Asili Yetu Afrika

Asili Yetu Afrika

Share

Tunawasaidia wanawake na wanaume kutatua changamoto za uzazi kwa kutumia tiba lishe

Piga simu / Whatsapp +255763872652

Tunawasaidia wanawake na wanaume kutatua changamoto za uzazi kwa kutumia vyakula na mitishamba.
•Kuondoa harufu mbaya ukeni, fangasi, miwasho na P.I.D kwa ujumla

•Kuondoa Vivimbe katika mfuko wa Uzazi (Fibroids & Endometriosis) na Vifuko Vya Mayai (Ovarian Cysts)

•Kuzibua Mirija iliyojaa maji (Hydrosalpinx)

•Kubalansi homoni, kupevusha mayai, ute wa uzazi na hamu ya tendo la ndoa.

•Kutibu athari zilizotokana na Punyeto [Kujichua] kwa wanaume

Piga simu / WhatsApp 0763872652

Karibu

05/06/2026
05/06/2026

Majani Ya Mrehani (Basil Leaves), Unaweza kuyachemsha na kunywa k**a chai, au unaweza kuchuma kiasi, osha na katakata utie kwenye salad yako

Hayo ni majani ya mrehanj ambayo yanasaidia sana kwa msiopata usingizi usiku kwa sababu ya hormonal imbalance (yanasaidia kuondoa stress na kuleta utulivu)

Majani ya mrehani pia yana msaada kwa wenye infammations katika mwili mfano kwa ninyi wanawake wenye fibroids, cysts, kizazi kuvimba, endometriosis n.k

Husaidia kuimalisha seli za mwili pia kuboresha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula

Mrehani pia ni miongoni mwa viambata vinavyotumika kuandaa MIXED HERBS POWDER kwa wanawake wenye changamoto kwenye via vya uzazi ambayo unaipata kwa elfu 46 tu

05/06/2026

Unakuja kula au haya sio mambo yako... 🚶🏾‍♂️

05/06/2026

Baada ya kumaliza period,,, siku zote kabla hujaingia katika siku za hatari, unahitaji zaidi kuwa na uzalishwaji mzuri wa homoni ya FSH, Luteinizing na Oestrogen

Hicho ni kipindi kizuri cha wewe kuamua kupunguza vyakula vya nafaka na kuongeza ulaji zaidi wa Matunda na Mboga za Majani hasa Parachichi, Bamia, Karoti, Kotimiri, Tangawizi na Soya

Kufanya hivyo kutakusaidia katika process nzima ya kuzalisha yai, kulikomaza na kulisafirisha katika mji wa mimba kwa ajili ya kurutubishwa na mbegu ya mwanaume itapofika siku za kubeba mimba (ovulation days)

Nikusihi usikate tamaa katika kutibu hizi changamoto za uzazi, unaweza kuwa na changamoto sugu ila kupitia dondoo hizi nazokushauri kila mara, ukizizingatia utapona vizuri tu

Usiache kuniandikia changamoto yako ya uzazi unayotaka kuitatua, tuma ujumbe wako kwenda WhatsApp namba 0763872652

Ikiwa unahitaji kutatua changamoto za uzazi, unataka kuondoa fangasi, kurekebisha mzunguko wako wa hedhi, kusafisha mirija, kuondoa vivimbe na matatizo mbalimbali ya uzazi, utafute MIXED HERBS POWDER

Ni dawa lishe ambayo imeandaliwa kwa mchanganyiko wa dawa asili za uzazi ambayo

- Inasafisha via vya uzazi.... inasafisha mirija ya uzazi na fuko la uzazi na kuondoa majimaji au uchafu na fangasi kwenye kizazi

-Inaondoa makovu na vivimbe kwenye fuko la uzazi, mirija na kwenye vifuko vya mayai (fibroids, scars and ovarian cyst)

- Kwa kuwa imechanganywa na mrehani ndani yake, dawa hii inawasaidia wanawake kuondoa changamoto ya mvurugiko wa homoni wa wale wasiopata hisia za kufanya mapenzi, tatizo la uke mkavu, period kupishana, maziwa kujaa/kuuma damu ya hedhi kutoka mabonge, utelezi, mayai kutokupevuka n.k....

Dozi hii unaitumia kwa siku 21 mpaka 30

Unaipata MIXED HERBS POWDER kwa Tsh 46,000 tu (Elfu Arobaini na Sita) popote ulipo

Hakuna gharama yoyote ya usafirishaji

Tupo Dar, Machinga Complex mtaa ya KARUME

Kwa mawasiliano zaidi
PIGA SIMU / WhatsApp 0763872652

05/06/2026

Tweets k**a hizi zinatuumiza sana wanaume wengi, ndio maana natoa dondoo kwa wote tunaosumbuka na nguvu za kiume haswa tuliopiga au tunaopiga punyeto

Punyeto imetuathiri saikolojia na kutengeneza mazoea ya uume kupiga goli moja la fasta na kusinyaa..... katika kujitibu inahitaji sana uwe mtu wa kujiamini na kutengeneza mentality ya lazima niendelee na gemu haijalishi nina upungufu wa nguvi za kiume kiasi gani...

Punyeto inadhoofisha misuri hivyo kuimarisha misuri inahitaji kupewa nguvu kutoka kwenye mazoezi na virutubisho na sio kusisimua misuri kwa kupaka madawa ya kubusti kwa muda...

Najua umeshajaribu vitu vingi kujitibu tatizo hili ila na mimi leo nakusogezea baadhi ya mavituzi unayoweza kuwa unayatumia mara kwa mara kadri ya uwezo wako ili kujiweka vizuri zaidi.

* Kunywa maziwa huku unatafuna karanga mbichi/kavu kunasaidia kuongeza shahawa nyingi kwenye tezi yako.

* Kunywa supu ya samaki asubuhi na maziwa fresh au mgando husaidia jogoo (muhogo) kuongezeka umbo lake yaani unene na urefu

* Kula bamia mbichi iliyochovya kwenye Asali mbichi huongeza upumuaji mzuri wa bila kuchoka. K**a unakosa pumzi wakati wa kungonoka na mwenzi wako

* Kumeza kitunguu swaumu na glass ya maji moto kusaidia kuongeza pumzi na mashindo wakati wa kungonoka.

* Kunywa supu ya ng'ombe iliyochanganywa na mbegu za maboga zinaongeza zinc ambayo huimarisha nguvu za kiume.

* Ukinywa kahawa iliyochanganywa na limao + Asali vijiko 4 hadi 6huchangia kufanya tendo la ndoa kwa muda mrefu bila kuchoka

* Ukijipaka mafuta ya mzeituni kwenye viganja vya mkono kisha kupasha viganja vyako kwenye moto na kuanza kuuchua ume wako husaidia kuuvuta na kuunyoosha k**a umepinda na kusinyaa k**a ulipiga sana punyeto na imekuathiri.

Chukua ambayo utaweza kuimudu, utaratibu wa aina hii ndani ya mwezi ni lazima uone matokeo.

K**A UNAHISI TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME LIMEKUWA SUGU NA UNAPENDA KUANDAA DAWA KABISA, BASI JIANDALIE HII DAWA ASILIA KABISA

| Mahitaji |

* Asali mbichi ya nyuki wadogo lita 1

* Tangawizi kubwa nne au sita [osha, menya kisha katakata vipande],

* Vitunguu saumu ujazo wa glass moja [menya vizuri kuondoa maganda yake],

* Unga wa msamitu vijiko nane,

* Unga wa mdalasini vijiko sita mpaka nane,

* Unga wa habat sawda [black seed] vijiko vinne mpaka sita.

Jinsi Ya Kuandaa:

* Chukua tangawizi zako na vitunguu saumu uweke kwenye blenda kisha usage mpaka vyote viwe laini.

* Weka unga wa msamitu, mdalasini na unga wa habat sawda kwenye blenda kisha taratibu huku ukiwa umewasha blenda mimina taratibu asali mbichi ya nyuki wadogo mpaka lita nzima iishe kwa muda wa k**a dakika mbili juisi yako itakuwa tayari.

* Zima blenda na uweke juisi yako kwenye kifungashio safi ikae kwa masaa 6 kisha utaweza kuanza kuitumia.

MATUMIZI YAKE:
Utakuwa ukilamba/kula vijiko viwili asubuhi unapoamka kabla hujala chochote, na usiku utatumia tena vijiko vitatu kabla ya kulala

k**a una tatizo la uzito mkubwa au unapenda kukata kitambi, hiyo juisi yako ya nguvu za kiume utaitumia kwa kuchukua vijiko vitatu na kuwekakwenye glass ya maji kisha kukamulia kipande cha limau na kunywa.

Nikukumbushe kwamba hii tiba yako ni kwa ajili ya changamoto zako zote za kukosa nguvu za kiume
Kuanzia kwenye kuongeza wingi na ubora wa manii, kuondoa athari zilizookana na upigaji punyeto na kuongeza kiwango cha msisimko wa tendo la ndoa.

Kuna wale ambao tumejichua sana kiasi cha kupelekea uume kunywea, kusinyaa na kurudi ndani kuwa k**a wa mtoto. Unaweza kutumia mafuta ya zeituni, kila asubuhi ukawa unaunyoosha na kuuvuta uume wako kwa kutumia mafuta hayo, yatakusaidia kuinyanyua misuri ya uume iliyodhoofu kwa sababu ya kupiga punyeto, chango au ngiri k**a uliwahi kuwa nayo.

PIA NIMEKUANDALIA DAWA ASILI NA MAFUTA YA KUTIBU KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME

Ni Dozi ya Kunywa, unatumia vijiko vitatu asubuhi na vijiko vitatu usiku kwa siku 25 tu unapona kabisa

Dozi unaipata kwa Tsh 54,000 tu [hakuna gharama ya usafirishaji, ni bure / free delivery popote ulipo]

• Mafuta ya Kunyoosha Uume unapata Bure.

KUAGIZA DAWA, NIPIGIE Simu / au tuma ujumbe WhatsApp namba yangu ni 0763872652

Kila kitu kinawezekana ukiamua kuchuku hatua k**a mwanaume

05/06/2026

V steaming au Kufusha / Kuvukisha Uke ni njia nyingine nyepesi yenye kukusaidia kuondoa tatizo la P.I.D, miwasho sehemu za nje za uke na pia inasaidia k**a una tatizo la kuwashwa maeneo ya mapaja au ya haja kubwa....

Yaani unakuwa unajihisi muwasho kwenye mapaja, mashavu ya uke, kuota vipele n.k

K**a unapitia hii hali na umejaribu njia mbalimbali za kupaka dawa, kuoga dawa na hujapona basi fanya kufusha uke pia.. (Vaginal steaming / Yoni Steaming.)

Njia hii sio ngumu ila inahitaji tahadhari usije kubabua sehemu nyeti

Kila kabila husema lao kuhusu hili ila kwa uzoefu wangu mimea mizuri ya kufusha uke ni majani ya mpera, majani ya mkaratusi, majani ya mzambarau, majani ya mlimao, majani ya mrehani, majani ya mnanaa, majani ya mshona nguo na majani ya muembe...

Ukipata majani ya mti mmojawapo au yachume japo inapendeza ukipata mchanganyiko wa majani angalau miti mitatu tofauti na kuchanganya pamoja

Chemsha majani hayo kwenye sufuria la maji walau lita tano kisha utaipua na kumwaga maji hayo kwenye ndoo ndogo ya kuogea, itategemea na mwili wako k**a wewe kibonge mwaga kwenye ndoo kubwa ili mradi uweze kuikalia na kujihisi comfortable..

Kaa kwa kujiachia / kupanua yaani kuachanisha miguu ili ule mvuke uwe kuingia kwenye eneo husika... Na inapendeza k**a utajifunika kwa taulo au kanga sehemu ya chini au kwa kuvaa gauni lefu kidogo, lengo mvuke usitoke nje, mvuke wote unaotoka uenee kwenye mapaja, ukeni na eneo la haja kubwa.

Kaa walau kwa dakika 5 mpaka 10 mpaka maji yapoe yaani lile joto liishe... Utanyanyuka na kujifuta tu kisha utaendelea na shughuli zako

Hii haisaidii tu kuondoa fangasi na bakteria ila inasaidia pia kuupa uke harufu nzuri, mnato, na k**a unasumbuliwa na maumivu ya hedhi unaweza kuitumia njia hii pia ukiwa hedhi...

Unaweza kuifanya kwa siku tatu mpaka nne k**a unatibu muwasho na bawasiri, ila k**a utaenjoi kuifanya basi hata kwa mwezi mara mbili sio mbaya.

Usiache kumfundisha na mwingine

Siku ya leo napenda nitoe ofa wote mnaonifuatilia, wanawake nawapa MIXED HERBS POWDER kwa shilingi elfu 38 tu

MIXED HERBS POWDER
Ni dawa lishe ambayo imeandaliwa kwa mchanganyiko wa dawa asili za uzazi ambayo

✓ Inakusaidia kusafisha via vya uzazi yaani inasafisha mirija ya uzazi na fuko la uzazi ili kuondoa majimaji au uchafu na fangasi (P.I.D)

✓ Inakuondolea makovu na vivimbe kwenye fuko la uzazi, mirija na kwenye vifuko vya mayai (fibroids, scars and ovarian cyst)

✓ Kwa kuwa imechanganywa na mrehani ndani yake, dawa hii inakusaidia pia kuondoa changamoto ya mvurugiko wa hedhi k**a unapata tatizo la kukosa hisia, kuwa mkavu ukeni wakati wa tendo, period kupishana, damu ya hedhi kuwa na utelezi, mayai kutokupevuka n.k....
...hakuna gharama ya usafirishaji (free delivery)

Wanaume pia nawapa JUISI na Mafuta kwa shilingi elfu 48 tu
Hii ni package ya kuongeza uzalishwaji wa homoni za kiume ili kuboresha afya ya mbegu na misuri kwa wenye tatizo la kuwahi kumaliza mapema, maumbile dhaifu, uume kusinyaa, kuondoa athari zilizotokana na punyeto

Tupo Machinga Complex, KARUME (Dar) na mkoani tunatuma kwenye Bus

Namba Yetu ya simu / WhatsApp 0763872652

05/06/2026

Kijana kawa mwanaume sasa 💪😀 kikubwa tumfiche asiijue sinza wala riverside

05/06/2026

Maji kwa afya 💦💦💦

04/06/2026

Leo, idadi ya miruko ya kamba leo 1,192 muda uliotumika ni dakika 11 na sekunde 03

Makadirio ya kalori nilizounguza ni 142Kcal

Lucky me..! 💪

04/06/2026

Wapo dada zetu ambao mzunguko wa hedhi zao sio wa kuelewekea, ni aidha awahi siku 2 au 3 au achelewe siku 2 au 3, yaani kwa hesabu za jumla ya mwezi unakuta mzunguko ni wa mwezi huu ni siku 21 ujao ni siku 24 halafu mwezi unaofata unarudi tena nyuma na kuwa 21

Sasa iko hivi, k**a una tafuta mimba na mzunguko wako unaona unacheza kwenye jumla ya SIKU 20 hadi SIKU 25... kutega mimba itabidi kuSEX kwa kurukia siku moja moja kuanzia siku ya 06 hadi ya 12 katika mzunguko wako

K**a unatafuta ujauzito na mzunguko wako unaona unacheza kwenye jumla ya SIKU 25 hadi SIKU 30... Kutega mimba anza kuSEX kwa kurukia siku moja moja kuanzia siku ya 10 hadi ya 16 katika mzunguko wako hedhi
..na k**a unatafuta ujauzito na mzunguko wako unaona unacheza kwenye jumla ya SIKU 30 hadi SIKU 35... Anza kuSEX kwa kurukia siku moja moja kuanzia siku ya 15 hadi ya siku 22 katika mzunguko wako hedhi

Wengi wetu tunasema maisha ni magumu ila pamoja na ugumu ulionao jitahidi kupata milo ya maana k**a parachichi, bamia, karoti, sukumawiki, mbegu za maboga, dagaa, mayai ya kienyeji na chai ya viungo kwa sababu ili yai lipevuke unahitaji homoni ya FSH, LH na Oestrogen ziwe katika uwiano mzuri

Endelea kujifunza pia wafundishe wengine, maana kwenye mambo ya afya ya uzazi tunachohitaji ni maarifa tu, tukishirikiana kwa pamoja haya magonjwa ya uzazi tutayatokomeza vizuri tu...

Leo nina ofa ya bidhaa ya uzazi 👇🏽

Mwanamke | unapata Dawa ya kusafisha mirija, kutoa uchafu kwenye kizazi, makovu kwenye kizazi, maambukizi ya fangasi (P.I.D), kutoa vivimbe na kubalansi homoni kwa Tsh 38,000 Tu

Mwanaume | unapata JUISI na Mafuta- package ya kuongeza uzalishwaji wa homoni za kiume ili kuboresha afya ya mbegu na misuri kwa wenye tatizo la kuwahi kumaliza mapema, maumbile dhaifu, uume kusinyaa, kuondoa athari zilizotokana na punyeto n.k kwa Tsh 48,000 tu

TUNAFANYA DELIVERY BURE, Wasiliana nasi 0763872652

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Machinga Complex
Dar Es Salaam
0702112