Nayla tz
Tibu afya kwa kutumia tiba lishe matatizo yote ya afya ya mwanamke na mwanaume
namba 0765438647
17/02/2024
Pazia nzuri kwa bei nzuri 0620203585
24/01/2024
Vyombo bei poa
22/01/2024
0620203585
22/01/2024
15,000 mto na foronyq
01/11/2023
Open this link to join my WhatsApp Group: https://chat.whatsapp.com/HJEUjh8xq1l5g2rB2YK6wd
Mambo mazuri karibu watsap
03/02/2021
*Magonjwa Ya Maungio Ya Mifupa (Arthritis)*
Arthritis ni ugonjwa unaotokana na namna yo yote ya hitilafu katika maungio ya mifupa ya binadamu ambao husababisha maumivu na pengine kuvimba katika sehemu moja au zaidi ya maungio hayo.
Tabia kuu ya magonjwa haya ni maumivu kwenye maungio ya mifupa (joints) ambayo ni endelevu na ambayo hutokea eneo hilo moja.
*Chanzo Cha Arthritis Ni Nini?*
Ugonjwa wa arthritis unasababishwa na hitilafu yo yote katika sehemu hizo za maungio ya mifupa. Inaweza kuwa gegedu inalika, upungufu wa ukano (synovial fluid), maambukizi ya vijidudu katika moja ya maeneo hayo au mchanganyiko wa matatizo.
*Athari za arthritis*
– Macho. Ukavu, maumivu, wekundu, kutopenda mwanga na kutoona vizuri
– Midomo. Ukavu, maumivu na maambukizi ya fizi
– Ngozi. Vijinundu chini ya ngozi kwenye maeneo yenye mifupa
– Mapafu. Kushindwa kupumua vizuri
– Mishipa Ya Damu. Uharibifu wa mishipa ya damu
– Damu. Upungufu wa chembechembe nyekundu za damu
*TIBA*
Dawa zifuatazo zinaweza kumaliza matatizo ya mifupa na maungio
_Gluzojoint_
•kuondoa maumivu kwenye maungio
•kurudisha ubora wa cartilage
•kuzuia usagikaji wa mifupa
_Arthroextra_
•inaongeza ute ute kwenye maungio
•inakomaza mifupa legevu
•inaimarisha mifupa iliyo vunjika
_Zaminocal_
•huondoa maumivu ya mifupa
•huimarisha afya ya mifupa
•inaongeza madini ya calcium iron zinc na magnesium kwenye mifupa
_Mawasiliano_
Sms/WhatsApp/call
+255765438647/0620203585
22/10/2020
Nipende kuwaalika kwenye semina itakayofanyika siku ya jumapili hii kwanzia saa saba mchana mlimani tower kwa ajili ya kujifunza mengi kuhusu afya na jinsi ya kujiajiri kwa kipato kidogo wote mnakaribishwa
kwa msaada zaidi piga simu kwa namba 0765438647
KARIBU SANA
04/10/2020
——
Femicare mkombozi wa wanawake.
*MWANAMKE:*
Katika maisha yake hupitia vipindi vikuu vitano (5) ambavyo Jamii na yeye binafsi ni muhimu kuwa makini sana.
1. Kuvunja Ungo
2. Tendo la Ndoa
3. Mimba
4. Uzazi
5. Kukoma kwa Hedhi
Hakika takribani katika hatua zote Mwanamke hutokwa na uchafu na damu, hii husababisha matatizo makubwa akipunguza umakini.
-Japo kuna sababu ambazo anaweza Kujitibu au kujikinga k**a, Vyoo vya Jumuiya, Nguo za ndani, Nguo za kubana sana, Kukaa sehemu moja muda mrefu, Tendo la Ndoa, na Uzazi wa Mpango. : -Lakini Je, Inawezekana.? Usijali kuna suruhisho hapa..!! *FEMI CARE:*
Uhuisha Seli kwa madini kutoka maliasili pamoja na OKO-HITECH baharini kwa kutumia mbinu za uchimbaji wa kiteknolojia , madini machache yanayopatikana kutoka Ziwa kubwa la Chumvi USA, na mafuta ya asili ya muhimu ni kutoka kwenye mimea pia ina vitamini nyingi, amino acid, and vegetable antioxidative element.
Wataalamu wamethibitisha kuwa FemiCare ni Dawa nzuri na salama imeisha tumika tayari kwa miaka mia moja. *INAHUSIKA:*
1. Inasaidia Uke kupambana na maambukizi.
2. Inaondoa majimaji machafu, harufu na miwasho
3. Inakinga vijidudu vinavyo sababisha upele kwenye nywele hasa sehemu za siri, vidudu kwenye mirija k**a utumbo, Vidudu vinavyo shambulia njia ya mkojo, Vidudu vya Fangasi na Vijidudu vingine hatari kwa sehemu za siri
4. Huweka uke safi na kuukinga na maambukizi
5. Husaidia kuhuisha Seli.
Kwa kutibu na kukinga bacteria tumia FEMICARE kwasasa unaipata kwa elfu 35 tu
Wasiliana nasi : Kwa ushauri na tiba piga simu au meseji 0765438647 na whatsapp pia
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |