Afya kwanza

Afya kwanza

Share

Afya yako ni mtaji wako ungana nami kupata suluhisho la kudumu na dondoo za afya kiujumla

16/09/2024

juhudi binafsi zitakufikisha mahali pengine hawawezi fika maana si wote wenye nia na juhudi ya kujiongeza jinsi ya kufika,japo wote hutamani kufika ila wachache pekee hufika

16/09/2024

Maziwa ya mama kwa mtoto ni muhimu mno…..

08/09/2024

Nimezungumzia hili maana nimekutana na maswali mengi DM, wanawake wengi wakidhani ni tatizo kwamba shahawa kuchirizika (kutoka) ukeni baada ya mwanaume kumwaga

Sasa ikiwa mna wasiwasi au mwanaume ana wasiwasi kuhusu ubora wa mbegu zake basi anapaswa kwenda hospitali na kufanyiwa vipimo (Yani S***m analysis) ili mbegu ziangaliwe k**a zina ubora unaotakiwa na k**a zipo kwa idadi nzuri (Yani angalau kuanzia mbegu milioni 15 per milliliter nakuendelea)

Ni sahihi kabisa kwamba shahawa hupaswa kuwa na uzito fulani na zisiwe nyepesi sana k**a maji ili kulinda ubora wa mbegu, maana shahawa nyepesi sana inaweza kuwa dalili ya kuwa na mbegu chache, sasa hili halithitishwi na kitendo cha shahawa kuchuruzika au kutoka ukeni baada ya tendo bali huthibitika baada ya vipimo kwa sababu hata shahawa zenye ubora na uzito sahihi zinaweza churuzika baada ya tendo.

Kwahiyo swala la shahawa kutoka nje ya uke baada ya tendo ni jambo la kawaida kwa sababu Uke hauna mfuniko kusema utazuia kilichopo ndani kisitoke nje, isitoshe shahawa ni kimiminika

Just enjoy

08/09/2024

*HUDUMA ZINAENDELEA* 🤍
📌Kutibu PID, UTI, FANGASI HARUFU MIWASHO
📌kubana kuta za Uke
📌kuongeza Ute wa kudumu
📌kurekebisha hormones
📌kuponya tatizo la harufu mbaya ukeni
📌kufanya kwa uke kuwa kusafi na harufu nzuri muda wote
📌kukaza kwa uke k**a upo la ulaini wa kutepesha
📌kusafisha kwa uke na kutoa takataka zote
📌kukausha maji maji yasio hitajika na kausha maji ya harufu
📌kusafisha mirija ya uzazi
📌kuyeyusha vimbe za muda mfupi na makovu katika via vya uzazi
📌kutibu kabisa tatizo la kutoa maziwa maziwa ukeni
📌kuponya maumivu wakati wa tendo la ndoa
📌kuponya maumivu wakati wa hedhi kwa kudumu
📌kutibu maumivu ya chini ya kitovu kwa kudumu, mgongo,kiuno na nyonga
📌kuponya tatizo la kutoa hewa(kujamba)kwa uke wakati wa tendo

Bonyeza link hapo juu uweze kujiunga kwenye group letu la elimu au tupigie kupitia 0750491903 kwa huduma ya haraka zaidi

18/04/2024

Je, Mwanamke Mgumba Hupatwa Na Dalili Gani?
Kwa kawaida mwanamke mwenye hali hii
hupatwa na dalili k**a zifuatazo:
Kukosa hedhi ndani ya miezi kadhaa
-Hedhi kupishana,
-Hedhi kutoka kidogo sana,
-Hedhi kutoka nyingi sana,
-Maumivu makali ya tumbo wakati au kabla au baada ya hedhi
-Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
-Kutokupata hedhi au hedhi kuruka miezi au kujirudia ndani ya mwezi x2
-Kuhisi mara kwa mara hali ya ujauzito na kila ukipima ni negative
-Kutopata hamasa ya tendo la ndoa {si wote}
Je, Nini Madhara Yake?
Mwanamke mwenye tatizo la ugumba mara nyingi hupatwa na madhara ya kuwa na:
-Mashaka,
-Wasiwasi,
-Msongo wa mawazo,
-Amani katika ndoa kutoweka na hatimaye ndoa kuvunjika.

NUKUU: Utoaji wa mimba, maambukizi ya mara kwa mara ukeni husababisha athari katika kizazi na mirija ya mayai. Matatizo ya mirija husababisha ugumba kwa kiasi kikubwa ambacho ni kati ya asilimia 15 hadi 40 kwa wanawake ambacho ni kiwango kikubwa kuliko matatizo mengine. Mwanamke pia anaweza kuwa na kasoro katika tabaka la ndani la kizazi ambapo linatoka kwa nje badala ya kuwa ndani.

📞0717921905

18/04/2024

Hii baraka ikakufikie na wewe.🙏🙏🙏🙏🙏🙏

📞0717921905

18/04/2024

WANAWAKE WENGI SANA WANASUMBULIWA NATATIZO LA KUTOKWA NA UCHAFU SEHEMU ZA SIRI NA WENGINE KABISA IMESHAFIKA HATUA MBAYA YA KUTOA HARUFU.....
LEO NATAKA NIKUPE SIRI AMBAYO NIMETUMIA KUSAIDIA WANAWAKE WENGI SANA KUONDOKANA NA TATIZO LA KUTOKWA NA UCHAFU SEHEMU ZA SIRI NA TATIZO HALIJIRUDII TENA..

VIGINAL DETOX PACKAGE NI DOZI YA MWEZI MMOJA NA NUSU NA INATIBU KUANZIA KWENYE CHANZO CHA TATIZO NA TATIZO HALIJIRUDII TENA...

HAIJALISHI UMETUMIA DAWA NYINGI KIASI GANI, VIGINAL DETOX NDIO MKOMBOZI WAKO KWASABABU INATIBU KUANZIA KWENYE CHANZO CHA TATIZO NA TATIZO HALIJIRUDII TENA..

NASI NDIO JIBU LAKO.. Tupigie/WhatsApp 0717921905 Au Bonyeza Link kuja WhatsApp directly Ili ujipatie Viginal Detox.

FAIDA ZA KUTUMIA VA**NAL DETOX PROGRAMME
😍Kukata shombo lile la harufu mbaya sehemu za siri
😍Kuondoa yale majimaji ya sehemu za siri yasiofaa
😍Kukupa hamu ya tendo na kua wet yan unakua na ute k**a woteee wakat mkiwa sita kwa sita na baba chanja👌🏼👌🏼 ukavu wote unaisha
😍 Maumivu ya hedhi huisha kabsaa 😍Inatibu Fungus sugu na PID
😍Hufanya Cleansing na kuondoa Discharge zote k**a kutokwa na Uchafu Mweupe,Njano ,Kijani au Kijivu
😍Wale waliotoka kujifungua hii nzuri sanaa hukata Shombo la Uzazi

Njoo Tuzungumze
Watsap 0717921905

18/04/2024

HAIJALISHI UMETUMIA DAWA NYINGI KIASI GANI, VIGINAL DETOX NDIO MKOMBOZI WAKO KWASABABU INATIBU KUANZIA KWENYE CHANZO CHA TATIZO NA TATIZO HALIJIRUDII TENA..

NDIO JIBU LAKO.. Tupigie/WhatsApp 0717921905 Au Bonyeza Link kuja WhatsApp directly Ili ujipatie Viginal Detox.

FAIDA ZA KUTUMIA VA**NAL DETOX PROGRAMME
😍Kukata shombo lile la harufu mbaya sehemu za siri
😍Kuondoa yale majimaji ya sehemu za siri yasiofaa
😍Kukupa hamu ya tendo na kua wet yan unakua na ute k**a woteee wakat mkiwa sita kwa sita na baba chanja👌🏼👌🏼 ukavu wote unaisha
😍 Maumivu ya hedhi huisha kabsaa 😍Inatibu Fungus sugu na PID
😍Hufanya Cleansing na kuondoa Discharge zote k**a kutokwa na Uchafu Mweupe,Njano ,Kijani au Kijivu
😍Wale waliotoka kujifungua hii nzuri sanaa hukata Shombo la Uzazi

Njoo Tuzungumze
Watsap 0717921905

18/04/2024

JE, KUNA NJIA ZA KUFANYA ILI UPATE UJAUZITO HARAKA?
Ndio, kuna mambo machache unaweza kufanya ukaongeza nafasi ya kupata ujauzito mapema. Lakini kabla hujakimbilia huko kuna mambo machache kwanza ya kuyafanya :

📌 Onana na daktari na ufanye checkup ili upate ushauri wa mwanzo kabisa kabla hujaanza mpango wako

📌 Hakikisha unakua na uzito sahihi kulingana na urefu wako, yani usiwe na uzito mkubwa wala mdogo sana

📌 Acha tabia zote mbaya kwa afya yako, k**a vile kunywa pombe, kuvuta sigara na kutumia madawa ya kulevya

📌 Anza utaratibu wa kutumia angalau 400mcg za folic acid mwezi mmoja au miwili kabla hujaanza mpango wako wa kutafuta ujauzito

( Hii itapunguza hatari ya mtoto kuzaliwa na mapungufu ya mgongo wazi, na baadhi ya shida katika ubongo)

Umejifunza kitu, Save post hii Itakusaidia kwa Matumizi ya Baadae,

Kwa changamoto Binafsi, nitumie Ujumbe kupitia Whatsapp no:-

0717921905

18/04/2024

Kiu yetu baadhi ni kujibiwa maswali k**a, ni ruksa kujamiina na mjamzito!?

Jibu ni NDIYO

K**a jibu ni ndiyo je style zote zinaruhusiwa?

Jibu ni HAPANA

Leo nitazungumzia staili ambazo mwanamke mjamzito anaweza kutumia na mwenza wake wakiwa katika huba na kumfanya afurahie tendo la ndoa.

