Vina beauty ifakara

Vina beauty ifakara

Share

10/11/2025

Tea Tree Acne Face Cream (Oil Control) inasaidia ngozi kwa njia hizi:

🌿 Kudhibiti mafuta ya ngozi – inapunguza mafuta kupita kiasi, kuzuia kung’aa kupita.
🌿 Kupunguza na kuzuia chunusi – tea tree hupambana na bacteria wanaosababisha pimples.
🌿 Kufungua na kusafisha vinyweleo – huzuia blackheads na whiteheads.
🌿 Kutuliza ngozi yenye muwasho – hupunguza wekundu na uvimbe wa chunusi.
🌿 Kukausha pimples haraka – huchochea kupona kwa chunusi bila kuacha makovu makubwa.
🌿 Kuimarisha mwonekano wa ngozi – ngozi inabaki safi, fresh na yenye mvuto wa kiafya.

10/11/2025

MARINA GLOW OIL VITAMIN C&E BRIGHTENING BODY OIL

📌Its a very good oil from phillippiness,guyz k**a tunavyojua phillippines hawanaga kazi mbovu test this oil then you will thank me later
📌Wale mnaosumbuliwa na michirizi na umekuwa muhanga wa tatizo la michiriz kila ulichotimia hakijakusaidia hii oil ndo mkombozi wenu....Ni kiboko ya kuondoa michiriz kwa haraka sana..ukitumia ndani ya miez 3 unasahau swala la michirizi na kuzuia ngozi isiyo na michiriz kutokupata michirizi
📌Wanaotaka kung'aa hii oil ndoyenyewe
📌Wale wanaotaka kung'aa na kuglow mwili mzima
📌Inakufanya unapata rangi 1 mwili mzima
📌Inaondoa madoa
📌Inasaidia kung'arisha ngozi na kuifanya ngozi iwe smooth
📌Kwa wale wanaokaa sehemu za baridi hii ndo oil yenu dont miss it
https://chat.whatsapp.com/I2rz8OvVI9P1tZpypbTVEo?mode=wwt
Ili kuangalia bidhaa zetu bonyeza Link hapo juu👆👆

Photos from Vina beauty ifakara 's post 10/11/2025
28/06/2025

6000 tu vipenz

05/06/2025

DR.MEINAIRE NARAJA ORANGE VITAMIN C OIL

📌Oil kiboko sana hii kwenye ngozi
📌Inang'arisha vizuri ngozi
📌Yanafanya ngozi kuwa na unyevuunyevu muda wote
📌Inaondoa madoa na makovu mwilin
📌Inalainisha vizuri ngozi
📌Yanaondoa pigmention
📌Inaondoa weus mapajani
📌Inaondoa michirizi
📌Kwa waliopo sehemu za baridi pia nzuri sana
📌Yanaondoa wekundu uliopata kwa cream kali
📌Ni mazuri kwa ngozi zoote

Bei 20,000

27/05/2025

Tomato callagen & gluta soap 🧼 kiboko kwa matatizo ya ngozi
🤍 Inaondoa dark spots
🤍 Inaondoa michirizi kabisa
🤍Kwa wenye alama za kufungua na jua pia inasaidia kuondoa
🤍Inaondoa vipele na chunusi
🤍 Na kwa wale wenywe skin infection inatibunkwa asilimia 100%

23/04/2025

Mambo ya kudamsh hayo

Photos from Vina beauty ifakara 's post 21/04/2025

Huku ni kung'aa kishua tu hatuna mbambaa

Photos from Vina beauty ifakara 's post 21/04/2025

Oil izo pambe unang'aa rangi moja matatizo yote ya ngozi inamaliza unakua soft na unang'aa Hadi raha😋

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Website

Address


Dar Es Salaam