afya nadhifutz

afya nadhifutz

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from afya nadhifutz, Health/Beauty, Dar es Salaam.

08/11/2024

*ANATIC HERBAL ESSENCE SOAP (DAKTARI WA NGOZI)*
{PRODUCT FROM U.S.A}
*0% chemical*

Ni sabuni ya mitishamba iliyotengenezwa kwa viambata asilia k**a vifuatavyo:-

*INGREDIENTS (VIAMBATA)*
1. Wild honey (Asali mwitu)
2. Olive Oil (Mafuta ya Mzeituni)
3. Palm Oil (Mafuta ya mawese)
4. ⁠Grapefruits
5. ⁠Green tea

*FAIDA ZA SABUNI YA ANATIC*

1️⃣ Hupambana na Uzee na kuondoa makunyanzi

2️⃣ Hufanya ngozi kuwa na unyevu unyevu na muonekano nadhifu

3️⃣ Huondoa mapunye, chunusi, na mafuta yaliyozidi kwenye ngozi.

4️⃣ Inavuta uchafu uliopo ndani ya ngozi pamoja na uchafu unaosababisha chunusi na mapele.

5️⃣ Inaondoa madoa doa kwenye ngozi

6️⃣ Inaondoa seli za ngozi zilizokufa hivyo kufanya ngozi iwe laini na nyororo.

7️⃣ Inazibua (inafungua) njia za jasho kwenye vinyweleo hivyo kudhibiti tatizo la harufu mbaya ya mwili.

8️⃣ Inaua vijidudu (bacteria) wa kinywa, fangasi upele na mapunye

9️⃣ Inatumza ngozi ya mtoto mchanga na kumkinga na magonjwa ya ngozi.

1️⃣0️⃣ Inaondoa weusi Miguuni,Kwapani, Mikononi,Shingoni,Magotini.

*N.B: HAINA KEMIKALI HIVYO NI SALAMA KWA RIKA ZOTE.

💰Inapatikana Kwa TSH 15,000/= Kwa Sabuni Moja Na Ukinunua Kuanzia Sabuni Tatu Utazipata Kwa TSH 10,000/= Kila Moja.

☎️ MAWASILIANO/WHATSAPP: 0763892393

Napatikana Kimara Stop Over Dar es salaam Tunafanya Delivery Ndani Na Nje ya Dar es salaam.

15/10/2024

*UMUHIMU WA KUONDOA SUMU MWILINI ( BODY DETOXIFICATIONS ) ILI KUJIEPUSHA NA MAGONJWA YASIYO AMBUKIZA.*

Kumbuka tuko kwenye nyakati ambazo tunaishi katika maisha yenye hatari kubwa Kwa Afya zetu....Na hii ni Kutokana na Mabadiriko ya Teknolojia na Mtindo wa Maisha ( Life Styles ).

Mabadiriko hayo kimsingi yamepelekea leo miili yetu kuwa na ongezeko la Sumu nyingi na hata kutuathiri Afya zetu.

Mwili kuwa na sumu hutokana na kuwepo kwa matumizi ya Viapambata na Chemicals mbalimbali ambazo mtu huweza kuzipata kwa njia "KULA, KUNYWA,KUVUTA,KUPAKA.Nk.

Hali hiyo hupelekea Sumu hizo kujikusanya mwilini taratibu na hata kwa muda mrefu na baada ya hapo huanza kuleta Madhara makubwa Kiafya.

*UTAJUAJE KUWA UNA SUMU MWILINI / BAADHI YA DALILI ZA MTU MWENYE SUMU MWILINI.*

♦️Kuhisi uchovu na Kuishiwa Nguvu
♦️Maumivu ya Kichwa yasio koma.
♦️Kukosa usingizi hasa usiku
♦️Maumivu ya Mwili na Viungo
♦️Kubadirika kwa Homoni za Mwili
♦️Kuongezeka Uzito au Unene mkubwa.
♦️Ngozi kupoteza Ubora wake / Kuharibika
♦️♦️♦️
K**a unajihisi una Dalili hizo au zaidi Tafadhari chukua hatua Wasiliana nasi kwa msaada wa Ushauri kiafya Buree....kabisa.

Kuwepo na sumu Mwilini Nirahisi sana kwa mtu kuugua Magonjwa Mbalimbali Yasiyo ya Kuamvukiza.
"CHUKUA HATUA JARI AFYA YAKO"!!!.

BAADHI YA MADHARA YA SUMU MWILI.

▶️Kuchakaa kwa Seli za Mwili na hata Seli Kufa▶️Kushuka ( Kupungua )▶️Kupata Magonjwa Sugu ya FIGO.
▶️Kupata Magonjwa ya INI / HOMA YA INI ( HEPATITIS B & C )
▶️Magonjwa ya Moyo.▶️Magonjwa ya MIFUPA na MAUNGIO.
▶️Kupungua kwa Nfuvu za Kiume na Kukosa hamu ya Tendo la Ndoa (Ke)
▶️Matatizo ya Uzazi kwa
▶️Kuongezeka kwa URIC ACID.
▶️Magonjwa ya KISUKARI.

PS.ILI KUISHI UKIWA NA AFYA BORA HAKIKISHA UNAFANYA UONDOAJI WA SUMU MWILINI ( BODY DETOXIFICATIONS )

Hivo Kwa huduma Bora ya Ushauri na Kupata Usimamizi wa Program Maalumu ya Kuondoa Sumu Mwilini Fika Ofisini kwetu au wasilinana nasi
📞0763892393 whatasaap
TUPO KIMARA STOP OVER-DAR ES SALAAM TANZANIA .

Gharama dozi ya mwezi mmoja 150,000/=tu
Nusu dozi 85,000/=

28/06/2024

𝐉𝐄...! 𝐔𝐌𝐄𝐊𝐔𝐖𝐀 𝐔𝐊𝐈𝐒𝐔𝐌𝐁𝐔𝐊𝐀 𝐍𝐀 𝐁𝐀𝐖𝐀𝐒𝐈𝐑𝐈 𝐁𝐈𝐋𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐎𝐍𝐀...?
"Karibu kwa kupata tiba mara moja"

🔘𝑩𝒂𝒘𝒂𝒔𝒊𝒓𝒊 𝒏𝒊 𝒏𝒊𝒏𝒊?
Kwanza kabisa ufahamu hivi, Bawasiri siyo ugonjwa wa kuambukizwa, bali ni matokeo ya athari za kuvimba kwa mishipa midogo midogo iliyo ndani ya ukuta wa utumbo mpana eneo la haja kubwa au kwa nje kwenye mlango wa haja kubwa.

🔘Hii hali inamtokea mtu wa jinsia yoyote awe mwanamke au mwanaume mpaka na watoto wadogo kabisa. Karibu asilimia 85% ya wagonjwa wengi sababu zinafanana, na kinachoongoza kuchochea zaidi ni vidonda vya tumbo, Asidi kuzidi tumboni au ulaji wa vyakula vikavu sana vinavyosababisha mtu kupata choo Kigumu mara kwa mara.

🔘 Ugonjwa huu unaotokana na kuvimba/kupasuka kwa mishipa ya damu sehemu ya haja kubwa na kupelekea kuota kwa kinyama ambacho ndio huitwa Bawasiri/mgoro/mgongo n.k

▶️𝑺𝒂𝒃𝒂𝒃𝒖 𝒌𝒖𝒃𝒘𝒂 𝒚𝒂 𝒎𝒕𝒖 𝒌𝒖𝒑𝒂𝒕𝒂 𝑩𝒂𝒘𝒂𝒔𝒊𝒓𝒊 ni mgandamizo sehemu ya haja kubwa kuongezeka, ambapo mgandamizo huo unaweza kuwa wa ndani au kwa nje na hivyo kupelekea kupasuka/kuvimba au kuchanika kabisa kwa mishipa midogo midogo ya damu aina ya veins sehemu ya haja kubwa hivyo basi, hupelekea kuota kwa kinyama,miwasho,maumivu au pengine damu ikawa inavilia ndani ya veins na damu hiyo kuonekana ikitoka pamoja na kinyesi.

𝘼𝙞𝙣𝙖 𝙯𝙖 𝘽𝙖𝙬𝙖𝙨𝙞𝙧𝙞

1. 𝑩𝒂𝒘𝒂𝒔𝒊𝒓𝒊 𝒛𝒂 𝒏𝒋𝒆:

Bawasiri za nje ni aina ya bawasiri ya kawaida na isiyo na wasiwasi. Kwa ujumla, hupatikana chini ya ngozi karibu na a**s. Bawasiri zilizovimba husababisha kuwasha na maumivu ndani na karibu na eneo hilo. Hatimaye, wanaanza kutokwa na damu na kuunda mabonge.

2. 𝑩𝒂𝒘𝒂𝒔𝒊𝒓𝒊 𝒛𝒂 𝒏𝒅𝒂𝒏𝒊:

Hemorrhoids ya ndani hukua kwenye safu ya ndani ya re**um. Kwa kawaida hazina uchungu na hazionekani wazi isipokuwa zimepanuliwa. Wanavuja damu kimyakimya na unaweza kuona madoa ya damu kwenye karatasi ya choo au kuchuruzika kwenye choo. Bawasiri za ndani zinaweza kuongezeka (kuhama kutoka mahali) na kuenea nje ya mkundu, ambayo ni chungu

𝑩𝒂𝒂𝒅𝒉𝒊 𝒚𝒂 𝒊𝒔𝒉𝒂𝒓𝒂 𝒏𝒂 𝒅𝒂𝒍𝒊𝒍𝒊 𝒛𝒂 𝒌𝒂𝒘𝒂𝒊𝒅𝒂 𝒛𝒂 𝒉𝒆𝒎𝒐𝒓𝒓𝒉𝒐𝒊𝒅𝒔 𝒏𝒊:

👉 Kutokwa na damu bila maumivu yoyote wakati wa kutoa kinyesi

👉 Kuwasha katika eneo la mkundu au
Maumivu usumbufu katika eneo la puru

👉 Uwepo wa uvimbe katika eneo la haja kubwa

👉 Kuvimba karibu na sehemu ya haja kubwa

𝑵𝒊 𝒏𝒊𝒏𝒊 𝒔𝒂𝒃𝒂𝒃𝒖 𝒛𝒂 𝒉𝒆𝒎𝒐𝒓𝒓𝒉𝒐𝒊𝒅𝒔 𝒂𝒖 𝒑𝒊𝒍𝒆𝒔?

Kujinyoosha au mgandamizo katika mishipa karibu na njia ya haja kubwa inaweza kusababisha kuvimba na kusababisha bawasiri. Hii inaweza kuwa kutokana na:

👉 Kukonda kwa ngozi kutokana na kuzeeka

👉 Kujamiiana kinyume na maumbile

👉 Kukaza kupita kiasi wakati wa kupita kinyesi

👉 Muda mrefu wa kukaa chooni

👉 Mimba

👉 kukosa vyakula vya nyuzi nyuzi

👉 kimara kwa Muda mrefu

𝑵𝒂𝒏𝒊 𝒚𝒖𝒌𝒐 𝒌𝒂𝒕𝒊𝒌𝒂 𝒉𝒂𝒕𝒂𝒓𝒊 𝒚𝒂 𝒌𝒖𝒑𝒂𝒕𝒂 𝒃𝒂𝒘𝒂𝒔𝒊𝒓𝒊 𝒂𝒖 𝒑𝒊𝒍𝒆𝒔?

Uwezekano wa hemorrhoids au piles ni kubwa wakati wewe

✍️ Kuwa na historia ya familia, hasa wazazi wako.

✍️ Mwenye mimba

✍️ unene ulio kithiri

✍️ kukaa kwa muda mrefu

✍️ Kunyanyua vitu vizito

✍️ kukaa muda mrefu

𝑨𝑻𝑯𝑨𝑹𝑰 𝒁𝑨 𝑩𝑨𝑾𝑨𝑺𝑰𝑹𝑰

1. Upungufu wa damu mwilini

2. Kutokwa na kinyesi bila kujitambua ikishakuwa sugu sana.

3. kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa hasa kwa mwanaume.

4. kupungukiwa nguvu za kiume

5. kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
ya misuli ya kiuno na uti wa mgongo.

6. Kupata tatizo la kisaikolojia na kutokujiamini.

7. Kutopata ujauzito

8. Mimba kuharibika kwa akina mama.

10. Kupata kansa ya utumbo ( Colorectal cancer) ikiwa utakaa
nayo kwa muda mrefu bila matibabu mazuri.

11. Mwili kudhoofika na kukonda kwa baadhi ya wagonjwa

𝑱𝒆, 𝑩𝒂𝒘𝒂𝒔𝒊𝒓𝒊 𝒂𝒖 𝑷𝒊𝒍𝒆𝒔 𝒉𝒖𝒕𝒊𝒃𝒊𝒘𝒂𝒋𝒆?

Kulingana na ukali wa bawasiri tutapendekeza chaguo bora kwako, kwa ujumla wa changamoto hii na kupatiwa matibabu yasiyo ya upasuaji na kupata suluhisho la kudumu na kuondoa uwezekano wa changamoto hii kujirudia rudia tena.

𝗸𝗮𝗿𝗶𝗯𝘂 𝗸𝘄𝗮 𝗺𝘀𝗮𝗮𝗱𝗮 𝘄𝗮 𝗰𝗵𝗮𝗻𝗴𝗮𝗺𝗼𝘁𝗼 𝗵𝗶𝗶 𝘄𝗮𝗸𝗮𝘁𝗶 𝘄𝗼𝘁𝗲.

01/05/2024
28/03/2024

TUMIA MBINU HII YA KISASA ITAKAYOKUSAIDIA KUBEBA MIMBA KIRAHISI....!!

Naelewa Jinsi Unavyotamani Kuitwa Mama Hivyo Hii Ni Habari Muhimu Sana Itakayokusaidia Kubeba Mimba Kwa Muda Mfupi.

Huenda Umetumia Dawa Nyingi Bila Mafanikio Yeyote Na Kuishilia Kupoteza Pesa Tu

K**a Jibu Ni Ndio Lipo Suluhisho La Haraka Na La Kudumu La Kumaliza Kabisa Changamoto Zote Za Uzazi Bila Kutumia Madawa Ya Kemikali Na Kubeba Mimba Kirahisi Sana.......

Nimesaidia Zaidi Ya Wanawake 1000+ mpaka Sasa Kutokomeza Changamoto Za:

✅ P. I. D sugu, Fungus Sugu
✅U. T. I Kwenye Mfumo Wa Mkojo
✅Miwasho,
✅Uvimbe Kwenye Mayai.
✅Mirija ya uzazi kuziba, harufu Mbaya Ukeni

PS. Nimekuandalia Darasa La Bure Kabisa Litakalokusaidia Kujifunza Njia Hizi Na Kupona Moja Kwa Moja Na Ni Darasa La Siku Mbili Tu.

Bonyeza Hapa Chini Haraka Ili Kuwahi Nafasi, Hivyo Nimetoa Nafasi Kwa Wanawake Wachache Sana.

Kwa Mawasiliano Zaidi Nipigie Au Tuma Sms whatssap Kwa Namba Hii Hapa Chini 👇👇

📞📞 0775033590

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Dar Es Salaam