Happy life

Happy life

Share

Malengo yangu ya mwaka huu ni kusaidia watu wengi zaidi kuishi kwa afya, furaha na kipato endelevu.

17/11/2023

VVU huambukizwa kupitia maji maji ya mwili k**a damu, maziwa ya mama, shahawa na maji maji ya ukeni.

❌ Watu hawawezi kuambukizwa kupitia mawasiliano ya kawaida ya kila siku k**a vile kubusiana, kukumbatiana au kushiriki chakula.

Haya ni baadhi ya mambo unayoweza kufanya ili kuwa salama👇🏼
✅Daima tumia kondomu ya kiume au ya k**e wakati wa kujamiiana
👩🏾‍⚕ Pima VVU na magonjwa mengine ya zinaa mara kwa mara
🗣 Zungumza na mtoa huduma wako wa afya kuhusu hatari zako, na ufuate mwongozo wake

Jifunze zaidi hapa 👇

16/11/2023

Chanzo cha maumivu ya kichwa mara kwa mara;
📌Mawazo
📌Kutofanya mazoezi
📌Unywaji wa pombe
📌Mabadiliko ya vichochezi vya mwili(hormones)
📌Kutokula vizuri(poor diet)
📌Magonjwa k**a homa ya uti wa mgongo
📌Matatizo makubwa ya kiafya k**a uvimbe kwenye ubongo(Brain tumors)
📌Mvutano wa misuli ya mwili
📌Uondoaji wa caffeine MWILINI

*KWA MAWASILIANO ZAIDI*

📞0747489481

15/11/2023

Wasiliana kupata suluhisho.....

31/10/2023

Unapata usingizi vizuri??
Mara ya mwisho kulala masaa nane ni lini??

Kwa suluhisho la haraka nipigie au tuma msg WhatsApp kwa namba hizo chini
👇👇👇

0718593626

23/10/2023

Tembelea page yetu kupata dondoo za afya na suluhisho la changamoto zozote za afya

📞0718593626

23/10/2023

Unadumbuliwa na uchovu kupitiliza???
Karibu ujipatie Powerhouse package kutoka kwetu inayokupa nguvu na ustadi wa kufanya KAZI zako bila wasiwasi.


📞0718593626

23/10/2023

Je,umehangaika sana kupata suluhisho la kuondoakana na chunusi usoni??

tumekuletea bidhaa nzuri sana zilizothibitishwa na bodi ya wanasayandi duniani na zinapatikana kwa bei rafiki kabisa.

Endelea kufatilia page yetu na kuwasiliana nasi kujipatia package Yako


📞0718593626

23/10/2023

Msongo wa mawazo ni moja ya sababu au chanzo cha kupata matatizo ya akili(uchizi). Hivyo unashauriwa kuonana na mtoa huduma wa afya ya akili au saikolojia au viongozi wa dini kutafuta suluhu ya changamoto hizo kabla janga hilo halijaenda nje ya uwezo wako.
Wasiliana nadi kupitia

📞0718593626

18/10/2023

Wacha tuzungumze juu ya msongo wa mawazo!
🙋🏽‍♂️ Msongo wa mawazo ni nini? 💣 Msongo wa mawazo ni hali ya wasiwasi au msongo wa mawazo unaosababishwa na hali ngumu.
📈 Stress ni jibu la asili la binadamu ambalo hutusukuma kushughulikia changamoto na vitisho katika maisha yetu.

🔆 Kila mtu hupata msongo wa mawazo kwa kiwango fulani.
⚠️ Jinsi tunavyoitikia mfadhaiko, hata hivyo, hufanya tofauti kubwa kwa ustawi wetu kwa ujumla.

🗯️ Kwa nini stress ni muhimu?
❤️‍ Msongo wa mawazo huathiri akili na mwili.
✅ Stress kidogo ni mzuri na unaweza kutusaidia kufanya shughuli za kila siku. Msongo wa mawazo mwingi unaweza kusababisha shida za kiafya na kiakili - pamoja na kuongeza hatari ya ugonjwa sugu.

Kujifunza jinsi ya kukabiliana na stress kunaweza kutusaidia kupunguza kulemewa na kutegemeza hali yetu ya kiakili na kimwili.

Tembelea kupata dondoo za jinsi ya kukabiliana na changamoto hii

📞0718593626

18/10/2023

Korosho ni moja ya karanga zenye afya zaidi unazopaswa kuongeza kwenye lishe yako ya kila siku.
Soma faida 5 za kiafya za kula korosho mara kwa mara;
✅Inaimarisha afya ya moyo
✅Inasaidia kupunguza uzito kirafiki
✅Inaboresha mmeng'enyo wa chakula
✅Husaidia mfumo wa kinga ya mwili
✅Nzuri kwa afya ya mifupa

Tembelea kupata dondoo nyingine nyingi za afya na kupata suluhisho la changamoto za afya unazokabiliana nazo

IG
📞+255718593626

18/10/2023
11/10/2023

*FAIDA ZA KIAFYA ZA JUISI YA BEETROOTS*
📌Hupunguza viwango vya shinikizo la damu
📌Huongeza utendaji wa riadha
📌Huongeza Kinga ya mwili
📌Nzuri kwa ngozi yako
📌Inapambana na uchochezi wa kimwili(anti-inflammatory properties)
📌Inaboresha uwezo wa utambuzi(cognitive function)
📌Inakuza afya ya utumbo na kazi zake

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Mbezi
Dar Es Salaam
255

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00