Afya plustz

Afya plustz

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya plustz, Health/Beauty, dar es salaam, Dar es Salaam.

31/08/2024

TAARIFA YA HARAKA KWA WATU WOTE.

Hepatitis B:-
Ni homa ya INI inayosababishwa na kirus wa Hepatitis B.

Virusi hivyo vina uwezo wa kusambaa na kuambukiza watu mara 100 zaidi ya virusi vya ukimwi.

Tafiti za kitaalamu zinaonesha kuwa virusi hivyo ni hatari kuliko virus vya HIV (UKIMWI) kwa sababu vinaweza kuishi nje ya mwili wa binadamu (yaani nje ya mfumo wa damu) kwa siku 7

*๏ธโƒฃKwa maana hiyo, mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini hufariki dunia haraka sana k**a hatopatiwa tiba mapema kuliko mwenye VVU.

*๏ธโƒฃ๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ฌ๐—”๐—ง๐—ข๐—ž๐—”๐—ก๐—”๐—ฌ๐—ข ๐—ก๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ ๐—œ๐—ฆ๐—œ๐—ฃ๐—ข ๐—ง๐—œ๐—•๐—œ๐—ช๐—” ๐— ๐—”๐—ฃ๐—˜๐— ๐—”:

๐Ÿ“ŒINI kushindwa kabisa kufanya kazi (liver failure).

๐Ÿ“ŒSaratani ya ini (hepatoma).

๐Ÿ“ŒFigo kuferi na kujaa maji

๐Ÿ“ŒMaumivu ya tumbo yasiyo isha

๐Ÿ“ŒTumbo, Sura na miguu kuvimba.

๐Ÿ“ŒNjaa ya mara kwa mara na kali.

๐Ÿ“ŒManjano ya macho na ngozi yasiyo isha

๐Ÿ“ŒMgonjwa Kupoteza: maisha

โžก๏ธnimeandaa jukwaa maalumu ambalo utajifunza bure namna ya kutumia lishe kamili pamoja na kumaliza kabisa changamoto yako.
Ili kuwahi nafasi bonyeza botton ya whatsup hapa chini..

Au tuma sms whatsup ๐Ÿ“ž๐Ÿ“ž +255710907801

FIKA KWENYE KITUO CHETU CHA AFYA KILICHOPO HAPA MLIMANI-DAR ES SALAAM.

29/08/2024

UKWELI KUHUSU HOMA YA INI

Tahadhari Kwa Umma

Tunaelewa kuwa hali ya afya ni muhimu sana kwa kila mmoja wetu..

Tunapenda kuarifu kuwa kuna ongezeko la visa vya homa ya ini katika jamii yetu.

Homa ya ini ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vinavyoshambulia ini na unaweza kusababisha madhara makubwa na kupelekea [KIFO]

Dalili za Homa ya Ini:
- Homa
- Uchovu
- Kupungua kwa hamu ya kula
- Kichefuchefu na kutapika
- Ngozi na macho kuwa ya njano (jaundice)
- Maumivu ya tumbo upande wa kulia

Tiba na Ushauri:

Ikiwa una dalili za homa ya ini, tafadhali tembelea ofisi zetu zilizopo hapa mlimani city mkabala na jengo la mlimani tower dar essalaam.

Ili kufahamu zaidi bonyeza botton ya whatsup ili kuona shuhuda za wengi....

Nimekuandalia darasa maalumu nitakaloelekeza program za mlo unaofaa na njia rahisi za kuondokana na tatizo hili.

Wahi nafasi kabla jukwaa halijajaa...

Wasiliana nami ๐Ÿ“ž๐Ÿ“ž +255710907801.

29/08/2024

**kuhusu Homa ya Ini [hepatisis]**

*Kwa umma wote,*

Tunapenda kuwajulisha kuhusu homa ya ini, ugonjwa ambao umeathiri watu wengi katika jamii yetu.

Homa ya ini ni hali inayosababishwa na kuvimba kwa ini na inaweza kuwa hatari k**a haitatibiwa mapema.

**Dalili za Homa ya Ini:**
- Uchovu mkubwa
- Homa
- Kichefuchefu
- Kupungua uzito
- Ngozi au macho kuwa na rangi ya manjano

**Mchango wa Mgonjwa:**

Mgonjwa aliyeathirika na tatizo hili la homa ya ini, ametoa ushuhuda wake kuhusu uzoefu wake.

Anasema, โ€œAlianza kujisikia uchovu na homaji kali. Baada ya kupima aligundulika na tatizo la homa ya ini.

Matibabu aliyopokea yalikuwa muhimu sana, na sasa anaendelea vizuri na amepima yuko [-ve] amepona.

Ni muhimu kwa kila mtu kuwa na uelewa wa hali hii na kuchukua hatua mapema."

**Mikakati ya Kuzuia:**
- Epuka kutumia dawa za kupunguza maumivu zisizo na maagizo ya daktari.
- Jali usafi wa mazingira na chakula.
- Pata chanjo inayopatikana dhidi ya virusi vya homa ya ini.

Kwa taarifa zaidi, tafadhali wasiliana nasi fika kwenye kituo chetu cha afya kilichopo hapa mlimani.

Ili kuona shuhuda nyingi bonyeza botton ya whatsup hapa chini.

Au tuma sms whatsup +255710907801

26/08/2024

*HABARI NJEMA KWA WOTE*

hii ni habari muhimu sana kuhusu tatizo la homa ya ini [ hepatisis]

*Homa ya Ini โ€“ Shuhuda za Halisi na njia ya kutokomeza madhara ya tatizo la homa ya ini**

Tunapenda kuwajulisha kuhusu ongezeko la visa vya homa ya ini katika jamii.
Homa ya ini ni ugonjwa wa kuambukiza ambao unakuwa na madhara makubwa k**a vile:-

๐Ÿ“Œmaumivu ya tumbo yasiyo isha

๐Ÿ“ŒINI kushindwa kufanya kazi [liver failure]

๐Ÿ“ŒFigo kuferi na kujaa maji

๐Ÿ“Œsaratani ya ini [hepatoma]

๐Ÿ“ŒTumbo, Sura na miguu kuvimba.

๐Ÿ“ŒNjaa ya mara kwa mara na kali.

๐Ÿ“ŒManjano ya macho na ngozi yasiyo isha

๐Ÿ“Œmgonjwa kupoteza maisha๐Ÿ™ˆ

**Hali ya Ugonjwa:**

Virus vya homa ya ini [hepatisis] vina uwezo wa kusambaa na kuambukiza watu mara 100 zaidi ya virus vya HIV [UKIMWI]

๐Ÿ‘‰kwa maana hiyo...!! mwenye virusi vya homa ya ini [hepatisis] hufariki dunia haraka sana k**a hatopatiwa matibabu mapema kuliko mwenye HIV [UKIMWI]

**Shuhuda:**

**isay**, aligundulika na homa ya ini miezi tisa iliyopita. Akiwa na dalili za uchovu na maumivu makali ya tumbo, alitafuta matibabu haraka.

Baada ya kupatiwa tiba na kuzingatia maelekezo ya vyakula, sasa hivi amepima yuko negative [amepona]

*TUKO HAPA KWA LENGO LA KUHAKIKISHA NA WEWE TUNAKUPA SULUHISHO LA UHAKIKA.*

โ†ช๏ธ bonyeza botton ya whatsup hapa chini kuona shuhuda za wengi waliopona, na wewe utapona!!

๐Ÿ“ž๐Ÿ“ž+255710907801

18/08/2024

**TAARIFA MUHIMU KWA UMMA**

**Kuhusu Homa ya Ini: Ushuhuda wa Watu Waliopona**

Tunapenda kutoa taarifa hii muhimu kuhusu homa ya ini na jinsi ugonjwa huu unavyoweza kuathiri maisha ya watu.

HEPATITIS B:- Ni ugonjwa wa homa ya ini inayosababishwa na virus wa hepatitis.

Baada ya kumuhudumia alienda kupima na kukutwa yuko [negative] amepona.

"Alianza kuhisi dalili k**a vile maumivu ya tumbo, homa, na uchovu mkubwa. Alipokwenda kwenye kituo cha afya, daktari aligundua kuwa alikuwa na homa ya ini.

Kwa kweli, alikuwa na hali ngumu sana kwa sababu alikosa nguvu na hata shughuli za kawaida zilionekana kuwa ngumu kwake"

**Dalili za Homa ya Ini:**
- Maumivu ya tumbo upande wa kulia wa juu
- Homa
- Kichefuchefu
- Kupungua uzito
- Jaundice (kuchangamka kwa ngozi na macho)

โ†ช๏ธ mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini [hepatisis] ikiwa hatopatiwa matibabu haraka hufariki dunia haraka zaidi kuliko mwenye VVU [ukimwi]

ILI KUPATA MSAADA WA HARAKA FIKA KWENYE OFISI ZETU ZILIZOPO HAPA MLIMANI.

piga simu au tuma sms whatsup.

๐Ÿ“ž๐Ÿ“ž0710907801

17/08/2024

*JINSI ALIVYOPONA MAAMBUKIZI YA HOMA YA INI*

fahamu maambukizi ya virusi vya homa ya ini.

[MADHARA NA MATIBABU]

Rejesha afya na matumaini mapya ya maisha yako:
HOMA YA INI INATIBIKA KWA 100%:

HEPATITIS B :- Ni homa ya INI inayosababishwa na kirus wa Hepatitis B.

Virusi hivyo vina uwezo wa kusambaa na kuambukiza watu mara 100 zaidi ya virusi vya HIV (UKIMWI) .

โ†ช๏ธHIVYO, mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini [hepatisis] hufariki dunia haraka sana k**a hatopatiwa tiba mapema kuliko mwenye VVU.

๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ฌ๐—”๐—ง๐—ข๐—ž๐—”๐—ก๐—”๐—ฌ๐—ข ๐—ก๐—” ๐—›๐—ข๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—œ๐—ก๐—œ ๐—œ๐—ฆ๐—œ๐—ฃ๐—ข ๐—ง๐—œ๐—•๐—œ๐—ช๐—” ๐— ๐—”๐—ฃ๐—˜๐— ๐—”:

๐Ÿ“ŒSaratani ya INI [hepatoma]

๐Ÿ“ŒINI kushindwa kufanya kazi [liver failure]

๐Ÿ“ŒFigo kuferi na kujaa maji

๐Ÿ“ŒMaumivu ya tumbo yasiyo isha

๐Ÿ“ŒTumbo, Sura na miguu kuvimba.

๐Ÿ“ŒNjaa ya mara kwa mara na kali.

๐Ÿ“ŒManjano ya macho na ngozi yasiyo isha

๐Ÿ“ŒMgonjwa Kupoteza maisha ๐Ÿ™ˆ

๐—ž๐—จ๐—ญ๐—œ๐—ก๐—š๐—”๐—ง๐—œ๐—” ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ก๐—œ ๐—›๐—”๐—ง๐—จ๐—” ๐—ญ๐—” ๐— ๐—ฆ๐—œ๐—ก๐—š๐—œ - ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ž๐—จ๐—ง๐—ข๐—ž๐—ข๐— ๐—˜๐—ญ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—œ๐—ญ๐—œ ๐—ก๐—” ๐—ž๐—จ๐—˜๐—ฃ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—” ๐—›๐—”๐—ง๐—”๐—ฅ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—ฆ๐—œ๐—ž๐—จ ๐—ญ๐—œ๐—๐—”๐—ญ๐—ข:

FIKA KWENYE OFISI ZETU ZILIZOPO DAR ES SALAAM MLIMANI.

Piga simu au tuma sms whatsup.

๐Ÿ“ž๐Ÿ“ž0710907801

30/07/2024

๐…๐€๐‡๐€๐Œ๐” ๐•๐˜๐€๐Š๐”๐‹๐€ ๐‡๐€๐“๐€๐‘๐ˆ ๐Š๐–๐€ ๐Œ๐†๐Ž๐๐‰๐–๐€ ๐–๐€ ๐‡๐„๐๐€๐“๐ˆ๐“๐ˆ๐’ ๐€,๐ ๐ง๐š ๐‚

Kwa wagonjwa wa hepatitis A, B, na C, ni muhimu kuepuka vyakula ambavyo vinaweza kuzidisha hali ya ini au kuathiri kinga ya mwili. Hapa kuna vyakula hatari kwa wagonjwa wa hepatitis:

1. ๐—ฃ๐—ผ๐—บ๐—ฏ๐—ฒ: Pombe ni hatari sana kwa ini na inaweza kuharakisha uharibifu wa ini kwa wagonjwa wa hepatitis.
2. ๐—ฉ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ฎ ๐˜ƒ๐˜†๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—บ๐—ฎ๐—ณ๐˜‚๐˜๐—ฎ ๐—บ๐—ฒ๐—ป๐—ด๐—ถ: Vyakula vyenye mafuta mengi, k**a vile vyakula vya kukaanga, vyakula vya haraka (fast food), na vyakula vya kusindikwa, vinaweza kuzidisha matatizo ya ini.

3. ๐—ฆ๐˜‚๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—ป๐˜†๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ถ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐˜ƒ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ฎ Sukari nyingi inaweza kusababisha mafuta kuongezeka kwenye ini (fatty liver), jambo ambalo ni hatari kwa wagonjwa wa hepatitis.

4. ๐—–๐—ต๐˜‚๐—บ๐˜ƒ๐—ถ ๐—ป๐˜†๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ถ: Chumvi nyingi inaweza kusababisha kuongezeka kwa shinikizo la damu na inaweza kuathiri ini, hasa kwa wale ambao tayari wana cirrhosis.

5. ๐—ก๐˜†๐—ฎ๐—บ๐—ฎ ๐—ป๐˜†๐—ฒ๐—ธ๐˜‚๐—ป๐—ฑ๐˜‚ ๐—ป๐—ฎ ๐—ถ๐—น๐—ถ๐˜†๐—ผ ๐˜€๐—ถ๐—ป๐—ฑ๐—ถ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐˜‡๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ณ๐˜‚๐˜๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐˜€๐—ผ๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ๐—บ๐˜‚ Nyama nyekundu na iliyosindikwa zinaweza kuwa na mafuta mengi na sodiamu nyingi, ambayo inaweza kuwa mbaya kwa ini.
6. ๐—ฉ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ฎ ๐˜ƒ๐—ถ๐˜€๐—ถ๐˜ƒ๐˜†๐—ผ ๐˜€๐—ฎ๐—ณ๐—ถ ๐—ฎ๐˜‚ ๐˜ƒ๐—ถ๐˜€๐—ถ๐˜ƒ๐˜†๐—ผ ๐—ฝ๐—ถ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐˜ƒ๐—ถ๐˜‡๐˜‚๐—ฟ๐—ถ : Kwa wagonjwa wa hepatitis A, ni muhimu kuepuka vyakula ambavyo havijaandaliwa kwa usafi na vile visivyopikwa vizuri, kwani virusi vya hepatitis A huenea kupitia chakula na maji machafu.

7. ๐—ฉ๐—ถ๐—ฟ๐˜‚๐˜๐˜‚๐—ฏ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ผ ๐—ป๐—ฎ ๐—ฑ๐—ฎ๐˜„๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐˜‡๐—ถ๐—ฎ๐—ฑ๐—ฎ ๐˜‡๐—ถ๐˜€๐—ถ๐˜‡๐—ผ๐—ถ๐—ฑ๐—ต๐—ถ๐—ป๐—ถ๐˜€๐—ต๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—บ๐—น๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฑ๐—ฎ๐˜„๐—ฎ ๐—ฑ๐˜‚๐—ป๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—ป๐—ฐ๐—ต๐—ถ๐—ป๐—ถ: Baadhi ya virutubisho na dawa za ziada zinaweza kuwa na madhara kwa ini. Ni muhimu kushauriana na daktari kabla ya kutumia virutubisho vyovyote unaweza wasiliana nami Dr Jonas kwa ushauri na matibabu sahihi.

Ni muhimu kwa wagonjwa wa hepatitis kufuata lishe yenye usawa, yenye virutubisho muhimu, na kuepuka vyakula vinavyoweza kuathiri vibaya afya ya ini. Kila mgonjwa anaweza kuwa na mahitaji maalum, hivyo ni muhimu kupata ushauri

๐ค๐ฐ๐š ๐ฎ๐ฌ๐ก๐š๐ฎ๐ซ๐ข ๐ฐ๐š ๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก๐ž ๐ง๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข ๐ง๐š ๐ฆ๐š๐ญ๐ข๐›๐š๐›๐ฎ ๐ฒ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ฎ๐ฌ๐š๐ฅ๐š๐ฆ๐š ๐ค๐ฐ๐š๐ค๐จ ๐ฐ๐š๐ฌ๐ข๐ฅ๐ข๐š๐ง๐š ๐ง๐š๐ฆ๐ข .

Msahauri wa afya ya homa ya ini [Dr juma]

๐Ÿ“ž๐Ÿ“ž+255710907801

21/07/2024

๐ŸŽ๐ŸŽ *JE UNAFAHAMU MADHARA YA SUMU MWILINI?*

Asilimia kubwa ya maradhi yanayowasumbua watu hivi leo yanatokana na sumu zilizopo katika miili yao.

Inawezekana umewahi kusikia mambo mengi kuhusu sumu kwenye mwili, lakini hufahamu chazo halisi cha sumu hizi.

๐ŸŽ๐ŸŽ *VYANZO VYA SUMU MWILINI*

Miili yetu imekuwa ikipokea sumu na uchafu kila siku kutokana

๐ŸMatumizi ya dawa mara kwa mara
๐ŸMatumizi ya pombe (Alcohol) na sigara

๐ŸMazingira na athari kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia

๐ŸUkosekanaji wa lishe na mlo kamili.
๐ŸMatumizi ya madawa makali.
๐ŸUzito mkubwa
๐ŸMitindo ya maisha
๐ŸNjia za uzazi wa mpango za kisasa

๐Ÿฅญ๐Ÿฅญ *DALILI ZA KUWA SUMU MWILINI*

๐ŸŽMatatizo ya ngozi kwa mfano chunusi, vipele nk.
๐ŸŽKuwa na uzito wa kupindukia

๐ŸŽKutopata choo au kupata choo kigumu
๐ŸŽKukosa usingizi Na kujihisi mchovu kupitiliza

๐ŸŽKichwa kuuma kila mara
๐ŸŽKupata miwasho sehemu mbali mbali za mwili

๐ŸŽMaumivu ya viungo K**a vile mgongo,goti, nyonga
๐ŸŽKuwa na hasira mara kwa mara.
๐ŸŽTumbo kujaa gesi nk

๐Ÿฅญ๐Ÿฅญ *MADHARA YA MWILI KUJAA SUMU*

๐ŸŽKukosa hamu ya tendo la ndoa
๐Ÿ…Kupata maambukizi ya figo

๐ŸŽKupata maambukizi ya Ini
๐ŸŽHupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba)

๐ŸŽHusababisha uvimbe kwa ndani ya kizazi kwa mwanamke.

๐ŸŽHupelekea matatizo shinikizo la damu la juu (high blood pressure)

๐ŸŽMvurugiko wa homoni na kupelekea hedhi kuvurugika, maumivu ya hedhi na kukosa hedhi ikiwa si mjamzito.

๐ŸŽHusababisha vimbe mbalimbali mwilini.

๐Ÿ๐Ÿ *SULUHISHO LA KUDUMU*

๐Ÿ“ŒKwa watu wenye changamoto hizo tumewaandalia tibalishe / virutubisho muhimu ili kuondokana na matatizo hayo.

๐Ÿฉธ๐Ÿฉบ๐Ÿ“Œ๐Ÿ’‰๐Ÿ’ŠBidhaa hii ni asili iliyo tengenenzwa kwa ubora wa hari ya juu sana,,ni salama kwa mtumiaji na haina madhara kwa mtumiaji.

๐ŸŒถ๐ŸŒถ *FAIDA ZA KUONDOA SUMU MWILINI* .

๐ŸHusaidia katika kuondoa matatizo ya upataji choo kigumu au mtu anayekosa choo.

๐ŸHusaidia katika kuimarisha mfumo wa mzunguko wa damu na upumuaji katika Mwili.

๐ŸHusaidia katika kuimarisha mfumo wa uzazi kwa mwanaume na mwanamke

๐ŸHuweka hedhi sawa na kuondoa maumivu wakati wa hedhi.

๐ŸHusaidia kuongeza virutubisho na kuupa Mwili afya na kulainisha Ngozi na kuifanya Ngozi kuwa ng'avu na laini.

๐ŸHuondoa uchovu Na kuupa nguvu.

๐ŸHuondoa sumu zote mwilini

๐ŸInaimarisha ubongo na kutunza kumbu kumbu

๐ŸInaondoa madhara ya pombe na kulinda ini na figo

๐ŸInaondoa mafuta yaliyo zidi mwilini

๐ŸInazuia kuota kitambi baada ya kuitumia

๐ŸInaondoa sukari iliyo zidi mwilini

๐ŸNi nzuri kwa wenye shinikizo la damu(presha)

[Tupo Dar es salaam MLIMAN CITY lakini pia huduma zangu ni mikoa yote TANZANIA na nje ya Tanzania]

Wasiliana nasi kwa namba +255710907801

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Dar Es Salaam
Dar Es Salaam