AFYA YAKO MTAJI WAKO
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA YAKO MTAJI WAKO, Health/Beauty, Dar es Salaam.
29/01/2026
With Tazary Jonas – I just got recognized as one of their top fans! 🎉
21/10/2025
🩺 NATOKWA NA UCHAFU UKENI MARA KWA MARA ?
Usipuuzie dalili hizi, zinaweza kuwa ishara ya matatizo k**a Fangasi, PID (Pelvic Inflammatory Disease), au U.T.I (Maambukizi kwenye njia ya mkojo).
Hali hizi zinaweza kuathiri afya yako ya uzazi, kuleta maumivu, harufu mbaya, na hata kuleta changamoto katika kupata ujauzito.
💬 Usinyamaze ukiwa na tatizo, njoo tuzungumze!
Kupata ushauri wa kitabibu mapema ni hatua muhimu ya kurejesha afya na furaha yako ya uzazi.
piga sim 0619300293
20/10/2025
JE UMECHOKWA NA HALI HII
1. ✨Ondoa harufu mbaya, fungus na uchafu ukeni kwa tiba asilia yenye matokeo ya haraka! 🌿
2. 🌸Afya ya uke ni muhimu — sema kwaheri kwa UTI sugu na miwasho!
3. 💧Usiteseke tena na uchafu mzito au harufu mbaya, dawa hii asilia itakusaidia kwa uhakika!
4. 🔥Suluhisho la kudumu kwa wanawake! Safisha, linda na hifadhi afya ya uke wako kwa 30,000/= tu
kwama mawasiliano Zaidi piga sim
0619300293
20/10/2025
JE UMECHOKWA NA HALI HII
1. ✨Ondoa harufu mbaya, fungus na uchafu ukeni kwa tiba asilia yenye matokeo ya haraka! 🌿
2. 🌸Afya ya uke ni muhimu — sema kwaheri kwa UTI sugu na miwasho!
3. 💧Usiteseke tena na uchafu mzito au harufu mbaya, dawa hii asilia itakusaidia kwa uhakika!
4. 🔥Suluhisho la kudumu kwa wanawake! Safisha, linda na hifadhi afya ya uke wako kwa 30,000/= tu
Kwa mawasiliano Zaidi piga sim
0619300293
16/10/2025
*PID* ni kifupi cha *Pelvic Inflammatory Disease*, yaani *Ugonjwa wa Maambukizi Katika Mfumo wa Uzazi wa Ndani kwa Mwanamke*.
*Husababishwa na nini?*
- Maambukizi ya bakteria kutoka ukeni yanaposambaa hadi kwenye mfuko wa uzazi, mirija ya uzazi (fallopian tubes) na ovari.
- Mara nyingi huanzia kwa magonjwa ya zinaa (k**a chlamydia na gonorrhea) yasiyotibiwa vizuri.
*Dalili za PID:*
- Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
- Kutokwa na ute mzito unaonuka ukeni
- Maumivu wakati wa tendo la ndoa
- Homa au uchovu
- Mizunguko ya hedhi isiyo ya kawaida
- Maumivu ya mgongo au kiuno
*Madhara ya kutotibu PID kwa wakati:*
- Ugumba (kutopata mimba)
- Mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi
- Maumivu ya kudumu ya nyonga
- Saratani ya shingo ya kizazi (kwa kesi sugu sana)
Kwa msaada Zaidi na mawasiliano piga
0619300293
Whatsapp
0753260881
12/10/2025
*Unasumbuliwa na PID sugu, UTI ya mara kwa mara, uchafu au harufu mbaya ukeni?*
🛑 Usiishi kwa mateso tena! Tunatoa suluhisho la asili linaloshughulika na *KIINI* cha tatizo, si dalili tu.
✅ Kuondoa PID, UTI, fangasi sugu
✅ Kuondoa uchafu na harufu mbaya ukeni
✅ Kupunguza maumivu ya tumbo, kiuno na mgongo
✅ Kulinda afya ya uzazi na kuongeza uwezekano wa kupata ujauzito
📞 *Piga simu:* *0619 300 293*
💬 *WhatsApp:* *0753 260 881*
📦 Tunatuma bidhaa popote ulipo!
Afya yako ya uke ni msingi wa maisha bora – chukua hatua leo!
Usipuuzie hali ya UTI ya kujirudia rudia maana nitatizo kubwa mbeleni so nichek Whatsapp 0753260881
Nipigie Kwa 0619300293
Usiteseke na changamoto ulionayo ya Uzazi Wako!!!
PID, FANGAS Na MIWASHO UKENI PAMOJA NA HARUFU UKENI! Sio hali ya kawaida hii yaweza sababisha saratani ya shingo ya kizazi!!!
Kwahiyo chukua hatua mapema Ili uepukane na changamoto hizii
Kwa mawasiliano Zaidi piga
0619300293
Whatsapp 0753260881
Tupo sinza Madukani KARIBU SANA
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam