witty health care

witty health care

Share

Tunatoka huduma mbalimbali za afya na kutoa ushauri nasaha

13/09/2024

Suluhisho -na- Witty health care.Ujumbe mhimu kwa wanawake wote!! Uvimbe Sasa Basi...!

Kwa Sasa changamoto kubwa na kero kubwa sana kwa wanawake ni Uvimbe na saratani ya shingo ya kizazi,

Inawezekena ukawa miongoni mwa wanawake waliotumia gharama kubwa sana katika Katika kutibu Uvimbe na saratani ya shingo ya kizazi lakini hujapata matokeo sahihi

Usijali Leo ni mwisho wa changamoto yako!!

Inawezekena unatokwa na uchafu Sehemu za Siri,hupati ujauzito,hedhi kuvurugika na umetumia Dawa lakini hujapona!!!

Kwa huduma ya ushauri na matibabu wasiliana nasi 0746277240/0778497250

13/09/2024

KARIBU *witty health care
Ukiwa Unachangamoto ya Magonjwa ya Mfumo wa uzazi Au una Ndugu mwenye changamoto ya Mfumo wa uzazi Au Unadalili ya Maambukizi ya Mfumo wa uzazi Kwa Mda Mrefu Bila kupata Matibabu Sahihi.
Tunatoa Ushauri na Matibabu Bora kwa Punguzo la Asilimia 35% kuanzia Mwezi Huu September-9 Mpaka October-10.
1.Pelvic Inflammatory Diseases(P.i.d)

2.Vaginal Candidiasis(Fangasi ukeni)

3.Uterine Fibroids(Uvimbe Kwenye Kizazi)

4.Ovarian Cysts(Uvimbe kwenye Mayai)

5.Genital warts(Maotea Kwenye Kizazi)

6.Hormonal Imbalance (Mvurugiko wa homoni)

7.Upungufu wa Nguvu za kiume

8.Bawasiri( Hemorrhoid)

9.Madonda ya Tumbo(Peptic ulcer disease)

☞Tupigie Au chati nasi WhatsApp kwa Ushauri na Matibabu sahihi kupitia Simu Nambari
0746277240/0778497250

* Witty health care *
"Tunajali na Kuthamini Afya yako"

13/09/2024

FAHAMU KUUSU P.I.D

P.I.D
inflammatory desease
Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu zifuatazo:-
Matumizi ya antibiotics Kwa wingi, kimsingi matumizi haya huuwa bacteria wote, hivyo wanapokufa unakosa ulinzi wa bacteria wa kupambana na maambukizi.
ujauzito ikiwa ni pamoja na kujifungua. Pia sababu nyingine ni matumizi ya condoms na kufanya ngono zembe.
DALILI ZA UGONJWA WA PID
1️⃣Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2️⃣Kuwashwa sehemu za siri
3️⃣Uke kutoa harufu mbaya
4️⃣Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
5️⃣Uke kuwa wa ulaini sana
6️⃣Maumivu wakati wa tendo la ndoa
7️⃣Kuvurugika Kwa hedhi
8️⃣Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9️⃣Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
🔟Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula

MADHARA YA PID
•Ugumba
•Kansa ya shingo ya kizazi
•Mirija ya uzazi kuziba
•Majeraha kwenye mirija ya uzazi

MATIBABU
.i.d inatibika na kupona Kwa haraka

N.b - pia maradhi ya mfumo wa uzazi wa mwanamke yamekuwa Mengi ukiona unasumbuliwa na matatizo haya usisite kuwasiliana nasi
* Fungus sugu ukeni
* U.t.i mara kwa mara
* Tatizo la kutopata hedhi kwa wakati
* Maumivu wakati wa hedhi
* Vimbe kwenye kizazi
* Mirija ya uzazi kuziba
* Kutobeba ujauzito
* Kutokwa na uchafu na majimaji yenye harufu ukeni ..
#
Tiba ipo unapona kabisa bila kujirudia
Kwa mawasiliano zaid na ushari juu ya afya 0746277240/0778497240

31/08/2024

1-Hutibu U. T. I SUGU
2-Hutibu FANGASI SUGU UKENI
3-Hutibu PID(Maambukizi katka nyonga)
4-Hutibu STI(kaswende,gonorea n. K)
5-Huondoa miwasho ukeni
6-Huondoa uchafu utokao ukenj wenye harufu mbaya
7-Huzibua mirija ya uzazi na kuipa nguvu
8-Huimarisha vifuko vya mayai

NI DOZI YA WIKI 3 MABADILIKO NDANI YA SIKU 3 - 7
NI DAWA BORA NA RAFIKI KWA AFYA YAKO
kwa mawasiliano zaidi 0746277240

30/08/2024

Ni dawa ambayo :
1-Hutibu uvimbe wa kizazi(FIBROIDS)
2-Hutibu vivimbe kweny vifuko vya mayai(OVARIAN CYST)
3-Huondoa maumivu ya kutokana na uvimbe
4-Huzibua mirija ya uzazi
5-Huweka kinga ya saratan ya kizazi
6-Huondoa na kukausha maji maji katka vimbe
7-Hutibu vimbe za aina yote na ukubwa
Ni dozi ya siku 30 inavidonge 60 vinatumika vi2 kila siku asubuh matokeo ndan ya siku 3 - 7
NI DAWA BORA NA RAFIKI KWA AFYA YAKO
kwa mawasiliano zaid 0746277240

30/08/2024

DAWA YA UVIMBE KATIKA KIZAZI/MFUKO WA UZAZI(OVARIAN CYST)

Ni dawa ambayo :
1-Hutibu uvimbe wa kizazi(FIBROIDS)
2-Hutibu vivimbe kweny vifuko vya mayai(OVARIAN CYST)
3-Huondoa maumivu ya kutokana na uvimbe
4-Huzibua mirija ya uzazi
5-Huweka kinga ya saratan ya kizazi
6-Huondoa na kukausha maji maji katka vimbe
7-Hutibu vimbe za aina yote na ukubwa
Ni dozi ya siku 30 inavidonge 60 vinatumika vi2 kila siku asubuh matokeo ndan ya siku 3 - 7
NI DAWA BORA NA RAFIKI KWA AFYA YAKO
kwa mawasiliano zaid 0746277240

30/08/2024

*Maotea sehemu za siri-Genital warts*
✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿
⚫Maotea sehemu za siri ni aina mojawapo ya aina ya ugonjwa wa zinaa unaotokea si kwa nadra sana na huambukizwa kwa njia ya zinaa. Nusu ya wanao jihusisha na ngono mara kwa mara haswa isiyo salama hupata maambukizi ya virusi hawa kwenye kipindi fulani katika maisha yao. Wanawake wana patwa sana na maotea haya kuliko wanaume.

⚫K**a jina lilivyo maotea haya hudhuru sehemu za siri zilizo na umande kwenye maeneo ya siri. Maotea haya huweza kuonekana k**a kitu mwinuko mdogo mrefu au kuwa na umbo la uwa lililosambaa. Kwa watu wengi huwa na umbo dogo sana na kuonekana kwa shida.

⚫K**a maotea yanayoweza kutokea sehemu yoyote ya mwili maotea sehemu za siri husababishwa na maambukizi ya kirusi cha *Human papilloma (HPV).* Baadhi ya aina ya virusi hawa huweza kusababisha saratani za aina nyingi k**a *saratani ya shingo ya kizazi.* Kuna chanjo pia ya kuzuia kupata baadhi ya virusi hawa wa *HPV.*

*Dalili*
✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿
⚫Kwa wanawake maotea sehemu za sili huweza kukua kwenye kuta kati ya haja kubwa na uke, kwenye haja kubwa, kwenye uke na kwenye shingo ya kizazi. Kwa wanaume hukua kwenye kwenye kichwa au mpini wa uume, kwenye pumbu, au nje ya njia ya haja kubwa. Maotea sehemu za siri huweza kutokea kwenye mdomo au koo kwa mtu aliyekuwa akishiriki ngono kwa njia yam domo na mtu aliye na virusi hao.

*Dalili huwa pamoja na;*
✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿
⏩Uvimbe mdogo, mbichi rangi ya kijivu kwenye sehemu za siri
⏩Maotea mengi kwa pamoja yanayotengeneza umbo la ua
⏩Kuwashwa na kujihisi vibaya kwenye maeneo ya siri
⏩Kutokwa na damu wakati wa kujamiiana

⏩Mara nyingi, maotea sehemu za siri huweza kuwa madogo sana na haiwezekani kuonekana kwa macho. Wakati mwingine huweza kuwa makubwa zaidi na kuwa kwenye mkusanyiko.

*Kisababishi Cha Maotea sehemu za siri*
✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿
*Kirusi cha human papilloma (HP)* husababisha maotea sehemu za siri. Kuna *aina zaidi ya 40* ya kirusi huyu wanaodhuru sehemu za siri.

Kirusi huyu huambukizwa kwa njia ya zinaa, kwa kawaida mtu anakuwa na kinga ya mwili nzuri ya kuwaua virusi na mara wanapo mwili mgonjwa hutapata dalili na viashiria vyake. Baadhi ya watu walio na kinga ya mwili ya chini kwa sababu mbalimbali huweza kupata maaambukizi haya na kuota vinyama sehemu za siri.

*Vihatarishi/Visababishi vya tatizo la Maotea sehemu za siri*
✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿
⚫wanawake wanaoshiriki ngono hupata maambukizi wakati Fulani kwenye maisha yao. Baadhi ya vihatarishi ni k**a

⏩Kushiriki ngono na wapenzi wengi pasipo kutumia kondomu
⏩Kuwa na historia ya kuumwa magonjwa ya zinaa
⏩Kuwa na mpenzi ambaye hujui historia yake ya mapenzi
⏩Kuanza kushiriki mapenzi kwenye umri mdogo

*Madhara*

*Madhara yanaweza kuwa;*

⏩ *Saratani-* Saratani ya shingo ya kizazi imekuwa ikihusishwa na maambukizi ya baadhi ya virusi vya *HP,* aidha aina kadhaa ya saratani k**a saratani ya uke, njia ya haja kubwa, uume na saratani ya kinywa na koo huchangiwa na kirusi huyo pia. Kirusi cha *HPV* sio mara zote husababisha saratani lakini ni muhimu kwa wanawake kuwa na utaratibu wa kupima kipimo cha *pap smear,* haswa ukiwa umeambukizwa na kirusi huyu.

⏩ *Matatizo katika ujauzito-* Maotea ya sehemu za siri huweza kusababisha matatizo wakati wa ujauzito k**a ugumu kukojoa, kwenye mlango wa uke huweza kusababisha mtoto kushindwa kutoka wakati wa kujifungua kwa sababu hudhuru utanukaji wa tishu za mlango wa uzazi, kutokwa na damu sana endapo vimbe zitachanika wakati wa kujifungua

⏩Mara chache, mtoto anayezaliwa na mama mwenye maotea sehemu za siri huweza kupata maambukizi hayo kwenye koo.

*Vipimo na uchunguzi*
✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿
⚫Kwa sababu ni vigumu kutambuwa vinyama vidogo sana sehemu za siri, daktari anaweza kupaka dawa kwenye maeneo hayo ya siri ili kufanya vinyama view vyeupe ili kuchugulia kwa kutumia hadubini maalumu.

⚫Vinyama vilivyo kuwa zaidi huonekana kwa macho na mara nyingi mtaalamu wa afya hata hitaji vipimo zaidi ili kutambua.

⏩ *Kipimo cha pap*
Kwa wanawake ni vema kuwa na kipimo hiki kila baada ya muda fulani kupita, kipimo hiki kinaweza kusaidia kutambua mabadiliko yanayo sababishwa na kirusi huyu kwenye uke na shingo ya kizazi mapema zaidi yanayo ashiria dalili za awali za saratani ya shingo ya kizazi. Kujua kipimo hiki kinavyo fanyika soma makala ya saratani ya shingo ya kizazi katika mtandao wetu.

*Kipimo cha kirusi cha HP*
⚫Sehemu tishu za shingo ya kizazi huchukuliwa na kupimwa wakati wa kipimo cha *pap smear* ili kutambua aina ya kirusi.

⚫Kipimo hiki kwa sasa kimehifadhiwa kutumika kwa wanawake wenye umri wa *miaka 30* na zaidi. Hakitumiki sana kwa umri mdogo kwa sababu kinga zao za mwili huua virusi hawa bila matibabu yoyote ya dawa.

*Matibabu na dawa*
⚫ Endapo dalili zako zinahusisha kuwashwa, kuungua na maumivu au k**a maoteo yanaonekana makubwa huweza kusababisha mtu kujihisi vibaya. Hapa natakiwa kukupa matibabu ya dawa ambazo ni Pure& broken Ganodema spores, feminine cleanser na Zaminacal plus, hata unashauriwa kutumia vidonge hivyo kwasababu huongeza Kinga ya mwili kwa haraka na kuufanya mwili kuwa na uwezo wa kuhimili tatizo kwasababu maoteo huweza kujirudia kwa baadhi ya wagonjwa wenye kinga za chini za mwili mara nyingi miezi sita. Watu wenye kisukari, UKIMWI au wanaotumia madwa Fulani yanayoshisha kinga ya mwili hupata hali hii ya kujirudia kwa vijivimbe sehemu za siri.
✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿✍🏿
* KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU 0746277240

29/08/2024

_Habari wapendwa K**a una changamoto ya kukoma hedhi/kupitiliza hedhi/siku za hedhi kuto kuwa na mpangilio maalum mara na ukienda hospital mnapewa majiraa kiufupii majiraaa sio mazur haswaa kwa mwanamke ambao hawana mtoto hata mmoja itokee tu emergency lakini majiraa sio mazur kwa kurudisha period kwa sababu majiraa kuna muda yanasababisha damu ya period itoke mabonge bonge mfano mdogo kuna mdada aliwahi tumia majira kwa sabab ya kutoa hedhi kilichotokea alikaa miez 6 bila ya kupata hedhi_
K**a una changamoto ya kukoma hedhi/kupitiliza hedhi/hedhi haina mpangilio maalum na unapata maumivu makali wakati wa hedhi kwa lengo la ushauri na tiba kwa mawasiliano zaidi 0746277240

29/08/2024

ZIJUE DALILI ZA HORMONE IMBALANCE NA MADHARA YAKE

1.Maumivu wakati wa tendo la ndoa
2.Ukavu ukeni
3.Uchovu wa mara kwa mara
4.Kukosa hamu ya tendo la ndoa
5.Homa za usiku
6.Kukosa usingizi
7.Kuharibika kwa ngozi (chunusi au vipele)
8.Kupata hedhi wakati wa ujauzito
9.Maumivu ya kichwa mara kwa mara
10.Kutokupata Choo kwa wakati
11.Kusahau sahau sana
12.Kukosa hedhi kwa mda mrefu/mvurugiko wa tarehe zako za hedhi
13.Maumivu ya tumbo la hedhi
14.Kutokwa hedhi yenye mabonge/kutoona hedhi zako kabisa
15.Kutoona ute wa uzazi
16.Kuwa na hasira za mara kwa mara
17.Kunenepa na kupungua kusiko na sababu n. K

