Afya na jackline
TUNATIBU CHANGAMOTO ZOTE KWA KUTUMIA TIBA ZISIZO NA KEMIKALI
06/01/2026
From us ❤️😋
TIBA YA NGUVU ZA KIUME
29/08/2025
je unasumbuliwa na bawasilikwa muda mrefu??
TIBA YA MOJA KWA MOJA YA ACID REFLUX
TUWASILIANE KUPITIA NAMBA 0714382917
23/08/2025
K**a unasumbuliwa na maumivu ya mgongo,kiuno,magoti Tunazo Tiba zisizo na chemical ztakazokusaidia kabisa,Usisite kututafuta
TIBU TEZI DUME BILA UPASUAJI KWA KUTUMIA TIBA ZETU
20/08/2025
*Magonjwa ya Ini yanavyanzo mbalimbali ambavyo asilimia kubwa yanatokana na mitindo ya maisha k**a;*
⛳️Matumizi ya vyakula au bidhaa zenye kemikali (Sumu).
⛳️Matumizi makubwa ya vilevi na sigara.
⛳️Matumizi ya dawa zenye kemikali Virusi aina ya hepatitis A, hepatitis B, na hepatitis C
⛳️Unene na uzito uliopitiliza (Obesity) Kwa Kurithi k**a hemochromatosis na Wilson disease.
⛳️Kuto kula au kunywa vitoa sumu milini k**a maji na vingine
⛳️Tatoo au kutoboa mwili
⛳️Kemikali nying zenye sumu (viuatilifu vingine, chemotherapeutics, mafuta ya peroxidised, aflatoxin, kaboni tetrachloride, acetaminophen, hidrokaboni zenye klorini, n.k.), chakula, pombe,
⛳️Maambukizo k**a vile vimelea, virusi, fungi au bakteria na shida za mwili zinaweza kusababisha
magoniwa ya ini k**a vile hepatitis, ugoniwa wa ini wa uchochezi, homa ya manjano, hepatosis (ugoniwa
wa ini ambao sio wa uchochezi,
⛳️Ugonjwa wa cirrhosis (ugonjwa wa mmeng’enyo ambao ni matokeo ya fibrosis ya ini), saratani ya ini, n.k.
19/08/2025
*FAIDA ZA KUTUMIA KARAFUU KILA SIKU KATIKA AFYA YA UZAZI WA MWANAMKE KILA SIKU.*
1. Karafuu hupevusha mayai hivo kurahisisha zoezi la kubeba ujauzito
2. Karafuu inazibua mirija ya uzazi
3. Karafuu husaidia kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa mwanamke
4. Karafuu inasaidia kutibu harufu mbaya ukeni
5. Karafuu husawazisha homoni mfano huweza kutumika kurudisha period iliyokata mda mrefu au wanaopata period kidogo/matone inatakiwa watumie karafuu kwa wingi
6. Karafuu hupevusha mayai hvo husaidia upate ute wa uzazi.
19/08/2025
*🕳UGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO - PEPTIC ULCERS 🕳*
*👉🏿 Vidonda Vya Tumbo ni nini?*
• Vidonda vya tumbo (Peptic Ulcers) ni ugonjwa unaompata mtu ambapo kunatokea vijitundu au michubuko katika kuta za ndani za viungo vya mfumo wa uyeyushaji chakula.
• Michubuko hiyo huweza kutokea katika eneo la mfuko wa tumbo, katika duodenum au katika eneo la koo. Inakadiriwa kuwa asilimia 5 hadi 10 ya watu hupatwa na ugonjwa huu angalau mara moja katika maisha yao.
• Huu ni ugonjwa ambao unaweza kumrudia mtu baada ya kupona endapo chanzo chake hakikudhibitiwa.
• K**a ugonjwa huu utamrudia mgonjwa , mtu huyu atakuwa amejiweka kwenye hatari kubwa ya kupata madhara makubwa zaidi k**a kutokwa na damu au kutokea tundu kubwa katika kuta za mfuko wa tumbo.
👉🏿 Dalili za Ugonjwa huu.
• Kukosa hamu na Uwezo Wa Tendo la Ndoa.
• Kuchoka choka sana bila sababu maalum.
• Kuuma mgongo au kiuno..
• Kupungukiwa au kupoteza kabisa nguvu za kijinsia
• Kizunguzungu.
• Kukosa usingizi.
• Usingizi wa mara kwa mara.
• Maumivu makali
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam