Fursa Biashara na maono
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Fursa Biashara na maono, Health/Beauty, Dar es Salaam.
10/11/2024
Karbuni Kwa huduma ya jezi mpya tuuu Kwa Bei nafuu tunakufikishia popote ulipo Tanzania, ata mikoani tunaagiza
MUHIMU: Itakusaidia sana, K**a Sio SASA basi SIKU ZA USONI...
Sio kila mtu ana UJASIRI wa kukupa JIBU.
Kuna wengi ambao majibu yao yamefichwa kwenye MATENDO YAO.
Kuna watu utawaomba kitu, na watashindwa kukuambia HAPANA.
Ila utaona wanavyokuzungusha na utaweka tumaini...
..halafu mwishoni wanapotea kabisa.
Ndio Jibu tayari hilo, jiongeze.
Kuna wengine utawaomba NAFASI/FURSA na watakuonesha kuwa watakusaidia.
Utashangaa tu simu HAWAPOKEI tena na hawakujibu chochote, Hilo nalo ni jibu.
Kuna wale ambao hawawezi kabisa kukuambia kuwa HAWAKUPENDI...
..Ila sasa utaanza kuona WANAKUPIGA MATUKIO ya makusudi ili KUKUUMIZA na KUHAKIKISHA unakosa FURAHA.
Hili nalo ni JIBU Lao, JIONGEZE.
Si unajua hata ofisini kuna mabosi hawana UJASIRI wa kukufukuza...
..utaona MATENDO YAO.
Inamaanisha JIANDAE uchukue hatua mwenyewe.
Ni muhimu kuongeza HEKIMA yako na UWEZO wako wa KUTAFSIRI matendo ya watu...
..ili USIJE kuumia zaidi MWISHONI.
Naomba k**a umejifunza kitu fanya mambo haya mawili...
1. NIANDIKIE ulichojifunza na unachoenda kufanyia kazi kwenye comments kwa ufupi...
2. SHARE makala hii na mtu mmoja unayemjali...
Muda wowote ukiwa tayari nikusaidie kutimiza malengo yako hizi ndio namna 4 ninazoweza kukusaidia.
MUHIMU: Itakusaidia sana, K**a Sio SASA basi SIKU ZA USONI...
Sio kila mtu ana UJASIRI wa kukupa JIBU.
Kuna wengi ambao majibu yao yamefichwa kwenye MATENDO YAO.
Kuna watu utawaomba kitu, na watashindwa kukuambia HAPANA.
Ila utaona wanavyokuzungusha na utaweka tumaini...
..halafu mwishoni wanapotea kabisa.
Ndio Jibu tayari hilo, jiongeze.
Kuna wengine utawaomba NAFASI/FURSA na watakuonesha kuwa watakusaidia.
Utashangaa tu simu HAWAPOKEI tena na hawakujibu chochote, Hilo nalo ni jibu.
Kuna wale ambao hawawezi kabisa kukuambia kuwa HAWAKUPENDI...
..Ila sasa utaanza kuona WANAKUPIGA MATUKIO ya makusudi ili KUKUUMIZA na KUHAKIKISHA unakosa FURAHA.
Hili nalo ni JIBU Lao, JIONGEZE.
Si unajua hata ofisini kuna mabosi hawana UJASIRI wa kukufukuza...
..utaona MATENDO YAO.
Inamaanisha JIANDAE uchukue hatua mwenyewe.
Ni muhimu kuongeza HEKIMA yako na UWEZO wako wa KUTAFSIRI matendo ya watu...
..ili USIJE kuumia zaidi MWISHONI.
Naomba k**a umejifunza kitu fanya mambo haya mawili...
1. NIANDIKIE ulichojifunza na unachoenda kufanyia kazi kwenye comments kwa ufupi...
2. SHARE makala hii na mtu mmoja unayemjali...
Muda wowote ukiwa tayari nikusaidie kutimiza malengo yako hizi ndio namna 4 ninazoweza kukusaidia.
3. Mafunzo Kwa Njia Ya Video, Kozi
Wapo watu ambao wanakuja kwenye
MAISHA yako, hawatakupa PESA.
Wameletwa ili wakupe CONNECTION(S)
ambazo THAMANI yake ni zaidi ya kiwango chochote cha PESA ambacho wangekupatia.
Usiruhusu UHITAJI wako wa PESA wa muda mfupi, UKUFELISHE kupata connection ambayo ingebadilisha MAISHA yako.
Watu wengi wamefanya HARAKA kuwaomba PESA watu waliokuja kwao kuwapa connections, matokeo yake WALIWAPOTEZA.
Kuna wakati JIZUIE kuomba HELA, sio kwa sababu HAUZIHITAJI, ila ni MKAKATI wa kufaidika na KITU KIKUBWA ZAIDI MBELENI.
Posted • UBAYA wa kuonekana wewe ni mtu mwenye NGUVU na HODARI ni kuwa hakuna MTU ATAKUULIZA HALI YAKO.
Kuna wengi ambao HAWAJUI, HAWAWEZI KUAMINI na hawawezi KUKUBALI kuwa, kuna wakati na wewe huwa unapitia MAMBO MAGUMU.
Yaani, kwa sababu huwa UNAJITOA sana kwa ajili ya NDUGU zako, basi hakuna anayewaza kuwa kuna wakati na wewe huww UNAHITAJI MSAADA.
Kuna wale wanakuona huwa UNASAIDIA sana marafiki zako, basi huwa wanataka uwasaidie tu, hawawezi hata kukuuliza unahitaji nini.
Na hata siku UKISEMA UNAHITAJI MSAADA, hakuna anayechukulia SERIOUS kabisa.
Tatizo la wengi ni kuwa, wakikuona UNASAIDIA wengine, huwa wanaamini kuwa ni kwa sababu UNAVYO VINGI.