MADHARA YA HORMONE IMBALANCE
👉🏾Endapo utaendelea kubaki na dalili tajwa hapo juu bila tiba ya uhakika madhara yake ni k**a; Kuziba kwa mirija ya uzazi Uvimbe (fibroids, cysts) Kutoshika ujauzito kwa mda mrefu/Ugumba Kushuka kwa kinga ya mwili/maabukizi ya mara kwa mara mf fungus,uti n.k Kuzeeka haraka Mimba Kuharibika mara kwa mara/kupata mtoto mwenye mapungufu kiafya n. K

NIPO KWA AJILI YAKO AMUA KUCHUKUA HATUA UPATE SULUHISHO!!
Kwa mawasiliano zaidi 0746277240

29/08/2024

DAWA ANIA YA INFECTION SHIELD
Ni dawa ambayo:
1-Hutibu U. T. I SUGU
2-Hutibu FANGASI SUGU UKENI
3-Hutibu PID(Maambukizi katka nyonga)
4-Hutibu STI(kaswende,gonorea n. K)
5-Huondoa miwasho ukeni
6-Huondoa uchafu utokao ukenj wenye harufu mbaya
7-Huzibua mirija ya uzazi na kuipa nguvu
8-Huimarisha vifuko vya mayai

NI DOZI YA WIKI 3 MABADILIKO NDANI YA SIKU 3 - 7
NI DAWA BORA NA RAFIKI KWA AFYA YAKO
kwa mawasiliano zaidi 0746277240

29/08/2024

DALILI ZA FANGASI UKENI KWA MWANAMKE
1-Kuhisi muwasho sehemu za uke
2-Kutokwa na uchafu ukeni wenye rangi nyeupe k**a maziwa ya mtindi lakini hauna harufu
3-Kuhisi hali ya kuwaka moto ukeni
4-Kuhisi maumivu wakati wa kujamiana
5-Kutokwa na maji maji ukeni yenye harufu kali
6-Vidonda vidogo vidogo/michubuko ukeni
7-Kuhisi miwasho ndani ya uke

DAWA ANIA YA INFECTION SHIELD
Ni dawa ambayo:
1-Hutibu U. T. I SUGU
2-Hutibu FANGASI SUGU UKENI
3-Hutibu PID(Maambukizi katka nyonga)
4-Hutibu STI(kaswende,gonorea n. K)
5-Huondoa miwasho ukeni
6-Huondoa uchafu utokao ukenj wenye harufu mbaya
7-Huzibua mirija ya uzazi na kuipa nguvu
8-Huimarisha vifuko vya mayai

NI DOZI YA WIKI 3 MABADILIKO NDANI YA SIKU 3 - 7
NI DAWA BORA NA RAFIKI KWA AFYA YAKO
kwa mawasiliano zaidi 0746277240

29/08/2024

JUA MZUNGO WA HEDHI NA SIKU ZAKO ZA HATARI
Je unataka kupata ujauzito hizi ndizo njia zitakazo kusaidia kujua siku zako za hatari n zipi

1⃣tambua idadi ya mzunguko wako. Mfano. Siku 30, 32, au 28

2⃣chukua idadi ya mzunguko wa siku zako towa kwa 14
Mfano kwa mzunguko wa siku 30
30-14= 16

Siku ya hatari zaidi kwako n siku ya 16

Lakin pia una weza ukafanya mapenzi siku mbili kabla na hata mbili baada ya siku ya 16

Kwa hiyo siku ya hatari zaidi kwako itakuwa siku hizi

14, 15, 16, 17, na 18

3️⃣tumia ovulation kiti kujua siku yai linapotoka

Kifaa hiki ni rahsi na una pima mwenyewe ukiwa nyumbani.

Kwa mfano; kwa mzunguko wa siku 30...utaanza kupima siku ya 14 mpaka 18

SULUHISHO LA TATIZO LAKO LIPO SASA
Kwa mawasiliano zaidi 0746277240

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Swahili Namakamba
Dar Es Salaam