Afya kwanza
Karibu kwenye kituo chetu kilichopo Dar es salaam Gerezani. Tunatibu magonjwa sugu yote Karibuni sana
18/09/2024
Kwa tiba na ushauri 0743892101
24/08/2024
Linda afya ya meno yako na familia yako kwa kutumia dawa ya meno kutoka Eternal
0743892101
24/08/2024
*🌷Nini Maana Ya Hormonal imbalance Na Suluhisho lake.*
Twende sawa hapa👇
_Homon_ :- Hii ni chemikali ya taarifa katika mwili ambayo huzalishwa kwenye ogani mbalimbali kutoka kwenye mfumo wa endocrine mwilini
Na kusafirishwa na damu mpk kwenye sehmu mabalimbali za mwili,
_Hormonal imbalance_ :- hii ni kupungua au kuongezeka kwa hormoni kwenye damu ambapo inapelekea mwili kushindwa kufanya kazi kwa ufanisi,
*_Vitu ambavyo vinasababisha homoni kuvurugika mwilini_*
🔼Dawa za uzazi wa mpango
🔼Kisukari,
🔼kipind Cha kunyonyesha( brest feeding)
🔼 Sumu kujaa mwilini Kutokana na matumizi ya dawa za kemikali. Mfano antibiotics e.t.c
🔼ujauzito
🔼kukoma hedhi
🔼msongo wa mawazo(stress)
🔼matatizo katika ulaji wa chakula(eating disorder)
🔼 Uvimbe( tumors)
🔼matibabu ya saratani
🔼kuumia ndan kwa ndani mwilini,
*🌷Jinsi gan ya kuepuka kuvurugika kwa homoni mwilin (hormonal imbalance)*
⛔kula vyakula vyenye protein ya kutosha,
Hii husaidia kwenye kiwango Cha Amino Acid mwilini ambacho mwili hauwezi kutengeneza na kusaidia kuweka sawa musuli, mifupa na afya ya ngozi,
⛔kufanya mazoezi,
Mazoezi hufanya hormoni kubalance mwilin
Na hupunguza insulin na kuongeza Kwa ajili ya matumiz ya mwili
⛔Jifunze Jinsi gan utaweza kuhimili msongo wa mawazo pind ukikutana nao"
Hormoni mbili amabazo ni cortisol na adrenaline ambazo kwa pamoja huitwa epinephrine
-cortisol hi Ni hormone ambayo huweza kupambana stress mda mrefu kwaiyo ndio homoni ya kuulinda mwili juu ya mawazo,
- Adrenaline hi ni hormoni ambayo huweza kuupa mwili Hali falani ya nguvu ili kuweza kukabiliana na Hali yoyote ya hatarii,
⛔punguza kula Sana na kula kidgo, maana ake kula kawaida tu,
⛔pata mda mzuri wa kualala
⛔kunywa green tea,
Ni nzurii kwa kiafyaa pia nzurii kwa kuvunja vunja na kuboost caffeine ambapo ina antoxidant
ambayo ni epigallocatechin gallate ambayo hufanya kiwango Cha oxygen kuwa kusambazwa vzurii.
⛔ kaa mbali na vyakula vyenye sukari,
⛔kula vyakula vyenye nyuzi nyuzi (fiber diet)
⛔kula mayai mda mwingi
( hapa tuwekane sawa tafadhariii kula mayai ya kienyeji sio kisasa) mayai Ni mazuri mno kwenye chakula
maana hufanya kazi kwenye hormoni zinazo balance kiasi Cha ulaji na kuweza kupunguza kiasi cha insulin pia,
*🌷Matatizo ya kudumu kufuatana na kuvurugika kwa homoni mwilin,*
⛔kushindwa kubeba mimba,(Ugumba)
⛔kukosa uhuru (mood swing)
⛔sukari kupanda mwilin,
⛔ Uvimbe kwenye Mfuko wa mayai au uzazi.
*Note* :
Jinsi ya kula mayai kula yai Moja TU katika mlo wako
maana endapo ukizidisha idadi ya mayai mwili una uwezo wa kutumia yai Moja TU
mengne yanayo Baki hubadirishwa kutoka kwenye protein kuwa fats na kutunzwa kwenye musuli k**a ya mkono, makalio, na kwenye tumbo,
zingatia apo maana asilimia kubwa kwenye chips na ndio zinanenepesha watu kihasara,
Tiba na ushauri
0743892101
14/08/2024
Je, hii ni changamoto kwako …. Suluhisho lipo
Kwa tiba na ushauri 0743892101
SABABU ZA PRESHA KUSHUKA
Presha inaweza kushuka kwa sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kusimama gafla,kusimama kwa muda mrefu magonjwa k**a vile mzio au allergy ,kisukari , moyo kutanuka , magonjwa katika mishipa ya damu na ini , hali ya hewa ya joto kali na upungufu wa maji mwilini.
DALILi ZA PRESHA YA KUSHUKA
1. Kizunguzungu
2. Kuhisi kichwa chepesi
3. Kuanguka na kupoteza fahamu
4. Uchovu
TIBA
Inategemea chanzo cha hali hiyo , lengo kuu ya tiba ni kurejesha presha ya damu kwenye kiwango kinachohitajika
Kwa tiba na ushauri 0743892101
Dalili za acidreflux gerd
*HATUA ZA GERD (GASTROESOPHAGEAL REFLUX DISEASE)*
Zipo hatua 4 ambazo GERD (kuzid kwa acid tumbon) hupitia,hatua hizo ni k**a ifuatavyo:⤵️
A .*HATUA YA KWANZA (MILD GERD).*
Wengi katika watu wanaosumbuliwa na GERD huangukia katika hatua hii ya kwanza ya GERD ambapo tatizo huwa katika hatua za mwanzo sana.
*DALILI ZA GERD HATUA YA KWANZA (MILD GERD)*
1. Kiungulia
2. Maumivu ya kifua
3. Kuhisi k**a kuna vitu vya kunata katika kooni
4. Kucheua chakula au vinywaji
⚫ Katika Hatua hii,mtu anaweza kujitibia kwa kubadili mfumo wake wa maisha kwa kuepuka vyakula na mifumo isiyofaa kutokana na hali yake mfano ajiepushe na Caffeine, pombe,vyakula vyenye mafuta mengi nk. Lakini pia ni rahisi mgonjwa kupona akitumia dawa katika hatua hii ya awali.
B. *HATUA YA PILI YA GERD (MODERATE GERD)*
Katika hatua hii,watu wenye GERD hupatwa na dalili za GERD mara kadhaa ndani ya wiki na dalili zake hutokea mara kwa mara ukilinganisha na Hatua ya kwanza na dalili huanza kuwa kali kiasi.
*DALILI ZA GERD HATUA YA PILI (MODERATE GERD)*
1. Kiungulia kikali kiasi
2. Maumivu ya kifua
3. Kuhisi uteute wenye kunata kooni
4. Kucheua chakula au vinywaji
5. Moyo kupaparika(Heart palpation)
⚫ Katika hatua hii,mtu anahitajia matibabu ya dawa pia kumshirikisha daktar kwaajili ya ushauri wa kimatibabu na dawa.
*C. HATUA YA TATU YA GERD (SEVERE GERD)*
Katika hatua hii,asilimia 15% ya wagonjwa waliopo katika hatua hii hupata dalili za GERD kali mara nyingi zaid kwa wiki au kila siku.
