Naipenda afya yangu
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Naipenda afya yangu, Health/Beauty, Dodoma.
🐦
Vidonda vya tumbo ni tatizo linalotokea baada ya kuta za tumbo au utumbo mdogo kuwa na vidonda, hii hutokea ni baada ya kuharibika kwa ukuta wenye ute unaozuia kemikali za kuyeyusha chakula unaoitwa mucus. Kemikali ambayo ni acidi inayozalishwa mwilini kiasili husaidia kuyeyusha chakula na kuua wadudu tumboni, k**a ukuta wenye ute ukiharibiwa na kushindwa kufanya kazi basi kemikali (acid) itaathiri tumbo au utumbo na kuruhusu bakteria kuendelea kusababisha vidonda vya tumbo.
Vidonda vya tumbo vinatibika kirahisi ila vikicheleweshwa bila kutibiwa huweza kusababisha tatizo kubwa. Ni tatizo linalotesa sana na kuwanyima raha watu wengi, linahitaji umakini na pia husababisha magonjwa mengine k**a kansa, amoeba (amiba), homa, kupungua uzito.
AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO
Kuna aina zipatazo mbili za Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers)
1. Vidonda vya tumbo kubwa (Gastric ulcers) – Hivi ni vidonda vya tumbo vinavyotokea ndani kwenye tumbo kubwa
2. Vidonda vya utumbo mdogo (Duodenal ulcers) – Hivi ni vidonda ambavyo hutokea kwenye utumbo mdogo (hasa juu)
CHANZO CHA VIDONDA VYA TUMBO
Vidonda vya tumbo vina vyanzo tofauti ili vyote ni vile vinavyohusiana na mmeng’enyo, vyanzo hivyo ni;
1. Bakteria waitwao Helicobacter pylori (H. pylori)
2. Matumizi ya dawa za kupunguza maumivu k**a asprin, (NSAIDs), (Advil, Aleve, na zingine)
3. Kuwa na mawazo mengi
4. Kula vyakula vinavyozalisha acid kwa wingi
5. Kunywa pombe na vinywaji vikali
6. Uvutaji wa sigara
7. Kuto kula mlo kwa mpangilio
DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO
Dalili za vidonda vya tumbo hujitokeza baada ya kula au kabla ya kula, ila mara nyingi wengi huwa wanazipuuzia na endelea kukuza tatizo, vidonda vya tumbo vinadalili k**a;
1. Kupata maumivu ya tumbo yanayokuwa k**a ya moto (kuunguza) baada na kabla ya kula
2. Kupatwa na kiungulia karibu na chembe ya moyo
3. Tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa
4. Kichefuchefu na kutapika tena yawezekana kutapika damu
5. Kupata haja kubwa ya rangi kahawia au nyeusi yenye harufu mbaya sana, pia haja yaweza kuchanganyikana na damu
6. Kupoteza hamu ya kula na kupungua uzito
7. Kushindwa kupumua vizuri
lipo suluhisho la kudumu kwa tatizo hili kwa maelezo zaidi tupigie 0625031554.
01/12/2020
🐦
*VISABABISHI VYA KUPATA HEDHI MARA MBILI*
Tatizo hili ni shida kwa wanawake wengi sana
🚩Matumizi ya vidonge vya majira(Oral contraceptives)
🚩Maambukizi ya shingo ya kizazi(Cervicitis)
🚩Maambukizi ya ndani ya kizazi(Endometritis)
🚩Saratani ya kizazi(Uterine cancer)
🚩Saratani ya shingo ya kizazi(cervical cancer)
🚩Saratani ya uke(vaginal cancer)
🚩Saratani ya sura ya uke na mdomo wa uke(Vulva cancer)
🚩Maambukizi ya Uke(Vaginitis)
🚩Madonda ya magonjwa ya zinaa kwenye mfumo wa uzazi(Sexually transmitted ulcerations)
🚩Uvimbe ndani ya kizazi,shingo ya kizazi,uke nk(Benign growths)
.HEDHI SALAMA NI MUHIMU KWA KILA YA MWANAMKE*
01/12/2020
🐦
Visababishi vikubwa vya mimba kutoka miezi MITATU YA KWANZA,(yaan First trimester miscarriages).
1.CHROMOSOMAL DEFECTS hii Inaongoza kwa kusababisha Mimba Kutoka kwa asilimia zaidi ya 75%,na wengi mimba Zinatoka kuanzia mwezi mmoja mpaka miwili(wiki ya 4 mpaka 8),na Hii Mwanamke anapozidi kuwa na umri mkubwa,yaan zaid ya Miaka 35,inakuwa inatokea zaid.
2.Wingi au Upungufu wa baadhi ya HOMON,unasababisha Pia kwa kiasi kikubwa Kutoka Kwa mimba miezi mitatu ya Kwanza,na lifestyle ya siku hizi,vyakula tunavyokula,Utoaji Mimba,njia za uzazi wa mpango,vinachangia mvurugo wa homon.3.INFECTIONS kwenye mfumo wa damu K**a RUBELLA,Cytomegalovirus,Toxoplasmosis na infection kwenye mji wa uzazi,k**a PID,Endometritis etc.
Lakini Pia,mtu ambae Mimba Inatoka,Anakuwa Hatarini Zaidi mimba zifuatazo Kutoka asipokuwa na uangalizi wa karibu na wataalamu Wa Afya... .
NB📌.
Kwa mtu mwenye Shida ya MIMBA kutoka,Tena k**a zinatoka mfululizo..kukimbilia kubeba mimba Sio suluhu tiba na ushauri uzingatiwe kwanza pata DAWA za kuweza kuweka kwanza Hali yako Iwe Vizuri,Umeambiwa Chanzo cha Mimba Zako kutoka ni nini
Nina suluhisho whatsap 0678002760/piga 0625031554 Upate tiba,mimba idumu miezi 9 upate mtoto wako.
08/11/2020
🐦
Kwanza ultra sound HAINA MADHARA KABISA,haitumii MIONZI k**a Xray.
Ultrasound inatumia MAWIMBI YA SAUTI,yaani SOUND WAVES na kuleta picha au muonekano wa mtoto,k**a ni kizazi etc.
Na kazi za Ultrasound kwa mama Mjamzito ni hizi;
1.kuhakiki uwepo wa mimba
2.kujua umri wa Mimba mfano mimba ina wiki ngap na kusaidia makadilio ya kujifungua yaan EDD
3.kuangalia idadi wa watoto k**a ni mapacha au mmoja
4.kuangalia complications za Mimba mfano mimba imetoka,au mimba imetunga nje ya kizazi....
5.Kumwangalia mtoro k**a hana matatizo ta viungo yaan birthdefects mfano kichwa kikubwa,na mengineyo.
6.kuangalia complication zingine za mimba mfano kuangalia kondo la nyuma k**a limekaa mahali sahihi halijaachia,kuangalia k**a mtoto kitovu hakijazunguka shingoni....
7.Kuangalia jinsia ya mtoto.
NB: Ni muhimu mama k ambae hana tatizo lolote, kupiga ultrasound Walau MBILI mpaka anajifungua na ya kwanza ni kabla mimba haijafika Wiki 14,nyingine ni mimba ikiwa kubwa mwishon mwishon, ili kuangalia maendeleo ya mtoto
Na wamama wajawazito wengine hupiga ultrasound nyingi sana hata zaidi ya 6 kutokana na complications walizo nazo...
Na sehemu zilizoendelea zaid,zenye huduma nzuri kila clinic mama K unafanya ultrasound,kujua tu Mtoto anaendeleaje....mapigo ya moyo,kilo zake,alivyokaa.....
Eheee mama k,umepiga ngap mpaka sasa?????
07/11/2020
🐦
Kwahiyo tezi dume ni kiungo ambacho wanaume huzaliwa nacho isipokuwa kinaleta madhara endapo kitakuwa kupita kiasi na hutibiwa na kupona.
Matibabu yake ni kufanya upasuaji na kupunguza ukubwa pamoja na kudhibiti homoni za ukuaji wake.
We have the best solution kwa tatizo hili,kwa wanaume kuanzia miaka 35 unaweza kuanza kutumia k**a kinga usifike kwenye dalili hizo pia k**a tayari una tezi dume umefanya operation na inajirudia pia ukitumia inasaidia kuzuia tezi dume kutanuka
FAIDA ZA VIDONGE VYA PROSTATRELAX
Ni tiba ya Asili iliyotengenezwa kwa Prostaep-I (USA Patent) inayosaidia
la tezi dume bila kufanya upasuaji, imeripotiwa hata kupokansa ya tezi dume kwa baadhi ya watu waliotumia, inafaida nyingi zikiwemo
Inalinda tezi na kuzui kuongezeka kwa tezi dume
Inadumisha Afya ya Mkojo
Inaboresha ufanisi wa tendo la ndoa
Inaondoa maumivu ya kiuno na wakati wa kukojoa
Husaidia kufika kileleni vizuri bila maumivu.
NANI ANATUMIA
Wanaume wenye shida ya tezi dume haswa wenye umri zaidi ya miaka 40.
Wanaume wenye shida ya kukojoa vizuri na Wenye shida za nguvu ya kiume.
Ukitumia kwa mda mrefu( miezi 3 ) bila kuacha zinamatokeo mazuri Zaidi
Kwa maelezo zaidi
WhatsApp 0678002760 / 0625031554.
05/11/2020
🐦
VIRUTUBISHO VILIVYOPO KWENYE MBEGU ZA MWANAUME.(SPERM)
1.Vitamin C
2.Vitamin B12
3.Calcium
4.Citric Acid
5.Fructose
6.Lactic Acid
7.Magnesium
8.Zinc
9.Potassium
10.Sodium
11.Fats&
12.Protein
_____________________________
Hivo ni virutubisho/nutrients ambazo zinapatikana kwenye mbegu za mwanaume.
Ili mbegu ziwe bora ni lazima mwanaume apate virutubisho hivyo.Wanaume wengi sku hizi wamekuwa wahanga wa nguvu za kiume na hii inatokana na wao kutokula vyakula vinavyosheheni virutubisho hivi,wengne ni kutokana na madhara ya kujichua, athari za kujichua ni mwili kuuchosha na hivyo mbegu kumwagika ovyo.
Note:Mwili ukikosa madini ya magnesium unajikuta unawahi kuchoka wakati wa tendo na pia mwili utakuwa na ganzi,kukosa usingizi na kupoteza uwezo wa kumbukumbu.
Vitamin C na madini ya Zinc yakipungua uzalishaji wa mbegu pia hupungua.
Hivyo mwanaume yeyote mwenye changamoto zozote hzo za uzazi anaeza nicheki call/WhatsApp 0678002760
Ili kupata virutubisho hivyo vitakavouweka mwili sawa.
0678002760/ 0625031554
05/11/2020
🐦
PELVIC INFLAMMATORY DESEASE' (PID)
0678002760 / 0625031554
PID
ni maambukizi katika via vya uzazi,maambukizi haya huwa sugu na huchukua mda kupona endapo atashindwa kujitibia kwa muda muafaka
VISABABISHI
ugonjwa huu husababishwa
*kufanya ngono bila kinga
*kusafisha kizazi mara kwa mara
*matumizi ya kemikali kujisafishia ukeni mfano sabun n.k
*matumizi ya njia ya uzazi wa mpango mf. kitanzi
*kutoa mimba
*matumiza ya antibiotics ya mara kwa mara ambayo kimsingi huua bakteria wanaolinda uke kushambuliwa na magonjwa
DALILI
Baadhi ya wanawake dlili huwa mbaya na wengine huwa za kawaida
*kuwashwa sehemu za siri
*uke kutoa harufu mbaya
Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
*Sehemu za uke kuwa laini sana
*Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa
*Kukosa hamu ya tendo la ndoa
*hedhi kuvurugika
*Kutokwa majimaji ukeni yasiyo ya kawaida hasa yenye rangi ya njano na kijani
*Maumivu wakati wa choo,kukojoa
*Homa, uchovu, kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
*Wakati mwingine kutokwa usaha
MADHARA
*Ugumba
*Kansa ya shingo ya kizazi
*Mirija ya uzazi kuziba
*Kujaa maji kwenye mirija ya uzazi
*Kukosa ute wa ovulation unaoashiria siku za hatari
*Majeraha kwenye kizazi
TIBA
Zipo tiba nyingi hospitali za matatizo haya.Ila wanawake wengi wanaripotiwa kujirudiarudia kwa tatizo hili kila mara na kuleta maudhi. Hivyo tunakushauri kutumia TIBA LISHE (SAYANSI YA VYAKULA) ILI KUTOKOMEZA KABISA TATIZO HILI LISIJIRUDIE TENA
0678002760 / 0625031554.
KARIBU TUKUHUDUMIE.
03/11/2020
🐦
TABIA YA KUJICHUA ULIVYOSAMBARATISHA MAHUSIANO YANGU.
Ni kosa langu, ndio ni kosa langu.
Nilianza kujichua kwa msukumo wa marafiki zangu, na waliniambia ni njia rahisi ya kupunguza zile hisia kali nilizokuwa nikizipata mara baada ya kumaliza kutazama picha chafu za video.
Raha ya mchezo ilipokolea ikawa ni k**a sehemu ya maisha, nilikuwa siwezi kulala bila kupiga kimoja cha kutafutia usingizi,
Hata nilipo maliza masomo yangu ya sekondari bado nilikuwa nikifanya japokuwa nilikuwa katika mahusiano tayari.
NITAACHA KESHO, HEBU LEO NIPIGE KIMOJA CHA MWISHO... Nilikuwa najiaminisha hivyo lakini.. SIKUACHA!
Mahusiano yangu yalikuwa yakidumu miezi mitatu mpaka mitano tuu kwasababu sikuweza kuyamudu kabisa.
•Sikuweza kustahimili tendo.
•Sikuweza kurudia tendo, kimoja tuu cha harakaaa nimeshalala.
•Sikuweza kusimamisha na kuwa imara tena baada ya mzunguko wa kwanza.
•Hamu ya tendo ndo kabisaaa mpaka nikiangalia zile picha au video za hatari
"PUNYETO ILIKUWA IMENITEKA, NILIYAONA MADHARA LAKINI SIKUJUA NAMNA NAWEZA KUJIKOMBOA"
Mabadiliko yalianza taratibuuu mwaka 1 uliopita siku nilipokutana na Makala katika website Moja hivi, walifafanua vizuri sana kuhusu madhara ya kujichua, kwa mara ya kwanza niliipotezea kuisoma ila baada ya kukumbuka aibu nazo zipata nikiwa na mwanamke kitandani nikairudia tena na tena kuisoma.
HAKIKA WAMENISAIDIA SANA.
NAFAHAMU, UNAWEZA KUWA NI MMOJA YA WATU WALIOATHIRIKA NA HILI TATIZO.
MAKOSA YANAYOFANYWA NA WATU WENYE CHANGAMOTO YA NGUVU
Makosa 5 ambayo watu wengi huyafanya:
1: Kupuuzia tatizo linapoanza taratibu na wanasahau k**a tatizo linazidi kuwa kubwa.
2: Kukimbilia kuji bust kwa dawa za kemikali ambazo mara nyingi hazitatui tatizo ila zinakufariji tuu na baadae tatizo linakuja kuwa kubwa zaidi.
3: Wengi kuamini PUNYETO HAINA MADHARA na Wanasahau K**A PUNYETO INGEKUWA NA MADHARA KWA SIKU MOJA BASI HAKUNA AMBAE ANGEFANYA.
4. Kosa la nne ni kutokubali k**a UNA CHANGAMOTO YA NGUVU ZA KIUME, hili wengi limewaathiri sana na wanakaa nalo na mwisho watu wao walionao kwenye mahusiano ndio huamua kuvunja mahusiano.
UNATAKA KUONDOA ATHARI ZA KUJICHUA, KUBORESHA NGUVU NA STAMINA !!?
MAWASILIANO YETU:
0678002760/0625031554.
31/10/2020
UGOJWA WA P.I.D NA TIBA YAKE
Pelvic Inflammatory Disease
Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu* *zifuatazo-:
Matumizi ya antibiotics Kwa wingi, kimsingi matumizi haya huuwa bacteria* *wote, hivyo wanapokufa unakosa ulinzi wa *bacteria *wa *kupambana* *na *maambukizi* . *Kadhalika *ujauzito ikiwa ni pamoja na kujifungua* . *Pia sababu nyingine ni matumizi ya *condoms na kufanya* *ngono zembe* .
*DALILI ZA UGONJWA WA PID*
1️⃣ *Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa* ni *mweupe, njano, au maziwa*
2️⃣ *Kuwashwa sehemu za siri*
3️⃣ *Uke kutoa harufu mbaya*
4️⃣ *Maumivu ya tumbo chini ya kitovu*
5️⃣ *Uke kuwa wa ulaini sana*
6️⃣ *Maumivu wakati wa tendo la ndoa*
7️⃣ *Kuvurugika Kwa hedhi*
8️⃣ *Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi*
9️⃣ *Maumivu wakati wa kukojoa na* *wakati wa choo kubwa*
🔟 *Homa, uchovu,kizunguzungu na* *kukosa hamu ya kula*
*MADHARA YA PID*
• *Ugumba*
*•Kansa ya shingo ya kizazi*
• *Mirija ya uzazi kuziba*
0678002760. call/whatsap
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Dodoma