Afya plustz
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya plustz, Health/Beauty, dar es salaam, Dar es Salaam.
31/08/2024
TAARIFA YA HARAKA KWA WATU WOTE.
Hepatitis B:-
Ni homa ya INI inayosababishwa na kirus wa Hepatitis B.
Virusi hivyo vina uwezo wa kusambaa na kuambukiza watu mara 100 zaidi ya virusi vya ukimwi.
Tafiti za kitaalamu zinaonesha kuwa virusi hivyo ni hatari kuliko virus vya HIV (UKIMWI) kwa sababu vinaweza kuishi nje ya mwili wa binadamu (yaani nje ya mfumo wa damu) kwa siku 7
*๏ธโฃKwa maana hiyo, mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini hufariki dunia haraka sana k**a hatopatiwa tiba mapema kuliko mwenye VVU.
*๏ธโฃ๐๐๐๐๐๐ ๐ฌ๐ ๐ ๐๐๐๐๐ฅ๐ ๐ฌ๐๐ง๐ข๐๐๐ก๐๐ฌ๐ข ๐ก๐ ๐๐ข๐ ๐ ๐ฌ๐ ๐๐ก๐ ๐๐ฆ๐๐ฃ๐ข ๐ง๐๐๐๐ช๐ ๐ ๐๐ฃ๐๐ ๐:
๐INI kushindwa kabisa kufanya kazi (liver failure).
๐Saratani ya ini (hepatoma).
๐Figo kuferi na kujaa maji
๐Maumivu ya tumbo yasiyo isha
๐Tumbo, Sura na miguu kuvimba.
๐Njaa ya mara kwa mara na kali.
๐Manjano ya macho na ngozi yasiyo isha
๐Mgonjwa Kupoteza: maisha
โก๏ธnimeandaa jukwaa maalumu ambalo utajifunza bure namna ya kutumia lishe kamili pamoja na kumaliza kabisa changamoto yako.
Ili kuwahi nafasi bonyeza botton ya whatsup hapa chini..
Au tuma sms whatsup ๐๐ +255710907801
FIKA KWENYE KITUO CHETU CHA AFYA KILICHOPO HAPA MLIMANI-DAR ES SALAAM.
29/08/2024
UKWELI KUHUSU HOMA YA INI
Tahadhari Kwa Umma
Tunaelewa kuwa hali ya afya ni muhimu sana kwa kila mmoja wetu..
Tunapenda kuarifu kuwa kuna ongezeko la visa vya homa ya ini katika jamii yetu.
Homa ya ini ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vinavyoshambulia ini na unaweza kusababisha madhara makubwa na kupelekea [KIFO]
Dalili za Homa ya Ini:
- Homa
- Uchovu
- Kupungua kwa hamu ya kula
- Kichefuchefu na kutapika
- Ngozi na macho kuwa ya njano (jaundice)
- Maumivu ya tumbo upande wa kulia
Tiba na Ushauri:
Ikiwa una dalili za homa ya ini, tafadhali tembelea ofisi zetu zilizopo hapa mlimani city mkabala na jengo la mlimani tower dar essalaam.
Ili kufahamu zaidi bonyeza botton ya whatsup ili kuona shuhuda za wengi....
Nimekuandalia darasa maalumu nitakaloelekeza program za mlo unaofaa na njia rahisi za kuondokana na tatizo hili.
Wahi nafasi kabla jukwaa halijajaa...
Wasiliana nami ๐๐ +255710907801.
29/08/2024
**kuhusu Homa ya Ini [hepatisis]**
*Kwa umma wote,*
Tunapenda kuwajulisha kuhusu homa ya ini, ugonjwa ambao umeathiri watu wengi katika jamii yetu.
Homa ya ini ni hali inayosababishwa na kuvimba kwa ini na inaweza kuwa hatari k**a haitatibiwa mapema.
**Dalili za Homa ya Ini:**
- Uchovu mkubwa
- Homa
- Kichefuchefu
- Kupungua uzito
- Ngozi au macho kuwa na rangi ya manjano
**Mchango wa Mgonjwa:**
Mgonjwa aliyeathirika na tatizo hili la homa ya ini, ametoa ushuhuda wake kuhusu uzoefu wake.
Anasema, โAlianza kujisikia uchovu na homaji kali. Baada ya kupima aligundulika na tatizo la homa ya ini.
Matibabu aliyopokea yalikuwa muhimu sana, na sasa anaendelea vizuri na amepima yuko [-ve] amepona.
Ni muhimu kwa kila mtu kuwa na uelewa wa hali hii na kuchukua hatua mapema."
**Mikakati ya Kuzuia:**
- Epuka kutumia dawa za kupunguza maumivu zisizo na maagizo ya daktari.
- Jali usafi wa mazingira na chakula.
- Pata chanjo inayopatikana dhidi ya virusi vya homa ya ini.
Kwa taarifa zaidi, tafadhali wasiliana nasi fika kwenye kituo chetu cha afya kilichopo hapa mlimani.
Ili kuona shuhuda nyingi bonyeza botton ya whatsup hapa chini.
Au tuma sms whatsup +255710907801
26/08/2024
*HABARI NJEMA KWA WOTE*
hii ni habari muhimu sana kuhusu tatizo la homa ya ini [ hepatisis]
*Homa ya Ini โ Shuhuda za Halisi na njia ya kutokomeza madhara ya tatizo la homa ya ini**
Tunapenda kuwajulisha kuhusu ongezeko la visa vya homa ya ini katika jamii.
Homa ya ini ni ugonjwa wa kuambukiza ambao unakuwa na madhara makubwa k**a vile:-
๐maumivu ya tumbo yasiyo isha
๐INI kushindwa kufanya kazi [liver failure]
๐Figo kuferi na kujaa maji
๐saratani ya ini [hepatoma]
๐Tumbo, Sura na miguu kuvimba.
๐Njaa ya mara kwa mara na kali.
๐Manjano ya macho na ngozi yasiyo isha
๐mgonjwa kupoteza maisha๐
**Hali ya Ugonjwa:**
Virus vya homa ya ini [hepatisis] vina uwezo wa kusambaa na kuambukiza watu mara 100 zaidi ya virus vya HIV [UKIMWI]
๐kwa maana hiyo...!! mwenye virusi vya homa ya ini [hepatisis] hufariki dunia haraka sana k**a hatopatiwa matibabu mapema kuliko mwenye HIV [UKIMWI]
**Shuhuda:**
**isay**, aligundulika na homa ya ini miezi tisa iliyopita. Akiwa na dalili za uchovu na maumivu makali ya tumbo, alitafuta matibabu haraka.
Baada ya kupatiwa tiba na kuzingatia maelekezo ya vyakula, sasa hivi amepima yuko negative [amepona]
*TUKO HAPA KWA LENGO LA KUHAKIKISHA NA WEWE TUNAKUPA SULUHISHO LA UHAKIKA.*
โช๏ธ bonyeza botton ya whatsup hapa chini kuona shuhuda za wengi waliopona, na wewe utapona!!
๐๐+255710907801
18/08/2024
**TAARIFA MUHIMU KWA UMMA**
**Kuhusu Homa ya Ini: Ushuhuda wa Watu Waliopona**
Tunapenda kutoa taarifa hii muhimu kuhusu homa ya ini na jinsi ugonjwa huu unavyoweza kuathiri maisha ya watu.
HEPATITIS B:- Ni ugonjwa wa homa ya ini inayosababishwa na virus wa hepatitis.
Baada ya kumuhudumia alienda kupima na kukutwa yuko [negative] amepona.
"Alianza kuhisi dalili k**a vile maumivu ya tumbo, homa, na uchovu mkubwa. Alipokwenda kwenye kituo cha afya, daktari aligundua kuwa alikuwa na homa ya ini.