Kwa sababu hii, wengi ambao wamekuwa msaada kwa NDUGU, MARAFIKI au WAFANYAKAZI wenzao, wamejikuta WAKIACHWA PEKE YAO wanapohitaji msaada.
Kila ANAYEJITOA kwa ajili yako, naye pia ANAHITAJI kusaidiwa anapohitaji msaada. USIMUACHE PEKE YAKE!⁷
2. Hakikisha unaishare na mwingine ili mamilioni ya watu waweze kujifunza zaidi k**a mimi na wewe.
23/08/2024
Mambo 3 Makubwa Usiyoyajua Kuhusu KUKATALIWA.
Mtu mmoja aliwahi kusema...
“Everytime I look back I realize that the times when I thought I was being rejected from something good...
..I was actually being directed to something better”.
(Kila wakati nilipofikiria kuwa nakataliwa na ninakosa kitu kizuri kumbe...
..ilikuwa njia ya kunisaidia ili nipate kitu kikubwa zaidi kwenye maisha yangu).
Unaweza kupitia “REJECTION” kwenye kazi, kwenye biashara, mahusiano ama hata siasa.
Kuna mara nyingi tukikosa tunachokitaka huwa tunapitia maumivu makali sana...
..kwani tunaamini ndio ilikuwa njia yetu ya kufanikiwa.
Kuna mambo muhimu unatakiwa kuyafahamu kuhusu KUKATALIWA:
1. Kuna Watu / Kitu Mungu Anakuepusha Nacho.
Hata k**a angekuambia sasa hivi kutokana na uhitaji wako ulivyo mkubwa usingeelewa.
Njia rahisi anayotumia ni kufanya wakukatae ili USIKOSE KIKUBWA kilichoandaliwa mbele yako.
Ni sawa na kusema wanaokukataa wametumwa na Mungu wafanye hivyo bila hata wenyewe kujua.
Baadaye utaelewa na kushukuru kuwa walikukataa.
Kuna BALAA na MAJUTO wanakuepusha nayo.
2. Kuna Watu Wanakukataa Kwa sababu Hawajaelewa Kabisa ULICHONACHO.
Yaani ni k**a dhahabu iliyotupwa z**i la ng’ombe, itakanyagwa hovyohovyo.
Ukikataliwa na bosi wako akasema hauna thamani...
..usikubali ikuingie moyoni.
Ni kwamba hajaijua thamani yako.
Haujawahi kuona timu moja inamuacha mchezaji kwa kusema hafai...
..na anachukuliwa na timu nyingine kwa bei ghali tena anakuwa wa kutumainiwa?
Usiruhusu ambao bado hawajaijua thamani yako kukufanya ujione hauna thamani.
3. Kuna Watu Wanakukataa Ikiwa Ni Njia Ya Kukusaidia Kufanya Maamuzi Sahihi Kuhusu Maisha Yako.
Mara nyingi kuna wakati mihemko inaongoza maamuzi ya wengi.
Ukikataliwa unaanza kutafakari kuhusu mambo mengi...
..na hapa ndipo unaposaidika kufanya maamuzi sahihi.
Kwa vyovyote vile WALIOKUKATAA na WANAOKUKATAA watashangaa UTAKAVYOFANIKIWA...
..k**a HAUTAZIMIA MOYO.
Naomba k**a umejifunza kitu fanya mambo haya mawili...
1. NIANDIKIE ulichojifunza na unachoenda kufanyia kazi kwenye comments kwa ufupi...
2. SHARE makala hii na mtu mmoja unayemjali...
23/08/2024
Posted • [ MAKALA BURE ] Kwa Wote Wanaopenda Kujitoa Kwaajili Ya Wengine...
Sio kila mtu ATAUONA USHUJAA WAKO.
Kuna wakati unaweza kupitia MAUMIVU kwa sababu wale uliopambana...
..na KUJITOA kwa ajili yao, HAWATATHAMINI ulichofanya.
Hii inaweza kutokea kwenye ngazi ya FAMILIA, TAASISI au TAIFA.
Yaani unaweza kujitoa kwa ajili ya NDUGU ZAKO...
..ukajinyima mengi ili UWASAIDIE na KUWAINUA wao.
Cha Kushangaza HAWATASHUKURU.
Wengine WATAKULAUMU na siku ukishindwa Mara moja TU kuwasaidia...
...WATAKUSEMA VIBAYA.
WAPO ambao walijitahidi KUINUA TAASISI ZAO, wakajitesa wakiamini mchango wao UTAONEKANA...
..badala Yake WALIONDOLEWA kwa AIBU.
Pia kuna wengine ambao walifanya hadi vitu vya KUHATARISHA maisha Yao kwa ajili ya TAIFA LAO...
..Ila cha KUSHANGAZA walewale ambao walikuwa WANAWAPIGANIA ndio walikuwa wa kwanza KUWASEMA VIBAYA.
Ndio Dunia ilivyo, K**a UMEAMUA KUFANYA usiweke matarajio ya...
..KUTHAMINIWA na kupewa HESHIMA unayoitaka.
Kuna wakati HAITAKUWA hivyo.
Tenda Wema, NENDA ZAKO, Usingoje SHUKRANI.
Tarajia MALIPO Kutoka kwa MUNGU na sio BINADAMU.
Naomba k**a umejifunza kitu fanya mambo haya mawili...
1. NIANDIKIE ulichojifunza na unachoenda kufanyia kazi kwenye comments kwa ufupi...
2. SHARE makala hii na mtu mmoja unayemjali...
Muda wowote ukiwa tayari nikusaidie kutimiza malengo yako hizi ndio namna 4 ninazoweza kukusaidia
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Culinary Team
Attire
Website
Address
Dar Es Salaam