Uzazi Herbs

Uzazi Herbs

Share

๐Ÿ”ฐ Changamoto Zote Za Uzazi Akina Baba
๐Ÿ”ฐ Changamoto Zote Za Uzazi Akina Mama

13/05/2024
13/05/2024

Msuli unayofanya uume uwe Imara.

โžก๏ธPELVIC FLOOR MUSCLE.
Ni msuli ambao umeshikilia uume kwa 85% msuli huo ukiwa imara ndipo mwanaume anaweza kusimamisha uume wake kwa muda mrefu zaidi.

Ikiwa Ni Dhaifu uume unasimama kwa muda mfupi unalegea hatimaye uume unasinyaa .

โžก๏ธMSULI
๐Ÿ‘‰๐Ÿพ huu umeunganisha uume na tundu la haja kubwa na sehemu ya mwanzo wa Uti wa Mgongo. kuna sababu kadhaa wa kadhaa ambazo ni vyanzo, (visababishi) vya ulegeaji wa msuli huo na kuufanya kuwa dhaifu ;

TAMBUA SABABU 4 MOJAWAPO YA VISABABISHI.
โ˜‘๏ธ(1),๐Ÿ‘‡๐Ÿป

BAWASILI -ni ugonjwa ambao unatokwa na vinyama sehemu za haja kubwa.

โ˜‘๏ธ(2),๐Ÿ‘‡๐Ÿป
KUVIMBIWA (constipation ) tumbo linavyojaa gesi baada ya kushindwa kumengโ€™enya chakula FULANI, basi msuli huu unakua kwenye hatari ya kulegea.

โ˜‘๏ธ(3)๐Ÿ‘‡๐Ÿป
KUPATA CHOO KIGUMU, Yani ukienda chooni unatumia nguvu nyingi kusukuma haja kubwa, wakati mwingine unatoa kinyesi k**a cha mbuzi.

โ˜‘๏ธ(4)๐Ÿ‘‡๐Ÿป
KUJICHUA/punyeto pia husababisha msuli huu kulegea ,na Dalili inaonyesha Wakati wa kutoa mbegu za kiume Yani shahawa utakuta hazitoki kwa kasi ,haziruki zinafanya kudondoka K**a matone ya mvua.Yani zinadondoka tu.

๐‘ต๐‘ฎ๐‘ผ๐‘ฝ๐‘ผ ๐’›๐’‚ ๐‘ฒ๐‘ฐ๐‘ผ๐‘ด๐‘ฌ ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’‚๐’๐’‚ ๐’š๐’‚๐’Œ๐’†

Unaposikia kuwa mtu fulani hana nguvu za kiume huwa unaelewa nini?
-
Maana yake ana vichocheo vichache vya kiume vinavyoitwa testosterone,shida ambayo humfanya awe,,,

1.Anapata shida kusimamisha uume wake.

2.Hata ukisimama hauwezi kuendelea kuwa na nguvu kwa muda mrefu kupelekea.

3.Mbegu za kiume zinakuwa chache

4. Hawezi kumpa mwanamke ujauzito.

5. Kuwahi kumamilza tendo kabra ya mweza wake.

6. Kushindwa kurudia tendo mala ya pili na kukosa hamu ya tendo

13/05/2024

UVIMBE KWENYE KIZAZI

Tunakuletea dawa ya uvimbe kwenye kizazi.

MAHITAJI

๐Ÿ‘‰Mjaafari vijiko 10
๐Ÿ‘‰Mrundarunda vijiko 10
๐Ÿ‘‰Mbegu za papai vijiko 5

Hakikisha dawa zote hapo juu ni za unga kisha zichanganye zote vizuri.

MATUMIZI

Koroga kijiko kimoja kidogo cha mchanganyiko wa dawa zako kwenye maji moto ama uji kikombe kimoja kisha kunywa.

Fanya hivyo kutwa mara 3 siku 14

Kwa Tiba zilizoandaliwa kitaalamu

Wasiliana nasi 0745400500

13/05/2024

Kwanini Huponi Nguvu za kiume.

Kushindwa Kupona tatizo la Nguvu za kiume, Kuna Sababu nyingi Sana.

Miongoni Mwao Ni hizi.

โžก๏ธ Presha
โžก๏ธ kisukari
โžก๏ธ Magonjwa Ya Moyo
โžก๏ธ Punyeto ( Kujichua )
โžก๏ธ Msongo Wa Mawazo ( Stress )
โžก๏ธ Uzito na Unene Kupita kiasi
โžก๏ธ Mafuta ( Cholesterol ) Mwilini
โžก๏ธ Ulaji / Unywaji Usiofaa

Dalili Za Upungufu wa nguvu za kiume.

