Afya kwanza
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya kwanza, Health/Beauty, Dar es Salaam.
18/12/2025
Chanzo cha P.I.D (Pelvic Inflammatory Disease)
PID ni maambukizi ya viungo vya uzazi vya mwanamke (mfuko wa uzazi, mirija ya uzazi na ovari).
Chanzo kikuu ni:
1. Magonjwa ya zinaa (STIs) – hasa Kisonono (Gonorrhea) na Klamidia (Chlamydia).
2. Bakteria kupanda kutoka ukeni kwenda juu hadi kwenye mfuko wa uzazi na mirija ya uzazi.
3. Ngono bila kinga (kondomu) hasa kuwa na wapenzi wengi.
4. Kutibiwa nusu ya maambukizi ya ukeni au STI – kutomaliza dozi ya dawa.
6. Kutumia kifaa cha uzazi (IUCD/coil) bila ufuatiliaji mzuri wa afya.
7. Usafi duni wa sehemu za siri au kutumia vitu vinavyoingiza bakteria ukeni (mf. kudouch).
BAADHI YA DALILI ZA PID
🌱Maumivu ya chini ya tumbo
🌱Maumivu wakati wa tendo la ndoa
🌱Kutokwa na uchafu usio wa kawaida ukeni. Unaweza kua mweupe halafu mwingi sana, au wa njano, au brown, au wa kijani. Uchafu huu huambata na harufu ama bila harufu kulingana na hatua ya maambukizi yako ilipo fikia
🌱Damu isiyo ya kawaida wakati wa hedhi. Unapata damu inayoambatana na uchafu kwahio inakua k**a yeusi yenye vinyama nyama vidogo vidogo
🌱Maumivu wakati wa kukojoa. Yanakua chini ya kitovu mara nyingi
🌱Homa na baridi
🌱Kichefuchefu na kutapika
🌱Uchovu mwingi
🌱Kizunguzungu au kuzimia
🌱Maumivu makali ya nyonga
Isipotibiwa haraka iwekanavyo inasababisha saratani ya mlango wa uzazi
Niko hap kukusaidia pig number 0768086559
Ni check WhatsApp 0768086559
, , , ,
18/12/2025
kwanzaaaaaaaaaaaa
0768086559
11/12/2025
*G.Nko Tea* kutoka *Eternal International* ni bidhaa ya tiba asilia inayosaidia afya ya *ubongo, mishipa ya damu na mfumo wa fahamu*. Inatengenezwa kwa mchanganyiko wa mimea yenye nguvu ya kusaidia mzunguko mzuri wa damu na kuongeza nguvu ya akili.
*KAZI ZA G.NKO TEA:*
1. *Huimarisha mzunguko wa damu* mwilini hasa kwenye ubongo.
2. *Husaidia kuongeza kumbukumbu na uwezo wa kufikiri* (memory & concentration).
3. *Hupunguza dalili za kizunguzungu, kusahau sahau, na uchovu wa akili.*
4. *Husaidia watu wenye matatizo ya presha ya kushuka.*
5. *Hupunguza msongo wa mawazo (stress) na wasiwasi.*
6. *Inaweza kusaidia watu wenye ganzi mwilini au miguu/mikono.*
*MATUMIZI YAKE:*
- Weka *kikombe kimoja cha maji ya moto*.
- Weka *kijiti kimoja cha G.Nko tea* ndani, acha kwa dakika 3–5.
- Kunywa *asubuhi na jioni*.
- Unaweza kunywa *kikombe 1 hadi 2 kwa siku*, kabla au baada ya chakula.
*NB:* Inafaa kwa watu wa rika zote isipokuwa *wajawazito* na *wanyonyeshao* bila ushauri wa daktari.
11/12/2025
Ni dawa nzur, Huongeza nguvu za kiume
Huongeza progesterone hormone na kumfanya mwanaume kupiga bao za kutosha
Hutibu uume kusinyaa
Hutibu uume mlegevu
Huongeza hamu ya tendo la ndoa
Tumia foric acid kwa matokeo bora zaidi,
"Unataka kuboresha nguvu za kiume, kuongeza stamina na kujiamini zaidi katika tendo la ndoa? 💪🔥
Fanya mazoezi mara kwa mara Hii itakusaidia , kuimarisha mzunguko wa damu, kuongeza testosterone, kupunguza stress na husaidia kusimamisha kwa muda mrefu, na kupiga bao za kutosha
Anza leo — kwa afya bora, nguvu zaidi na maisha ya ndoa yenye furaha na kuridhishana. 👑💯"
Changamoto ya uzazi imesababisha ndoa nyingi zimevulugika
Mapenz yameisha kati ya mwanaume na Mwanamke
Mara nyingi san mwanamke amekuwa akilaumiwa kutobeba mimba, ikionekana hana uwezo wa kubeba Mimba, Hii ni atali sana kuegemea upande mmoja
Mwanaume anauwezekano mkubwa na yeye kuwa ni tatizo la Mimba kutotungwa
Matatizo k**a kuzalisha mbegu ambazo hazijakomaa ni moja wapo ya sababu
Karibu ITERNAL nikupatie daw bora kwa ajili ya uzazi, ndani ya mwezi utaitwa mama
Ni check WhatsApp 0768086559
Habari Ndungu wateja kwa wale ambao husumburiwa na matatizo ya uzazi tunapatikan Tanzania nzima huduma ya haraka na ushauri ni bure kabisa karibu sanaNJIA SALAMA YA KUTIBU UZAZI KWA MWANAUME NA MWANAMKE
Wanaume wengi wanashindwa kutungisha mimba na wanawake Kutoshika Mimba kutokana na changamoto mbalimbali. Swala la uzazi sio la upande mmoja tu wa mwanamke pia wanaume wengi hawana uwezo wa kutungisha mimba. ✍🏻✍🏻
Tumewasaidia wanaume na wanawake wengi sana kutibu tatizo la ugumba na wamepata watoto. Na wengi wao walikuwa na changamoto k**a hizi👇
✅Kuwa na mbegu chache
✅Kuwa na uvimbe kwenye kizazi au kwenye mayai
✅Mbegu kuwa na uwezo mdogo wa kuogelea.
✅ Mvurugiko wa homoni/ Homone imbalance
✅ Kutokurudia tendo la ndoa
✅ Mirija ya uzazi kuziba
✅ Upunguvu wa nguvu za kiume
✅Kukosa hamu ya tendo la ndoa
✅Dhakari kusimama kwa ulegevu.
✅ Kukosa hedhi/Period
✅ Saratani ya shingo ya kizazi
✅Kuhisi maumivu wakati wa tendo.
✅ Kukosa hisia
✅ Changamoto ya tezi dume.
#.Nanyingine nyingi
Haijalishi changamoto yako wewe imekutesa kwa mda gani,GCAT HEALTH CARE CLINIC Kutoka China ipo kwa ajili ya kutatua changamoto yako.
⚫Tunatoa huduma ya vipimo vya mfumo mzima wa Mwanaume na Mwanamke kwa Tshs 30,000/= tu .
NB: Usitumie dawa yoyote bila kupata vipimo na Ushauri wa daktar.✖️
Je ni wewe unahitaji huduma kwa ofa hii ya vipimo?
K**a ni wewe basi piga simu kwa namba 0768387892Kwa maelekezo zaidi , Tunapatikana dar es salaam Majumba sita na mkoani pia.
Wasiliana nasi kwa0768086559 namba maana ninao mda wa kuongea na wewe ,piga simu sasa 0768086559
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam