Ngome Herbs
🌿Tiba. Ushauri na Dawa Asili.
🌿 Natural Remedies, natural health solution and consultation. Call or WhatsApp +255 622 571 856
Shekilango ~ Ubungo NH
12/05/2026
GASTRIA
Dawa Asili ya Vidonda vya Tumbo iliyofanyiwa utafiti na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili kwa zaidi ya Miaka 20.
Inasaidia kutibu Changamoto zifuatazo:
✳️Vidonda Vya Tumbo
✳️ Kiungulia ( Acid Reflux)
✳️ Gesi kujaa Tumboni
✳️ Bakteria aina H.Pylori
✳️ Bawasiri
MATUMIZI
💥Dozi ya kutibu Vidonda Vya Tumbo ni Chupa 10 hadi 20 .
Kila Chupa Moja Ina Ujazo wa 100ml.
Kwa Siku ni 20ml Mara Tatu ( Asubuhi, Mchana na Jioni).
💥Bei ya Dozi ni Tsh. 100,000= kwa Chupa 10
👉🏼Bei ya Chupa moja ni Elfu 10 ( 10,000/=),
Lipia Kwenye Lipa Namba Yetu kupata Bei ya OFA kuanzia Chupa 10 Mpaka 20 kwa Elfu 6( 6000/=) Tu kwa kila Chupa.
Weda ODA Yako Mapema.
VODACOM MPESA
Lipa Namba 35573117
Jina ni NGOME HERBALIFE WORLDWIDE
📍Tunapatikana Shekilango karibu na Ofisi ya Serikali ya Mtaa Ubungo NHC
Tusaidie Kujulisha Ndugu, Jamaa na Marafiki wenye Changamoto za Vidonda vya Tumbo, upatapo Ujumbe huu kuhusu Huduma hii.
Aksante Sana na Mungu akubariki. 🙏🏼
11/07/2025
💥💥💥💥💥💥💥
NIMREVIT ni Juice Lishe ya Asili kwa Afya Bora
Imetengenezwa na Kituo cha Serikali cha
Tafiti za Tiba Asili (NIMR),
NIMREVIT ni Juice lishe ya asilia inayosaidia:
✅Kuboresha mzunguko wa Damu.
✅Kuimarisha Afya ya Moyo na Mishipa ya Damu.
✅Kuondoa Uchovu na kuimarisha Viungo vya Mwili.
Chagua NIMREVIT kwa Afya Bora, Kinga ya Mwili,
na Maisha Yenye Nguvu.
Katoni Moja Chupa 12 ( 500ML)
Kila Chupa ni 3000/= Tshs.
Jumla ni 72,000/=
👉🏼 Free Delivery Kwa Dar es Salaam na Miji Mikuu Tanzania Bara na Zanzibar Mjini.
Oda ni Siku za Kazi ( Jumatatu Mpaka Ijumaa)
Weka Oda Yako Mapema Saa 24 Kabla ya Usafirishaji.
Malipo ni Kwa Benki Akaunti au Lipa Namba zetu.
WOTE MNAKARIBISHWA
Mjulishe na Mwingine.🙏🏼
10/07/2025
JIPATIE KINYWAJI TIBA LISHE CHA MORIZELLA JUICE KUTOKA MUHIMBILI KUBORESHA AFYA YAKO
Morizella Juice Sugar Free ( Bila Sukari) ni Suluhisho la Chimbuko la Magonjwa Sugu yasiyoambukiza yanayotokana na Ulaji wa kupindukia wa vyakula vya wanga, Sukari,, Pombe, Chumvi nyingi na Mafuta mengi katika mfumo wa maisha na kuchangia kusababisha Uzito mkubwa, Kisukari, shinikizo kubwa la damu, cholesterol nyingi katika damu , kuziba kwa mishipa ya damu kwa mafuta , uric acid nyingi , mvurugiko wa homoni za uzazi kwa Wanaume na Wanawake , Tezi dume kuvimba nakadhalika..
Morizella juice imeandaliwa kitaalam kwa majani ya Moringa oleifera na Hibiscus sabdarifa,
ZIFUATAZO NI FAIDA ZAKE KIAFYA:;
✓ Ina kiwango kikubwa cha Vitamin C , hujenga kinga ya mwili na kulinda Seli za mwili zisiharibiwe na msongo wa sumu mwilini unaosababisha magonjwa sugu.
✓Ina kiwango kikubwa cha Micronutrients, Huongeza kiwango cha Umetaboli (metabolism) kudhibiti Uzito mkubwa na magonjwa yasiyoambukiza
✓Ina Madini ya Potassium husaidia kushusha shinikizo kubwa la damu(presha)
✓ Hudhibiti kiwango kikubwa cha sukari katika damu na kusaidia kutumika kwa mafuta mengi yaliyohifadhiwa mwilini na kudhibiti mlolongo wa magonjwa ya lishe k**a kisukari,magonjwa ya moyo,figo,presha ya kupanda, mvurugiko wa homoni za k**e na kiume n.k
✓Huzuia Uharibu wa Ini kutokana unywaji wa kupindukia wa pombe na uwepo wa mafuta mengi(Fat liver disease)
✓Ina Madini ya Calcium husaidia kujenga Mifupa
✓Ina madini ya Chuma husaidia utengenezaji wa chembe nyekundu za damu hasa kwa wajawazito na wenye upungufu wa damu.
✓Ina Vitamin A huimarisha mfumo wa kinga kwa watoto na kuwasaidia katika ukuaji wao kiakili na kimwili
BADILI MTINDO WA MAISHA , BORESHA AFYA NA MORIZELLA JUICE SUGAR FREE
Inapatikana katika chupa ya millilita 500 na katoni ya chupa 12.
MATUMIZI
Kunywa Wastani wa chupa Moja au Mbili kwa siku kila siku au mara kwa mara kwa afya.
KWA WENYE MAGONJWA SUGU
Tumia chupa 2 kila siku kwa siku 30 hadi 90
Chupa Moja ni sh 3000
Katoni Moja ya Chupa 12 Bei ni 36,000/=
Tunafanya Delivery na kutuma Miji Mikuu,
Weka Oda Yako Mapema Saa 24 Kabla ya Huduma.
MAWASILIANO :
Whatsapp Business +255 622 571 856
Ngome Herbalife Worldwide
12/04/2025
MAAJABU 10 YA MORIZELLA JUICE
1. Ina Viini Lishe Muhimu vya Vitamini na Madini.
2.Ina viua Sumu (Antioxidants) husaidia uzalishwaji wa chembe hai mpya kwa haraka na kuimarisha kinga ya kupambana na maradhi
3.Ina Vitamini A
4.Ina Madini ya Pottasium hivyo husaidia kudhibiti kwa haraka presha ya kupanda kwa kutengeneza uwiano mzuri na madini ya sodium (chumvi),pia madini ya Pottasium ndio chanzo cha Mawasiliano ya neva katika Mfumo wa fahamu kwenda katika Misuli.
5.Huongeza kasi ya Mwili kuratibu matumizi ya vyakula vya wanga na Mafuta na hivyo husaidia kuondoa Cholesterol mbaya kwa haraka.
6 .Husaidia mfumo wa usagaji wa chakula kwa kuwezesha kupata choo kizuri na kuondoa gesi bila kusababisha kuharisha.
7.Ina Madini ya Zinc Muhimu Kwa Afya ya uzazi wa Mwanaume
8.Hurekebisha kiwango cha Sukari, Mafuta ya cholesterol na shinikizo la juu la damu kwa kufanya Mwili kutambua homoni ya Insulin
9.Huondoa Aina zote za Utapiamlo unaotokana na Lishe Duni( Under Nutrition) na hatimaye kuondoa vyanzo HATARISHI vya Magonjwa ya lishe k**a Upungufu wa Damu, Cholesterol nyingi katika damu n.k
10.Hurekebisha homoni za Uzazi kwa Wanawake na kusaidia hedhi kutoka kwa mpangilio.
Jipatie Juisi hii Leo kutoka hapa Ngome Herbalife
Kwa Mawasiliano Piga /Whatsapp/ SMS +255622571856
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Shekilango
Dar Es Salaam
16103
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 16:00 |
| Tuesday | 09:00 - 15:45 |
| Wednesday | 09:00 - 16:00 |
| Thursday | 04:00 - 16:00 |
| Friday | 09:00 - 16:00 |
| Saturday | 09:00 - 13:00 |