Ali's Beauty Supply
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Ali's Beauty Supply, Beauty, cosmetic & personal care, Bonde Street Kariakoo, Dar es Salaam.
🌻kupunguza muonekano wa makovu ya zamani na mapya taratibu.
🌻Inaondoa alama za michirizi .
🌻kupunguza mabaka na kufanya ngozi ionekane yenye rangi inayofanana.
🌻Hufanya ngozi kuwa na uwezo wa kunyumbulika vizuri, hivyo kupunguza kulegea.
🌻Inatoa mwonekano wa ngozi yenye afya na kung’aa.
🌻inasaidia kufanya ngozi ionekane changa zaidi.
🌻ngozi kuwa laini na yenye unyevu muda mrefu.
Matumizi
⚡️Paka oil wakati ngozi bado ina unyevunyevu kidogo,
⚡️Weka oil kwenye kiganja, kisha sugua kwa mikono,
⚡️Maeneo maalum ya kuzingatia,
●Makovu (scars)
●Stretch marks (tumbo, mapaja, mikono)
●Ngozi kavu au yenye mabaka
⚡️Tumia mara 1–2 kwa siku (asubuhi na jioni).
Tunapatikana Dar es Salaam ;kariakoo mtaa wa bonde /mafia ,tunauza jumla na rejareja bidhaa zetu ni original
Kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kwa namba 0714868790.
💥Rosemary oil kuongeza mzunguko wa damu kwenye ngozi ya kichwa, hivyo kuchochea ukuaji wa nywele mpya.
💥Hutoa unyevu wa kina (deep moisture) unaosaidia kuimarisha nywele na kupunguza breakage.
💥deep conditioner kurejesha afya ya nywele zilizoathiriwa na joto, kemikali au ukavu.
💥Peppermint oil hutoa hisia ya baridi na husaidia kupunguza muwasho na dandruff.
💥Inaimarisha mizizi ya nywele na kupunguza uwezekano wa nywele kudhoofika au kunyonyoka kirahisi.
💥Inafaa kwa aina nyingi za nywele,Iwe ni natural, relaxed au curly, inaweza kutumika kuboresha afya ya nywele.
💡 Jinsi ya kuitumia kwa matokeo mazuri:
💫Tumia baada ya shampoo.
💫Pakaa kwenye nywele zote (hasa mizizi hadi ncha).
💫Acha kwa dakika 15–30 (unaweza kutumia shower cap).
💫Suuza kwa maji safi.
Dar es salaam ;kariakoo mtaa wa mafia na bonde ,tunauza jumla na reja reja ,bidhaa zetu ni original kutoka USA🇺🇸 kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kwa namba 0714868790.
🌺Faida ya nywele;
💫kuimarisha nywele dhaifu na kupunguza split ends.
💫nywele huonekana zenye afya na mvuto.
💫hulisha mizizi ya nywele na kukuza nywele kwa haraka.
💫Kupunguza ukavu na kufanya nywele ziwe laini na rahisi kuchana.
🌺Faida ya mwilini;
💫Inapunguza mikunjo midogo.
💫Yanasaidia kuboresha muonekano wa ngozi.
💫Yanasaidia kwa ngozi kavu au iliyochoka.
Tunapatikana Dar es salaam ;kariakoo mtaa wa bonde na mafia kwa mawasilano zaidi wasiliana nasi kwa namba 0714868790.
🌼 Inasaidia kunyoosha nywele ngumu na kufanya ziwe rahisi kuchana na kuset.
🌼Tea tree ina sifa ya kutuliza ngozi, hivyo hupunguza muwasho .
🌼Kuimarisha ngozi ya kichwa safi na yenye afya, hivyo kusaidia ukuaji mzuri wa nywele.
🌼Relaxer yenye tea tree mara nyingi huwa na viambato vya kulainisha vinavyosaidia nywele zisikauke sana.
