Uzazi Herbs
๐ฐ Changamoto Zote Za Uzazi Akina Baba
๐ฐ Changamoto Zote Za Uzazi Akina Mama
13/05/2024
13/05/2024
Msuli unayofanya uume uwe Imara.
โก๏ธPELVIC FLOOR MUSCLE.
Ni msuli ambao umeshikilia uume kwa 85% msuli huo ukiwa imara ndipo mwanaume anaweza kusimamisha uume wake kwa muda mrefu zaidi.
Ikiwa Ni Dhaifu uume unasimama kwa muda mfupi unalegea hatimaye uume unasinyaa .
โก๏ธMSULI
๐๐พ huu umeunganisha uume na tundu la haja kubwa na sehemu ya mwanzo wa Uti wa Mgongo. kuna sababu kadhaa wa kadhaa ambazo ni vyanzo, (visababishi) vya ulegeaji wa msuli huo na kuufanya kuwa dhaifu ;
TAMBUA SABABU 4 MOJAWAPO YA VISABABISHI.
โ๏ธ(1),๐๐ป
BAWASILI -ni ugonjwa ambao unatokwa na vinyama sehemu za haja kubwa.
โ๏ธ(2),๐๐ป
KUVIMBIWA (constipation ) tumbo linavyojaa gesi baada ya kushindwa kumengโenya chakula FULANI, basi msuli huu unakua kwenye hatari ya kulegea.
โ๏ธ(3)๐๐ป
KUPATA CHOO KIGUMU, Yani ukienda chooni unatumia nguvu nyingi kusukuma haja kubwa, wakati mwingine unatoa kinyesi k**a cha mbuzi.
โ๏ธ(4)๐๐ป
KUJICHUA/punyeto pia husababisha msuli huu kulegea ,na Dalili inaonyesha Wakati wa kutoa mbegu za kiume Yani shahawa utakuta hazitoki kwa kasi ,haziruki zinafanya kudondoka K**a matone ya mvua.Yani zinadondoka tu.
๐ต๐ฎ๐ผ๐ฝ๐ผ ๐๐ ๐ฒ๐ฐ๐ผ๐ด๐ฌ ๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐
Unaposikia kuwa mtu fulani hana nguvu za kiume huwa unaelewa nini?
-
Maana yake ana vichocheo vichache vya kiume vinavyoitwa testosterone,shida ambayo humfanya awe,,,
1.Anapata shida kusimamisha uume wake.
2.Hata ukisimama hauwezi kuendelea kuwa na nguvu kwa muda mrefu kupelekea.
3.Mbegu za kiume zinakuwa chache
4. Hawezi kumpa mwanamke ujauzito.
5. Kuwahi kumamilza tendo kabra ya mweza wake.
6. Kushindwa kurudia tendo mala ya pili na kukosa hamu ya tendo
13/05/2024
UVIMBE KWENYE KIZAZI
Tunakuletea dawa ya uvimbe kwenye kizazi.
MAHITAJI
๐Mjaafari vijiko 10
๐Mrundarunda vijiko 10
๐Mbegu za papai vijiko 5
Hakikisha dawa zote hapo juu ni za unga kisha zichanganye zote vizuri.
MATUMIZI
Koroga kijiko kimoja kidogo cha mchanganyiko wa dawa zako kwenye maji moto ama uji kikombe kimoja kisha kunywa.
Fanya hivyo kutwa mara 3 siku 14
Kwa Tiba zilizoandaliwa kitaalamu
Wasiliana nasi 0745400500
13/05/2024
Kwanini Huponi Nguvu za kiume.
Kushindwa Kupona tatizo la Nguvu za kiume, Kuna Sababu nyingi Sana.
Miongoni Mwao Ni hizi.
โก๏ธ Presha
โก๏ธ kisukari
โก๏ธ Magonjwa Ya Moyo
โก๏ธ Punyeto ( Kujichua )
โก๏ธ Msongo Wa Mawazo ( Stress )
โก๏ธ Uzito na Unene Kupita kiasi
โก๏ธ Mafuta ( Cholesterol ) Mwilini
โก๏ธ Ulaji / Unywaji Usiofaa
Dalili Za Upungufu wa nguvu za kiume.
