Afya leo
tunawasaidia wanaume kutatua changamoto za mbegu za kiume kwa njia rahis kwa gharam kiduchu
03/08/2022
*kundi la Damu O*
*Faida zao*
=Ni wenye ujasir.
=Wanapenda sana kazi.
*Mapungufu Yao*
=Wana hasira sana ila hasira zao azidumu.
=Wana hasira za kalibu sana pia wepesi sana kusamehe.
=Hawa ni watu Ambao ni jeur na kiburi na ~wanajikubari~ wanajiamin sana.
*Maisha ya kijamii*
=Ni marafiki wazur naunaweza kuwategemea.
=Ni waaminifu ni wawazi.
=Wanapenda kusikilizwa wao Zaid.
*Ukwel wa kitafiti kuhusu watu hawa*
=Wana Aminika kuwa na tabia za kijeshi.
=Wengi wao kiasiri ni watu wanao penda michezo.
=Wanaaminika kuwa na huruma sana.
=Anaruhusiwa kuchangia damu mtu wa group lolote.
=Wanapenda sana kula nyama.
=Hawapendi kudang'anywa.
*Kiafya*
=Ni watu wasio penda sana vitu vichachu kutokana na uwepo wa Acid nyingi mwilini mwao hvyo usumbuliwa sana na vidonda vya tumbo na mara nyingi huwa usumbuliwa sana na tatizo la choo pamoja na kisukar.
=Kundi ili pia hutokewa na mvi za Mapema.
*Ni hatar kwao wakila vyakula k**a hv 👇🏽*
=Kula ngano na mahindi mara kwa mara.
Kwenye upande wa matunda.
*Machugwa, mapassion, ukwaju maembe mabichi,* n.k na vyote vyenye Acid maana wana Acid nyingi
Ila wanaitaji kupata protein kwa wingi.
NB: magonjwa mengi yanaweza kuepukwa kwa kuzingatia usafi wa mwili na mazingira mlo kamili kula kulingana na group lako la Damu kufanya mazoez kupunguza uzito k**a unao mkubwa na kuepuka matumiz ya vilevi k**a pombe, sigara tumbaku,madawa ya kulevya.
03/08/2022
*Damu kundi AB*
Ni group la watu wenye haiba mchanganyiko
*Mazuri yao*
=Ni rahisi sana kuwa rafiki nao.
=Wenye kufurahisha unapokuwa nao Ingawa ni watu wasio tabilika.
=Wanamazungumzo mazur wana Akir sana hupenda kuweka Mambo yao kwa vitendo.
=Pia huongozwa na misimamo ya kifkira.
*Mapungufu Yao*
=Wagumu katika kufanya maamuz.
=Wana sahau sana.
=Sio waaminifu kabisa.
=Niwapinzani, wabishi, na wakosoaji.
*Kiafya*
=Ni watu Ambao wako hatarin kupata magonjwa K**a *kiharusi, dengue, magonjwa ya moyo na lehemu* kujaa kwenye mishipa ya Damu.
=Watu wa kundi ili Mara nyingi wakifika uzeen mara nyingi uwezo wao wa kufikir upungua kwa haraka.
Lkn mara nyingi hupungua kwa uwezo wa kufikir kutokana na magonjwa ya shinikizo la moyo. Kisukar na lehemu kuwa nyingi sana mwilini .
=Niwatu Ambao wanauwezo mkubwa sana wa kukabiliana na magonjwa yaan Kinga zao za mwili ni Imara kuliko group zote za Damu.
03/08/2022
*Damu B*
Watu wa kundi ili mara nyingi ni wenye tabia za kuasi na nigumu kuwazuia au kuwatuliza wanandoto na maono makubwa wanasukumwa na ndoto na kiu zao za mafanikio Ingawa wanaweza kuwa wakali sana na wasumbufu na mara nyingi ni ngumu kukaa na kuzoeana nao.
Wanasimamia sana kile wanachokiamin hata Ata ulimwengu nzima usimame kinyume nao.
Ili kundi nilawatu Ambao niwazungumzaji sana.
*Mazur Yao*
=Wanasukumwa katika malengo yao.
=Wako kasi kiutendaji, wanapenda raha pia wana hisia sana.
*Mapungufu Yao*
=Wanaweza kuwa wakatili sana na wenye hasira mno.
*Kitabia*
=Wanapenda sana wanyama 🐼🐔🐒🦆🐥🦅🦉🦆🐥🐶
=Wanakinga kubwa na Imara ya mwili katika kujikinga na magonjwa.
=Wana furahia sana vyakula vitokanavyo na wanyama k**a maziwa n.k.
*Kiafya*
=Niwatu walio hatarin kupata magonjwa k**a uvimbe wa fizi na pia kwa wanawake wako hatarin kupata magonjwa ya kisukar.
=Mara nyingi ni watu Ambao wakipata maambukiz ya virus 🦟 vya Aina yoyote ile huwa *machizi* au *vichaa* kutokana na kwamba vinaenda kuharibu mfumo wake wa faham
Ila wanauwezo mkubwa wa kukabiliana na magonjwa ya kipindu pindu.
= Wana hatar kubwa yakupata saratani ya Koo.
=Hawashauriwi sana kula vyakula Aina ya *karanga, korosho, kuku, nyama*
03/08/2022
*Damu kundi "A''*
Hawa watu mara nyingi huwa ni mifano ya kuigwa na wengi kwa sababu ya kiu zao na upiganaji wao. kwenye mafanikio ni watu *wema. , Wapole, na wenye tabia njema*
Pamoja na Ayo ni rahisi sana watu hawa kupata msongo wa mawazo *"stress"* na kufikiria sana vitu. Wakiamua kujitoa kwaajir ya kumsaidia mtu Basi wanazama kabisa na wanaweza
*MAZURI YAO*
= Ni watu wanaopenda vitu vikamilike katika hali ya juu.
= Wanapenda mpangilio Maalumu.
=Wanapenda na wanaweza kuchambua mambo kisawia.
=Wanawajibika na kubeba majukumu yao.
=Wana huruma na wako tayar kusaidia.
=Waaminifu ni wagunduzi wanamaanisha ni wavumilivu sana.
=Wanapenda sana sheria.
*Mapungufu Yao*
=wasumbufu, wana hisia kali Ata kwenye vitu vya kawaida.
=Wakitaka kitu wametaka.
=Mara nyingi wana Aibu wakimya sana.
*Kwenye Maisha ya kijamii*
=Ni mtu unae weza kumwamin na kumtegemea.
=Anajar na kumaanisha.
=Wakati wote uepuka shali na misuguano na magovi.
=Mara nyingi hawapendezwi wala kufurahia sherehe zenye makelele yenye shangwe.
=Wanapendelea ukmya na utulivu..
*Kazini*
=Unaweza kumwamin na kumtegemea katika Majukumu.
=Wanapenda ufanis wa kiwango cha juu kwahyo kaz zao uwa zinaufanis sana.
*Kwenye mahusiano ya mapenz*
=Ni wasiri sana kwenye mambo yao.
=Ni waaminifu sio waongo wala wadanganyifu.
=Ila wana Aibu sana upenda kujificha ficha.
*Kiafya*
=Hawa wanaitaji sana mananasi na zabibu kwa wingi.
=Wanapatwa sana na tatizo la kuishiwa Damu.
=Wana hatar sana ya kupatwa na magonjwa ya moyo.
=Vyakula Anavyotakiwa kula *mboga mboga za majani* *matunda* nyama nyeupe nyama nyekundu sio nzur kwao.
03/08/2022
*UHUSIANO KATl YA DAMU NA TABIA*
je unajua tabia ulizonazo ni kutokana na group lako la Damu??
Kwa kawaida kila Binadamu yupo kwenye kundi mojawapo la damu kati ya makundi manne *A, B, AB, na O*
Makundi Aya ya Damu yanaweza kutumika kufaham tabia za Binadamu na jinsi hii yaweza kuwa rahisi na yakalibu Zaid kuliko Ata kutumia nyota k**a Ambavyo wengi wanafanya na wataalam wanasema
Tabia kwa uhusiano na kundi la Damu Ina uhakika Zaid kuliko wenye vyanzo wengine Mbal na tabia ukwel ni kwamba makundi yetu ya Damu yanaweza kutuonesha vile mtu *Anapenda, Asiyopendelea na Anayopendelea Asivyopendelea* n k
Vyakula pia halikazalika
Baadhi ya watafiti nchini Korea wamebainisha hata namna tunavyopendelea kuketi hutegemea sana na makundi ya Damu.
*ZIFAHAMU GROUP (MAKUNDI) YA DAMU NA TABIA ZAKE ILI UJINUSURU NA MAGONJWA YAEPUKIKAYO*
kundi lako la Damu kinaweza kukufanya ukawa dhaifu au Imara katika kukabiliana na magonjwa furani.
Ni vema kujua kundi lako la Damu k**a ilivyovema kujua Mambo mengine yanayochangia kuwa na Afya njema.
Kujua kundi lako la Damu kinaweza kukuza uwezo wako wa kufaham hatar zinazokukabir kutokana na kundi lako la Damu ulilonalo na kuepuka hatar hizo kwa kutumia mtindo wa Maisha unao faa.
Hata hvyo k**a ilivyo viungo vingine mwilini Damu nayo inachangamoto yakukutana na changamoto Mbalimbali magonjwa yanayoathir utendaji Kaz wa Damu yanaweza kugawanywa katika makundi k**a vile ya kurithi ,kuambukiza, mabadiliko ya kimwili na saratani tofaut.
Damu ya Binadamu Imegawanyika katika makundi makuu Manne Ambayo ni *A, B, AB,na O* Binadamu yoyote lazima Awe na moja wapo ya makundi Hayo.
Tunawasaidia wanaume kutatua Matatizo ya nguvu za kiume.
FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU
~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe
~ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita HEMORRHOIDS ilhali kwa lugha ya kingereza unafahamika k**a piles
~tatizo hili huwaathiri watu wote ila zaidi huwaathiri watu wazima kuliko watoto na inakadiriwa kuwa karibu 50%ya watu wote wako katika hatari ya kupata tatizo hili katika umri wa miaka 30_50
AINA ZA BAWASIRI
~Kuna Aina mbili za bawasiri
(A) BAWASIRI YA NDANI
~Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili
~Aina hii hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa
~Aina hii imegawanyika katika madaraja manne
(1)DARAJA LA KWANZA ~Hii ni bawasiri ambayo haitoki mahal pale panapohusika
(2)DARAJA LA PILI ~hii hutokea wakati wa haja na kurudi yenyew ndani baada ya kujisaidia
(3)DARAJA LA TATU :hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe
(4)DARAJA LA NNE :hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi
(B)BAWASIRI YA NNJE
~Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu Hilo pia husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha Aina ya bawasiri iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS
CHANZO CHA TATIZO
~chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷
👉KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE
👉KUHARISHA KWA MUDA MREFU
👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO
👉MATATIZO YA UMRI
👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
👉UZITO KUPITA KIASI
👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU
DALILI ZA BAWASIRI
👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana
MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA TATIZO LA BAWASIRI
~matibabu ya bawasiri hutegemea na Aina ya bawasiri pia tiba iliyozoeleka ni kukatwa kinyama na kuendelea na lishe ya chakula hata hvyo tiba hii si nzuri kwasababu huwa haitibu chanzo cha tatizo hivyo huwa rahisi kujirudia
~Pamoja na hayo bawasiri ni ugonjwa unaoweza kuepukika kwa kuzingatia
👉KULA MBOGAMBOGA ZA MAJANI, MATUNDA, NA NAFAKA ZSZOKOBOLEWA
👉KUNYWA MAJI MENGI ANGALAU GRASS 6/12 Kwa siku
👉EPUKA KUKAA CHOONI KWA MUDA MREFU
MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI
👉kupata upungufu wa damu (anemia)
👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake
👉kuathirika kisaikolojia
👉kukosa moral ya kufanya Kaz kutokana na maumivu makali
KWA MSAADA NA KINGA YA BAWASIRI:-. Na kuepuka kufanyiwa operation.?
Tunaweza kuwasiliana kwa No
+255769510547
+255712790989
Shere na kwa wengine wapate elimu hii
04/07/2022
Hii ni shuhuda ya moja kati ya watumiaji wazuri wa bidhaa zetu..
Ni mzee wa miaka 66 lakini Mambo yake ni ya miaka 30 kwa sasa.😂😂 Unajua ilikuwaje??
Tulifahamiana miaka 2 iliyopita kupitia Rafiki yake aliyekuwa mteja wangu mzuri niliyomsaidia kurejesha nguvu zilizoisha kutokana na kisukari, Na aliamua kunikutanisha na rafiki yake huyu aliyekuwa anamatatizo ya wazee k**a mnavyoelewa umri ukienda na Mambo hupungua sasa huyu miaka 66 ni mingi kidogo na alikua ameoa mke mdogo baada ya kufiwa na mkewe Mkubwa miaka 4 iliyopita.
Walikua wameishi mda bila mtoto na alikua akitamani sana apate mtoto na mke wake mdogo na pia aweze kujiimarisha kwa sababu alioa mke binti kiasi wa 38 years ambaye mwili wake ulikua mbichi bado na ulikua unahitaji zaidi ya huduma aliyokua akitoa kitandani ,
Tatizo hilo tulilimaliza ndani ya miezi 3 na mzee tayari alikua akipiga mpira na mashuti k**a kijana mdogo wa miaka 30, .
Am so happy for this..INAWEZEKANA💪🏾
Mama kaisha sema
16/06/2022
*FAHAMU ISHARA HIZI ZA HATARI ZA KUTANUKA KWA TEZI DUME, NA NINI UFANYE KUDHIBITI KUTANUKA KWA TEZI DUME*
*UTANGULIZI:*
Tezi dume ni sehemu mojawapo ya mfumo wa uzazi wa kiume. Inaundwa na sehemu mbili, lobes, ambazo zimeunganishwa na kufunikwa kwa nje kwa utando wa tishu.
Tezi hii ipo mbele kidogo ya puru (re**um) na na chini kidogo ya kibofu cha mkojo.
Tezi dume inauzunguka mrija unaounganisha kibofu cha mkojo na uume (urethra).
↪️ Mojawapo ya kazi za tezi dume ni kutoa majimaji yanayochanganyika na mbegu za kiume (sperms) wakati wa kilele cha tendo la ndoa.
↪️ Mchanganyiko huu wa mbegu pamoja na majimaji hayo hufanya shahawa.
↪️ Aidha majimaji hayo husaidia kuzipa mbegu za kiume nguvu ya kusafiri kwenye uke mpaka kufikia kwenye mirija ya fallopian tayari kwa utungisho na yai la k**e.
↪️ Vilevile husaidia kupunguza hali ya kitindikali iliyopo katika uke, ambayo k**a isiporekebishwa, huweza kuua mbegu nyingi za kiume na kufanya utungisho kuwa wa tabu.
*KUANZA KUVIMBA KWA TEZI DUME:*
🔰 Kwa kadiri mwanaume umri unapoongezeka, tezi dume huongezeka ukubwa na kuvimba.
Hali hii kitabibu huitwa Benign Prostate Hypertrophy kwa kifupi BPH.
*Wakati tezi dume linapokua na kutanuka, utando wa tishu unaolizunguka hutanuka pia.*
*Hata hivyo ingawa tezi dume huendelea kukua, hufikia wakati utando wake huacha kutanuka na kufanya tezi dume kubana mrija wa kutolea mkojo kutoka kwenye kibofu.*
*Hali hii husababisha kibofu cha mkojo kuwa na ngozi ngumu.*
*Hali hii hufanya kibofu cha mkojo kuhisi kutaka kutoa mkojo nje hata k**a kiasi cha mkojo ndani yake ni kidogo sana.*
*Hufikia wakati, kibofu huwa dhaifu na kupoteza uwezo wake wa kuhisi kutoa mkojo, na hali ya kushindwa kutoa mkojo wote na matokeo yake hubakiza kiwango kikubwa cha mkojo kwenye kibofu, Na kupelekea kukojoa kwa mara kwa mara.*
*DALILI ZA KUTANUKA TEZI DUME:*
↪️ Dalili za BPH( Kutanuka kwa Tezi Dume) hutokea kwa sababu ya kubanwa kwa njia ya kutoa mkojo nje ya mwili (urethra) au kibofu kushindwa kuthibiti mkojo.
Aidha dalili hizi hutofautiana kati ya mtu na mtu, ingawa karibu wagonjwa wote Hukojoa mkojo unaokatika katika.
↪️ Hukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifu
↪️ Husita kabla ya kuanza kukojoa
↪️ Hali ya kujihisi kubanwa na mkojo kila mara
↪️ Kushindwa kuthibiti mkojo na kupelekea mkojo kutoka wenyewe.
↪️ Hali ya kuhisi mkojo haujaisha kwenye kibofu
↪️ Kukojoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku.
↪️ Kushindwa kukojoa kabisa (urine blockege)
*MADHARA YA KUTANUKA TEZI DUME.*
BPH k**a ilivyo saratani ya tezi dume, inaweza kumletea mgonjwa madhara (complications) kadhaa. Madhara hayo ni pamoja na
i. Mkojo kushindwa kutoka hii ni kutokana na kuwepo kwa mgandamizo kwenye kibofu cha mkojo.
ii. Mawe kwenye kibofu cha mkojo.
iii. Maambukizi ya mara kwa mara katika njia ya mkojo (UTI)
iii. Madhara katika figo au kibofu.
iv. Shinikizo la damu.
v. Kushindwa kutoa shahawa kwenye uume.
vi. Uhanithi / Mwanaume kupoteza uwezo wa kutenda tendo la ndoa.
MATIBABU YA TEZIDUME:
*NJIA YA UPASUAJI:*
Upasuaji hufanyika kuondoa Tatizo la BPH na hushauriwa hufanyika pale ambapo matibabu kwa njia ya dawa yameshindwa kuonesha mafanikio yeyote au kulingana sababu zingine za msingi ambazo utaelezwa na daktari wako k**a zipo za kutumia njia hii kwa sababu njia hii inamadhara mengi…
*MATATIZO YANAYOJITOKEZA BAADA YA KUFANYIWA UPASUAJI:*
↪️Shida wakati wa kukojoa:
Kawaida huchukua muda wa miezi kadhaa mtu kuweza kurejea katika hali yake ya kawaida ya kukojoa.
↪️ Shida ya kuthibiti mkojo usitoke ovyo
Ni kawaida kwa mgonjwa kushindwa kuthibiti kutoka kwa mkojo baada ya Upasuaji .
Hata hivyo hali hii inaweza kujirekebisha baada ya miezi kadhaa au la.
↪️ Kutokwa na damu:
Katika siku za awali, kidonda kwenye tezi dume kinaweza kuvuja damu ambayo itaonekana katika mkojo.
Hali hii huweza hukoma baada ya miezi kadhaa. Hata hivyo iwapo utokaji damu ni mzito sana, inashauriwa kumuona daktari haraka.
↪️ Kupoteza kabisa Uwezo wa kufanya tendo la ndoa baada ya upasuaji.
