Biolife Herbal Store

Biolife Herbal Store

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Biolife Herbal Store, Health/Beauty, Dar es Salaam.

04/04/2025

LUTEIN ESTER
Ni virutubisho maalumu Kwa ajili ya Afya ya macho vinavyotokana na matunda ya Blueberry.
🫐 Ina saidia kuzuia uharibifu wa macho kutokana na mionzi ya jua.
🫐Afya ya lensi
🫐Kulinda dhidi ya mtoto wa jicho Cataract.
🫐Matatizo ya macho kutokana na uzee.
🫐 Pressure ya macho.
LUTEIN ESTER TZS 40,000/=

Pia waweza tumia Full package ya virutubisho vya macho ambavyo ni:
💚Lutein Ester
💚Ginkgo
💚Omega-3
💚Spirulina

Wasiliana nasi Kwa 0673402024

04/04/2025

DIABETES CAPSULES

💚Ina rekebisha utendaji kazi wa kongosho
💚Inarekebisha kiwango Cha sukari
💚Inaondoa athari za sukari

Ina mchanganyiko wa mimea ifuatayo:
🌲 Astragalus extract
🌲 Bitter melon extract
🌲Pueraria extract
🌲Wolfberry fruit extract
🌲 American ginseng extract
🌲Propolis
🌲Chromium yeast

🙏Full dozi 120,000/=
👍Nusu Dozi 60,000/=

Tupigie 0673402024

24/03/2025

Ginkgo biloba.
Ginkgo biloba, ambayo pia inajulikana k**a mti wa maidenhair, ni mmea wenye historia ndefu na unaotambulika kwa faida zake nyingi za kiafya. Hapa ni baadhi ya faida zake:

🌲 Ina Antioxidants Zenye Nguvu: Ginkgo biloba ina flavonoids na terpenoids, ambazo ni antioxidants zinazopambana na athari za radicals huru mwilini.
🌲 Inaweza Kupunguza Uvimbe: Ginkgo ina uwezo wa kupunguza alama za uvimbe katika hali mbalimbali za magonjwa.
🌲 Inaboresha Mzunguko wa Damu na Afya ya Moyo: Imekuwa ikitumika katika dawa za Kichina za jadi kufungua “njia” za nishati kwa mifumo mbalimbali ya viungo, ikiwa ni pamoja na figo, ini, ubongo, na mapafu.
🌲 Inaweza Kupunguza Dalili za Dementia: Utafiti wa awali unaonyesha kuwa ginkgo biloba inaweza kusaidia kuboresha dalili za dementia.
🌲 Inalinda Dhidi ya Uharibifu wa Selu: Inaweza kusaidia kulinda dhidi ya uharibifu wa tishu na magonjwa.
🌲 Inasaidia Afya ya Macho: Ginkgo inaweza kusaidia kuboresha mtiririko wa damu kwenye macho.
🌲 Inaweza Kusaidia Katika Matatizo ya Akili: Inaaminika kwamba ginkgo inaweza kuboresha kumbukumbu na kazi za utambuzi.

Ni muhimu kutambua kwamba, ingawa ginkgo biloba ina faida nyingi, inapaswa kutumika kwa tahadhari na chini ya ushauri wa mtaalamu wa afya, hasa kwa watu wanaotumia dawa nyingine au wenye hali maalum za kiafya, hivyo ni muhimu kufanya uchunguzi na kushauriana na mtaalamu kabla ya kuanza kutumia ginkgo biloba k**a nyongeza ya lishe. 😊
❤️Wasiliana nasi kwa namba 0673402024

12/03/2025

CORDYCEPS CAPSULES

Hii ni dawa ya asili inayopatikana kwa mimea inayop atikana nchini china pekee.

Majani haya hujulikana k**a MAJANI YA MAAJABU KUTOKA MBINGUNI.
(Magic glas from heaven)

Ustawishaji wa majani haya ya cordceps sinensis hushangaza wengi maana hata upatikanaji wake ni shida kwani gharama ya majani haya ni sawa na thahabu kwa jinsi yalivyo adimu.
Hivyo bei ya majani haya ni kubwa sana kutokana na uadimu wake kupatikana porini.

KAZI YA CORDCEPS

1. Inarudisha afya ya mfumo wa hewa.

Hiii ni kwamba, inaondoa alergy yoyote inayopelekea kubanwa kifua k**a watu wenye asthma na wenye mafua na vikohozi sugu.
Inapanua njia za mapafu na kukufanya upumue bila kutumia nguvh nyingi kwa watu wenye matatizo ya kifua kubana.