โถ๏ธ Kuwahi kufika kileleni
โถ๏ธ Kukosa Hamu ya Tendo la ndoa
โถ๏ธ Kushindwa kurudia tendo la ndoa
โถ๏ธ Uume kusimama kwa ulegevu
โถ๏ธ Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa
โถ๏ธ Kutoa Manii Kidogo Kila Tendo
โถ๏ธ Mwanaume Kushindwa Kutungisha Mimba
13/05/2024
Tupo Wazi karibuni Sana
11/05/2024
๐๐๐ช๐ ๐ฑ
Dawa 5 Zinazotumika Kutibu Changamoto
Za Nguvu Za Kiume na Mfumo Wa Uzazi
1๏ธโฃ Unga Wa Macca
2๏ธโฃ Unga wa mucuna
3๏ธโฃ Unga Wa Ginseng
4๏ธโฃ Unga Wa Tongat Ali
5๏ธโฃ Unga Wa Ashwagandha
Faida Za Unga Wa Macca
> Unatibu tezi dume
> Unaimrisha misuli ya uume
> Unaongeza nguvu za kiume
> Unaongeza mbegu za kiume
> Unaimarisha homoni za mwili
Faida Za Unga Wa Mucuna
- Huboresha mbegu za kiume
- Huondoa ugumba kwa jinsia zote
- Huboresha uwezo wa tendo la ndoa
Faida Za Unga Wa Ginseng
* Huimarisha moyo
* Huimarisha misuli ya uume
* Huimarisha nguvu za kiume
* Husaidia kwa wenye kisukari
* Inapunguza shinikizo la damu
* Hupunguza msongo wa mawazo
* Huimarisha mfumo wa kinga za mwili
Faida Za Unga Wa Tongat Ali
- Hukuza uume
- Huongeza nguvu za mwili
- Huimarisha misuli Ya uume
- Huongeza mbegu za kiume
- Hupunguza msongo wa mawazo
- Hungeza hamu ya tendo Jinsia Zote
- Hupunguza dalili za tezi dume
Faida Za Unga Wa Ashwagandha
โบ Inaimalisha misuri Ya Uume
โบ Inaimalisha uwezo wa kufikiri
โบ Inaongeza mbegu na nguvu za kiume
โบ Inatibu Athari Za Kujichua ( Punyeto )
Namna Ya Kuandaa
Dawa Zote 5 Ziwe Za Unga Tena Original
Changanya Zote Pamoja
Changanya Na Asali Safi / Original Nusu Lita
Saga Vizuri Kwenye Brenda kupata Juisi Safi
Matumizi
Kunywa Vijiko 2 Mara 2 Kwa Siku
Kupata Dawa hii ikiwa Tayari Tsh. 100,000
Matokeo Ni Ndani Ya Saa 24
๐๐ก๐๐ญ๐ฌ๐๐ฉ๐ฉ / ๐๐๐ฅ๐ฅ / ๐ฌ๐ฆ๐ฌ 0745 400 500
Free Derivery Ndani Ya Dar, Unalipia Ukipokea
OFISI MAGOMENI MAPIPA.
JIUNGE NA GORUP LA AFYA WHATSAPP
11/05/2024
Dawa ya kuimarisha misuli ya Uume.
Chukua dawa hizi Kwa ujazo sawa.
1. Mdaula
2. Mgosi hagona
3. Mkuyati
4. Mwinga jini
5. Mkundekunde.
Zichanganye pamoja kisha chukua vijiko vinne vya mchanganyiko huo uweke katika asali mbichi Lita 1.
Matumizi.
kunywa vijiko vitatu asubuhi mchana na muda wa kulala hadi dawa iishe.
Ukihitaji ikiwa Tayari Tsh. 45000
๐ช๐ฎ๐๐ถ๐น๐ถ๐ฎ๐ป๐ฎ nasi
๐๐ก๐๐ญ๐ฌ๐๐ฉ๐ฉ / ๐๐๐ฅ๐ฅ / ๐ฌ๐ฆ๐ฌ 0745400500
11/05/2024
Ujauzito na kujifungua.
Mwanamke mjamzito anapokuwa na afya nzuri na kupatiwa matunzo yanayohitajika, kuna uwezekano kuwa ujauzito wake utakuwa wenye afya pamoja na mtoto akayezaliwa. Akina mama, wakunga na wafanyakazi wa afya wanaweza kufanikisha afya bora inayohitajika wakati wa ujauzito na kuzuia, kutibu, au kupata msaada kwa ajili ya matatizo k**a yatajitokeza.
Dalili za ujauzito.
Mwanamke mara nyingi hukisia kuwa ana mimba anapoona baadhi ya dalili zifuatazo:
๐Kukosa hedhi,
๐Kichefuchefu,
๐Kujisikia mchovu
๐Kukojoa mara kwa mara,
๐Matiti huwa laini na kuongezeka ukubwa,
๐Kuongezeka uzito.
Kipimo cha damu au mkojo kinaweza kuthibitisha kwa uhakika kuanzia wiki 2 baada ya mimba kutunga (mwezi mmoja baada ya mwanzo wa hedhi iliyopita).
Ujauzito unapofikia miezi 4ยฝ, mama anaweza kusikia mtoto akijigeuza na mfanyakazi wa afya anaweza kusikiliza mapigo yake ya moyo kwa kutumia kifaa kiitwacho fetoskopu ambacho huwekwa juu ya tumbo la mama yake.
Mtoto atazaliwa lini ?.
Ujauzito huchukua takriban miezi 9 (miandamo ya miezi 10 au wiki 40).
Jumulisha miezi 9 na kuongeza siku 7ย kwenyeย siku ya kwanzaย ya hedhi ya mwisho. Hiyo ndiyo siku mtoto anatarajiwa kuzaliwa.
Watoto wengi huzaliwa kati ya wiki 3 kabla hadi wiki 2 baada ya tarehe hii.
Kwa mfano, chukulia kwamba hedhi ya mwisho ya mwanamke ilianza Februariย 30.
Februari 10 + miezi 9 = Novemba 10 Novemba 10 + siku 7 = Novemba 17 Tarehe ya mtoto kuzaliwa inatarajiwa kuwa Novemba 17.
Asanteni.
๐๐๐ฎ ๐ง๐ถ๐ฏ๐ฎ ๐๐ถ๐น๐ถ๐๐ผ๐ฎ๐ป๐ฑ๐ฎ๐น๐ถ๐๐ฎ ๐ธ๐ถ๐๐ฎ๐ฎ๐น๐ฎ๐บ๐
๐ช๐ฎ๐๐ถ๐น๐ถ๐ฎ๐ป๐ฎ Nasi
๐๐ก๐๐ญ๐ฌ๐๐ฉ๐ฉ / ๐๐๐ฅ๐ฅ / ๐ฌ๐ฆ๐ฌ 0745400500
11/05/2024
TENDO LA NDOA KINYUME NA MAUMBILE? HAPANA!
โ Kufanya tendo la ngono kinyume na maumbile si salama! Ina madhara mengi makubwa kiafya. Ona madhara yake hapa chini
โ Ni rahisi kupata magonjwa ya zinaa pamoja na virusi vya ukimwi kwani sehemu ya haja kubwa haina vilainishi michubuko huweza kutokea
โ Wanaopendelea ngono kinyume na maumbile huwa kwenye hatari kubwa ya kupata virusi vya Human Papillomavirus. Ni virusi hivi vinavyosababisha muwasho na huweza kupelekea kansa
โ Ngono kinyume na maumbile husababisha misuli ya sehemu ya haja kubwa kulegea na kushindwa kukaza hivyo ni ngumu kuzuia kinyesi
โ Tendo hilo husababisha majuto na kujilaumu nafsi kila linapofanyika hivyo kuharibu saikolojia kabisa
โ Ni rahisi kupata maambukizi ya bacteria ukeni endapo mwanaume atahamisha uume kutoka sehemu ya haja kubwa kuja ukeni
โ Huleta shida sana wakati wa kujifungua huweza kupelekea kutoka kwa kinyesi na kuleta shida kwa wahudumu
โ Njia ya haja ndogo kwa mwanaume huweza kuziba kutokana na vimelea kuingia na kuleta shida wakati wa kujisaidia
โ Ni rahisi kwa mwanaume kupata kansa ya tezi
MUHIMU
โ Usifanye ngono kinyume na maumbile ni rahisi kupata matatizo mengi hususani afya ya uzazi, USIIGE vitu bila kufahamu madhara yake.
Bado unapata changamoto kwenye suala zima la uzazi? Tuwasiliane sasa hivi
11/05/2024
Tiba nguvu za kiume.
Maziwa, tende na hurba au unaweza kuiita kwa kiswahili uwatu.
Matumizi yake.
1. Chukua glass moja ya maziwa fresh ya uvuguvugu.
2. Saga tende kazaa katiika brenda ili kupata ulojo wa kuchanganya katika glass yako ya maziwa fresh.
3. Chukua kijiko kidogo cha chai chota dawa yako ya hurba kidogo changanya baada ya mchanganyiko huo kutulia kidogo kunywa.
Hili lifanywe asubuhi mara moja kwa siku kwa muda wa siku 14.
๐๐๐ฎ ๐ง๐ถ๐ฏ๐ฎ ๐๐ถ๐น๐ถ๐๐ผ๐ฎ๐ป๐ฑ๐ฎ๐น๐ถ๐๐ฎ ๐ธ๐ถ๐๐ฎ๐ฎ๐น๐ฎ๐บ๐
๐ช๐ฎ๐๐ถ๐น๐ถ๐ฎ๐ป๐ฎ Nasi
๐๐ก๐๐ญ๐ฌ๐๐ฉ๐ฉ / ๐๐๐ฅ๐ฅ / ๐ฌ๐ฆ๐ฌ 0745400500
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Magomeni Mapipa
Dar Es Salaam
14101