โ–ถ๏ธ Kuwahi kufika kileleni
โ–ถ๏ธ Kukosa Hamu ya Tendo la ndoa
โ–ถ๏ธ Kushindwa kurudia tendo la ndoa
โ–ถ๏ธ Uume kusimama kwa ulegevu
โ–ถ๏ธ Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa
โ–ถ๏ธ Kutoa Manii Kidogo Kila Tendo
โ–ถ๏ธ Mwanaume Kushindwa Kutungisha Mimba

13/05/2024

Tupo Wazi karibuni Sana

11/05/2024

๐——๐—”๐—ช๐—” ๐Ÿฑ

Dawa 5 Zinazotumika Kutibu Changamoto
Za Nguvu Za Kiume na Mfumo Wa Uzazi

1๏ธโƒฃ Unga Wa Macca
2๏ธโƒฃ Unga wa mucuna
3๏ธโƒฃ Unga Wa Ginseng
4๏ธโƒฃ Unga Wa Tongat Ali
5๏ธโƒฃ Unga Wa Ashwagandha

Faida Za Unga Wa Macca

> Unatibu tezi dume
> Unaimrisha misuli ya uume
> Unaongeza nguvu za kiume
> Unaongeza mbegu za kiume
> Unaimarisha homoni za mwili

Faida Za Unga Wa Mucuna

- Huboresha mbegu za kiume
- Huondoa ugumba kwa jinsia zote
- Huboresha uwezo wa tendo la ndoa

Faida Za Unga Wa Ginseng

* Huimarisha moyo
* Huimarisha misuli ya uume
* Huimarisha nguvu za kiume
* Husaidia kwa wenye kisukari
* Inapunguza shinikizo la damu
* Hupunguza msongo wa mawazo
* Huimarisha mfumo wa kinga za mwili

Faida Za Unga Wa Tongat Ali

- Hukuza uume
- Huongeza nguvu za mwili
- Huimarisha misuli Ya uume
- Huongeza mbegu za kiume
- Hupunguza msongo wa mawazo
- Hungeza hamu ya tendo Jinsia Zote
- Hupunguza dalili za tezi dume

Faida Za Unga Wa Ashwagandha

โ€บ Inaimalisha misuri Ya Uume
โ€บ Inaimalisha uwezo wa kufikiri
โ€บ Inaongeza mbegu na nguvu za kiume
โ€บ Inatibu Athari Za Kujichua ( Punyeto )

Namna Ya Kuandaa

Dawa Zote 5 Ziwe Za Unga Tena Original
Changanya Zote Pamoja

Changanya Na Asali Safi / Original Nusu Lita
Saga Vizuri Kwenye Brenda kupata Juisi Safi

Matumizi

Kunywa Vijiko 2 Mara 2 Kwa Siku

Kupata Dawa hii ikiwa Tayari Tsh. 100,000

Matokeo Ni Ndani Ya Saa 24

๐–๐ก๐š๐ญ๐ฌ๐€๐ฉ๐ฉ / ๐‚๐š๐ฅ๐ฅ / ๐ฌ๐ฆ๐ฌ 0745 400 500

Free Derivery Ndani Ya Dar, Unalipia Ukipokea

OFISI MAGOMENI MAPIPA.

11/05/2024

JIUNGE NA GORUP LA AFYA WHATSAPP

Attachment unavailable

11/05/2024

Dawa ya kuimarisha misuli ya Uume.

Chukua dawa hizi Kwa ujazo sawa.

1. Mdaula
2. Mgosi hagona
3. Mkuyati
4. Mwinga jini
5. Mkundekunde.

Zichanganye pamoja kisha chukua vijiko vinne vya mchanganyiko huo uweke katika asali mbichi Lita 1.

Matumizi.

kunywa vijiko vitatu asubuhi mchana na muda wa kulala hadi dawa iishe.

Ukihitaji ikiwa Tayari Tsh. 45000

๐—ช๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐—ฎ nasi

๐–๐ก๐š๐ญ๐ฌ๐€๐ฉ๐ฉ / ๐‚๐š๐ฅ๐ฅ / ๐ฌ๐ฆ๐ฌ 0745400500

11/05/2024

Ujauzito na kujifungua.

Mwanamke mjamzito anapokuwa na afya nzuri na kupatiwa matunzo yanayohitajika, kuna uwezekano kuwa ujauzito wake utakuwa wenye afya pamoja na mtoto akayezaliwa. Akina mama, wakunga na wafanyakazi wa afya wanaweza kufanikisha afya bora inayohitajika wakati wa ujauzito na kuzuia, kutibu, au kupata msaada kwa ajili ya matatizo k**a yatajitokeza.

Dalili za ujauzito.

Mwanamke mara nyingi hukisia kuwa ana mimba anapoona baadhi ya dalili zifuatazo:

๐Ÿ‘‰Kukosa hedhi,
๐Ÿ‘‰Kichefuchefu,
๐Ÿ‘‰Kujisikia mchovu
๐Ÿ‘‰Kukojoa mara kwa mara,
๐Ÿ‘‰Matiti huwa laini na kuongezeka ukubwa,
๐Ÿ‘‰Kuongezeka uzito.

Kipimo cha damu au mkojo kinaweza kuthibitisha kwa uhakika kuanzia wiki 2 baada ya mimba kutunga (mwezi mmoja baada ya mwanzo wa hedhi iliyopita).

Ujauzito unapofikia miezi 4ยฝ, mama anaweza kusikia mtoto akijigeuza na mfanyakazi wa afya anaweza kusikiliza mapigo yake ya moyo kwa kutumia kifaa kiitwacho fetoskopu ambacho huwekwa juu ya tumbo la mama yake.

Mtoto atazaliwa lini ?.

Ujauzito huchukua takriban miezi 9 (miandamo ya miezi 10 au wiki 40).

Jumulisha miezi 9 na kuongeza siku 7ย kwenyeย siku ya kwanzaย ya hedhi ya mwisho. Hiyo ndiyo siku mtoto anatarajiwa kuzaliwa.

Watoto wengi huzaliwa kati ya wiki 3 kabla hadi wiki 2 baada ya tarehe hii.

Kwa mfano, chukulia kwamba hedhi ya mwisho ya mwanamke ilianza Februariย 30.

Februari 10 + miezi 9 = Novemba 10 Novemba 10 + siku 7 = Novemba 17 Tarehe ya mtoto kuzaliwa inatarajiwa kuwa Novemba 17.

Asanteni.

๐—ž๐˜„๐—ฎ ๐—ง๐—ถ๐—ฏ๐—ฎ ๐˜‡๐—ถ๐—น๐—ถ๐˜‡๐—ผ๐—ฎ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐˜๐—ฎ๐—ฎ๐—น๐—ฎ๐—บ๐˜‚

๐—ช๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐—ฎ Nasi

๐–๐ก๐š๐ญ๐ฌ๐€๐ฉ๐ฉ / ๐‚๐š๐ฅ๐ฅ / ๐ฌ๐ฆ๐ฌ 0745400500

11/05/2024

TENDO LA NDOA KINYUME NA MAUMBILE? HAPANA!

โœ Kufanya tendo la ngono kinyume na maumbile si salama! Ina madhara mengi makubwa kiafya. Ona madhara yake hapa chini

โœŠ Ni rahisi kupata magonjwa ya zinaa pamoja na virusi vya ukimwi kwani sehemu ya haja kubwa haina vilainishi michubuko huweza kutokea

โœŠ Wanaopendelea ngono kinyume na maumbile huwa kwenye hatari kubwa ya kupata virusi vya Human Papillomavirus. Ni virusi hivi vinavyosababisha muwasho na huweza kupelekea kansa

โœŠ Ngono kinyume na maumbile husababisha misuli ya sehemu ya haja kubwa kulegea na kushindwa kukaza hivyo ni ngumu kuzuia kinyesi

โœŠ Tendo hilo husababisha majuto na kujilaumu nafsi kila linapofanyika hivyo kuharibu saikolojia kabisa

โœŠ Ni rahisi kupata maambukizi ya bacteria ukeni endapo mwanaume atahamisha uume kutoka sehemu ya haja kubwa kuja ukeni

โœŠ Huleta shida sana wakati wa kujifungua huweza kupelekea kutoka kwa kinyesi na kuleta shida kwa wahudumu

โœŠ Njia ya haja ndogo kwa mwanaume huweza kuziba kutokana na vimelea kuingia na kuleta shida wakati wa kujisaidia

โœŠ Ni rahisi kwa mwanaume kupata kansa ya tezi

MUHIMU

โœ‹ Usifanye ngono kinyume na maumbile ni rahisi kupata matatizo mengi hususani afya ya uzazi, USIIGE vitu bila kufahamu madhara yake.

Bado unapata changamoto kwenye suala zima la uzazi? Tuwasiliane sasa hivi

11/05/2024

Tiba nguvu za kiume.

Maziwa, tende na hurba au unaweza kuiita kwa kiswahili uwatu.

Matumizi yake.

1. Chukua glass moja ya maziwa fresh ya uvuguvugu.

2. Saga tende kazaa katiika brenda ili kupata ulojo wa kuchanganya katika glass yako ya maziwa fresh.

3. Chukua kijiko kidogo cha chai chota dawa yako ya hurba kidogo changanya baada ya mchanganyiko huo kutulia kidogo kunywa.

Hili lifanywe asubuhi mara moja kwa siku kwa muda wa siku 14.

๐—ž๐˜„๐—ฎ ๐—ง๐—ถ๐—ฏ๐—ฎ ๐˜‡๐—ถ๐—น๐—ถ๐˜‡๐—ผ๐—ฎ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐˜๐—ฎ๐—ฎ๐—น๐—ฎ๐—บ๐˜‚

๐—ช๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐—ฎ Nasi

๐–๐ก๐š๐ญ๐ฌ๐€๐ฉ๐ฉ / ๐‚๐š๐ฅ๐ฅ / ๐ฌ๐ฆ๐ฌ 0745400500

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address


Magomeni Mapipa
Dar Es Salaam
14101