Bhoke weight management
I help people loose weight in a health and natural way
22/06/2021
PUNGUZA UZITO NA USINENEPE TENA
Watu wengi wanajua njia nyingi za kupunguza uzito na watu wanafanikiwa kupunguza uzito lakini tatizo lipo baada ya kupungua kinachotokea ndo shida nyingine, unaweza kupunguza uzito kupitia njia mbali mbali mazoezi, diet na hata kutumia njia mubadala ambazo zingine mtu anapata maumivu makubwa ambayo kwa kifupi ni ugonjwa unaoutengeneza kwa mda ili upungue ndani ya mda mfupi ingawa kwa asilimia hukuacha na matatizo mengine k**a vidonda vya tumbo na pia ngozi kuchakaa. Hio njia tunaiita unakonda siyo kupungua, kunatofauti kati ya kupungua na kukonda anaepungua hata muonekano wake unakuwa mzuri zaidi na hapati matatizo yoyote na anaekonda anaweza kupata matatizo mengine na pia muonekano wake baada ya kukonda siyo mzuri.
Uwezekano wa kupungua bila kupata ugonjwa wowote inawezekana yaani bila kuhalisha na wala baada ya kupungua usipate vidonda vya tumbo na kuwa na muonekano mzuri zaidi kuliko awali inawezekana. Pia unapopungua usinenepe tena k**a awali maana watu wengi wanafanikiwa kupungua lakin baada ya mda wananenepa tena wakati mwingine wanapitiliza kuliko awali mtu alikuwa na uzito wa kilo 100 anapunguza kilo 20 anabaki na kilo 80 baada ya mwezi 1 au 3 unamkuta uzito umeongezeka mpaka 110.
Kupitia program ya siku 9 na siku 15 mtu unaweza kupungua kilo 3 mpaka 18 kwa kutumia package ya C9 na F15 ambazo zinakusaidia kupungua na kumentain uzito huo unapopungua usinenepe tena k**a awali. K**a unataka kupungua chini ya kilo 10 unatumia package moja ya siku 9. Ambayo inauwezo wa kukusaidia upungue kilo 3 mpaka 9 ndani ya siku 9 tu. Watu wengi wanauliza inawezekanaje ndani ya mda mchache hivo upunguze kilo zote na uwe salama.
Program hizi hazikufanyi ukonde bali unapungua zinaondoa mafuta mwili na kusafisha mwili ili kuondoa sum ambapo mtu anapungua kilahisi ndani ya mda mfupi. Kuliko mtu anaefanya mazoezi hana njia ya kumsaidia kuondoa sum na mafuta kwa wakat mmoja, lazima upate shida kupunguza hata kilo 1 kwa sababu mwili bado unasum na mafuta hayawezi kuondoka kilahisi unabaki unashindana na mwili kulinda mafuta hayo.
K**a unataka kuelewa zaidi juu ya kupungua kwa njia hii salama na bora zaidi piga
07674418259
30/09/2020
Tuko wazi leo, tunaendelea kuboresha afya yako.
Hakika afya yako ni muhimu kuliko kila kitu ulichonacho.
27/09/2020
au ni program ya kusafisha mwili na kupunguza uzito. Ni program ya siku 9 ambayo ni ya asili na haina madhara yoyote kwa mtumiaji kwani imethibitwishwa na mamlaka ya afya zaidi ya nchi 160 duniani k**a lishe/virutubisho.
Watu wengi wanaotumia hii program kwa usahihi wanapata matokeo mazuri sana.
K**a unahangaika na uzito uliopitiliza, kitambi kwa wote wanawake na wanaume, michirizi basi ndio suluhusho kwako.
Kwa maelezo zaidi kuhusu hii program na namna ya kuipata wasiliana nasi kwa piga/whatsapp 0674418259
Tuko dar es salaam na tunatuma mikoa yote kwa uamifu mkubwa na kupata maelekezo yote ya namna ya kutumia popote ulipo.
Kumbuka kujali afya yako kwani afya ni Mali, uzito uliopitiliza una madhara mengi kiafya na watu wengi wanapoteza maisha kutokana na magojwa yanayotokana na uzito uliozidi na lifestyle kwa ujumla .
Follow us on Instagram
27/09/2020
Clean 9 ni program ya siku 9 ya kuondoa taka mwili mwilini na kupunguza uzito.
Watu wengi waliotumia hii program kwa usahihi wanapata matokeo mazuri sana.
Je wewe unasubili nini kuanza safari yako.?
27/09/2020
Jaman angalia alivyokuwa na mkono mkubwa na tumbo 😃😃😃. Mkono k**a paja😃😀😀.
Ila sasa hivi kashavipunguza vyote. The power of the
05/08/2019
Another feedback from our customer, 5 kg down in just 9 days, the power of
05/08/2019
A healthier lunch
05/08/2019
25/06/2019
KUJINYIMA KULA SIO NJIA SALAMA YA KUPUNGUZA UZITO/ NI HATARI SANA KWA AFYA YAKO
Kuna wengine wanadhani ili kupunguza kitambi au unene dawa ni kujinyima kula au kushinda na njaa jambo ambalo si sahihi. .
Madhara ya kujinyima kula ni kukosa viini lishe katika mwili, hali inayosababisha kudumaa na uchakavu wa mwili yaani nuru kupotea kisha kuwa k**a mgonjwa.
Mtu anaejima kula Ili apungue anaweza akanguka ghafla hata akiwa anatembea, kuhisi kizunguzungu kwani mwili unakuwa dhaifu kwani unakuwa umenyimwa virutubushi ambacho mwili unahitaji kwa kujenga misuli na mwili kwa ujumla.
Si watu wote wanaweza kujinyima kula kwa sababu huwezi kuizuia njaa. Unaweza kupata hatari ya kushuka kwa sukari ghafla au presha ikashuka ghafla kwa sababu ya kukosa viini lishe muhimu. Kujinyima kula ili kupunguza unene au uzito si njia endelevu, huwezi kujinyima milele.
25/06/2019
JE KUPUNGUZA UZITO IMEKUWA NI TATIZO KUBWA KWAKO. .
Suala la kupunguza uzito imekuwa ni changamoto kubwa kwa watu wengi sana, hii inatokana na lifestyle/ maisha tunayoishi.
Je unapendelea kula vyakula vya aina gani? .
Vyakula Vinavyoongoza Vya wanga k**a ugali, wali, ngano nk vinaongoza kuwafanya watu wanenepe sana bila kujua. .
Wanga ukizidi mwilini unabadilishwa kuwa mafuta, ndio maana unaweza ukakuta mtu ananenepa sana kwa kula wali na ugali.watu wengi wanadhani kula vyakula Vya mafuta peke yake ndio vinawafanya watu kunenepa, la hasha, kuna vitu vingi vinaweza kumfanya mtu akaongeza uzito ikiwemo stress kwa baadhi ya watu.
Kupunguza uzito ni maamuzi, na maamuzi haya yanaanzia akilini Mwako, ukiamini kuwa unaweza kupunguza uzito na kufuatisha baadhi ya mambo inawezekana kupunguza uzito bila shida yoyote. Ukiona ni ngumu na akaaminisha akili yako kuwa ni NGUMU/HAIWEZEKANI basi itakuwa k**a unavyowaza kwani kila kitu kinaanzia akilini. Amini, thubutu, chukua hatua .
uzito
24/03/2019
FAHAMU KUHUSU KITAMBI NA UZITO ULIOPITILIZA
Mwili wa binadamu umeundwa kwa organs na mifumo mbalimbali ili kuuwezesha kufanya kazi sawia. Mfano,
Moyo
Ini
Figo
Mapafu
Mfumo wa fahamu
Mfumo wa uzazi
Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.
Vyote hivi hufanya kazi kwa usahihi ikiwa mwili una balance ya
Mafuta
Sukari
Nishati
Protein
Vitamins
Lakini kutokana na mfumo wa maisha kubadilika kwa kiasi kikubwa, watu wengi inasemekana wankumbwa na tatizo la OVERWEIGHT (Uzito uliopitiliza) na OBESITY (Kitambi). Kwa nini tatizo ni kubwa katika rika zote..!?
1.°° Ulaji wa vyakula vya wanga, k**a ugali wa sembe , chapati.
2.°° Ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi.
3.°° Ulaji wa nyama nyekundu, kuku wa kisasa na mayai.
4.°° Utumiaji wa beer na soda kwa wingi.
5.°° Mfumo mbaya wa ulaji kwa ujumla.
Madhara yake.® Shinikizo la damu (Pressure).
Kisukari (Diabetes)
Maradhi ya moyo (Heart attack).
Maumivu ya mgongo na joints.
Kiharusi
Maradhi ya mifupa (Osteoporosis)
Nini cha kufanya®
Mazoezi ya viungo ni muhimu sana.
Kuepuka ulaji wa mafuta mengi.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Victoria
Dar Es Salaam