Afya Bora Tanzaniq

Afya Bora Tanzaniq

Share

Tunahusika na Afya hasa mfumo Wa uzazi wakiume, uzito mkubwa, vyakula & mazoezi

04/02/2020

IMARISHA AFYA YA UZAZI & BORESHA MAHUSIANO NA MWENZA WAKO NA BIDHAA HIZI
-MACA & +
JE Umekuwa ukishindwa kumridhisha mwenzi wako mpaka kukupelekea kuanza kuwa muoga wa kukutana na mwenzi wako kwa kuogopa kurudia makosa yale yalenchi

KUWAHI KUFIKA KILELENI, KUSHINDWA KURUDIA TENDO, DHAKARI KUWA LEGEVU, KUTOA KIWANGO KIDOGO SANA CHA MBEGU au MBEGU KUWA NYEPESI SANA n.k?
Asilimia kubwa ya Wanaume ambao waliwahi au wanaojihusisha na kujichua hukumbana na tatizo la upungufu wa nguvu za ambapo dhakari huwa ndogo k**a ya mtoto mdogo, Dhakari kusimama lege lege na kuwahi kufika kileleni ndani ya sekunde au dakika chache na pia kushindwa kuendelea na tendo. hii hutokana na mishipa kuwa dhaifu na kupungua kwa hisia ya tendo.
Pia kunasababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo k**a magonjwa k**a Presha, Kisukari, Ngiri, na pia Msongo wa Mawazo, Uzito mkubwa (Over Weight), Kwa upande mwingine vyakula tunavyokula hupelekea mishipa kutopitisha damu k**a inavyotakiwa.
Tumia -MACA na + leo, zitakuondolea kabisa uoga na changamoto zote unazo kutana nazo wakati wa faragha, usikubali matatizo madogo k**a hayo yavunje/kuyumbisha mahusiano yako.

KUMBUKA: Hizi sio DAWA ni Virutubisho (FOOD SUPPLEMENTS)

NI PRODUCTS ASILIA NA SALAMA KABISA KWA MTUMIAJI, HAZINA MADHARA YOYOTE, ZIMETHIBITISHWA NA MASHIRIKA MAKUBWA YA AFYA NA CHAKULA DUNIANI.

Kupata product hizi tuwasiliane ,Tunafanya free delivery popote ulipo Tanzania na nje ya nchi
0762890129whsp/ call
0625530397 call only

+

Photos from Afya Bora Tanzaniq's post 07/01/2020

FAHAMU JINSI YA KUONDOA TATIZO LA MACHO.

Macho ni moja kati ya viungo muhimu sana kwenye mwili wa binadamu ambayo yanamsaidia mwanadamu kutawala mazingira yake.

Jicho ni kiungo ambacho kipo sensitive sana,ambacho kikipata hitilafu kidogo tuu huleta madhara makubwa sana.

Matatizo ya macho yapo mengi na tofauti tofauti,baadhi ya matatizo hayo ni.....
- Vidonda(wounds).
- Maambukizi(conjunctivitis) kupelekea macho kuwasha.
- Pressure ya macho(glaucoma).
- Kukua kwa conjunctiva.
- Kupasuka kwa blood vessels.
- Ukungu.
- Black eyes.

Na sababu kuu za matatizo ya macho ni.
• Upungufu wa lishe(Malnutrition).
• Maambukizi(Infections).
• Allergies
• Pressure ya kupanda(High blood pressure).
• Kisukari(Diabetes).
• Kurithi(heredity problems).
• Maambukizi ya Meno(Tooth infections)
• Kugongwa na kitu kwenye hicho(Trauma).
• Tabia ya kusoma kwenye mwanga hafifu(eyestrain)

Matibabu.
~ Matibabu ya hospital hapo mengi,ikiwemo dawa za maji,na k**a tatizo ni kubwa hupewa miwani ambayo utatakiwa kua unabadisha lenzi ya miwani kila baada ya muda kadri macho yatakavyokua yanaendelea kuharibika na hatimae kupelekea upofu.
- Hivyo inaweza ikawa sio tiba sahihi sana.

Hivyo kabla hujaanza kutafuta tiba ya macho,ni vizuri kwenda hospital kwanza kujua ni chanzo cha tatizo.

Lakini k**a hukuna sababu zingine nilizozitaja hapo juu,Mara nyingi matatizo ya macho chanzo chake kikubwa ni Upungufu wa lishe.

Hivyo k**a unataka kutatua matatizo ya macho na kua na afya njema lishe ni muhimu sana.

Njia pekee na sahihi ya kutatua na kulinda afya ya macho ni kupata lishe/virutubisho sahihi ambavyo ni pamoja na....
* Vitamin A (Beta Carotene)
- Vitamin A hupatikana zaidi kwenye dark green and yellow vegetables, orange vegetables k**a carrots, maziwa,samaki,na spinach.
* Vitamin B complex.
* Vitamin C.
* Vitamin E na
* Proteins.
* Potassium.
* Multi Minerals.
* Kuwa na mwanga sahihi wakati wa kusoma.

Pia ili kujilinda na matatizo ya kuona,unashauriwa kufuata hatua zifuatazo wakati wa kusoma.
- Soma ukiwa umekaa vizuri na kichwa kikiwa straight-up.
- Weka kitabu/simu umbali wa inchi 15.
- Tumia mwanga wa wastani,sio hafifu wala mkali.
- Usisome k**a umechoka au ukiwa unaumwa.
- Konyeza macho mara kwa mara,hii husaidia kuweka unyevunyevu kwenye macho.

Note: Changamoto kubwa kwa karne hii,ni vigumu sana kupata Vitamin,Proteins na Virutubisho vingine kutoka kwenye vyakula kwasababu vyakula vingi,matunda na mboga vinalimwa kwa mbolea,kemikali na madawa mengi,hivyo hupunguza virutubisho muhimu,na wakati huo huongeza sumu mwilini ambayo ndio chanzo cha magonjwa mengi.
Hivyo ni lazima kupata virutubisho vya ziada vya asili.

Hivyo k**a unataka kujilinda au tayari una tatizo la macho,tuwasiliane kwa ushauri zaidi.

Independent Health Consultant.
0762890129whsp/ call
0625530397call/sms

Photos from Afya Bora Tanzaniq's post 30/12/2019

TUJIFUNZE KITU JUU YA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO NA MADHARA YAKE

✅A)MADHARA YA SINDANO ZA KUZUIA MIMBA
(1) Usumbufu wa hedhi
(2) Kuumwa kichwa mara kwa mara
(3) Kuongezeka uzito usiokuwa na faida
(4) Kupunguza hamu ya tendo la ndoa
(5) Kusababisha Uvimbe kwenye kizazi
(7) kukoma hedhi kwa muda mrefu zaidi hata baada ya kuacha kutumia sindmuda
(8)Husababisha Uric acid kwenye mfumo wa mayai vivo inakua ngumu kwa Mbegu za kiume kuingia kwenye yai la mama sababu hufaa kabla ya kulifikia yai

✅B)MADHARA YA VIDONGE VYA KUZUIA MIMBA
(1) Huathiri fuko la uzazi kwa ndani na kusababisha Uvimbe
(2)Kuongeza uzito wa ute utokao katika njia ya uke ili kuzuia mimba kutunga
(3)Kuumwa kichwa mara kwa mara
(4)Kutopata hedhi kwa baadhi ya wanawake
(5)Kupunguza hamu ya tendo la ndoa
(6)husababisha matatizo ya Hormonal Imbalance
(7) husababisha hasira (bad mood)
(8)Bad mood ,hasira muda wote bila sababu

