Afya kwanza
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya kwanza, Health/Beauty, majumba sita, Dar es Salaam.
04/04/2024
UGONJWA WA PID (Pelvic Inflammatory Disease)
au Maambukizi Katika Mfumo wa Uzazi wa
Mwanamke.
Magonjwa ya zinaa ndio sababu kuu ya
wanawake kupata maambukizi katika mfumo wa
uzazi yani (PID). Mwanamke 1 kati ya wanawake 8 walipota PID katika wakati wowote ndani ya maisha yao hupata tabu kushika mimba
(PID) NI NINI?
PID ni maambukizi katika mfumo wa uzazi wa
mwanamke na mara nyingi husababishwa na
magonjwa ya zinaa k**a gonorrhea na
chlamydia ila kuna aina ya maambukizi mbali na
magonjwa ya zinaa yanaweza kusababisha
maambukizi ya PID.
*JE! MWANAMKE HUAMBUKIZWAJE PID?*
Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza
kuambukizwa PID. Njia hizo ni pamoja na:
- K**a una ugonjwa wa zinaa na haijatibiwa
- Kufanya ngono zembe isiyo salama (yani kulala
na wanaume tafauti tafauti)
- Kuwa na mpenzi ambaye ana wanawake wengi
nnje
- K**a umekuwepo na historia ya PID hapo
nyuma
- Maambukizi ya njia ya uzazi hasa kipindi mara
baada ya kujifungua (au postpartum period)
- Maambukizi ya njia ya uzazi mara baada ya
kutoa mimba
PATA TIBA YA CHANGAMOTO ZOTE ZA UZAZI KWA MWANAMKE KWA KUWASILIANA NASI KUPITIA NAMBA
+255 717 177 690
AFYA ushauri NA TIBA
21/03/2024
O F A YA VIPIMO VYA MWILI MZIMA (FULL BODY CHECKUP) KWA GHARAMA NAFUU YA SHILINGI Eflu 20000Tuu
Kampuni ya kimataifa ya E t e r n a l Imewaletea OFA KABAMBE ya kufanya V I P I M O vya mwili mzima (Full body checkup) kwa gharama nafuu kabisa ya Tshs 20000
Mifumo ya mwili itakayopimwa ni pamoja na:
Mfumo wa damu/mishipa ya damu (moyo na ubongo)
Mifupa na maradhi ya mifupa
Mfumo wa uyeyushaji na mmeng'enyo wa chakula
Afya ya uzazi kwa kinamama na kinababa
Afya ya ngozi na maradhi ya ngozi
Mfumo wa fahamu
Jicho na maradhi ya macho
Mfumo wa upumuaji
Na mengineyo k**a maradhi sugu ya kansa, unene/uzito kupita kiasi, uvutaji sigara, matumizi ya vinywaji vikali, matumizi ya madawa, harufu mbaya ya kinywa na mwili, kinga ya mwili kushuka sana, na ukuaji mbovu kwa watoto wadogo.
MADAKTARI WATAKUPIMA NA KUKUPA USHAURI NA ENDAPO UTAKUTWA NA MATATIZO AMBAYO UNGEHITAJI KUPATIWA SULUHISHO BASI IMEWAANDALIA TIBA ASILIA (TIBALISHE NA VIRUTUBISHO) ZISIZO NA ATHARI KWA MTUMIAJI ZENYE UWEZO MKUBWA WA KUONDOA TATIZO PAMOJA NA KUWEKA KINGA KATIKA MAGONJWA SUGU YANAYOTOKANA NA KUATHIRIKA KWA MIFUMO HIYO K**A VILE:
Mimba kutunga nje ya kizazi, mvurugiko wa homoni/hedhi, kukosa choo kwa muda mrefu/ kupata choo katika hali ya ukavu, mimba kuharibika mara kwa mara, uke kutoa uchafu/harufu mbaya, pumu (asthma), chunusi/vipele sugu, amoeba/amiba, saratani aina zote, fizi kuvimba/kuuma/kutoa damu, matatizo ya ngozi, meno kuoza/kutingishika/kutoboka, fangasi sehemu za siri, kisukari, ganzi, bawasiri/mgoro, presha/shinikizo la damu, kukosa usingizi, uvimbe kwenye kizazi/mirija ya uzazi/koo na sehemu zingine za mwili, miguu/mikono kuwaka moto, maumivu ya kichwa mara kwa mara, mwili kukosa nguvu (uchovu wa mwili hata k**a haujafanya kazi yoyote) masundosundo/vigwaru, kiharusi (stroke), ngiri, UTI, matatizo ya ini na figo, Tezi dume, matatizo ya nguvu za kiume, kutoshika ujauzito, vidonda vya tumbo, matatizo ya macho, maumivu ya mifupa na maungio, kukosa/kupoteza kumbukumbu (uwezo mdogo wa kufikiri), kukosa hedhi kwa muda mrefu/kupata hedhi ya mfululizo, mirija ya uzazi kujaa maji/kuziba, maumivu makali ya tumbo chini ya kitovu wakati wa hedhi, na maradhi mengine.
M A W A S I L I A N O
Wasiliana nasi kwa simu namba 0746111582 au Whatsapp au Tunapatikana DAR ES SALAAM Airport majumba sita Piga simu kwa maelekezo
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Majumba Sita
Dar Es Salaam