NN General Supplies

NN General Supplies

Share

� The basic function of the company is to source, market and distribute sanitary towels and cosmetic stuff on both the domestic and oversea markets.

In Tanzania, we are well established with a professional sales, marketing, warehousing and distribution team. Consequently we are able to deal with all the major supermarkets and independent retail operators. We continuously source products, which we feel have the potential impact on the Tanzanian and International Market.

Photos from NN General Supplies's post 08/03/2019

Katika kuhadhimisha siku ya wananwake duniani,kipekee zaidi tumeshirikiana na sunrise radio ya mjini Arusha kuwakumbuka wanawake kwa kutoa zawadi za Diapers (HQ baby Diapers)kwa watoto wadogo.Zoezi hili limefanyika mapema leo katika Hospitali ya Mount Meru Arusha..
Happy women’s day 2019.

27/02/2019

Uongozi na wafanyakazi wa HC Tanzania umepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha aliyekuwa Mkurugenzi wa vipindi na uzalishaji ndugu Ruge Mutahaba.
Hakika hatutoweza kusahau mchango wako mkubwa uliotoa kwenye kampuni yetu na kutuwezesha kufika hapa tulipo, tutakumbuka mawazo yako chanya na jitihada ulizochangia katika kulikuza jina letu la HC.

Pumzika kwa amani mpiganaji Ruge Mutahaba.

13/12/2018

Introducing our New HC ambassador .Welcome to the team and let’s keep the good work.
“HC forever makes you comfortable and confident all the time”

26/11/2018

Ndugu wateja wetu tunapenda kuwataarifu kuwa bei elekezi ya pedi zetu ni k**a ifuatavyo
Kwa Jumla=59,000 kwa carton
Na
Rejareja(kwa pakiti)=2,800
Bei hizi ni kwa Tanzania nzima...

Photos from NN General Supplies's post 30/09/2018

Morogoro Girls Sec School,School Pack imekuwa mkombozi...Asanteni kwa mchango wenu na kuwajali mabinti zetu.

25/09/2018

Kuelekea siku ya mtoto wa k**e duniani,HC tupo sambamba na wadau mbalimbali katika kutoa elimu juu ya hedhi salama pamoja na matumizi ya pedi bora.

25/09/2018

Tunajivunia ubora wa kimataifa wa bidhaa zetu...
#

21/09/2018

Mungu awatie nguvu🙏🏾

27/08/2018

Kwa mwanamke anayejipenda na kujithamini haachi kutumia HC pantliner...
Zipo pcs 25 unatumia siku zote ambazo haupo hedhini..Inakukinga na maambukizo ya fangasi na UTI kwani hukuacha mkavu muda wote...

27/08/2018

“HC Daima hutuweka huru na Kujiamini wakati wote.”

27/08/2018

High Quality baby diaper ndio habari ya mjini...Unangoja nini jipatie pack ya HQ baby diaper kwa afya bora ya mtoto wako.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Website

Address


Dar Es Salaam
P.O.BOX42161,OFFKILWAROAD