2. Inaboresha,inarudisha na kuongeza kinga ya mwili.
Inafaa kwa watu wote maana inauwezo mkubwa wa kufanya mwili uzalishe andibodies (kemikali za mfumo wa kinga mwilini) hizi huenda kupambana na kuwa mlinzi wa mwili wako usishbuliwe na magonjwa ovyo. Pia inaongeza wingi wa seli za mfumo wa kinga, Natural killer cells na mwili wako siku zote unakuwa wenye afya.

3. Inarudisha afya na kutibu ini na figo ambalo limeathiriwa kwa sumu mbali mbali na dawa mbali mbali za kemikali ambazo hufanyiwa kazi kwenye ini, paracentamol, dawa za hiv, dawa za fangus, dawa za TB nk

4. Inaongeza uwezo wa mwili kuzalisha nishati ya mwili kwenye mitochondia za seli. Hufanya mwili wako kuwa wenye nguvu muda wote, na kuondoa uchuvu usio na sababu. Pia inapunguza matumizi mengi ya oxygen kwenye moyo, hivyo moyo wako utafanya kazi katika mapigo sahihi.

Dawa hii inapatikana katika mfumo wa kisasa wa vidonge.

Dose moja inavidonge 60.

Karibuni Biolife ujipatie dawa hii yenye maajabu yake.

NOTE: Dawa hii ikumbukwe ni mimiea asili haina kemikali, mtu yeyote anastahili kutumia ili kujikinga,kutibu na kuboresha mwili wake.
Dar es salaam 0673402024

22/02/2025

MKOMBOZI
Bei: TZS 20,000/= kwa chupa, dozi ni chupa tatu.
Dawa nzuri kwa wagonjwa wa pressure
Inatibu
🧽Kuondoa mafuta kwenye mishipa ya moyo.
🧽shinikizo la damu ( BP), pressure ya kupanda na kushuka.
🧽Kuondoa uchomvu, inaongeza stamina na kuupa mwili nguvu.
🧽 Maumivu ya kichwa pamoja na kipanda uso.
🧽Huondoa uvimbe kwenye mishipa ya damu
🧽Kutoa sumu mwilini.

Matumizi:
🔖Vijiko vinne ( 4) asubuhi, na vijiko vinne ( 4) jioni.

INAPATIKANA:
🏢Dodoma Makole National house 0676 025 526
🏢Dar es salaam Goba njia nne, 0688820050
🏢Arusha Kaloleni Mnara wa mwenge karibu na CCM mkoa.
💚Mwanza Buhongwa opposite na geti ya Buhongwa secondary 0682034530.
💚 Morogoro round about ya Masika 0784397001
💙 Zanzibar Darajani Maduka ya simu 0779477004
🟢 Mbeya Soweto Kona ya Uhai 0741788718

18/02/2025

PROPOLIS
Hili ni moja wapo ya zao la nyuki k**a ilivyo kwa Asali ambapo limekuwa na faidia kubwa kiafya.
Propolis inatokana na mchanganyiko wa mate ya nyuki, ute ute wa mimea na ntaa ( beewax) ambayo utengeneza mchanganyiko wenye rangi ya kahawia ( brown) 🤎.

Historia inaonesha imekuwa ikitumika kwa zaidi ya miaka elfu 4 iliyo pita k**a tiba.
🌟Wagiriki waliotumia katika kutibu majipu.
🌟Wasiria waliotumia katika kutibu Vidonda na mivimbe ya njee na ndani ya mwili, pia katika kupambana na mqambukizi sugu mbalimbali.
🌟Wa Misri ( Ancient Egypt) walitumia katika kutunza maiti za wafalme wao mafalao zisioze na Hadi Leo miili ipo vizuri k**a kumbukumbu.

KIFUPI 🔎
✏️Inasaidia kutibu maambukizi sugu, UTI, PID , GONO
✏️Kutibu Vidonda visivyo pona kwa haraka, Vidonda vya Tumbo, Vidonda visivyo tokana na sukari.
✏️Kutibu na kupunguza makali Saratani zote.
✏️ Kuimarisha afya ya moyo.
✏️Magonjwa ya mishipa ya gahamu k**a:
💜Kupoteza kumbukumbu ( Dementia).
💜Kutetemeka (Parkinson's disease)

💚Kuimarisha Kinga kwa magonjwa ya autoimmune ( Kinga ya mwili ndio askari wa mwili).
💚Inazuia maambukizi ya bacteria 🦠. Mara kumi ( x 10). Kuliko antibiotics za kawaida.

💚Inazuia maambukizi na kutibu maambuki ya VIRUSES.

💚Inazuia na kutibu FANGASI.

💚Inazuia mivimbe na kutibu Vidonda pamoja na saratani.

💚Inatibu magonjwa ya zinaa vizuri sana ( Ge***al herpes, Ge***al warts).

💚Inatibu mafua na Vidonda vya koo.

💚Inasaidia matatizo ya kutoshika ujauzi kwa mwanamke pamoja na Chango ( endometriosis).

WASILINA NASI KWA NAMBA:
🛑Arusha Kaloleni mnara wa Mwenge 0766607688
🛑Dar es salaam Goba njia nne 0688820050 na 0673402024
🛑Dodoma Makole national house 0676025526
🛑Mbeya Soweto Kona ya Uhai 0741788718
🛑Morogoro Masika 0784397004
🛑Mwanza Buhongwa opposite na geti ya Buhongwa secondary 0682034530
🛑Zanzibar Darajani Maduka ya simu 0779477004

12/02/2025

MKOMBOZI
Bei: TZS 20,000/= kwa chupa, dozi ni chupa tatu.
Dawa nzuri kwa wagonjwa wa pressure
Inatibu
🧽Kuondoa mafuta kwenye mishipa ya moyo.
🧽shinikizo la damu ( BP), pressure ya kupanda na kushuka.
🧽Kuondoa uchomvu, inaongeza stamina na kuupa mwili nguvu.
🧽 Maumivu ya kichwa pamoja na kipanda uso.
🧽Huondoa uvimbe kwenye mishipa ya damu
🧽Kutoa sumu mwilini.

Matumizi:
🔖Vijiko vinne ( 4) asubuhi, na vijiko vinne ( 4) jioni.

INAPATIKANA:
🏢Dodoma Makole National house 0676 025 526
🏢Dar es salaam Goba njia nne, 0688820050
🏢Arusha Kaloleni Mnara wa mwenge karibu na CCM mkoa.
💚Mwanza Buhongwa opposite na geti ya Buhongwa secondary 0682034530.
💚 Morogoro round about ya Masika 0784397001
💙 Zanzibar Darajani Maduka ya simu 0779477004
🟢 Mbeya 0741788718

11/01/2025

FAIDA ZA UYOGA MWEKUNDU.

Uyoga mwekundu, au Ganoderma, ni Uyoga wa maajabu sana, unajulikana kwa faida zake za kiafya. Hebu nikupe orodha ya baadhi ya mambo muhimu kuhusu uyoga huu mwekundu:

🔰Kuongeza Kinga ya Mwili: Uyoga mwekundu husaidia kuimarisha kinga yako ya mwili. Inaweza kusaidia mwili wako kupambana na magonjwa na maambukizi.
🔰Kupunguza Uchovu: Kwa wale wanaosumbuliwa na uchovu, uyoga huu unaweza kusaidia kuondoa hali hiyo na kukupa nguvu zaidi.
🔰Kudhibiti Shinikizo la Damu: Watu wenye shinikizo la damu au presha wanaweza kunufaika na matumizi ya uyoga mwekundu.
🔰Kupunguza Kiwango cha Kolesterol: Uyoga huu husaidia kupunguza kiwango cha lehemu (cholesterol) mwilini.
🔰Kuzuia Kansa: Kuna ushahidi unaonyesha kuwa uyoga mwekundu unaweza kusaidia kuzuia aina mbalimbali za saratani.
🔰Kuondoa Sumu Mwilini: Uyoga huu husaidia kuondoa sumu na taka mwilini.
🔰Kuboresha Afya ya Seli Hai: Inaweza kuimarisha afya ya seli hai za mwili.
🔰Kupunguza Mashambulizi mbalimbali: Maambukizi mbalimbali hasa yutiai, Kwa wale wanaopatwa na maambukizi ya mara kwa mara, uyoga huu unaweza kuwa msaada.
🔰Chanzo cha Virutubisho: Uyoga mwekundu una virutubisho vingi, k**a vile protini.
Kwa hiyo, uyoga mwekundu ni chakula cha kushangaza kinachoweza kuboresha afya yako kwa njia nyingi. Asante kwa kunisikiliza 🍄🌿.
Pia k**a unahitaji vidonge vya Uyoga mwekundu, wasiliana nasi.

K**a umependa makala hii andika Asante, like, share subscribe na tufollow.

0673402024.

12/12/2024

Herbal Gray Hair.

Ni spray kwa ajili ya nywele,
yenye uwezo wa:

💚Kukuza nywele Zinazo katika,

💚Ina anti aging effect, kwa ajili ya kuzuia mvi.

💚Ina imarisha Afya ya nywele.

Ina mchanganyiko wa mimea
ya:.
📌Ganodema,
📌Ginseng,
📌Tangawizi na
📌polygonum mul tiflorum.

❤️ Inapatikana kwa elfu arobaini na Tano.
Wasiliana nasi kwa ajili ya delivery.

💛Bei: TZS 45,000/=

Zinapatikana:
💜Arusha kaloleni mnara wa mwenge 0766607688
💜Dar Goba njia nne 0673402024
💜Dodoma Makole National house 0676025526
💜Mbeya Kabwe Nyuma ya GR Confort Hotel 0741788718
💜Mwanza Buhongwa 0682034530
💜Morogoro Round about ya masika 0784397001
💜 Zanzibar Darajani Maduka ya simu 0779477004

11/12/2024

WARTS REMOVAL CREAM

Hii ni cream maalum kwa ajili ya kutoa Sunzua za aina mbalimbali.

Matumizi:
💚Unapaka sehemu zenye sunzua Asubuhi na jioni mara baada ya kuoga au kuosha sehemu yenye sunzua kwa maji ya moto:

Angalizo:
❌ Husiweke machoni Wala ndani ya sehemu za Siri.

💜Arusha kaloleni mnara wa mwenge 0766607688
💜Dar Goba njia nne 06734020224
💜Dodoma Makole National house 0676025526
💜Mbeya Kabwe Nyuma ya GR Confort Hotel 0741788718
💜Mwanza Buhongwa 0682034530
💜Morogoro Round about ya masika 0784397001
💜 Zanzibar Darajani Maduka ya simu 0779477004

10/12/2024

HAIR REMOVAL SPRAY
PANSLY
🔰Spray maalumu kwa ajili ya Kuondoa Nywele sehemu mbalimbali bila kuleta miwasho wala vipele.
🔰Ni salama na rafiki wa ngozi aina zote:

Matumizi:
🔴Spray na pakaa sehemu ya nywele au vinyweleo unapotaka Kuondoa.

💚Kaa kwa muda wa Dakika 8 Hadi 15 Kisha itoe, ifute na unawe, itaondoka na vinywelea.

💚 Ujazo: 100 mls

💚Bei: TZS 30,000/=

Tupigie 0673402024

09/12/2024

LIVER DETOX

Dawa ya mitishamba maalum kwa ajili ya kutoa sumu kwenye Ini na mwilini.

Ini ndio kiungo kikubwa mwilini na chenye kazi zaidi ya mia Moja mwilini.
Ila kazi kubwa ya Ini ni kuchuja na kupunguza sumu mwilini kabla hata ya kuenea sehemu zingine k**a kwenye Figo.

🌞Liver detox pia Inatibu magonjwa ya Ini k**a homa za Ini ( hepatitis).

🌞Ina rekebisha utendaji kazi wa nyongo na kutoa mawe ( gall stones).

🌞Ina rekebisha seli za kongosho na kurekebisha kiwango Cha sukari.

🌞Ina tibu malaria sugu.

Viungo vya mimea vilivyomo: Milk thistle, Dandelion root extract.

Wasiliana nasi kwa namba
💚Dar es salaam Goba njia nne 0673402024 na 0688820050
💚Arusha Kaloleni mnara wa mwenge, 0766607688
💚Mwanza Buhongwa opposite na geti ya Buhongwa secondary 0682034530
💚Dodoma Makole National house 0676025526
💚Morogoro Round about ya masika 0784397001
💚Mbeya Kabwe Nyuma ya GR Confort Hotel 0741788718
💚Zanzibar Darajani Maduka ya simu 0779477001

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Culinary Team

Attire

Website

Address


Dar Es Salaam