*DALILI ZA GERD HATUA YA TATU (SEVERE GERD)*
1.Kiungulia kikali
2.Kucheua sana chakula na vinywaji na wakati mwingine kucheua Acid (uchachu)
3.Kuvimba kwa koo(sore throat)
4. Kikohozi kisichoisha
5.Sauti ya kukwaruza
6.Mapigo ya moyo kwenda kasi
7.Wasiwasi uliopita kiasi bila sababu
8. Kuota ndoto za kutisha
9.Kichwa Kuvurugika na kuhisi kuchanganyikiwa
10.Kizunguzungu
11.Maumivu ya kichwa
12.Macho kupungua nguvu ya kuona
13.Maumivu makali ya mgongo
14. Mwili kudhoofika
15.Kuhisi dunia imekutenga
16. Kujisaidia choo kigumu zaidi.
⚫ Katika hatua hii,GERD isipochukuliwa hatua basi kuna hatari ya mtu kupata matatzo makubwa zaid ya kiafya k**a vile KANSA YA KOO (EUSOPHAGEAL CANCER).
*D. HATUA YA NNE YA GERD (REFLUX-INDUCED PRECANCEROUS LESIONS/ESOPHAGEAL CANCER)*
Hatua hii inawakilisha matatzo makubwa zaidi kwa GERD ya muda mrefu na inakadiriwa ya kwamba,asilimia 10% ya wagonjwa wa GERD hufikia hatua hii ikiwa GERD haijadhibitiwa kwa muda mrefu. Hatua hii mgonjwa anaweza kupata Kansa ya koo nk.
*DALILI ZA GERD HATUA YA NNE*
1. Kiungulia kikali
2.Kucheua vyakula na vinywaji
3 Sauti kukwaruza
4.Kikohozi kikali
5.Chakula kukwama kooni/kunasa koona wakati wa kula.
6.Pamoja na dalili zote zilizopo katika hatua ya 3 ya GERD.
⚫Katika hatua hii mgonjwa anaweza kupata changamoto k**a vile *esophageal strictures*,*Barrett’s esophagus* na hata KANSA YA KOO *(esophageal cancers)*
Wasiliana nasi kupata suluhisho
Kwa vipimo na dawa
0743892101
08/08/2024
WAGONJWA WA KISUKARI WAPO KATIKA HATARI YA KUPATA SHAMBULIO LA MOYO.
Takwimu zinaonyesha Watu milioni 18 hufariki kutokana na magonjwa ya moyo duniani.
Ugonjwa wa kisukari unaweza kusababisha Ugonjwa wa moyo kwa kusababisha mkusanyiko wa utando wa lehemu kwenye mishipa ya damu.
Utando wa lehemu husababisha mishipa kuwa membamba na kupunguza mtiririko wa damu hali iitwayo Atherosclerosis au ugumu wa mishipa.
Kupungua kwa mtiririko wa damu kwenye moyo kunaweza kusababisha msh*tuko wa moyo.
Na Ugumu wa mishipa unaweza kutokea katika sehemu nyingine za mwili pia.
Vilevile madhara yote haya yanayotokea kwenye moyo yanaweza yasiwe na dalili yoyote.
Lakini madhara yote haya yanaweza kugundulika na kupunguza hatari ya ugonjwa wa moyo k**a utafanya vipimo sahihi kwa wakati sahihi na kuchukua hatua stahiki.
Ukigundulika na ugonjwa wa kisukari ni vyema ukapata suluhisho la ugonjwa mapema kabla haujafikia kwenye madhara makubwa k**a haya.
Kwa ushauri na Tiba wasiliana nasi 0743892101
06/08/2024
Usipotibu kisukari jiandae na haya
Tafadhari soma hapa chini
1. Kupoteza uwezo wa kuona au kupata upofu
2. Kupata matatizo ya presha
3. Kupata matatizo ya uzazi hasa kwa wanaume
4. Kupata matatizo ya moyo kisukari na ugonjwa wa moyo ni chanzo cha kupata kifo cha gafla
5. Kupata madonda ndugu
Tunayo tiba yenye kutibu chanzo cha tatizo , Tiba zetu ni tiba lishe yenye virutubisho asili vya mimea asili
Kwa tiba na ushauri whatsapp 0743892101
Tupigie 0743892101
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam