TUNZA AFYA YAKO

TUNZA AFYA YAKO

Share

PATA NGUO KALI, VIATU , POCHI KALI , KUTOKA KWA kalista outfit store what up no 0659171385

20/03/2024

🔻MAMBO SITA AMBAYO MWANAMKE AKIWA NAYO NI VIGUMU KUSHIKA UJAUZITO🔻
Leo nitazungumzia dalili kuu sita ambazo ni viashiria vya mwanamke kua mgumba au anaelekea kwenye ugumba(kukosa kupata mtoto).
1️⃣.KUPATA HEDHI INAYOBADILIKA BADILIKA
usione ni kawaida kwa siku zako kutokua na mzunguko wa kawaida ambao mara nyingi ni siku 21 mpaka 35.
Kwa sababu hedhi inayobadilika badilika huashiria kuwa hupevushi mayai kila mwezi. Hali hii inatakiwa kupatiwa ufumbuzi kwa sababu ili uweze kushika ujauzito unahitaji kupevusha yai kila mwezi na sio ili mradi yai bali yai bora linaloweza kurutubishwa.
2️⃣.KUACHA KUONA SKU ZAKO GHAFLA.
K**a hujafikia menopause(kipindi mwanamke anastop kupata hedhi yake ya kawaida kutokana na umri),au sio Mjamzito na hutumiii njia ya uzazi wa mpango zinazosababisha kubadilika kwa hedhi
Ukiona hedhi zako zimekata ghafla maana yake ni kwamba haupevushi mayai ambapo huwezi kubabe ujauzito bila kupevusha yai.
3️⃣.KUTOKWA DAMU NYINGI, NZITO NA YENYE MABONGE K**A VIPANDE VYA MAINI (VINYAMA NYAMA)WAKATI WA HEDHI HUASHIRIA KUWA HORMONE HAZIJABALANCE kutobalance kwa hormone huvuruga uzalishaji wa mayai bora.
4️⃣.MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA YANAYOAMBATA NA UCHAFU MWEUPE MZITO K**A MAZIWA YA MGANDO AMBAYO HUASHIRIA KUNA MATATIZO KATIKA MFUMO WA UZAZI WA MWANAMKE
5️⃣.KUPATA MAUMIVU MAKALI WAKATI WA TENDO LA NDOA NA MAUMIVU CHINI YA KITOVU
6️⃣.KUKOSA KABISA HAMU YA TENDO LA NDOA PIA KUSIKIA DALILI ZOTE ZA UJAUZITO IKIWA SIO MJAMZITO HUONYESHA KUNA INFECTIONS KATIKA KIZAZI
Hizo ni baadhi ya dalili Mbaya kwa mwanamke ambaye bado hajawahi Kubeba ujauzito, Ni Dalili Mbaya Pia Kwa Mwanamke Ambaye Tayari ana Mtoto/Watoto, ni muhimu sana kupata suluhisho la Changamoto hizo maana zinatibika kabisa na UNAPATA SULUHISHO LA KUDUMU KABISA NA KURUDISHA TABASAMU KATIKA FAMILIA YAKO🤝

Piga no 0659171385

19/03/2024

💧AFYA YA UZAZI NA AFYA BORA

Changamoto za uzazi zinatibika.
l je Ni changamoto gani inakusumbua kwa muda mrefu bila MAFANIKIO ya kutatua changamoto yako Sasa usihangaike Tena njoo nikutatulie changamoto yako

utapata vipimo bure
ushauri bure
utamuona dr bure.
utafungua file lako kwa 20,000 tu

Kwa huduma ya haraka na ushauri piga cm

+255659171385 whatup

AFYA YAKO NI JUKUMU LAKO 🤝

19/03/2024

Ladies hauko normal kiafya K**a unapata period kwa maumivu makali kiasi Cha kukulazimu umeze dawa za Kupunguza maumivu

NIMEKUWA NI KI DEAL SANA NA MAMBO YA AFYA YA UZAZI NINAONGELEA HORMONE IMBALANCE KWA WANAWAKE/WAKINA MAMA

Kuna muda Mwanamke Wenda unapitia Changamoto za maumivu makali kiasi Cha kuanza kutamani Bora usingekuwa unaingia period nikupe pole sana Zipo Sababu zinachangia Lakini leo naweza kusema Hormonal imbalance imekuwa tatizo kubwa sana hasa katika jamii yetu miongoni mwa wanawake wengi hormones zimeshindwa kuwiana mko na mvurugano wa hormons ndio maana hata mzunguko wako hujui Ni wa siku ngapi mzunguko mzuri wa Mwanamke Ni siku 28 normal

Ni kwambie tu hormones zikishindwa kuwiana yani (Hormonal imbalance) zisipo rekebishwa na kuwiana, Hufanya mwanamke kubleed damu yenye mabonge mabonge sometime k**a vinyama nyama k**a maini af nzito nyeusi kitu ambacho ni hatari kwa afya ya uzazi

Husababisha uvimbe kwenye

kizazi (faibroids,myomas, polycystic ovarian syndrome pcos na ovarian cyst. Hakuna uvimbe unaoweza kujitokeza kwenye mwili wa

Mwanamke bila kuwa na shida ya hormonal imbalance

Nipigie tuongee Afya nitakusikiliza nitakushauri vizuri zaidi ndg ikibidi nikupe suluhuhisho sahihi la Tatizo lako

📞0659171385Whatsapp

18/03/2024

FAIDA ZA UTE WA UZAZI( ute wa ovulation)

🛑kukosekanika kwa ute wa uzazi na uhusiano wa kutobeba Mimba.

• Je, kuna uhusiano kati ya kukosa ute wa uzazi na kutoshika mimba????

• Je ,unaweza pata mimba k**a hupati ute wa uzazi?

Jibu rahisi ni NDIO,
• 🩸✍️unaweza pata japo kuwa uwezekano ni mdogo sana. Kwani kukosa ute wa mara nyingi huwa inatafsiri kuwa una tatizo kati haya yafuatayo.

1• kukosa ute wa uzazi kunaashiria mwanamke huyu ana sumbuliwa na fangasi wa mara kwa mara fangasi hao hupelekea kuharibu mlango wa uke ambao ndo huwa unategeneza huo ute wa uzazi .

🛑 Hivyo mwanamke akiwa na hao fangasi hawezi pata ute wa zazi na pia hawa fangas huzuia uwezekano wa mbegu za kiume kupita kwenda kwenye mji wa uzazi na kufanya uwezekano wa kubeba mimba unakuwa mdogo.

2• K**a hupati ute wa uzazi maana yake ni kwamba mwanamke huyu homoni zake haziko sawa (Hormone imbalance). Hata upevushaji wa mayai unakuwa mdogo sana hivyo hata uwezekano wa kushika mimba unakuwa mdogo .

FAIDA ZA UTE WA UZAZI

1) kiashirio kwamba huyu mwanamke yupo katika siku za hatari ambapo akikutana na mwanaume anaweza shika mimba.

2)Huu ute huwa unasaidia mbegu za kiume kuogelea kwenda kutungisha mimba

3) ute huu husaidia kuondoa mbegu zisizofaa yaani inakuwa k**a chujio la kuchuja mbegu zinazofaa zitaingia ndani zisizofaa zitatolewa nje

4) ute huu husaidia kipindi cha tendo la ndoa usichunike wala kupata maumivu zaidi upate raha

Kwa ushauri zaidi piga simu moja kwa moja
⚠️ Rgds to Dr Obedi
♻️WhatsApp
+255659171385

18/03/2024

🌿 *DALILI ZA FANGAS UKENI* 🌿
(jitibie mapema )
👉muwasho mkali sehemu za siri ( unaweza kuja na kupotea)
👉 vipele vidogo vidogo ukeni
👉 kutokwa uchafu mweupe mzito k**a mtindi au wa rangi ya kijivu ukeni wenye harufu mbaya
👉 Vidonda au michubuko ukeni
👉 kutokwa na harufu mbaya ukeni
👉kupatwa na maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
👉 kuvimba na kuwa mwekundu katika mdomo wa nje wa uke
👉 kuwaka moto ndani na nje ya uke.

*MADHARA YA FUNGUS ISIPOTIBIWA MAPEMA* 👉 Maumivu wakat wa tendo la ndoa
👉uke kuwaka moto
👉mimba kuharibika
👉kutokupata ujauzito kwa muda mrefu
👉homon imblance
👉 harufu mbaya ukeni
👉uke kuwa mkavu n.k

🪴 *SABABU ZA FANGAS UKENI* 🪴
🕳️ Matumizi ya sabuni (Medicated soap) kuoshea uke.
🕳️ Matumizi ya dawa za antibiotics mara kwa mara.
🕳️ Utumiaji wa vyakula/vinywaji vyenye kiasi kikubwa cha sukari.
🕳️ Ngono n.k

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
What's app/call
0659171385

18/03/2024
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Dar Es Salaam