🌼Hufanya nywele ziwe na mwonekano laini na wenye kung’aa.
🌺 Matumizi
⚡️Gawanya nywele
⚡️Paka vaseline kwenye ngozi ya kichwa kulinda
⚡️Paka relaxer kwenye nywele kwa usawa
⚡️Acha dakika 10–20 (kulingana na maelekezo)
⚡️Osha vizuri
⚡️Tumia neutralizing shampoo mara 2–3
⚡️Malizia na deep conditioner kisha mafuta au leave-in
⚠️ Onyo kuu
🔸️Usiache muda mrefu kichwani → inaweza kusababisha kuungua au kuharibu nywele.
🔸️Epuka kugusa ngozi moja kwa moja → husababisha muwasho na vidonda.
🔸️Usitumie kwenye nywele zilizoharibika sana → zinaweza kukatika zaidi.
🔸️Usichanganye na kemikali nyingine siku hiyohiyo (k**a bleach au dye).
es salaam ;kariakoo mtaa wa mafia /bonde bidhaa zetu ni original ,tunauza jumla na rejareja kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kwa namba 0714868790.
💥Inaondoa uchafu, mafuta (oil) na mabaki ya make-up bila kuharibu ngozi.
💥Ina viambato vya kulainisha (moisturizing agents) vinavyosaidia ngozi kubaki laini na yenye unyevu.
💥Kwa matumizi ya mara kwa mara, ngozi huonekana fresh, yenye mwanga na afya.
💥Inasafisha vizuri, hupunguza uwezekano wa kupata chunusi (acne).
💥Ni gentle, hivyo unaweza kuitumia asubuhi na jioni bila shida.
🌸 Note
✔️Inafaa kwa aina nyingi za ngozi (hasa normal hadi dry skin).
✔️Haina harsh chemicals nyingi zinazoweza kuharibu ngozi.
✔️Husaidia ngozi kujiandaa vizuri kabla ya kutumia toner au cream nyingine.
☆Tupo dar es salaam , kariakoo mtaa wa mafia na bonde ,bidhaa zetu ni original kutoka USA 🇺🇲 ,tunauza jumla na rejareja kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kwa namba 0714868790.
27/03/2026
🍁Ina collagen, elastin ,Q10 na cocoa butter ambazo inasaidia kurejesha uimara wa ngozi.
🍁Inafaa kwa matumizi ya kila siku inafyonzwa haraka bila kuacha mafuta mengi juu ya ngozi.
🍁kuboresha elasticity ya ngozi, hivyo kuifanya ionekane imara zaidi hasa baada ya kupungua uzito au kujifungua.
🍁Cocoa butter na viambato vingine hulisha ngozi na kuifanya iwe laini na yenye afya.
🍁Hutoa mwonekano mzuri na wa kuvutia wa ngozi
📌 Matokeo yake:
Ukikitumia mara kwa mara, utaona ngozi inakuwa:
●Laini zaidi,
●Imara kidogo,
●Yenye afya na mng’ao mzuri.
es salaam ,tupo kariakoo mtaa wa mafia na bonde bidhaa zetu ni original kutoka 🇺🇲,tunauza jumla na rejareja kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi 0714868790.
Body wash
🧼 Inasaidia kuondoa uchafu, mafuta na jasho kwenye ngozi hivyo kuiacha safi na yenye afya.
🧼Inaacha ngozi ikiwa na harufu safi na nzuri baada ya kuoga.
🧼Body wash nyingi zina viambato vya kuongeza unyevu kwenye ngozi.
Body lotion
🧴kupunguza muonekano wa mabaka meusi na kufanya ngozi ionekane yenye rangi iliyo sawa.
🧴Kudumisha unyevu wa ngozi na ngozi kubaki laini na isikauke.
🧴Huongeza mwanga wa asili wa ngozi kuonekana ang’avu na yenye uhai.
🧴Ngozi huonekana safi, yenye afya na iliyotunzwa vizuri.
💥Matokeo yake ni kwanzia siku 7 na kuendelea
kariakoo mtaa wa bonde /mafia ,tunauza jumla na rejareja bidhaa zetu ni original kutoka USA 🇺🇸 karibuni sana ,kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi 0714868790.
🔴 Ni mafuta mazuri ya kulisha ngozi ya kichwa (scalp), husaidia mazingira mazuri ya ukuaji wa nywele.
🔴kuimarisha nywele dhaifu na zilizoharibiwa na joto au kemikali.
🔴 kupunguza alama za makovu na stretch marks
Matumizi ya mara kwa mara yanaweza kuboresha mwonekano wa ngozi.
🔴Hurejesha unyevunyevu baada ya kuoga
Inafaa kupaka baada ya kuoga ili kufunga unyevunyevu kwenye ngozi.
✅️ Hitimisho
AB Natural Argan Treatment Oil ni mafuta ya matumizi mengi—yanalisha, yanalainisha na kuimarisha nywele pamoja na ngozi. Yanafaa kwa matumizi ya kila siku, hasa kwa mwenye nywele au ngozi kavu.
dar es salaam kariakoo mtaa wa mafia na bonde ,Tunauza jumla na rejareja karibuni sana kutoka 🇺🇲
16/02/2026
⚡️Hulainisha ngozi kwa kina kuongeza unyevu (moisture) kwenye ngozi, hivyo kuifanya iwe laini na yenye afya muda mrefu.
⚡️kupunguza ngozi kupasuka au kuwa kavu hasa wakati wa hali ya hewa ya joto au baridi.
⚡️Ina harufu ya kudumu na ya kuvutia ambayo huifanya ngozi inukie vizuri siku nzima.
⚡️Hutengeneza “protective layer” inayosaidia ngozi kubaki na unyevu kwa muda mrefu.
♠️Matumizi
✔️Paka baada ya kuoga wakati ngozi bado ina unyevunyevu kidogo ili kufungia moisture.
✔️Tumia asubuhi na jioni kwa matokeo mazuri zaidi.
✔️Zingatia maeneo yanayokauka haraka k**a mikono, magoti na visigino.
Dar es salaam Kariakoo mtaa wa mafia na bonde ,bidhaa zetu ni original tunauza jumla na rejareja .
Kutoka🇺🇲 karibuni sana .
16/02/2026
🔸️kuondoa ngozi iliyokufa juu ya uso na mwili, hivyo ngozi hubaki laini na mpya.
🔸️Baada ya kusugua scrub, ngozi huonekana ang’avu na yenye afya kwa sababu uchafu na mabaki huondolewa.
🔸️kufungua na kusafisha vinyweleo hivyo kupunguza chunusi na vipele.
🔸️Ngozi kuwa laini, nyororo na yenye mguso mzuri.
🔸️kuondoa mabaka mepesi na kufanya ngozi kuwa sawa.
💯 matumizi
🔴Osha uso au mwili kwa maji ya uvuguvugu ili kufungua vinyweleo na kulainisha ngozi.
🔴Chukua kiasi kidogo cha scrub.
🔴Sugua taratibu kwa mzunguko tumia nguvu ya kawaida, usisugue kwa nguvu ili kuepuka kuchunika kwa ngozi.
🔴Suuza kwa maji safi hakikisha umeondoa scrub yote kwenye ngozi.
🔴Kausha kwa taulo kwa kupapasa (usifute kwa nguvu).
🔴Baada ya kuscrub, ngozi hupokea vizuri mafuta au lotion hivyo hubaki laini na yenye afya.
Dar es salaam Kariakoo mtaa wa mafia na bonde,Tunauza jumla na rejareja bidhaa zetu ni original kutoka 🇺🇲
Karibuni sana.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Bonde Street Kariakoo
Dar Es Salaam