Wagonjwa wengi waliofanyiwa upasuaji wa tezidume huhofia sana kuhusu uwezo wao wa kufurahia tendo la ndoa mara baada ya upasuaji. Kwa kawaida, huchukua muda usiopungua miezi sita kwa mgonjwa kuweza kurejesha hali ya kufurahia tendo la ndoa kwa kiwango fulani na wengine kutokuwa na uwezo huo kabisa.
↪️ Kupoteza uwezo wa Kusimamisha uume au kudindisha (Erections):
Iwapo mgonjwa ataweza kupata kudinda muda mfupi baada ya upasuaji, uwezo wake wa kuendelea kusimamisha uume ni mkubwa zaidi.
Hata hivyo iwapo mgonjwa hakuwa na uwezo wa kusimamisha tangu awali au baada ya upasuaji wa tezi dume hatakuwa na uwezo wake wa kusimamisha tena.
↪️ Kutoa mbegu (Ej*******on):
Licha ya mwanaume aliyefanyiwa upasuaji kuwa na uwezo wa kusimamisha uume, lakini wengi wao hushindwa kutoa mbegu za kutosha.
Hali hii huwafanya wawe wagumba yaani wasioweza kupata watoto.
*NINI UFANYE KUTHIBITI KUTANUKA KWA TEZI DUME:*
Yafuatayo ni mambo ya msingi unayopaswa kuzingatia na kuyafanya mara kwa mara ili kuthibiti ukuaji wa tezi dume yako na mfumo wa uzazi kiujumla.
i. Safisha sumu na takamwili zote ambazo hazitakiwi mwilini mwako.
Sumu nyingi mwilini huathiri utendaji kazi mzuri wa mwili wako.
Huleta madhara katika kuthibiti sukari, pressure, tezi dume n.k.
ii. Tumia virutubisho ambavyo ni asili, hivi vitakusaidia sana kuongeza kiwango chs madini, vitamin, amino asids na nutrients zote ambazo mwili wako unazihitaji zaidi katika kuthibiti utanukaji wa tezi dume na pia ambavyo husaidia Uzalishwaji wa homoni ya testosterone.
Hapa tunavirutubisho mbalimbali k**a vile Nature min, Vitolize Men, Maca Supplements,Berry Necta, Pollen Supplements, Arg plus Supplements, Omega 3 nk hivi vyote ni virutubisho muhimu sana katika kulinda na kuthibiti tezi dume yako.
Unaweza kutumia kadhaa kadhaa.
iii. Matumizi ya lishe bora kwa kuzingatia kiwango kikubwa cha matunda na mboga mboga mara kwa mara.
iv. Kufanya mazoezi , Angalau mara 5 katika kila wiki.
v. Zingatia matumizi ya maji ya kutosho ili kuruhusu mwili kusafisha taka vyema.
Vi. Punguza kukaa sehemu moja kwa muda mrefu, huathiri mzunguko wa damu na pia huongeza kiwango cha mwili kuzalisha mafuta mabaya, lakini pia hupelekea kupunguza kiwango cha uzalishaji seli na kushusha kinga ya mwili.
Vii. Pata muda wa kupumzika wa kutosha, Masaa 8 ya kulala.
Viii. Thibiti stress zisizo za lazima, hupelekea mwili kuua seli na pia kushusha kinga ya mwili wako.
Hayo ni Mambo muhimu ya Kuzingatia ambayo yatakuweka mbal na tatizo hili la Tezi Dume.
*Je una Dalili, Unahitaji kujilinda au tayari unatatizo unahitaji kuwa salama !??*
*Nifahamishe nikupe wongozo vyema wa kumaliza kabisa tatizo hili ukiwa nyumbani kwako leo.*
Lakini pia unaweza kunipigia simu moja kwa moja ili tuweze kuzungumza kwa namba hizi:
WhatsApp 255769510547
Click here to claim your Sponsored Listing.
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam