Ushauli WA Mapenzi

Ushauli WA Mapenzi

Share

WELCOME HI MASSAGE

Photos from Ushauli WA Mapenzi's post 26/02/2021

Mazoea K**a haya ndo yanafaa

26/02/2021

MAPENZI NIMATAM SANA ENDAPO WAPENZI MKIWA NA PENZI LA DHATI ::
So Kuna upendo wakawaida na upendo wadhat, upendo wa dhat upo juu ya upendo wakawaida,
huu upendo wadhat unauwezo wakumtoa mtu kwenye penzi la kawaida na kumpeleka kwenye penzi la dhati.

Penzi la dhati ni penzi Rafiki kwa%100 so K**a unampenzi wako af sio rafikiako sure unapoteza vingi sana.

Mpenzi inatakiwa awe Rafiki wadhati no 1 wengine ndowanafata endapo mtakua mnaaminiana,

Mpenzi wako hatakiwi akuogope hata kwa %5 inatakiwa akueshim tu na amini ukimfanya mpenzi wako Rafiki
1=kilaunachokitaka utakipata
1=utapata full mahaba
Nk
Kiufupi hata kwenye tendo la ndoa mwanake akiwa naujasili wakuinjoy na mmewe kuanzia maandalizi yote, yatendo mpaka mwisho huwa inanoga Sana maana nimbaya mwanamke akiwa hanaujasili watendo kanakwamba mwanamme ndoatakae shughulika kwamambo yote kumuandaa mwanamke kwajili ya tendo mwanamme ukimzoesha mkeo hivo kilasiku sure utaisi mkeo hajui mapenzi kumbe hujamtengenezea mazingira Rafiki ya yeye kufurahi na wewe tendo kunasiku mwanamme unaweza ukawa hauna mudi Ila kwavile mkeo Hana aibu Wala uoga juu yako bado mkapiga shoo nzuri2 staa akawa mke
So tengeneza mazingira Rafiki yaupendo kwamkeo kuanzia kwenye mazungumzo Hadi kwenyevitendo jitaidi, Kua tabasam na kicheko Cha mpenzi wako hakika utamfaidi na hato kuficha kitu chochote Wala kuwa najambo moyoni ambaro wewe hautalijua maana utakuwa na nafasi zote kwake:::!

19/01/2021
Photos from Ushauli WA Mapenzi's post 05/12/2020

MAHABA ( D)..=>
Mfano: Imefika ijioni mshakula mapema ukaamua umsurprise mmeo mfanye mapenzi bafuni.
Ukaenda bafuni nasim afu mmeo amejiandaa kuoga anakusubili unampigia sim unamuita kwasauti yamahaba kabisa namaneno matam ladhima aje akifika unaanzisha kamvhezo k**aji kadogotu kakumleta kwenye mudi ukimuona ashaanza kunoga unamvuta kifuani lomansi nyingi unashuka Hadi ndizi unanyonya,
Sizani K**a atashindwa kukuchumisha TEMBELE au kukubeba K**a mtoto kifuani huku amesimama .
We jalibu kuwa mbunifu wa mambo uone mabadiliko kwa mpenziwako mfanye some hakuna mwingine zaidi yawewe

Ok kwawanamme tunatabia moja. Wanamme tumekuwa wagum wakupokea mahaba kwawakezetu tatizo nini ubize,
Ukiwa nje upobize na ndani pia upobize nawakati kwenyeuchumba haukuwaivo mdamwingi uliutumia ukiwa na mpenziwako Leo umempata unaanza kujiamini kisa usiku unalala nae japo hata kwawanawake Hilo lipo ila ngoja nikwabie kitu Kushea kitanda na kuamshana kufanya s*x hayo sio mapenzi., Zinakua niham za mwili tu ndo zimepelekea kufanya tendo na malanyingi wagahayanogi cz kunakua hakuna mahaba ndani yake namalanyingi mapenzi yaivo wanamme ndohuwaanza wake,
Anamuanza kwakumfosi kumtachi, kumfanyia lomansi mpaka mwanamke anaamuatu kumpa mme ili atoe ham so hata mudi ya mwanamke kukubadilishia stairi kukufanyia mautundu yake inakua haipo cz umemkulupusha tu unataka.
So kwaubize wako unaweza ukakufanya ukose mahaba ya dhat kwa mpenziwako mpe nafasi mkeo akupe mapenzi ili uinjoy
Pia Amini mwanamke ukimjari kumpenda kuwa bze nae kumcare, sio lahisi kumfikilia mtu mwingine cz mwanamke anaitaji kupendwa na hakuna anachoitaji kwako zaidi yakupendwa show love kwake2 mwonyeshe unampenda tu sizani K**a atashindwa kukusikiliza na kukupa mapenzi ya dhati..!
Tukutane (E)...

Photos from Ushauli WA Mapenzi's post 05/12/2020

(C).=> MAHABA Ni nini au nijambo la aina gani?

Mahaba ni vitendo vya maandalizi ya ya tendo la ndoa(s*x) vinavyoambatana na maneno matam yamapenzi yanayofanyika kabra ya tendo la ndoa,

MAHABA nikitu chamsingi sana kwenyemahusiano hatak**a ukiwa na upendo wa dhati kiasigani ila K**a huyajui mahaba au huna mahaba kwamwenzio utakua na%chache sana zakupendwa na mwenzi wako cz hakuna asiependa kumbembeleza kwavitendo na maneno matam yamapenzi no.

kule kumcare mtu kumbembeleza kwavitendo na maneno matam yamapenzi ndo kunamfanya mtu ajiisi anapendwa
Naweza sema mwanamke huolewa kwakufata MAPENZI na mwanamme anaowa ili apate MAPENZI sio vinginevyo ila vingine vinatafutwa nimatokeo,
So ili usaminike kwa mpenziwako ladhima uwe mbunifu wambinu nyingi zakumuandaa mwenzio kihisia ili wakatiote usitoke akilini mwake hasa mwanamke. mwanamke inatakiwa awe na mbinu nyingi zakumuandaa mpenzi wake kihisia,
Unaposikia mwanamme anamsikiliza mwanamke sio nguvu zimemteka nimapenzi ya mahaba ndoyamemteka.

Kitanda nisehem yakulala na kupangia mipango yamaisha pia nisehem ya stalehe ya ndoa ila usiishi kwakukalili kua mpakakitandani tu ndo panafaa kwa tendo no,
Nyumbani kwako popotetu mapenzi yanafanyika endapo ukiwa mjuz wamambo. mwanamme ni mlaisi sana wakutekeleza mahaba anayofanyiwa na mkewe

Popote ukiitaji us*x na mmeo kwako inawezekana sio kitandani tu kunabaadhi yastairi wanamme wanaishia kuziona kwenye mitandao tu ila kwawakezao hawazipati cz kitandani hazinanafasi nakwavile ndo wamekalili kitandani ndopanafaa tu bas hawazifanyi wanaishia kuzisikia tu.
Mfano:
Mwanamke wakati ukokwenyekochi na mpenziwako umevaa mavazi yenyeruhusa yatendo yenyekutamanisha mnacheki move au mnazungumza yenu tu uka badiri maada ukaanza kumpa maneno matam mmeo navitendo vya hapa na pale vya kumuamshia hisia wakat yukokwenye bukta ashaoga yukotiali kwakulala unampa mahaba yakutosha utundu mwingi ivi atakumbuka kitanda. na unafikili stairi mtakazozifanya kitandani zitafanana na zakwenye Kochi.?
WAIT D

04/12/2020

(B) => 1..Nivyema utambue mpenziwako anapenda nini , kwawakati gani nambamoja utafaulu
2.. Care, mpenzi yeyote anaitaji Care, kwawengi CARE imekua adim sana kwawapenziwao nahii nimoja Kati ya sababu inayosababisha upendo kupungua na hatimae kutoka nje ya ndoa au mahusiano. Cz kwawengi tumekuwa tukiwacare wapenziwetu AWALI Yani mwanzo wamahusiano Yani ubizewako unakua ni mpenziwako na huwezi poteza nusu saa bila kumuwaza mpenziwako k**asiokumpigia Sim na mda wakuludi nyumbani kilammoja anakuwa amemmisi mwenzake vyakutosha. Ngoja nikukumbushe kitu kimoja ambacho kinatusumbua wengi, kunaneno linaitwa (ASHIKI ) ASHIKI nineno lakiswahili lenyemaana ya TAMAA. neno ashiki nichanzo Cha neno (PAST LOVE) lenyemaana ya MAPENZI YA MPITO. Mapenzi haya waga yananguvu kuliko kawaida Yan inatokea tu unampendamtu kiasi chajuu, unakuwa crazy kabisa husikii, huoni, hufikilii chochote zaidi yayeye, Mapenzi yampito malanyingi hua yanamfanya mtu akose mda wakuchunguza changuolake K**a nisahihi au sio sahihi. Baada ya Tamaa kuisha ndo anaanza kujutia chaguo nawakati huo anakuwa ameshapiga hatua yambali sana Wenda ashaoa au kuolewa ndoanaanza kujutia past love huwa inawaponza wengi sana badae upendo ukipoa mnaanza kuishi kishikaji ile true love inakua haipo So CARE inapotea kabisa kilamtu anakuwa Hana Mapenzi yadhat kwamwenzie..
ila kunawanao sahau tu majukum kutokana Wenda
1 kujiamini niwangu.
2 ubize wa halakat zautaftaji
Ila ngoja nikwabie kitu neno MKE WANGU au MME WANGU au MPENZI WANGU, Nineno dogo sana ila linamaana kubwa nyingi sana, nibora usizijue zote ila baadhi yavitu uvijue nauvitekeleze na sivingine nineno liitwaro (MAHABA).
MAHABA ni nini?
WAIT C....

03/12/2020

(A) Sasa K**a ukitoka kazini ukifika hom unapokelewa kwastairi hii, unaanzaje kuchelewa kuludi hom. Na pia unaanzaje kuhangaikia na michepuko inayokupa stress akati unajua kunaflaha inakusubili nyumbani, mwanamke inatakiwa amfanye mwanamme apaone nyumbani K**a sehem yastalehe Yani hataakiwa kazini anastress atatamani kuludi nyumbani kuondoa stress zake na sio mwanamme atamani hatakulala kazini au Gest kisa hom hapati flaha Zaid yakuongeza stress, mwanamke inatakiwa awe mshauli wakalibu kwamme kwakila Jambo awe active asiwe mtu waasila ajue kumuandaa mme kwaushauli au Jambo muhimu l lamaendeleo, hatapale anapokua akiitaji msaada au anapokua nashida Fran sio unamuona mwenzio anamud yamawazo af unamuongezea wazo no tujalibu kuelewa kidogo kwamba kirajambo linaitaji maandalizi, jitaidi sana kumsoma mwenzio nini anapenda nini hapendi kwawakati gani ,,,,, WAIT ( B)

Photos from Ushauli WA Mapenzi's post 02/12/2020

Adi dhambi Yani mtoto k**ahuyu nakuumbika kote ajegeto afu atoke amechukia hujamlidhisha umepiga kamoja ikafeli mazima akafosi mpakabas ili iinuke bado ikawangum iv binafs unajisikiaje mwanamme ? Au mwanamke unamchukuliaje mwanamme asipokufikisha / kukulidhisha akati unamudi nae?

05/10/2020

Nikweli wanamme tumeumbiwa tamaa, na tunaowatamani ni wanawake, sasa Mwanamke unaanzaje kuluhusu mwanamme wako amtamani mwanamke mwenzio, kwani yeye ananini na wewe huna nini?
Hapo ndoinajidhihilisha yakua wanawake ndochanzo chawanamme kutamani nje cz yandani mwanamme anakua halidhikinayo.
Sikuzote nje mwanamme anatamani wanawake s*x wanaovutia ila kuowa hawez kwasababu yatabia.

Wengi hudata namavaz yamitengo yakumtamanisha mwanamme nk...
Nawanapo ingia kwenyemahusiano yanje wanakutana namapenzi mageni abayo kwawakezao hawayapati ndomana ndoanyingi zinavunjika kwausalit
==Neno MKE WANGU/MME WANGU, Nineno fup sana tena laisi tu kulitaja ila limebeba nafasi kubwa sana na kulimiliki hilineno milele mpaka unazeeka bila kubadilisha kwamwingine siolahisi hatakidogo kwenye100 wapo 10,

Kwanini?
Nimejalibu kuchunguza kwamakini nikabaini yakua Wanandoa wengi wanatumia nenohili k**a umilikitu yani k**a mtu kununua gali anaamini akiweka mafutatu akaenda anakotaka akilud akipaki halinathamani tena mpaka apate safali nyingine
No mapenz hayakoivo mapenzi yanaitaji
1 kukea
2 kujali
3 ujuz
4 mbinu mpya zakumlidhisha mwenzio
Jiulize kwanini mwenzio anakusaliti .
Je, kwako anakosanini na Kule nje anafuatanini ambacho wewe haumpi

Haiwezekani ndani kuna ugali na nyama yakuku
Afu upite kwajilani ukute ugali na nyama yakuku afu ikupagawishe siokweli

Wanawake wengi wandoa wamezoea kuanzwa wao ndowaijoy wote ndani
Ila malaya wanje hawajali wao ndo wanawaanza wanamme kuanzia kuwatega kwenyemavazi mpaka ndani kwenyevitendo.

Unakuta mwanamke ndani kwake yuko yeye na mmewe tu ila mavazi anayovaa hayatofautiani namwanamke aliyoko kazini au kwenye miangaiko yautaftaji unakuta anapendeza akiwa anaenda sokoni au kwenyeshelee/Ugeni, hapo ndomwanamme anamtamani nahukonjiani ndoanatamaniwa nawatazamaji ila akilud hom mwendo uleule

JAMANI SIJUI MNAFELI WAPI

Wait another post 2
Usisahau ku like & comment na share

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Dar Es Salaam
SN