Afya imarika
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya imarika, Health/Beauty, Dodoma.
25/10/2022
SOMO LINAENDELEA
Kutokana na urefu wa somo leo tunaendelea pale tulipoishia ambapo tutaangalia madhara ya P.I.D pamoja na Tiba yake kwa kutumia virutubisho vya asili visivyo na kemikali
⭕MADHARA YA KUTOPATA TIBA SAHIHI YA P.I.D
✔ Kushindwa kuwa na uwezo wa kushika mimba
✔ Mimba kutoka mara baada ya kutunga
✔ Mimba kujishikiza nje ya mji wa mimba
✔ Kupata makovu kwenye kuta za mji wa mimba pia mirija ya uzazi
✔ Kupata maumivu makali ya muda mrefu maeneo chini ya kitovu kuzunguka kiuno mpaka mgongo
✔ Kukosa hamu ya kishiriki tendo la ndoa pia kupata maumivu makali wakati wa tendo
✔ Mirija ya uzazi kuziba na uchafu unaosababishwa na wadudu hawa wa maambukizi
✔ Kuharibika kwa o***y, sehemu ambayo mayai yanazalishwa
⭕ TIBA SAHIHI KWA NJIA YA VIRUTUBISHO LISHE VYA ASILI
➡ Ukweli ni kwamba dawa zetu za hospitalini zinatibu vizuri tu lakini changamoto inatokea pale unapopata tiba ambayo sio sahihi maana maambukizi haya yanasababishwa na aina mbalimbali za vimelea na kila aina kimelea kinahitaji aina yake ya dawa kwa kiasi sahihi pia muda wa matumizi sahihi tofauti na hapo ndipo inapelekea usugu wa vimelea hivi,
➡ Kitu kingine pale mwanamke anajitibia P.I.D kwa usahihi kabisa lakini maambukizi yanajirudia kwa sababu ataendelea kushiriki tendo na mwenza wake ambaye hajapata matibabu kwa kusema hana tatizo mana haonyeshi dalili zozote lakini Ukweli maambukizi anayo mana mmeshiriki pamoja tendo wakati tatizo hili linajitokeza kwa mwanamke.
✔VIRUTUBISHO TIBA✔
TIBA HII INAFANYA KAZI ZIFUATAZO
🌟Kuongeza bakteria walinzi ukeni
🌟Kuzibua mirija iliyoziba na kusafisha kabisa
🌟Kuondoa tatizo la homoni imbalance
🌟Kuamsha kinga ya mwili na kufanya kuwa imara zaidi
🌟Kufanya kuta ndani ya via vya uzazi kuwa imara
🌟Kurudisha ute na kuondoa ukavu ukeni
🌟Kurudisha uke uliotanuka na kubana kabisa k**a mwanzo
NJOO OFISINI KWETU UCHUKUE TIBA YAKO TUNAPATIKANA MIKOANI KOTE UNAFUATA BIDHAA ZAKO MWENYEWE OFISINI KWETU HAKUNA KUTUMA PESA LAKINI ITAKUBIDI UTUME K**A UNAHITAJI UFANYIWE DELIVERY
📞 PIGA/WHATSAP 0656095277
24/10/2022
SOMA VIZURI MPAKA MWISHO
➡MAHUSIANO KATI YA MAAMBUKIZI KATIKA VIA VYA UZAZI WA MWANAMKE (P.I.D) NA MVURUGIKO WA HOMONI
↪AINA MBALIMBALI ZA MAJI YANAYOTOKA UKENI YAPO AMBAYO NI SALAMA NA KAWAIDA PIA MENGINE SIO SALAMA YAKIAMBATANA NA DALILI ZA MAAMBUKIZI NDANI YA VIA VYA UZAZI
✔Maji mepesi yasio na rangi wala harufu➡SALAMA
✔Ute mweupe mzito kidogo mara nyingi usio na harufu yoyote unatoka kidogo sana➡SALAMA
✔Maji mazito yenye rangi ya njano au kijani na harufu isiyo mzuri➡SIO SALAMA
✔Kupatwa na damu wakati ambao sio wa hedhi hii inatokea hasa wakati wa kushiriki tendo la ndoa➡SIO SALAMA
✔Maji maji yenye rangi ya brown, kijivu kupita kiasi pia na harufu isiyo ya kawaida➡SIO SALAMA
🔴BAADHI YA MAGONJWA AMBAYO YANAWEZA ONYESHA DALILI HIZI HAPO JUU
🌟Gonnorhea
🌟Chlamydia
🌟Bacterial Vaginosis
🌟Trichomoniasis
🌟Fungus infection
🔴KIUJUMLA KUNA WAKATI
MAAMBUKIZI HAYA NDANI YA VIA VYA UZAZI YANAKUJA NA MCHANGANYIKO WA DALILI NA HII NDIO INAPELEKEA JINA MOJA LA P.I.D
⭕SABABU ZINAZOPELEKEA P.I.D
🌟Kupata tiba isiyo sahihi ya P.I.D kwa mara ya kwanza baada ya kuugua
🌟Kushiriki tendo na wanaume wengi
🌟Kushiriki tendo na mwanaume mmoja mwenye mahusiano na wanawake wengi
🌟Kuto tumia condom
🌟Matumizi dawa aina ya antibiotics bila ya maelekezo au mara kwa mara
🌟Kujisafisha ndani ya uke kwa maji na sabuni
🌟Matumizi ya njia za uzazi wa mpango
🌟Mvurugiko wa homoni
⭕DALILI ZA P.I.D
🌟Maji yasio ya kawaida ukeni yenye harufu kali
🌟Maumivu chini ya kitovu kuzunguka kiuno mpaka mgongoni
🌟Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
🌟Kutokwa na damu wakati ambao sio wa hedhi
🌟Mwili kupanda joto na kuwa kali sana
🌟Maumivu makali wakati wa kujisaidia haja ndogo
➡➡SOMO NI NDEFU LITAENDELEA USIKAE MBALI NA UKURASA HUU
🚨......🔃 LOADING MADHARA NA TIBA YA P.I.D🚨
📞KWA MAWASILIANO TUPIGIE 0656095277
07/10/2022
➡OVARIAN CYST AND UTERINE FIBROIDS
✔ Ovarian cyst hii ni mfano wa kitu k**a mfuko ambao ndani yake kuna kuwa na majimaji, gesi ambayo sio ya kawaida hali hii inaweza kutokea k**a matokeo ya maambukizi ndani ya o***y, mvurugiko wa homoni, jeraha ndani ya mfuko wa yai
✔ Uterine fibroids ni uvimbe ambao unatokana na cells za sehemu husika kushindwa kujigawa katika hali yake ya kawaida na kupitiliza kupita kiasi (uncontrolled cell division) uvimbe huu unaweza pia kutokea katika o***y (mfuko wa mayai ya mwanamke), fallopian tube, katika mji wa mimba au hata ndani ya misuli ya kuta za mji wa mimba,
🔴Vilevile UTERINE FIBROIDS inaaminika inasababishwa sana na kiwango kikubwa cha homoni aina ya Estrogen ndio mana tatizo la uvimbe mara nyingi linaweza potea lenyewe kipindi mwanamke anakaribia umri wa kufikia menopause yani kikomo cha kuzalisha mayai.
🔴Baadhi ya vyakula ambavyo tunatumia katika mazingira yetu vinatabia ya kuongeza kiwango cha estrogen hivi ni mfano nuts ( mfano cashew nuts), dark chocolate N.K
➡MKUSANYIKO WA DALILI KIUJUMLA JUU YA MATATIZO HAYA
⭕ Mwanamke kupata mzunguko wake wa kila mwezi na kiasi kikubwa cha damu.
⭕ Mzunguko wa kila mwezi unachelewa kuisha mpaka wiki na zaidi
⭕ Maumivu makali kuzunguka eneo la nyonga
⭕ Kushindwa kumaliza haja ndogo na kuhisi imebaki baada ya kujisaidia
⭕ Kupata maumivu makali ya miguu
⭕ Kupata choo kigumu/constipation
⭕ Kukojoa mkojo mara kwa mara
⭕ maumivu makali mgongoni pamoja na kiunoni.
⭕ Maeneo ya tumboni kupata uvimbe na kuhisi kitu kigumu k**a mjamzito
🚨 TIBA YA MATATIZO HAYA NI AINA KUU MBILI
↪ Upasuaji/operation
↪Virutubisho lishe/food supplements
🔳 Tupigie au Whatsap 0656095277
TUNATOA ELIMU, USHAURI PAMOJA NA TIBA YA MATATIZO HAYA BILA YA UPASUAJI TUNATUMIA NJIA YA VIRUTUBISHO LISHE,
OFISI ZETU ZIPO MIKOANI KOTE ➡ HAKUNA KUTUMA PESA KWENYE SIMU UNAFATA OFISINI PESA ITATUMWA PALE DELIVERY ITALAZIMIKA
06/10/2022
NJOO HAPA UPATE USHAURI
➡Hii pia ni moja kati ya changamoto ambazo mwanamke anaweza kukutana nazo tofauti na mwanamke ambaye hapati kabisa ujauzito hapana lakini kwa upande wa mwanamke huyu yeye anapata anaweza kufika mpaka miezi mitatu, minne au mitano na mwisho kuharibika.
🔴 BAADHI YA SABABU ZINAZOWEZA KUPELEKEA CHANGAMOTO HII
↪ Utofauti wa rhesus factor kati ya baba na mama, kwa kawaida mtoto anarithi rhesus factor kutoka kwa mzazi yeyote tatizo linaanzia pale mwanamke anakuwa na negative rhesus factor (- rh) halafu mwanaume anazo positive rhesus factor (+ rh) hii inatokea pale zinapochanganyika hili kupata kiumbe kipya inapelekea damu ya mwanamke kushambulia kiumbe kipya kwa lengo la kujilinda na kitu hichi kipya kwani ni moja ya kazi ya askari ndani ya damu kujilinda, angalia hapa chini
-Rhesus factor(mama) + -Rhesus factor = mtoto anazaliwa salama kabisa
+Rhesus factor(mama) + -Rhesus factor = mtoto pia anazaliwa salama
+Rhesus factor(mama) + +Rhesus factor = mtoto anazaliwa salama
-Rhesus factor(mama)+ +Rhesus factor = Hapa mtoto wa kwanza anaweza kuzaliwa ingawa askari wanazalishwa kutoka kwa mama kwa lengo la kujilinda pale inapokea kitu kipya kwa kipindi hichi bado askari wanazalishwa kwa kiasi kidogo na wanaongezeka zaidi mimba ya pili na kuendelea.
↪ Magonjwa/maambukizi ndani ya via vya uzazi.
↪ Mvurugiko wa homoni mwilini.
↪ Uvimbe ndani ya via vya uzazi pia kwenye mayai.
↪ Ujauzito kukaa nje ya mfuko wa uzazi.
↪ Magonjwa ya kisukari, presha.
↪ Kizazi kulegea kutokana na mfumo wa maisha k**a vile chakula.
TUPIGIE/WHATSAP NAMBA 0656095277
UPATE USHAURI JUU YA TATIZO HILI
21/08/2022
NI VEMA KUTUMIA ANTIBIOTICS KWA USAHIHI KWA KUZINGATIA MAELEKEZO YA WATAALAM WETU AFYA.
FAIDA ZAKE NI NYINGI:-
🔴Epuka kupunguza idadi ya normal flora mwilini awa ni bacteria wazuri ni walinzi pia kwetu 👏👏
21/08/2022
"KUPATA GANZI MIGUUNI/MKONONI PAMOJA NA KUPATA MAUMIVU MFANO WA KUWAA MOTO MIGUUNI"
Hizo juu ni dalili kubwa juu ya tatizo hili waanga juu ya matatizo k**a aya ni wengi wapo ambao wanafahamu nini chanzo pia inawezekana hawafahamu tiba hili apone tatizo lake pia wengine hawajui chanzo chake,
↪VIFUATAVYO NI BAADHI TU YA VITU VINAWEZA PELEKEA TATIZO HILI:-
✔ Kuchoka kwa misuli ya kiungo husika k**a vile mguuni au mkononi.
✔ Mgandamizo wa mshipa wa damu na kushindwa kutembea vizuri damu.
✔ Kuharibika kwa nerve cells.
↪ WATU AMBAO WENGI WAO HUPATA SHIDA HII NI K**A WAFUATAO:-
✅ Wenye uzito mkubwa.
✅ Wenye shida ya kisukari na pressure.
✅ Wenye umri mkubwa.
✅ Wenye mifupa ambayo sio imara au migumu kulindanisha na uzito wa mwili.
KARIBU KWA HUDUMA ZIFUATAZO
🚨 Tiba
🚨 Maswali
🚨 Kupata elimu zaidi na ushauri.
Nipigie/what'sapp
0656095277
21/08/2022
TATIZO LA KUTOA HARUFU MBAYA MDOMONI
(HALITOSIS)
"""Hii hali unaweza kuigundua kwa haraka pale unapokuwa unaongea na mtu lakini anashindwa kukutazama usoni au kukusogelea wakati wa mazungumzo inafikia hatua unayezungumza nae anaziba hadi pua"""
Zipo sababu nyingi zinaweza pelekea tatizo hili, baadhi ni k**a zifuatazo:-
✔ Kutoboka kwa meno au jino.
✔ Mabaki ya chakula ndani ya kinywa na kushindwa kujisafisha k**a inavotakiwa.
✔ Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kutokuwa mzuri inaweza pelekea chakula kushindwa kumeng'enywa k**a inavohitajika na kupelekea gesi chafu kuzalishwa na kutoka nje kwa kupitia mdomo.
✔ Kupungua kwa idadi ya normal flora bacteria mdomoni hii inawezekana baada ya kuugua sana au matumizi makubwa ya antibiotic (viuavijasumu) inapelekea bacteria m
Wazuri kupungua mdomoni.
📞📞Nipigie au whatsapp
0656095277
📞📞Nipigie au tuma meseji
0627460352
nikupe ushauri wa tiba, maswali pia maelezo zaidi kuhusu changamoto hii.
12/08/2022
"MWANAMKE JITUNZE, MWANAUME MLINDE SANA MPENZI WAKO."
Ni kweli kuna wakati tunakuwa na haraka sana kushiriki tendo na mwenza wako hii ni kwasababu tu ya missing kuwa juu sana, sawa lakini ni muhimu sana kuzingatia na kujijengea tamaduni za kuwa wasafi hii inaanza kabla ya kushiriki tendo, zingatia yafuatayo:-
✔ Inatakuwa wote tusafishe miili yetu kwa kuoga maji safi.
✔ Kuakikisha mwanaume kucha zake ni fupi basi k**a ni ndefu ziwe safi.
✔ Sehemu za siri zinasafishwa kwa makini, wengine wanatunza nywele sehemu za siri ni sawa pia mzuri kwa afya ya uzazi lakini hakikisha zinakuwa katika hali ya usafi.
✔ Kubadilisha nguo za ndani usirudie kuvaa siku ya pili kabla haijafuliwa na kukaushwa tuepuke kuvaa nguo za ndani ambazo hazijakauka.
NI VEMA KUZINGATIA KWANI BAADHI YA MALIPO K**A TUSIPO ZINGATIA NI K**A YAFUATAYO:-
✔ Miwasho sehemu za siri.
✔ Kwa mwanamke anaweza kupata harufu mbaya ukeni.
✔ Kutokwa na uchafu ukeni.
✔ Maambukizi katika njia ya mkojo yani U.T.I kupelekea kuwa sugu pia maambukizi katika via vya uzazi, P.I.D
📞📞Tupigie/Tuma ujumbe.
0656095277-whatsapp pia
0627460352
kwa elimu, ushauri, maswali pia TIBA SAHIHI kwa changamoto tajwa hapo juu.👏
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Culinary Team
Attire
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dodoma
00000