•Kuinama: Hapa mwanamke anapaswa kuinama na kushikilia kiti, kitanda au kitu chochote kitakachomfanya asichoke miguu yake wakati mwanaume atakapokuwa akimwingilia kimwili.

Hii ni staili nzuri kwa mwanamke mjamzito kwani mwanaume hataweza kulisuku matumbo lake.
Hata hivyo, staili hii ina tatizo moja, uume wa mwanaume hauwezi kukisugua kinena na ikumbukwe kuwa mwanamke ili aweze kufika kileleni lazima mwanaume asiwe mvivu kukishughulisha kinena cha mwanamke kwani ni moja kati ya sehemu kuu ya mwanamke inayoamsha hamasa ya mapenzi na msisimko wa ajabu unaompelekea mwanamke yoyote yule kufika kileleni katika WhatsApp niligusia mbinu saba za kummiliki mke kitandani k**a hujazisoma nitafute.

__Hivyo, mwanaume hapa lazima ahakikishe anatumia mkono wake kumshikashika mpenzi wake kinena ili kumhamasisha kimahaba, lakini wakati anamshika mwanamke sehemu hiyo lazima ahakikishe vidole vyake si vikavu kwani endapo vitakakuwa havina unyevunyevu basi lazima mwanamke ataumia mara baada ya kupapaswa navyo katika kinena kwani kinena kimefunikwa na ngozi laini hivyo mwanaume anapaswa kuhakikishwa vidole vyake haviwi vikavu ili kumwezesha kuaamsha hamasa yake ya mapenzi.

•Kukaa: Mwanaume anakaa kwenye kiti kisha mwanamke anakaa kwenye mapaja yake, hapa uume wa mwanamke hautaweza kuingia wote hali itakayomfanya mjamzito asiumie na mjamzito mwenye mimba ya miezi 8 hufurahia zaidi staili hii kwani ikumbukwe kuwa katika kipindi hiki mtoto huwa tayari ameshuka.

Usihofu kufanya tendo na mjamzito kwani moja ya faida Ukishiriki ndoa wakati wa tarehe zilizokadiriwa zimefika mke anapata homoni moja kutoka kwenye mbegu za mwanaume kwa jina la prostglandin, homoni hii huivisha mlango wa uzazi na kuanza kufunguka taratibu kujiandaa na uchungu.

-

Umejifunza kitu, Save post hii Itakusaidia kwa Matumizi ya Baadae,

Photos from Afya kwanza's post 18/04/2024

Tunaposoma maandiko pia ni fika kabisa kila mwanamke amepewa uwezo na kuzaa la sivyo Mungu asingesema kupitia biblia
*Mwanzo 1:28a “Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha “*
Kila mtu anaweza kumiliki uzao wa tumbo lake

📞0717921905

18/04/2024

Hii Nimeiweka Special Kwa Wanawake Wanaochanganya UTI Na Fungus/PID/Bacterial Vaginosis (kutokwa uchafu unaonuka)....
(Unakuta mtu anakwambia “natoka sana uchafu mpaka unajaa kwenye chupi, nimeaambiwa Ni UTI, nimetumia sana madawa haiponi” Unabaki HUELEWI).
📌SEHEMU ZA SIRI ZA MWANAMKE KUNA NJIA MBILI;

A. Kwa Juu.
Hii ni NJIA YA MKOJO, hapa HUPITA MKOJO TU!

B. Njia ya chini
Hapa ni VA**NA (UKE), hapa hupita uume, mtoto wakati wa kuzaliwa lakini pia mwanamke akiwa period damu hupita Hapo.
UTI inahusiana na Njia ya JUU tu, yaani njia ya mkojo, na dalili zake ni:-
1.Kuumia wakati wa kukojoa.
2.Kukojoa mara kwa mara.
3.Mkojo kidogo
4.Mkojo wenye harufu kali sana.
5. Homa
6. Maumivu ya sehemu ya chini ya tumbo
7. Kuhisi baridi
8. Maumivu katika sehemu ya ubavu au mgongo huweza kuashiria kuwa maambukizi yamesambaa kwenye figo.

Baadhi ya dalili za PID na fungus

A. Kutoka Uchafu unaonuka sana
B. Kuwashwa Ukeni kwa ndani
C. Maumivu wakati wa s*x
D. Uke kuwa mkavu (Kukosa Ute Ute)
E. Kukosa hamu ya tendo la ndoa.
F. Hedhi kubadilika badilika
G. Kutoshika Ujauzito
H. Uvimbe kwenye uke au kizazi (Fibroid, Ovarian Cyst) N.K...
Hivi uhusiana na chanzo cha NJIA YA CHINI VA**NA/UKE...inaweza kuwa Vaginal Candidiasis YaanI FANGASI, PID au Hata VAGINOSIS ila SIO UTI📌...

K**a una changamoto hii karibu inbox nikusaidie kutatua changamoto hiii
0717921905

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam