Story za maisha
ushauri wa maisha
mikasa mbalimbali ya maisha
love stories
vichekesho
10/06/2026
😅😅😅
30/05/2026
Kumbe matajiri wanakula nyama tu, bado kuna vitu wanavimis😅😅😅
26/05/2026
Nilirudiana na x wangu, akaniacha tena na kusema Mimi sijitambui na Wala sijielewi na sina misimamoðŸ˜
Kuna kaka nilikuwa nae kwenye mahusiano takribani k**a mwaka mmoja na nusu,alikuja kuniacha kwa maumivu sana na Ili Kuwa tu gafla na Mimi Bado nilikuwa Nina mpenda.
Tulikaa mda mrefu nilikuwa nikimpigia simu kumwomba msamaha k**a Kuna kosa lakini hakuwa anapokea simu yangu kabisa na mwisho wa siku akaniblock,niliendelea na maisha lakini nikiwa Bado namuhitaji Ili hali ameshaniblock.
Ili pita k**a miezi nane na tayari nilikuwa na mahusiano mengine japo sikuwa nampenda k**a nilivyompenda yeye,akanipigia na namba ngeni,nilipokea na akajitambulisha na kuniambia anahitaji tuonane Mimi na yeye,nilifurahi tukaonana na baada ya hapo nilirudi nyumbani nikiamini mtu niliyekuwa nampenda na kumuwaza amerejea kwenye maisha yangu,kumbe haikuwa vile💔alituma meseji ndefu sana na kuniambia simfai Kuwa mama watoto wake kwa sababu sijielewi , sijitambui na Wala sina misimamoðŸ˜nilimuuliza mbona ivyo akajibu Kuwa aliniacha na alitegemea alivyotaka kurudi ningekaza lakini nilikuwa mwepesi sana ivyo simfai💔ðŸ˜
Nililia mpaka nikahisi Dunia sio yangu,kosa langu kumkubalia kweli au alikuwa na yake,najuta mpaka najuta tena kumfahamu jamani,naomba nishauriwe naweza kupona vipi haya maneno yananifanya nijione sifai na Wala sio kituðŸ˜ðŸ’”
26/05/2026
😅😅😅😅
26/05/2026
Ili tu uteseka yaan😅😅
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam