakini Pia Kiwango cha Homoni hii ya Kiume (Testosterone) Kinapoanza Kupungua Mwilini, Hupelekea kwa Homoni ya k**e (Estrogen) Kuongezeka ikilinganishwa na Testosterone.
Hii Huchangia ukuaji wa tezi dume kuwa Kubwa Zaidi.

_*Mambo Yanayochangia Kupungua Kwa Homoni Ya Testosterone Mwilini...*_

▪︎ Kuwa na Stress ambayo huongeza kiwango cha Homoni ya Cortisol Mwilini.
Cortisol hupunguza kiwango cha Testosterone kwa mwanaume.

▪︎Kutopata Lishe Nzuri,
Hali hii hupelekea mwili kuwa na upungufu wa madini, Vitamins muhimu k**a zinc, Vitamin D, selenium na upungufu wa virutubisho lishe vingine muhimu Mwilini.

▪︎Matumizi ya Pombe, Sigara na madawa ya kulevya hupunguza kiwango cha testosterone mwilini.

▪︎Mwili kuwa na Uchovu Mwingi, Kukosa Usingizi wa Kutosha na Kuwa na Depression.

▪︎Kuwa na Magonjwa ya Muda Mrefu na Matumizi ya Dawa fulani kwa Muda mrefu k**a vile Kisukari, Presha nk.
Dawa na Magonjwa hayo hupelekea Kupungua kwa Homoni hii ya Testosterone.

_*Nini Ufanye Kumaliza Tatizo La TEZI DUME BILA UPASUAJI na Jinsi ya Kujilinda Ili Usipate Tatizo Hili?*_

✅ Tumia Virutubisho Lishe (Natural Supplements),
Hii ni Dozi ya Virutubisho yenye Mchanganyiko wa Nutrients Muhimu ambazo K**a Mwanaume Unahitaji Kuzipata,

*Ambazo zitakusaidia Katika:*

➖Kusafisha Taka (Sumu) Mwilini ambazo mara nyingi tunaziingiza Kwa Kupitia Hewa tunayovuta, Sigara, Vyakula na Vinywaji Tunavyotumia Kila Siku.

➖ Kuongeza Kiwango Cha Homoni ya Kiume(Testosterone) Mwilini. Homoni hii ni muhimu sana kwa Afya Ya Tezi Dume.

➖Kuondoa Vimbe mwilini na Kuongeza Kiwango cha seli muhimu mwilini.

➖ Kumaliza Tatizo la Tezi Dume Kutanuka na Kuondoa Dalili zake k**a upo Katika Hatua za Awali.

➖ Kuweka Sawa Mzunguko Mzuri wa Damu na Kuondosha Mafuta Mabaya Katika Mishipa.

Hizo ni Baadhi ya Faida Chache kati ya Nyingi sana ambazo utazipata, Ukiwa Unatumia Dozi Yako ya Virutubisho.

*Jinsi Ya Kuipata Dozi...*

✅ Full Dozi Inapatikana Kwa Tsh. 396,000/=

✅ Nusu Dozi Inapatikana Kwa Tsh. 200,000/= na

✅ Robo Dozi Inapatikana Kwa Tsh. 166,000/=

*Wewe Unahitaji Uipate Dozi ipi katika hizi?*

*MAWASILIANO ZAIDI NIPIGIE:*
0620 414 884 au 0620 414 884

25/03/2025

*"FAHAMU UMUHIMU WA MADINI YA ZINC KWENYE AFYA YAKO MWANAUME"*

●Zinc ni madini muhimu mno katika afya ya binadamu kiasi ambacho ukosefu kidogo unaweza kuleta madhara makubwa.

●Zinc ni madini ya muhimu sana kwa sababu yanatumika ndani ya kila kiungo cha mwili wako na yanahusika kwa karibu sana na kugawanyika kwa seli za mwili.

●Zinc ni muhimu kwa usafirishwaji wa vyakula mwilini, ni muhimu kwa kuimarisha kinga ya mwili na ukuaji wa tishu mbalimbali za miili yetu.

●Zinc hiyo hiyo ndiyo huzalisha vichocheo muhimu kwa ajili ya homoni za uzazi k**a Testosterone, hivyo unapokuwa na mapungufu ya hamu ya tendo la ndoa, uume mlegevu, kuwahi kufika kileleni, saratani ya tezi dume, ugumba au Kushindwa kutungisha mimba.basi tambua kuwa una mapungufu pia ya madini ya Zinc mwilini mwako!

●Mwili hauna uwezo wa kutunza au kuzalisha Zinc, hivyo inahitajika wewe mwenyewe uweze kuulisha Zinc ya kutosha ili kuendana na mahitaji yako ya kila siku.

MADINI YA ZINC PIA HUSAIDIA

1 Kusawazisha kiwango cha sukari katika mwili

2 Kusaidia utengenezwaji wa protini kwenye mwili

3 Kusaidia kusapoti mfumo wa upumuaji

4 Kuongeza ufanyaji kazi wa seli za mwili

5 Huboresha Afya Ya Uzazi Ya Mwanamme na tendo la ndoa.

6. Uboreshaji wa mfumo wa neva kwenye ubongo Ambao ni muhimu sana katika ufanisi wa tendo.

● Napata wapi haya madini?

• Samaki jamii ya shellfish, dagaa, pweza nakadhalika.

• Nyama

• Nyama za Wanyama jamii ya ndege

• Mboga jamii ya kunde

• Mayai

• Mbegu zisizokobolewa

• Baadhi ya mboga za majani k**a broccoli, bamia,uyoga na kunde.

Kutokana na mfumo wa maisha na uzalishaji wa lishe hupelekea kupata lishe katika kiwango kidogo sana vyakula vingi vya sasa ni ngumu kupata haya madini muhimu kutokana na maandalizi ya hivi vyakula kuwa na usasa mwingi. Kwahio ni vyema kuchagua chakula bora, na si bora chakula.

Unashauriwa kupata kirutubisho cha *FOREVER NATUREMIN* ili upate hayo madini yote kwa kiwango kikubwa zaidi kwa pamoja na upate mabadiliko ya haraka yanayodumu kwa muda mrefu. Naturemin unaipata kwa *Tsh.65,000/= tu kwa leo*

*Nicheck INBOX usaidiwe Naturemin leo kwa punguzo.*

24/03/2025

*HIVI ULE USINGIZI BAADA YA KUMWAGA HUWA UNATOKEA WAPI....? 😀*

Jambo hili huwaacha wanawake wakiwa wamechanganyikiwa na kujiuliza maswali chungu nzima k**a kuna mahali wamekosea au hawajawavutia wapenzi wao wakati wa tendo , na hii hutokea pale Mwanaume unapogeukia upande wa pili na kushikwa na usingizi punde tu baada ya kumaliza tendo la ndoa.

Lakini utafiti uliofanywa hivi na wanasayansi unawapa wanaume ahuweni katika kuepuka lawama hizo kwamba kumbe siyo hiyari yao bali ni swala la kimfumo.

Sasa, Kwa nini tunapata usingizi baada ya kufanya mapenzi..?

Ni rahisi sana , Mwili wa Mwanaume hufanya bidii kubwa kufikia mshindo Kwa Kutumia nishati tofauti Mwilini na ndio maana Baada ya kutoa MBEGU husababisha usingizi.

Kulingana na Tafiti zilizofanywa na wataalamu wa afya, ni kwamba mara tu mwanaume anapofika kileleni process za mwili wake hubadilika

Hivyo mwili hutoa vichocheo na kemikali k**a prolactin , Oxytocin na vasopressin , pia kemikali hizi huhusishwa na usingizi mzito , Vichocheo (Kemikali) hizi zinapelekea Kupunguza msongo wa mawazo hivyo hupelekea mwili kuwa na utulivu na hivyo hupelekea usingizi mzito!!

Kutolewa kwake mara kwa mara huambatana na melatonin, Melatonin ni homoni kuu inayotolewa na ubongo ili kuupa mwili nafasi ya kupumzika na kudhibiti ufanyanyaji kazi wa mwili.

Kwa hiyo hakuna sababu ya wanawake kutulaumu tena wanaume kwakuwa hii ndio Sababu kamili! , Ila k**a Mwanaume unafanya tendo dakika chache tu umemaliza na kujikuta umelala Hili ni tatizo na unahitaji msaada.

Karibu nikusaidie kuimarisha mfumo wako wa Uzazi kupitia program za Virutubisho Maalum pamoja na miongozo sahihi ili uweze Kufanya Tendo Kwa muda mrefu 📌

Unashauriwa upate Dozi ya virutubisho ili umalize tatizo lako la upungufu wa nguvu za kiume, usiendelee kujizungusha unajitesa bure , usifanyie ubahili AFYA yako unajikomoa mwenyewe.

*SULUHISHO*
*DOZI kamili Tsh. 410,000/=(laki nne na elfu kumi)*

*Nusu Dozi Tsh. 210,000/=(laki mbili na elfu kumi)*

*Robo Dozi Tsh.110,000/=(Laki moja na elfu kumi)*

*NIJULISHE HAPO INBOX UNAPENDA KUPATA KIASI GANI CHA DOZI KWA SASA?*

23/03/2025

*Dalili zinazoonyesha Kwamba Mwanaume amepungukiwa nguvu za kiume.*

�Ukienda Safari Moja Mwili unachoka alafu unahisi usingizi .

�Sehemu za Siri Zinasinyaa taratibu baada ya goli moja.

�Mwili unahisi ganzi pamoja na sehemu za Siri.

�Hamu inakata ghafla Mara baada ya kutoa Manii ,ule uchangamfu unapotea kabisa.

�Nyeti zinasimama Vizuri Lakini ukitaka kuingiza kwa mwanamke Zinasinyaa .Hapa Wengi huhisi kwamba Wamerogwa Lakini ukweli Ni Kwamba hawajarogwa .

�Kupoteza hamu ya tendo la ndoa.

�kushindwa kurudia Mara ya Pili .unakuta ukishatoa Goli Mara Moja, Basi mashine inakata Moto haisimami Tena hata ufanyeje inazidi kulala.

�Mashine kulala Ndani ya Nyeti Za Mwanamke , unakuta upo katikati ya Game mzigo unalala ghafla na kulegea Ndani kwa Ndani.

Tuwasiliane K**a una dalili tajwa hapo juu , Nitakusaidia Nitakupatia Matibabu Utapona Kabisa Hali Yako Itakuwa Nzuri K**a Mwanzoni.

*KARIBU INBOX KWA USHAURI BINAFSI NA SULUHISHO*

Photos from jide online clinc's post 22/03/2025

Yaan client wangu akipata matokeo mazuri basi kwangu mimi ni burudani kabis

Hongera sanaa ndugu kwa kupata matokeo mazuri

Kiukweli naijisikia amani kwaajili yako

whatsapp namba 0620 414 884

22/03/2025

Huu ndio mfumo wa UMEME ambao wanaume wengi hawaujui. SWITCH ya huu mfumo ipo kwenye UBONGO. Ndio maana ili upate hisia za mapenzi lazima ubongo uwe free usiwe na msongo wa mawazo(Stress). Ni ngumu sana huu mfumo wa umeme kufanya kazi yake vizuri k**a mwili wako hauna Madini joto ya kutosha. Ndio maana unashauriwa kupata Dozi ya VIRUTUBISHO ili mfumo huu uweze kuwa Active.

Robo dozi ya VIRUTUBISHO ni Tsh. 110,000/= tu

Nusu dozi ya VIRUTUBISHO ni Tsh. 210,000/=

*UNAWEZA KUNIJULISHA HAPO CHINI UNAPENDA KUPATA DOZI YA KIASI GANI KWA LEO KULINGANA NA UCHUMI WAKO*

Tuwasiliane whatsapp namba 0620 414 884

20/03/2025

*ELEWA VIZURI TATIZO LA KUSHINDWA KURUDIA ROUND YA PILI KWA WAKATI NA KUPOTEZA HISIA*

Baada ya kumwaga bao la kwanza lazima mwili wako upitie process ambayo kitaalam inaitwa REFRACTORY ( yaani mifumo yako ya mwili inarecover inajitengeneza upya ili hisia zako zirudie tena k**a awali uendelee na tendo round inayofuata)

Sasa interval ya muda ambao unasubiri mwili wako urejee kwenye hali ya kawaida unaitwa REFRACTORY PERIOD

Muda wa kusubiri round ya pili utakuwa mfupi zaidi K**a mwili wako utakuwa na mbolea au kwa lugha nyepesi k**a mwili wako utakuwa na virutubisho yaani uwiano mzuri kati ya Vitamin, amino acid na Madini joto.

Mwili wako k**a hauna Virutubisho vya kutosha tafsiri yake lazima utasubiri kwa muda mrefu sana kurudia round ya pili na hata ukijiforce kurudia lazima uume utakuwa lege lege hadi kero. Elimu hii wengi hawaijui lakini kwa bahati upo hapa umeipata kikamilifu.

*SULUHISHO 👇*

*Robo dozi Tsh.110,000/=(Laki moja na elfu kumi)*

*Nusu dozi Tsh.210,000/=(Laki mbili na elfu kumi)*

*Dozi kamili Tsh.410,000/=(Laki nne na elfu kumi)*

*KARIBU NDUGU UNAWEZA KUCHAGUA UNAANZIA WAPI KWA SASA. NIJULISHE HAPO INBOX*

20/03/2025

*Kuondokana na madhara ya punyeto kunahitaji mchanganyiko wa mabadiliko ya mtindo wa maisha, kujitambua, na usaidizi wa kisaikolojia. Hapa kuna hatua za kufuata:*

1. Tambua Chanzo cha Tabia Hii

Tafakari ni nini kinachokusukuma kufanya punyeto mara kwa mara. Je, ni msongo wa mawazo, upweke, au mazoea? Kujua chanzo ni hatua ya kwanza kuelekea suluhisho.

2. Weka Malengo ya Kuacha Polepole

Badala ya kuacha ghafla, punguza mara unazofanya kwa wiki. Weka malengo yanayoweza kufikiwa hatua kwa hatua.

3. Epuka Vichocheo

Epuka picha, video, au mazingira yanayochochea tamaa.

Zingatia matumizi ya simu na mtandao, hasa mitandao ya kijamii.

4. Jihusishe na Shughuli Mbalimbali

Jaza muda wako na shughuli za maana k**a michezo, mazoezi, kusoma vitabu, au kujifunza ujuzi mpya.

Mazoezi k**a Kegel exercises yanaweza kusaidia kuboresha udhibiti wa mwili na kuongeza nguvu ya misuli ya nyonga.

5. Imarisha Mhimili wa Kisaikolojia

Tafuta msaada kutoka kwa mshauri au mtaalamu wa saikolojia k**a unaona ugumu kuacha mwenyewe.

Soma vitabu au makala zinazohamasisha maisha mazuri ya kijinsia.

6. Lisha Mwili kwa Lishe Bora

Punguza vyakula vyenye sukari nyingi na mafuta yasiyofaa. Badala yake, kula vyakula vyenye protini, madini ya zinc, na vitamini k**a matunda, mboga, na vyakula vya baharini.

7. Imarisha Uhusiano wa Kiroho

Tafuta utulivu wa kiroho kwa sala, kutafakari, au kushiriki shughuli za kidini. Hii inaweza kusaidia kupunguza tamaa na kukuweka kwenye mstari wa maadili.

8. Pata Msaada wa Kijamii

Shiriki na marafiki au familia ambao wanaweza kusaidia bila kukuhukumu.

Epuka upweke kwa kushiriki katika shughuli za kijamii.

9. Kumbuka Faida za Kuacha

▪️Utaimarisha afya ya akili, nguvu za mwili, na kujenga uhusiano mzuri wa kimapenzi.

▪️Kumbuka, kuacha kutasaidia kuboresha uzalishaji wa manii na utendaji wa mfumo wa uzazi.

Ikiwa utafuata hatua hizi kwa uthabiti, utapunguza madhara na hatimaye kuachana na tabia hii na ukiwa una tatizo la uzazi ni vyema kuanza tiba mapema unaweza ukanicheki tukazungumza.
Whatsapp namba +255620 414 884

19/03/2025

Mwanamke anae shidwa kumudu laundi zaidi ya moja anamsababishia mwenza wake upungufu wa nguvu za kiume

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam