Fahari PADS Tanzania
Fahari pads ni bora kwa kila mwanamke na mabinti wote ||Ni pads za kufua na kuludia tena ||Hudumu zaidi ya miezi 12
Booking: +255 692 403 014
21/12/2018
Fahari pads ni ya kila Binti / Mwanamke
23/10/2018
Habari kubwa sasa hivi kwa kila binti ni ujio mpya wa PADS za KUFUA hizi ni fahari pads zenye uwezo wa kukinga afya ya kila mwanamke Sababu hakuna kemikali iliyotumika kutengenezea pads hizi. Sasa zinapatika ndani ya dar es salam pia tunafanya delivery na kukuletea hadi ulipo
Katika tamasha la WOMEN BAAZER
Naibu spika wa bunge la Tanzania TULIA ACKSON
01/10/2018
KANMAR COMPANY LIMITED Sisi tunajihusisha na utengenezaji wa pads ziitwazo FAHARI PADS kwa watoto wa k**e pamoja na wanawake wote, Pads zetu sisi ni REUSABLE SANITARY PADS (PADS ZA KUFUA) Madhumuni ya kutengeneza pads hizi ni kumsaidia Mwanamke upande wa Afya yake, Mazingira kiujumla, na Kumlinda mwanamke kiuchumi.
+
AFYA YA MWANAMKE
Pads hizi zimetengenezwa kwa vitambaa Laini vyepesi vyenye ubola wa hali ya juu vitamba hivi havina uwezo wa kutunza bakteria Hivo pads hizi zitailinda afya ya mwanamke dhidi ya Magonjwa yote yanayosabishwa na uvaaji wa taulo za k**e,
Kikubwa zaidi Pads hizi katika utengenezaji wake hakuna kemikali ya namna yoyote iliyotumika kuzitengeneza Pads hizi Kwahivo tunaposema tumeilinda Afya ya mwanamke tunauhakika wa Asilimia 100% tumeijali afya yake Binti
+
MAZINGIRA KIUJUMLA
hapa tunamanisha mazingila yake binafsi Pads hizi package yake ni nzuri sana pia ndani ya package kuna kimfuko maalum kwa kuhifadhia pad itakayokuwa imetumika teari kwa ajili ya kubadilisha,
Pia Yanayomzunguka Pads hizi Ni pads za kufua Kwa hiyo haina haja tena ya kuzitupa Ni unavaa Unafua Kisha unavaa tena Kwahiyo pads hizi ni rafiki sana wa mazingira
+
ZINAMLINDA MWANAMKE KIUCHUMI
hapa kwa kawaida tumezoea kila Mwezi mwanamke lazima Anunue pads Kwa tatizo hilo ndipo Kanmar tukatengeneza bidhaa Iitwayo fahari pads kwa hizi pads zetu Utaponunua Pacti moja unauwezo wa kutumia kwa miezi kumi na miwili bili kununua nyingine wala kuharibika Kwahiyo tumefanikiwa kwa kiwango kikubwa kumsaidia Mwanamke kiuchumi.
*
KARIBUNI SANA
+255 692 403 014
01/10/2018
Ewe mzazi ewe mlezi Huu ni wakati wako wa kumkinga binti yako ili apate elimu akiwa na Afya bora .
Fahari pads ni bidhaa bora kutoka Tanzania, Ambazo zimetengenezwa maalum kwa kumuweka mwanamke/Binti salama kipindi cha hedhi yake. *Pad hizi zimetengenezwa kwa vitambaa laini vyenye ubora wa hali ya juu
*Pad hizi ni lahisi kufua na haraka kukauka
*Pad hizi zipo huru kwa mwanamke sababu hazina kemikali yoyote
*Pad hizi hukuacha mkavu mda wote
*Pad hizi hutunza mazingira sababu ni pad za kufua na kutumia tena
*Pad hizi kwa pacti moja unaweza tumia mwaka mzima
Pacti moja zinakaa pad nne (4) ambapo tatu ni za kawaida na moja ni kubwa Pia ndani ya pacti kuna kivuko maalum kwa ajili ya kuhifadhi pad uliyotumia, (BEI YA PACTI MOJA NI SHILINGI EFU KUMI TU 10000) Pia kwa bei ya jumla ambapo zinakuwa pad 12 kwenye box ni (SHILINGI EFU NANE TU) Pia tunakuletea popote ulipo #0692403014 =>Kinga ni bora kuliko Tiba, Ewe Mama ewe binti tumia fahari pads kwa Kuikinga Afya yako
01/10/2018
KANMAR COMPANY LIMITED Sisi tunajihusisha na utengenezaji wa pads za FAHARI PADS kwa watoto wa k**e pamoja na wanawake wote, Pads zetu sisi ni REUSABLE SANITARY PADS (PADS ZA KUFUA) Madhumuni ya kutengeneza pads hizi ni kumsaidia Mwanamke upande wa Afya yake, Mazingira kiujumla, na Kumlinda mwanamke kiuchumi.
+
AFYA YA MWANAMKE
Pads hizi zimetengenezwa kwa vitambaa Laini vyepesi vyenye ubola wa hali ya juu vitamba hivi havina uwezo wa kutunza bakteria Hivo pads hizi zitailinda afya ya mwanamke dhidi ya Magonjwa yote yanayosabishwa na uvaaji wa taulo za k**e,
Kikubwa zaidi Pads hizi katika utengenezaji wake hakuna kemikali ya namna yoyote iliyotumika kuzitengeneza Pads hizi Kwahivo tunaposema tumeilinda Afya ya mwanamke tunauhakika wa Asilimia 100% tumeijali afya yake Binti
+
MAZINGIRA KIUJUMLA
hapa tunamanisha mazingila yake binafsi Pads hizi package yake ni nzuri sana pia ndani ya package kuna kimfuko maalum kwa kuhifadhia pad itakayokuwa imetumika teari kwa ajili ya kubadilisha,
Pia Yanayomzunguka Pads hizi Ni pads za kufua Kwa hiyo haina haja tena ya kuzitupa Ni unavaa Unafua Kisha unavaa tena Kwahiyo pads hizi ni rafiki sana wa mazingira
+
ZINAMLINDA MWANAMKE KIUCHUMI
hapa kwa kawaida tumezoea kila Mwezi mwanamke lazima Anunue pads Kwa tatizo hilo ndipo Kanmar tukatengeneza bidhaa Iitwayo fahari pads kwa hizi pads zetu Utaponunua Pacti moja unauwezo wa kutumia kwa miezi kumi na miwili bili kununua nyingine wala kuharibika Kwahiyo tumefanikiwa kwa kiwango kikubwa kumsaidia Mwanamke kiuchumi.
*
KARIBUNI SANA
+255 692 403 014
Hivi ndivyo ilivyokuwa ndani ya Ufunguzi wa tamasha jipya la ndani ya viwanja vya Life park Dar ES salaam Na mgeni rasmi alikuwa Naibu spika wa bunge la Tanzania Mheshimiwa .ackson
25/09/2018
Huu ndio ukurasa rasmi wa fahari pads kwa upande wa mtandao wa facenook Unaweza tufollow na ku LIKE page yetu
22/08/2018
FURSAA FURSAA FURSAA
Je? wewe ni Mfanya Biashara Mkubwa Au mdogo, je? Wewe ni kijana na Hauna njia yoyote ya kukuingizia kipato. Basi nyote ondoeni shaka Kupitia kampuni ya KANMAR LIMITED Hii ni kampuni inayojishughulisha na utengenezaji wa PADS za Wanawake, Ambapo pads hizi ni Bora zaidi Ni za KUFUA na kutumia tena. Ndani ya BOX moja kuna pacti 12 Ambapo kwa kila pad moja ni sh8000 Ambapo kwa rejareja utauza sh10000. Ubora wa pads hizi ni wa hali ya juu Kikubwa zaidi Pacti moja ya pad ndani zinakaa nne yani tatu za kawaida na moja kubwa(MWANAMKE ANAUWEZO WA KUITUMIA PAD MOJA MWAKA MZIMA BILA KUNUNUA NYINGINE) #0692403014
*Kinga ni bora kuliko Tiba Ewe dada ewe mama Jali Afya yako
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Kinyerezi
Dar Es Salaam