Kwa kweli, alikuwa na hali ngumu sana kwa sababu alikosa nguvu na hata shughuli za kawaida zilionekana kuwa ngumu kwake"
**Dalili za Homa ya Ini:**
- Maumivu ya tumbo upande wa kulia wa juu
- Homa
- Kichefuchefu
- Kupungua uzito
- Jaundice (kuchangamka kwa ngozi na macho)
โช๏ธ mtu mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini [hepatisis] ikiwa hatopatiwa matibabu haraka hufariki dunia haraka zaidi kuliko mwenye VVU [ukimwi]
ILI KUPATA MSAADA WA HARAKA FIKA KWENYE OFISI ZETU ZILIZOPO HAPA MLIMANI.
piga simu au tuma sms whatsup.
๐๐0710907801
17/08/2024
*JINSI ALIVYOPONA MAAMBUKIZI YA HOMA YA INI*
fahamu maambukizi ya virusi vya homa ya ini.
[MADHARA NA MATIBABU]
Rejesha afya na matumaini mapya ya maisha yako:
HOMA YA INI INATIBIKA KWA 100%:
HEPATITIS B :- Ni homa ya INI inayosababishwa na kirus wa Hepatitis B.
Virusi hivyo vina uwezo wa kusambaa na kuambukiza watu mara 100 zaidi ya virusi vya HIV (UKIMWI) .
โช๏ธHIVYO, mwenye maambukizi ya virusi vya homa ya ini [hepatisis] hufariki dunia haraka sana k**a hatopatiwa tiba mapema kuliko mwenye VVU.
๐๐๐๐๐๐ ๐ฌ๐ ๐ ๐๐๐๐๐ฅ๐ ๐ฌ๐๐ง๐ข๐๐๐ก๐๐ฌ๐ข ๐ก๐ ๐๐ข๐ ๐ ๐ฌ๐ ๐๐ก๐ ๐๐ฆ๐๐ฃ๐ข ๐ง๐๐๐๐ช๐ ๐ ๐๐ฃ๐๐ ๐:
๐Saratani ya INI [hepatoma]
๐INI kushindwa kufanya kazi [liver failure]
๐Figo kuferi na kujaa maji
๐Maumivu ya tumbo yasiyo isha
๐Tumbo, Sura na miguu kuvimba.
๐Njaa ya mara kwa mara na kali.
๐Manjano ya macho na ngozi yasiyo isha
๐Mgonjwa Kupoteza maisha ๐
๐๐จ๐ญ๐๐ก๐๐๐ง๐๐ ๐ ๐๐ง๐๐๐๐๐จ ๐ก๐ ๐๐๐ง๐จ๐ ๐ญ๐ ๐ ๐ฆ๐๐ก๐๐ - ๐๐๐ ๐๐จ๐ง๐ข๐๐ข๐ ๐๐ญ๐ ๐ ๐๐๐ ๐๐จ๐๐๐ญ๐ ๐ก๐ ๐๐จ๐๐ฃ๐จ๐ฆ๐๐ ๐๐๐ง๐๐ฅ๐ ๐ญ๐ ๐ฆ๐๐๐จ ๐ญ๐๐๐๐ญ๐ข:
FIKA KWENYE OFISI ZETU ZILIZOPO DAR ES SALAAM MLIMANI.
Piga simu au tuma sms whatsup.
๐๐0710907801
30/07/2024
๐
๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐,๐ ๐ง๐ ๐
Kwa wagonjwa wa hepatitis A, B, na C, ni muhimu kuepuka vyakula ambavyo vinaweza kuzidisha hali ya ini au kuathiri kinga ya mwili. Hapa kuna vyakula hatari kwa wagonjwa wa hepatitis:
1. ๐ฃ๐ผ๐บ๐ฏ๐ฒ: Pombe ni hatari sana kwa ini na inaweza kuharakisha uharibifu wa ini kwa wagonjwa wa hepatitis.
2. ๐ฉ๐๐ฎ๐ธ๐๐น๐ฎ ๐๐๐ฒ๐ป๐๐ฒ ๐บ๐ฎ๐ณ๐๐๐ฎ ๐บ๐ฒ๐ป๐ด๐ถ: Vyakula vyenye mafuta mengi, k**a vile vyakula vya kukaanga, vyakula vya haraka (fast food), na vyakula vya kusindikwa, vinaweza kuzidisha matatizo ya ini.
3. ๐ฆ๐๐ธ๐ฎ๐ฟ๐ถ ๐ป๐๐ถ๐ป๐ด๐ถ ๐ธ๐๐ฒ๐ป๐๐ฒ ๐๐๐ฎ๐ธ๐๐น๐ฎ Sukari nyingi inaweza kusababisha mafuta kuongezeka kwenye ini (fatty liver), jambo ambalo ni hatari kwa wagonjwa wa hepatitis.
4. ๐๐ต๐๐บ๐๐ถ ๐ป๐๐ถ๐ป๐ด๐ถ: Chumvi nyingi inaweza kusababisha kuongezeka kwa shinikizo la damu na inaweza kuathiri ini, hasa kwa wale ambao tayari wana cirrhosis.
5. ๐ก๐๐ฎ๐บ๐ฎ ๐ป๐๐ฒ๐ธ๐๐ป๐ฑ๐ ๐ป๐ฎ ๐ถ๐น๐ถ๐๐ผ ๐๐ถ๐ป๐ฑ๐ถ๐ธ๐๐ฎ ๐๐ถ๐ป๐ฎ๐๐ฒ๐๐ฎ ๐ธ๐๐๐ฎ ๐ป๐ฎ ๐บ๐ฎ๐ณ๐๐๐ฎ ๐ป๐ฎ ๐๐ผ๐ฑ๐ถ๐ฎ๐บ๐ Nyama nyekundu na iliyosindikwa zinaweza kuwa na mafuta mengi na sodiamu nyingi, ambayo inaweza kuwa mbaya kwa ini.
6. ๐ฉ๐๐ฎ๐ธ๐๐น๐ฎ ๐๐ถ๐๐ถ๐๐๐ผ ๐๐ฎ๐ณ๐ถ ๐ฎ๐ ๐๐ถ๐๐ถ๐๐๐ผ ๐ฝ๐ถ๐ธ๐๐ฎ ๐๐ถ๐๐๐ฟ๐ถ : Kwa wagonjwa wa hepatitis A, ni muhimu kuepuka vyakula ambavyo havijaandaliwa kwa usafi na vile visivyopikwa vizuri, kwani virusi vya hepatitis A huenea kupitia chakula na maji machafu.
7. ๐ฉ๐ถ๐ฟ๐๐๐๐ฏ๐ถ๐๐ต๐ผ ๐ป๐ฎ ๐ฑ๐ฎ๐๐ฎ ๐๐ฎ ๐๐ถ๐ฎ๐ฑ๐ฎ ๐๐ถ๐๐ถ๐๐ผ๐ถ๐ฑ๐ต๐ถ๐ป๐ถ๐๐ต๐๐ฎ ๐ป๐ฎ ๐บ๐ฎ๐บ๐น๐ฎ๐ธ๐ฎ ๐๐ฎ ๐บ๐ฎ๐ฑ๐ฎ๐๐ฎ ๐ฑ๐๐ป๐ถ๐ฎ๐ป๐ถ ๐ป๐ฎ ๐ป๐ฐ๐ต๐ถ๐ป๐ถ: Baadhi ya virutubisho na dawa za ziada zinaweza kuwa na madhara kwa ini. Ni muhimu kushauriana na daktari kabla ya kutumia virutubisho vyovyote unaweza wasiliana nami Dr Jonas kwa ushauri na matibabu sahihi.
Ni muhimu kwa wagonjwa wa hepatitis kufuata lishe yenye usawa, yenye virutubisho muhimu, na kuepuka vyakula vinavyoweza kuathiri vibaya afya ya ini. Kila mgonjwa anaweza kuwa na mahitaji maalum, hivyo ni muhimu kupata ushauri
๐ค๐ฐ๐ ๐ฎ๐ฌ๐ก๐๐ฎ๐ซ๐ข ๐ฐ๐ ๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก๐ ๐ง๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข ๐ง๐ ๐ฆ๐๐ญ๐ข๐๐๐๐ฎ ๐ฒ๐๐ง๐ฒ๐ ๐ฎ๐ฌ๐๐ฅ๐๐ฆ๐ ๐ค๐ฐ๐๐ค๐จ ๐ฐ๐๐ฌ๐ข๐ฅ๐ข๐๐ง๐ ๐ง๐๐ฆ๐ข .
Msahauri wa afya ya homa ya ini [Dr juma]
๐๐+255710907801
21/07/2024
๐๐ *JE UNAFAHAMU MADHARA YA SUMU MWILINI?*
Asilimia kubwa ya maradhi yanayowasumbua watu hivi leo yanatokana na sumu zilizopo katika miili yao.
Inawezekana umewahi kusikia mambo mengi kuhusu sumu kwenye mwili, lakini hufahamu chazo halisi cha sumu hizi.
๐๐ *VYANZO VYA SUMU MWILINI*
Miili yetu imekuwa ikipokea sumu na uchafu kila siku kutokana
๐Matumizi ya dawa mara kwa mara
๐Matumizi ya pombe (Alcohol) na sigara
๐Mazingira na athari kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia
๐Ukosekanaji wa lishe na mlo kamili.
๐Matumizi ya madawa makali.
๐Uzito mkubwa
๐Mitindo ya maisha
๐Njia za uzazi wa mpango za kisasa
๐ฅญ๐ฅญ *DALILI ZA KUWA SUMU MWILINI*
๐Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi, vipele nk.
๐Kuwa na uzito wa kupindukia
๐Kutopata choo au kupata choo kigumu
๐Kukosa usingizi Na kujihisi mchovu kupitiliza
๐Kichwa kuuma kila mara
๐Kupata miwasho sehemu mbali mbali za mwili
๐Maumivu ya viungo K**a vile mgongo,goti, nyonga
๐Kuwa na hasira mara kwa mara.
๐Tumbo kujaa gesi nk
๐ฅญ๐ฅญ *MADHARA YA MWILI KUJAA SUMU*
๐Kukosa hamu ya tendo la ndoa
๐
Kupata maambukizi ya figo
๐Kupata maambukizi ya Ini
๐Hupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba)
๐Husababisha uvimbe kwa ndani ya kizazi kwa mwanamke.
๐Hupelekea matatizo shinikizo la damu la juu (high blood pressure)
๐Mvurugiko wa homoni na kupelekea hedhi kuvurugika, maumivu ya hedhi na kukosa hedhi ikiwa si mjamzito.
๐Husababisha vimbe mbalimbali mwilini.
๐๐ *SULUHISHO LA KUDUMU*
๐Kwa watu wenye changamoto hizo tumewaandalia tibalishe / virutubisho muhimu ili kuondokana na matatizo hayo.
๐ฉธ๐ฉบ๐๐๐Bidhaa hii ni asili iliyo tengenenzwa kwa ubora wa hari ya juu sana,,ni salama kwa mtumiaji na haina madhara kwa mtumiaji.
๐ถ๐ถ *FAIDA ZA KUONDOA SUMU MWILINI* .
๐Husaidia katika kuondoa matatizo ya upataji choo kigumu au mtu anayekosa choo.
๐Husaidia katika kuimarisha mfumo wa mzunguko wa damu na upumuaji katika Mwili.
๐Husaidia katika kuimarisha mfumo wa uzazi kwa mwanaume na mwanamke
๐Huweka hedhi sawa na kuondoa maumivu wakati wa hedhi.
๐Husaidia kuongeza virutubisho na kuupa Mwili afya na kulainisha Ngozi na kuifanya Ngozi kuwa ng'avu na laini.
๐Huondoa uchovu Na kuupa nguvu.
๐Huondoa sumu zote mwilini
๐Inaimarisha ubongo na kutunza kumbu kumbu
๐Inaondoa madhara ya pombe na kulinda ini na figo
๐Inaondoa mafuta yaliyo zidi mwilini
๐Inazuia kuota kitambi baada ya kuitumia
๐Inaondoa sukari iliyo zidi mwilini
๐Ni nzuri kwa wenye shinikizo la damu(presha)
[Tupo Dar es salaam MLIMAN CITY lakini pia huduma zangu ni mikoa yote TANZANIA na nje ya Tanzania]
Wasiliana nasi kwa namba +255710907801
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
Dar Es Salaam