MdoeHealth&Treatment
Tunatatua changamoto ya uzazi kwa wanaume na wanawake
03/05/2024
NGUVU ZA KIUME HAZIAZIMIKI
Unaweza kuazima gari ukatumia au nguo ya mtu ukapendeza lakini sio nguvu zakiume ndugu zangu
Maisha ni kuchagua
Kwanini udhalilike wakati tupo kuondoa chanzo cha tatizo na sio tatizo
Nicheki kumaliza hiyo changamoto kabisa kwa simu 0652 885 107
30/04/2024
TEZI DUME NI NINI?
Hii ni tezi (kokwa) ambayo inapatikana katika mfumo wa uzazi wa mwanaume katika shingo ya kibofu cha mkojo. Kazi yake kubwa ni kutengeneza maji maji ya uzazi kwa mwanaume (shahawa) ambayo husaidia kurutubisha mbegu za kiume zilizotengenezwa kutoka kwenye korodani na husaidia kusaflrisha mbegu za kiume na kuzifanya zibaki hai kwa muda unaostahili.
SARATANI YA TEZI DUME NI NINI?
Ni ile hali ya chembe chembe za uhai katika tezi la kiume kukua bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili katika eneo Iinalozunguka mirija ya kupitisha haja ndogo( mkojo) Ugonjwa huu kwa sasa unaweza kuwapata vijana wa kiume kuanzia miaka 25 na kuendelea.
Tezi hii huwa inaongezeka uzito au ukubwa kadri umri wako unavyozidi kukua.
Tezi hii ipo katika shingo ya kibofu cha mkojo na hivyo basi ukuaji wake unaweza kuathiri mfumo mzima wa utoaji mkojo kwenye kibofu(lncomplete bladder emptying).
DALILI ZA SARATANI YA TEZI DUME.
Katika hatua zake za awali, dalili za saratani ya tezi dume hazitofautiani na zile za kuvimba kwa tezi dume
au BPH ambapo dalili hizo ni pamoja na
1. Kupata shida wakati wa kuanza kukojoa.
2. Kutiririka kwa mkojo baada ya kumaliza kukojoa.
3. Kukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifu.
4. Kukojoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku.
5. Kujikakamua wakati wa kukojoa na kushindwa kumaliza mkojo wote.
6. Kutoa mkojo uliochanganyika na damu.
7. Kuhisi bado una mkojo wakati umemaliza kukojoa muda
Kwa msaada zaidi wasiliana nasii 0652 885 107
30/04/2024
Madhara Ya Upasuaji wa Tezi Dume:
Baada ya mgonjwa wa saratani ya tezi dume kufanyiwa upasuaji, madhara yafuatayo yanaweza kutokea;
1) Kukosa uwezo wa kufikia mshindo yani hutoi shahawa (retrogade ej*******on).
Wazee wengi hulalamika sana baada ya upasuaji wa tezi dume hivyo ushauri nasaha lazima utolewe ili mgonjwa ajue nini madhara yake kabla ya operation.
2) Kuziba kwa njia ya mkojo kutoka na kuumia kwa njia hiyo wakati wa kufanyiwa upasuaji.
Baada ya upasuaji wa tezi dume, mgonjwa anapoendelea kupona kovu linaweza kuziba njia ya mkojo.
3) Shida ya kushindwa kudhibiti mkojo usitoke ovyo (Urine Incontinence).
Ni kawaida kwa mgonjwa kushindwa kudhibiti kutoka kwa mkojo katika siku za mwanzo baada ya operesheni. Hata hivyo hali hii hujirekebisha baada ya siku kadhaa kupita.
4) Kutokwa na damu katika siku za awali baada ya upasuaji.
Mara baada ya upasuaji wa tezi dume kupitia njia ya mkojo, Kidonda kwenye tezi dume kinaweza kuvuja damu ambayo itaonekana katika mkojo.
Kwa msaada zaidi 0652 885 107
30/04/2024
•UGUMBA UNAOSABABISHWA NA WANAUME - ( LOW S***M CUOUNT )•.
🤔 Ni nini ? ☎️ 0652 885 107
🌺 Ni Upungufu Katika Uzalishaji wa mbegu za Kiume Linalohusiana na Kutokuwepo kwa mbegu za kiume kwenye manii au uwepo wa mbegu kidogo sana katika manii.
🔥SABABU ZA TATIZO LA UCHACHE WA MBEGU ZA KIUME•.
👉Watu wengi hudhani k**a mwanamke hapati ujauzito basi tatizo na lawama zote zitakuwa ni upande wa mwanamke, lakini hilo si lazima mara zote liwe hivyo. Kuna uwezekano mkubwa kuwa tatizo la kutopata mtoto katika familia likawa linatokana na ugumba upande wa mwanaume.
👉Mwanaume kuzalisha mbegu chache kuliko kawaida ni mojawapo ya sababu kubwa za ugumba kwa wanaume.
🔥MBEGU CHACHE NI KIASI GANI?
👉Shahawa kawaida ni mchanganyiko wa maji maji (ute) unaotengenezwa na tezi dume na mbegu za kiume (manii). Mtu anakua na tatizo la mbegu chache pale katika kila Millilita moja ya shahawa zake kunakua na mbegu (manii) chini ya millioni 15. Kwa kawaida mwanaume anazalisha zaidi ya manii millioni 20 katika kila millilita moja ya shahawa anazomwaga.
Kitaalamu tatizo hili linaitwa OLIGOS***MIA na Kutokuwa na mbegu za Kiume Kabisa Kwenye Shahawa Linajulikana K**a AZOOS***MIA.
🔥DALILI.
👉Dalili kuu ya tatizo hili ni kushindwa kutungisha mimba/kupata mtoto.Zinaweza kuwepo dalili nyingine kulingana na chanzo cha tatizo hili mfano mirija ya manii kuziba,matatizo kwenye korodani na matatizo kwenye mfumo wa hormone.
🔥Dalili nyingine ni k**a.
👉Matatizo kwenye uwezo wa kufanya tendo la ndoa mfano kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa,uume kushindwa kusimama au kuwa mlegevu unaposimama.
👉Maumivu na uvimbe kwenye korodani.
👉Kupungua au kutokuwa na ndevu na nywele za sehemu nyingine za mwili ,hii ni dalili ya uhaba au upungufu wa hormone ya testosterone.
🔥VISABABISHI VYA TATIZO HILI.
👉Kutengenezwa kwa mbegu inahusisha korodani na tezi iliyopo kwenye ubongo inayojulikana k**a hypothalmus ambayo hii inahusika na kuzalisha hormone zinazochochea uzalishwaji wa mbegu za kiume. Matatizo katika viungo hivi huweza kupelekea tatizo hili.
👉Pia kuna weza kuwepo na matatizo katika maumbo ya mbegu za kiume nayo kupelekea tatizo hili.
🍆Visabibishi vya tatizo hili ni k**a ifatavyo:
🔥SABABU ZA KIAFYA
1.Kuvimba kwa mishipa ya damu ya korodani-Varicocele ,hali hii inaathiri kiwango cha joto kwenye korodani hivyo kuathiri utengenezwaji wa mbegu za kiume.
2.Maambukizi, Baadhi ya maambukizi yanaweza kuathiri utengenezwaji wa mbegu za kiume na jinsi mbegu hizi zinavyotelewa nje.Magonjwa ya zinaa,magonjwa ya korordani yanaweza kupelekea kuziba kwa mirija ya manii na kuharibu seli zinazohusika na kutengeneza manii kwenye korodani.
3.Matatizo katika kutoa mbegu nje mfano tatizo la misuli ya shingo ya kibofu kutobana vizuri hivyo kupelekea shahawa kuingia kwenye kibofu cha mkojo badala ya kutolewa nje.
4.Kinga ya mwili kuziharibu mbegu.Kuna tatizo la kinga ya mwili kuzisoma mbegu za kiume k**a wadudu wanaoleta magonjwa hivyo kuziharibu (s***m ant bodies)
5.Saratani, kuna baadhi ya saratani k**a saratani ya tezi ya pituitari,saratani ya korodani zinaathiri pia utengenezwaji wa mbegu za kiume
6.UWIANO USIO SAWA WA HOMONI ~ (Hormone Imbalance):
👉Tatizo la homoni kutokuwa sawa si jambo linalowapata wanawake peke yao, ni jambo linalojitokeza pia kwa wanaume ingawa wengi wao huwa hawana muda wa kufikiri kuwa nalo. Homoni zina umhimu mkubwa katika kazi ya uzalishaji wa mbegu na katika afya ya uzazi wa mwanaume kwa ujumla.
👉Moja ya homoni kuu inayohusika na uzazi kwa mwanaume ni homoni ya testosterone. Kutokana na maisha yetu ya kisasa na baadhi ya matatizo yaliyoelezwa hapo juu upande wa uwingi wa mbegu, wanaume wengi wanajikuta katika hali hii ya kuwa na tatizo la homoni zao kutokuwa katika usawa unaohitajika kwa afya bora ya uzazi.
👉Vipo vitu vinavyoweza kuharibu homoni ya testerone na huanza kwa kuigiza au kijifanya vyenyewe ni estrogens (xenohormones). Estrogen ikizidi katika mwili wa mwanaume hupelekea uhanithi (uume kushindwa kusimama), kukosa hamu ya tendo la ndoa, kupungua kwa mbegu na kupungua kwa maji maji ya mbegu kwa ujumla.
🔥Visababishi hasa vya kuharibika kwa testeroni ni pamoja na
👉Vyakula vyenye soya
👉Madawa yanayotumika katika mazao mashambani
👉Homoni zinazoongezwa katika bidhaa za maziwa na nyama
👉Vifaa au vyombo vya plastiki aina ya HDPE.
7.Mishipa ya manii kuziba
8.Madawa, Baadhi ya madawa mfano dawa za kutibu saratani,dawa za fangasi,na baadhi ya ant biotic zikitumika kwa muda mrefu zinaweza kusababisha tatizo hili.
9.Mfadhaiko (Stress) – Mfadhaiko au stress inaweza kuleta majanga makubwa katika homoni na kupelekea kushuka kwa uzalishaji wa mbegu za kiume.
👉Stress inahusika sana na tatizo la ugumba kwa wanaume wengi, na moja ya sababu ya stress hii ni ile hamu yenyewe ya kuwa na mtoto inapokujia kila mara kichwani.
👉Vile vile kuna presha kutoka kwa wazazi, ndugu jamaa na marafiki kwamba kwanini huzai. Hivi vyote ukiviweka kichwani na kuviwaza kila mara ni rahisi kwako kupatwa na tatizo la kupungua kwa mbegu na uzazi kwa ujumla.
👉Kuwa na amani, mwamini Mungu kwamba siku yako ipo, just relax kila kitu kina muda wake.
🔥SABABU ZA KIMAZINGIRA
👉Kemikali za viwandani k**a benzene,toluene,xylene,dawa za kuua wadudu,rangi za nyumba, zinaweza kupelekea tatizo hili
👉Uvutaji wa Sigara – Uvutaji sigara, bangi na bidhaa nyingine za tumbaku huharibu ubora wa mbegu za kiume. Hilo halihitaji majadiliano. Habari njema ni kuwa madhara yaliyosababishwa na uvutaji sigara yanaweza kurekebishika ikiwa tu utaamua kuacha kuvuta. Huhitaji dawa kuacha kuvuta sigara, unahitaji kuamua tu kwamba sasa basi na hakuna lisilowezekana kwa mtu mwenye maamuzi na mwenye ndoto za maisha mazuri ya kiafya.
👉Vifaa vya kieletroniki – Tafiti zimeonyesha vifaa vingi vya kisasa vya kieletroniki vinasababisha kushuka kwa wingi na ubora wa mbegu kwa wanaume wengi miaka ya sasa kwani mionzi yake hupelekea joto lisilohitajika katika mifuko ya mbegu za kiume. Vifaa hivi ni pamoja na simu na Kompyuta.
👉Unashauriwa kutokuweka simu ndani ya mfuko wako wa suruali kwa kipindi kirefu na kutokuweka kompyuta mpakato (laptop) kwenye mapaja yako wakati wote ukiitumia. Ni mhimu pia kutokutumia masaa mengi kutwa nzima ukiwa kwenye kompyuta.
👉Vifaa vya Intaneti visivyotumia waya – Siku hizi tofauti na zamani, kuna teknolojia mpya imeingia ya kuunganisha intaneti kwa kutumia vifaa visivyotumia waya (wireless internet) au kwa lugha nyepesi hujulikana k**a Wi-Fi.
Vifaa hivi vinapunguza wingi wa mbegu, uwezo wa mbegu kukimbia na kuharibu muundo asili wa mbegu kwa ujumla (DNA fragmentation). Wanaume wenye tatizo la uzazi wanashauriwa kutotumia aina hii ya vifaa vya kuunganishia intaneti kwenye kompyuta zao na vile vile kutokuweka simu kwenye mifuko yao ya mbele ya suruali.
👉Viuavijasumu na homoni katika vyakula – Viuavijasumu (pesticides) vinavyotumika katika mazao mbalimbali mashambani miaka ya sasa ni sababu mojawapo ya tatizo la homoni kutokuwa sawa kwa wanaume wengi.
Kwenye bidhaa nyingi za maziwa za viwandani sasa huongezwa homoni k**a vile homoni ya estrogeni ambazo hazihitajiki katika mwili wako. Vyote hivi vina madhara katika afya ya mwanaume.
👉Vyakula vyenye soya – Vyakula vyenye soya ndani yake hasa vile vya viwandani k**a vile maziwa ya soya, burger za soya nk si vizuri kwa afya ya uzazi ya mwanaume. Vinasemwa moja kwa moja kuathiri ubora wa homoni ya testosterone homoni mhimu sana kwa afya ya uzazi wa mwanaume
👉Unywaji pombe – Katika moja ya utafiti kwa wanaume wenye mbegu zenye ubora wa chini, matumizi ya kupitiliza ya unywaji pombe yalionyesha kuhusika na kupungua kwa mbegu za kawaida yaani mbegu nzuri zinazofaa kwa ajili ya uzazi.
👉Matumizi ya vifaa vya plastiki – kuna baadhi ya vifaa vya plastiki vinapowekewa chakula cha moto hutoa kitu kijulikanacho k**a ‘xenohormones’ ambacho huigiza k**a ni ‘estrogen’ ndani ya mwili na hivyo kupelekea matatizo kwenye mfumo wa uzazi wa mwanaume.
👉Joto kupita kiasi (Hyperthermia) – Mifuko ya mbegu za uzazi ya mwanaume inahitaji joto la chini kidogo ya lile joto la mwili kwa ujumla ili mbegu zibaki na afya. Inasemekana kuwa hii ndiyo moja ya sababu viungo vya uzazi vya mwanaume vipo karibu nje kabisa ya mwili wake.
👉Joto linajulikana wazi kuharibu ubora wa mbegu na hivyo itakuwa vizuri kuepuka mazingira ambayo yanaweza kusabbaisha joto la moja kwa moja kwenye viungo vya uzazi vya mwanaume ikiwemo kuepuka kuvaa nguo za ndani zinazobana sana.
👉Mfadhaiko (Stress) – Mfadhaiko au stress inaweza kuleta majanga makubwa katika homoni na kupelekea kushuka kwa uzalishaji wa mbegu za kiume.
👉Stress inahusika sana na tatizo la ugumba kwa wanaume wengi, na moja ya sababu ya stress hii ni ile hamu yenyewe ya kuwa na mtoto inapokujia kila mara kichwani.
👉 Vile vile kuna presha kutoka kwa wazazi, ndugu jamaa na marafiki kwamba kwa nini huzai. Hivi vyote ukiviweka kichwani na kuviwaza kila mara ni rahisi kwako kupatwa na tatizo la kupungua kwa mbegu na uzazi kwa ujumla.
Kuwa na amani, mwamini Mungu kwamba siku yako ipo, just relax kila kitu kina muda wake.
👉Aina ya chakula unachokula – Chanzo kingine cha kuwa na mbegu chache au zisizokuwa na afya ni kutokula chakula sahihi na cha kutosha kila siku. Kwa afya bora kabisa ya uzazi mwanaume anahitaji vyakula vyenye madini ya zinki (zinc) kwa wingi, selenium, Vitamin E, folic acids, Vitamini B12, Vitamini C na vyakula mbalimbali vinavyoondoa sumu mwilini (antioxidants).
🔥JINSI YA KUJIKINGA
👉Njia kubwa ya Kujikinga na tatizo la mbegu Chache ni Kula vyakula Vyenye virutubisho vinavyosaidia kuongeza Uzalishaji na Ubora wa Mbegu za Kiume.
🔥Njia nyingine ni pamoja na:
🌺Kuacha kuvuta sigara.
🌺Kutokunywa pombe kupindukia.
🌺Kutotumia dawa za kulevya.
🌺Kuepuka msongo wa mawazo.
🌺Kutovaa nguo zinazobana sana korodani.
🌺Kuepuka Uzito Kupita Kiasi.
🌺Kupunguza uzito uliozidi.
Epuka kula vyakula vyenye Soya mfano mbegu za soya,maziwa ya soya.
🎯SULUHISHO 👉 Tutafute tukupatie Program Maalum Ya Virutubisho Itakayosaidia Kutibu tatizo la Upungufu wa nguvu za Kiume,Kuongeza Uzalishwaji wa mbegu/Sperms zenye kiwango na Ubora ambazo zitakuwezesha kuwa na uwezo wa kum'bebesha mwanamke ujauzito.
° Kwa Msaada Zaidi na Haraka Tafadhali : Wasiliana Kupitia Simu namba 0652 885 107
30/04/2024
INAWEZEKANA UNAPITIA HALI HII:
↪️ Maumivu ya mgongo mara Kwa mara.
↪️ Maumivu ya kiuno yasiyoisha.
↪️ Ganzi na Miguu kuwaka moto.
↪️ Joints/ Maungio kupoteza Ute Ute laini.
K**a unapitia changamoto mojawapo kati ya hizi,
Karibu nikupatie ushauri bure na namba ya kupata suluhisho kamili.
Whatsapp: 0652 885 107
30/04/2024
⚠️ "UFANYE NINI UNAPOKUMBWA NA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME?
Unapokuwa na shida ya nguvu za kiume usitafute dawa. Hakuna dawa ya nguvu za kiume kwani nguvu za kiume SIYO UGONJWA k**a malaria au kisukari kwamba unahitaji dawa.
Kukosa nguvu za kiume inaonyesha tu kuwa mwili wako umekosa virutubisho (lishe) muhimu ya kutosha. Ukipata tu hutokaa uone shida ya nguvu za kiume.
Upe mwili wako virutubisho muhimu.
Sasa kwa kawaida ili kutatua changamoto za uzazi kwa mwanaume tungeweza kutumia tu lishe ya matunda na mbogamboga na mazoezi tu k**a babu zetu wa zamani.
Hata hivyo changamoto kubwa ni kuwa vyakula vingi dunia ya leo vinaandaliwa kwa kutumia kemikali za viwandani kuanzia mbolea, dawa za kuua wadudu na za uhifadhi.
Hivyo kemikali hizo zinafanya kazi kinyume chako na kudhoofisha mifumo ya mwili wako na kufanya usiwe ba afya bora na hata usifurahie tendo la ndoa tena.
Ndiyo maana kwa kuona hilo kuna virutubisho maalumu vilivyoandaliwa kitaalamu pasipo kutumia kemikali hizo ili kuusupport mwili wako urudi sawa uwe mwenye afya imara tena na uufurahie uanaume wako katika mahusiano yako.
Wasiliana nasi kwa whatsapp numbe 0652 885 107
30/04/2024
Namna Ya Kutambua K**a Una Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Suluhisho Lake.
1.K**a unakosa hamu ya tendo la ndoa, una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.
2.K**a uume hausimami barabara, una upungufu wa nguvu za kime.
3.K**a uume unasimama kwa muda mfupi na kulegea, una upungufu wa nguvu za kiume.
4.K**a uume wako unalegea muda mfupi tu baada ya kuingia ukeni, una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.
5.K**a unafika kileleni muda mfupi tu baada kuingia ukeni, una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.
6.K**a unashindwa kufika kileleni una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.
7.K**a unasikia maumivu wakati uume unaposimama, una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.
8.K**a unashindwa kutoa mbegu (shahawa), una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.
👆 Ikiwa utakuwa na changamoto k**a izo, fahamu ya kwamba, una UPUNGUFU wa nguvu za kiume, na hivyo sasa ni muda muafaka wa kutafuta matibabu sahihi bila kuchelewa. Unapoanza kujitibu mapema kabla mambo hayajawa mabaya zaidi, unakuwa umejitengenezea fursa pana ya kupona. Lakini, chelewa chelewa…. utakuta mwana si wako!
Wasiliana nami sasa kwa whatapp namba 0652 885 107
30/04/2024
-->[ Kutanuka/Kuvimba kwa tezi dume ni tatizo la kawaida kwa karibu kila mwanaume wa umri mkubwa.
Miaka inavyoenda, ndivyo tezi dume huzidi kuwa kubwa; na hufinya njia ya mkojo na kuziba mkojo, hivyo mkojo hutoka polepole .
Uvimbe huu Usipotibiwa huweza kupelekea athari zifuatazo;
• Saratani (Cancer) ya tezi dume,
• Saratani ya korodani,
• Mbegu hafifu,
• Kukosa nguvu na hamu ya tendo,
• vile vile damu kwenye mkojo,
• Kwenda haja ndogo mara kwa mara na
• Udhaifu katika utoaji wa mkojo, mkojo hauishi.
Jwa mawasiliano zaidi 0652 885 107
30/04/2024
TIBA THABITI YA CHANGAMOTO YA TEZI DUME BILA UPASUAJI
Tezi dume ni nini?
Tezi dume ni tezi inayopatikana kwa jinsia ya kiume. Tezi hii ina kazi ya kutengezeza majimaji meupe mepesi yenye unato kidogo. Majimaji haya husaidia mbegu za kiume kutembea kwa urahisi.
Ipo wapi?
Tezi dume iko mwishoni mwa kibofu cha mkojo. Pia inauzunguks mrija unaounganisha kibofu cha mkojo na na mrija wa mkojo wa uume (urethra) na iko mbele kidogo ya utumbo mpana ndani ya fupa la nyonga.
Saratani ya tezi dume ni nini?
Saratani ya tezi dume maana yake ni tezi dume imepata ugonjwa wa saratani..Na hii hutokea pale ambapo chembechembe hai za tezi huasi na kuanza kujigawanya bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili, chembechembe asi hizi mwishowe hutengeneza vivimbe hatari ndani ya tezi dume na hatimaye husambaa mwilini
Visababishi hatarishi kwa saratani ya Tezi dume
1)Umri Mkubwa kuanzia miaka 50
2)Nasaba (ukoo wenye historia a saratani hii
3)Lishe hatarishi-nyama nyekundu kwa wingi, mafuta/samli,maziwa ya krimu
4)Unene uliokithiri
5)Ukosefu wa mazoezi
6)Upungufu wa virutubisho,mfano vit D.
7)Maambukizi ya mara kwa mara kwenye tezi dume
Dalili zake ni zipi?
1)Udhaifu katika utoaji wa mkojo, mkojo hauishi.
2)Kwenda kukojoa mara kwa mara.
3)Damu ndani ya mkojo.
4)Kushindwa kukojoa.
5)Maumivu ya kiuno na mifupa ya nyonga.
*Wagonjwa wengi huanza maumivu ya nyonga k**a ni dalili za awali.
Udhaifu katika utoaji wa mkojo pia kunaweza kutokea kwa kuvimba kwa tezi dume bila ya saratani.
Damu kwenye mkojo nakushindwa kumaliza mkojo ni ishara tosha ya kuwa tezi dume imeathirika.
madhara
1) upungufu wa nguvu za kiume
2) Maumivu ya Mara kwa mara wakati wa haja ndogo
3)kushindwa kushiriki tendo la ndoa
4)kifo
Tiba sahihi ya Tezi dume ni👇🏻👇🏻
👉🏻 ipo tiba sahihi ambayo itarejesha tezi dume katika hali ya kawaida na kuuwa seli zote za kansa dawa hii ni yenye virutubisho lishe visivyo na kemikali kabisa
👉🏻kwa maelezo na maswali binafsi ushauri binafsi na uhitaji wasiliana nasi kwa namba namba.... 0652 885 107
30/04/2024
DALILI ZA CHANGAMOTO YA TEZI DUME
Uonapo dalili zifuatazo unaweza kuanza kuhisi una saratani ya tezi dume:
1. Kukojoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku
2. Kushindwa kuzuia mkojo, yaani ukichelewa kidogo unaweza kukutoka bila breki
3.Kuwahi kufika kileleni mara kwa mara
4. Maumivu wakati unakojoa
5. Kuishiwa nguvu za kiume
6. Kupungua kwa uwingi wa mbegu (low s***m count)
7. Maumivu wakati unafika kileleni
8. Damu kutokea kwenye mkojo au kwenye mbegu za kiume
9. Maumivu nyuma ya mgongo au hata nyonga
K**a umeona mojawapo ya dalili hizo chukua tahadhali mapema kwa kutumia virutubisho asilia, formula ya matunda matatu na mazoezi matatu muhimu. kwani kinga ni bora kuliko tiba. Usisubiri uharibikiwe zaidi ya hapo.
Suluhisho; Wasiliana nasi kwa whatsapp namba 0652 885 107
30/04/2024
FAIDA YA KEGEL NA JINSI,YA KUFANYA MAZOEZI YA KEGEL (Wanaume)
Kufanya mazoezi ya Kegel ni muhimu kwa kila mwanaume, nasema hivi kwa sababu ni zoezi ambalo kila aliyelifanya mara kwa mara ndani ya wiki tatu basi ameweza kuwa na utofauti mkubwa tofauti na mwanzo.
Nasisitiza kuendelea kufanya Kegel Exercises kwa sababu zifuatazo;
1: Ni zoezi linalochukua muda kidogo sana hata kwa dakika tano tu pia unaweza kulifanya popote hata k**a upo ofisini I will show you how to exercise
2: Kegel ni kwa watu wa rika zote na jinsia zote ila kwa mwanaume ni kwamba inaimarisha nyonga, kukaza misuri ya uume na kuufanya usimame haswaa unapokuwa na msisimko wa tendo la ndoa
3: Inathibiti ukuaji wa tezi wa dume na kuondoa uwezekano kabisa wa kutokupata tatizo la kuvimba tezi dume na maumivu ya kibofu
4: K**a unashindwa kujizuia kufika kileleni, anza leo mazoezi ya kegel kisha uone umahiri wako kitandani utakavyoongezeka
5: Kegel inakuwezesha kufungua na kufunga kwa mishipa ya artery na vena katika kusafirisha damu kwenye misuri ya uume hivyo kukupa uhakika wa kufanya vizuri uwapo faragha.
JINSI YA KUFANYA KEGEL EXERCISES
i. Ukiwa umesimama au umekaa, legeza viungo vyako vyote vya mwili, usikaze makalio wala misuli yako ya miguu au ya tumbo. Kaza misuli yako ya uvungu wa sehemu nyeti k**a vile unazuia mkojo usitoke. Ukiwa bado umeikaza misuli hiyo, hesabu sekunde 3 hadi tano kisha ilegeze (ukiweza kuhesabu sekunde zaidi ni vizuri zaidi).
ii. Pia unaweza kuifanya kegel exercises asubuhi unapoamka au muda wowote ukiwa umepumzika kwa kufanya hivi.
Lala chali kisha kunja miguu yako na hakikisha mikono yako inagusa visigino vya miguu, nyanyua kiuno chako juu mpaka uhisi misuli ya makalio imebana kwa sekunde 15 shuka taratibu kisha relax halafu nyanyua tena kiuno (rudia zoezi angalau mara 15 asubuhi na usiku) k**a una muda unaweza kufanya maradufu zaidi.
Tahadhari! Zingatia kunywa maji ya kutosha unapomaliza zoezi, hii inakusaidia misuri iimarike zaidi.
Zipo dawa za changamoto zote za afya ya uzazi kwa wanaume
wasiliana nasi kwa namba 0652 885 107
Karibu tukuhudumie
30/04/2024
Mwanaume 1 kati ya 3 wana matatizo ya nguvu za kiume hii ni
kulingana na tafiti zilizo fanyika.
1. Kutokuwa na Mzunguko mzuri wa damu mwilini, hasa sehemu za
viungo vva uzazi kwa mwanaume
2. Kutokuwa na kiwango cha kutosha cha homoni ya Testosterone,
3. Kupungukiwa protini na hivyo kukosa amino asidi mwilini
4. Msongo wa mawazo/Sonona
5. Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta na vinywaji vyenye sukari
nyingi
Je? Una swali lolote Au una changamoto gani ina kusumbua? Kiafya niandikie hapa chini kwenye Comment nitaisoma a kukujibu au kukupatia njia sahihi ya kuitatua changamoto yako Kuhusu Ushuri na Huduma za Virutubisho Bora Nipigie sasa hivi au
Pia usisahau kuturn on post notification kwaajiri ya kupata taarifa
pale tuu ninapo chapisha ujumbe mpya kuhusu afya!
JE WEWE PIA UNA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME?
Kwa ushauli, Elimu, Miongozo, Suluhisho sahihi kwa changamoto yako wasiliana nasi kwa simu namba 0652 885 107
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Gerezani
Dar Es Salaam