✅C)MADHARA YA KITANZI
(1) Utokaji ovyo wa damu
(2)Kutoboka fuko la uzazi
(3) Kuongezeka kwa upana wa uke na kuifungua lupa na kufungwa kwa uzazi.
(4) Kitanzi kufyatuka na kusababisha upasuaji
(5) Kuondoa hamu tendo la ndoa
(7)husababisha maumivu wakati wa tendo la ndoa

✅D)MADHARA YA KIJITI
(1) Husababisha kansa
(2) Huchanganyikiwa (Akili huvurugika)
(3) Shinikizo la damu
(4) Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.
(5) Kusababisha ukavu uliopitiliza kwenye uke hivyo kusababisha vidonda
(6) Kupunguza kwa kasi kubwa hamu ya tendo la ndoa
(7)kukoma Hedhi kwa muda

Ushauri kabla ya kutumia njia yoyote ya uzazi wa mpango Nenda hospital kapime kundi lako la damu hii itakusaidia kujua ni njia ipi itafaa kutumia kwa ushauri wa Doctors

Acha kutumia njia za uzazi wa mpango kwa watu wasiokua na Elimu sahihi ya Uzazi hasa wahudumu wa Pharmacy na maduka ya dawa utakua una risk kizazi ,ndoa,na maisha yako kwa ujumla

Think twice...... be positive minded
fb
Instagram

21/11/2019

TATIZO LA UVIMBE KWENYE KIZAZI NA TIBA YAKE

FIBROID NI NINI?

Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao huu uvimbe unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi.

Kuna aina kuuzifuatazo za fibroids:

1.Submucosal fibroids(ndani ya kizazi)
2.intramural fibroid(ndani ya nyama za kizazi)
3. Subserosal(nje ya kizaz)

Watu wafuatao wako hatarini ya kupata ugonjwa huu fibroids

1.Mwanamke ambae hajawahi kupata mtoto mpaka umri mkubwa
2.miaka kuanzia kubarehe mpaka hedhi kukoma
3.kurithi
4.unene
5.kuingia hedhi mapema

Fibroids sio kansa ni uvimbe wa kawaida tu ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrogen hormone ndio maana kuanzia kubarehe mpaka kukoma kwa hedhi ndio wako hatarini. Na mara nyingi uvimbe huu waga unaongezeka kukua sana hasa wakati wa ujauzito kwani vichocheo hivi huongezeka wakati huu kulinda makazi ya mtoto.
Ni watu waliofikia kikomo cha hedhi hawapati fibroids au kitaalam leiomyoma.

Dalili za fibroids

1.Kutokwa damu kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi.
2.kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya au ambao hauna harufu lkn mwingi na mweupe.
3.maumivi ya kiuno hasa wakati wa hedthi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe..wengi hupata maumivu makali sana.
4.Tumbo kuuma sana chini ya kitovu.
5.hedhi zisizokuwa na mpango
6.maumivu wakati wa tendo la ndoa
7.Kukosa hamu ya tendo la ndoa
8.maumivu makali wakati wa hedhi
Uvimbe unapokua mkubwa unaweza kusababisha dalili zifuatazo.

1.Kukojoa mara kwa mara kwani uvimbe unakandamiza kibofu cha mkojo
2.Mkojo kubaki kwenye kibofu cha mkojo
3.Haja kuwa ngumu
4.miguu kuvimba
5.kupungukiwa damu

Jinsi fibroids zinavyoweza kuzuia kupata mtoto:

1.Fibriods zikikua sana zinakandamiza mishipa ya kupitisha mayai kutoka kwenye kiwanda yan ovari
2.Uvimbe pia unazuia yai lililorutubishwa kujishikiza kwenye kizazi..hasa submucosal fibroids
3.Pia huzuia mfuko wa kizazi kukaza hivyo kushindwa kusukuma mbegu kwenda kwenye mishipa ya kupitisha mayai.

Kwa mawasiliano zaidi na kupata ushauri piga /SMS/whsp 0762890129

0625530397

Photos from Afya Bora Tanzaniq's post 20/11/2019

MATATIZO YA MGONGO, VIUNGIO, KIUNO, NA MIFUPA KWA UJUMLA.

Maumivu ya viungo na mifupa yameongezeka kwa miakaya hivi karibuni kutokana na sababu mbalimbali.

Fuatana nami kuangalia visababishi vya tatizo hili na namna ya kuliepuka.

Matatizo haya yanaweza kutokana na moja ya sababu zifuatazo
(1). Upungufu wa madini yanayoimarisha mifupa. (2). Kukosekana kwa uteute katika maungio na hivyo mifupa kusagana
(3). Tatizo LA mishipa ya faham kwenye uti wa mgongo,
(4). Visahani ( cartilage) vilivyopo katikati ya viungio kulika.
(5.).kufanya kazi nzito au kunyanyua vitu vizito. (6). Kwa wanawake walofikia kikomo cha hedhi,
(7). Matumizi ya madawa yanayoshusha nguvu za mifupa, ( corticosteroid,) moja ikiwa ni dawa wanazopenda kutumia mama zetu za kungarisha nyuso mfano mediven, dawa hizi zikitumika kwa muda mrefu hushusha nguvu ya mifupa.
(8). Uzito uliopitiliza(shauri mgonjwa wako tatizo LA uzito uliopitiliza). N.k

Je mtu atajikinga vipi na tatizo hili?
> punguza uzito.
> kula mlo kamili
> fanya mazoezi sahihi kwa uzito na umri wako.
> tumiamadini ya calcium na zinc kwa wingi.
> vitu k**a supu ya kongoro, supu ya samaki na maziwa vinasaidia sana.
> tumia virutubisho vya asili vyenye natural chondroitin na glucisamine pamoja na calcium.

Pia vipo virutubisho vilivyotengenezwa tiyari kwaajili ya kukabiliana na uupungufu wa CHONDROITIN na GLUCOSAMINE pamoja na CALCIUM.

Kwa ushauri wa bure kabisa na matibabu juu ya matatizo ya mgongo na mifupa piga

0762890129whsp
0625530397

13/11/2019

FAIDA ZA KUTUMIA ARG+
Ni virutubishi vya asili vyenye vitamin mbali mbali na L-arginine ambayo tunahitaji kutumia kila siku, husaidia katika mifumo mingi ya mwili kuwa imara na kufanya mwili kuwa na afya Njema

1.Husaidia damu na hewa ya oxygen kusafiri vzr kwenye ubongo hivo kua Active mda wote

2.Husaidia na kuifanya mishipa ya damu itanuke ili kuruhusu damu kuzunguka vizuri

3.Huusaidia moyo kufanya kazi vizuri na kuratibu mzunguko wa damu Mwilini
4.Husaidia kuondoa taka mwili , viambata sumu
5.Humuwezesha mwanaume kuwa imara na kumudu katika tendo la ndoa (stamina) nzuri pia kwa waliofanya punyeto inasaidia kuimarisha misuri ya uume

6.Huimarisha,hulinda, na kuzuia kuvimba/ kansa ya tezi dume

7.Husaidia katika mfumo wa kinga Mwilini (huongeza kinga Mwilini hivyo huufanya mwili kukinga magonjwa mbali mbali)

8.Husaidia uzalisha wa hormones na cell mpya hivyo kupunguza kasi ya kuzeeka
9.Husaidia katika kuimarisha mifupa, joints, misuli.

10.Ni nzuri sana kwa wafanya mazoezi(promotes athletic performance)

11.Hufanya ngozi kuwa imara, nzuri na yenye afya
12.Husaidia kuondoa mafuta mabaya kwenye mishipa ya damu bad cholestrol ,kukuepusha na Heart Attack, Stroke

Tuwasiliane kwa maelezo zaidi
+255762890129whsp/call

06/11/2019

FOREVER ARCTIC SEA
Ni bidhaa ya asili imetokana ni mafuta ya samaki aina ya SALMON FISH anayepatikana kwenye kina kirefu cha bahari ya ARTIC anayetoa OMEGA 3 na mafuta ya MIZEITUNI inayotoa OMEGA 9.

Bidhaa hii inasaidia sana na ina FAIDA KUBWA SANA KATIKA MWILI WA BINADAMU kusaidia
K**a ifutavyo :-
1: UKUAJI na ufanyaji mzuri wa MACHO NA UBONGO
2: Matatizo ya Homones.
3: Afya ya ngozi.
4: Huongeza nguvu na kinga za mwili.
5: Matatizo ya Cholesterol au kuondoa mafuta machafu mwilini.
6: Kuzuia kukua kwa Uvimbe.
7: Macho kutokuumbika vizuri kwa mama mjamzito.
8: Matatizo ya kumbukumbu.
9: Misuli kukosa nguvu.
10: Husaidia kupambana na kansa ya Matiti
11: Husaidia kupambana na kuzuia Tatizo la Tezi Dume.
12: Kupambana na Matatizo ya Stroke.

Pia mafuta haya yanaweza tumika kupakwa kwenye ngozi kwa ajili ya massage unayapasua.

Pia unaweza mpatia mtoto mchanga kwa kumpaka kwenye miguu na mikononi yanaingia mwilini mwake nakupata mafuta hayo kwa afya yake na kinga.

☆ Kwa Mahitaji Ya Maelezo Zaidi Ya Bidhaa Hii
Tuwasiliane :
Piga Simu/WhatsApp :
https://wa.me/+255762890129

30/10/2019
18/10/2019

BORESHA AFYA YA NA MFUMO WA KWA WANAUME NA WANAWAKE.

VITOLIZE FOR MEN: (special kwa jinsia ya kiume)
Ni bidhaa ya asili iliyotengezwa kwa mchanganyiko wa Vitamin C,D,E,B6 na madini k**a Zinc na Selenium.

Bidhaa hii husaidia
1- Kulinda afya ya uzazi kwa mwanaume
2- Kupambana na tezi Dume (Prostate)
3- Udhibiti wa Kansa ya korodani
4- Kuzalisha mbegu zaidi
5- Kuongeza Nguvu za
6- Kuleta hamu ya Tendo
7- Husaidia kubalance hormones.

VITOLIZE FOR WOMEN, (special kwa jinsia ya k**e)
Bidhaa hii husaidia
1- Kubalance hormones kwa wanawake wenye changamoto hiyo.
2- Kusafisha kibofu cha mkojo, na kusaidia kuepukana na U.T.I sugu na P.I.D.
3- Kuzuia madhara ya kukoma kwa hedhi (menopause),hapa wanawake wengi wanapata maudhi madogo madogo ambayo huwapelekea kwenye msongo wa mawazo,stress.
-kutokana na kupungua kwa kichocheo cha oestrogen uke wa mwanamke huwa mkavu na hufanya asikie maumivu pale anapofanya tendo la ndoa kwa kutumia product hii itamsaidia kuwa na ute ute k**a kijana.
4- Kurutubisha yai la mwanamke, na kusaidia kupata ujauzito kwa urahisi.
5- Kumpa hamu na nguvu katika tendo n.k
6.Ina madini ya calcium ambayo ni muhimu kwenye afya ya mifupa na joints.
7.Ina vitamin B6,B12 ambazo husaidia kupunguza risk ya mwanamke kupata cansa ya kizazi.
NI PRODUCT SALAMA KABISA KWA MTUMIAJI, ZIMETHIBITISHWA NA MASHIRIKA MAKUBWA YA AFYA NA CHAKULA DUNIANI.

TUNAFANYA DELIVERY TANZANIA NZIMA NA NCHI ZA JIRANI

CALL 0625530397
WhatsApp 0762890129

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam