ritha_beautyhouse
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from ritha_beautyhouse, Beauty, cosmetic & personal care, Dodoma.
Ritha_beautyhouse tunahuduma ya vipodozi na urembo, nywele aina zote, nguo za ndani, tuanafanya make up aina zote, online shop kwa waliombali, tunapatikana mtama-lindi, karibuni
23/02/2026
0620508163
10/02/2026
Swipe 👉👉
New Stock hot and chic♥️♥️
Sets Hizo ziko Full, na ni stainless hazipauki
tunauza moja 25,000/=
Instagram
simplebutclassy everydayjewelry affordableluxury minimaljewelry womensaccessories fashionaccessories trendylook styleinspo giftideas qualityjewelry tanzaniabusiness shopsmart onlineshoppingtz fashiontz accessoriestz instafashion instastyle
stainlesssteelset stainlesssteeljewelry
Kwa Orders 0620508163
09/02/2026
Ondoa weusi sugu katika maeneo mbalimbali kwenye ngozi yako, ukiwa na hii scrub
Inamchanganyiko wa Turmeric Extract 100% natural(manjano), AHA na Glycolic acid ambazo zina mchango mkubwa katika kung’arisha ngozi🥰e”
Elf 15
04/02/2026
Zimerudi tena vipenzi vyangu hii nimoja ya lotion isiyo bagua wala kuchagua aina na rangi aya ngozi yako, inakupa unyevu wakutosha,
🤍kwa mnaotaka kumaintain rangi za ngozi zenu jambo ni hili hapa
Elf25
biasharatz
skingoals
selfcare
beautyroutine
instabeauty
explorepage
👉 Tip ndo
02/02/2026
Elf50
Ukiwa na hii lotion sahau kuhusu michirizi, sugu 🥰 inakupa mng’ao, inafaa kwa mtu mweusi na mweupe. 🔥rithabeauty_kwa_huduma_bora GlowSecret
HealthySkin
NaturalGlow
BeautyTanzania
GlowGoals
💦0620508163
28/01/2026
Clear skin starts here ✨
PanOxyl Face Wash 🧼
✔️ Inapunguza acne & pimples
✔️ Inasafisha pores kwa undani
✔️ Inafaa oily & acne-prone skin
💯 Matokeo yanaonekana BPanOxyl . Elf25
24/01/2026
Huu mwaka niko na nyie vipenzi vyangu, ntahalikisha mnapendeza🤭🤭
Zimefika hizi cream pendwa jaman kwaajili ya
🫧kurainisha ngozi
🫧inatibu changamoto mbali mbali zangozi, kuungua na jua, allergy au kuungua na vipodozi vikali
🫧na ina moisturize ngozi
Elf30
TanzaniaBeauty
Skincare
12/12/2025
This is my month to bloom, to shine, and to receive all the love I deserve.
16/05/2025
Hii ni mask ya korea imetengenezwa na bamboo charcoal extract na ina faida zifuatazo
1. Hufyonza sumu na uchafu uliopo kwenye ngozi
2. Hufyonza mafuta yaliyozidi kwenye ngozi na kuiacha ngozi ikiwa na balance ya mafuta
3. Huongeza unyevu nyevu kwenye ngozi
4. Itakupa ngozi smooth /laini
5. Inatuliza ngozi
INAMFAA NANI?
1. Mtu aliyeacha kutumia vipodozi venye viambata sumu au k**a vinavyojulikana vipako hii itamsaidia kufyonza sumu zilizoachwa kwenye ngozi na vipako hivyo
2. Mtu ambae anatumia vipako itamsaidia kupunguza athari na sumu inayotaka na kipako chake
3. Mtu mwenye wekundu, itamsaidia kutuliza ngozi yake
4. Mtu mwenye mafuta mengi usoni lakini hawana unyevu(oil dehydrated skin)itamsaidia kufyonza mafuta na kuipa ngozi yake unyevu wa kutosha
5. Ni nzuri sana k**a una oil acne prone skin yani kwa mwenye chunusi zinazotokana na mafuta mengi usoni
Bei ya mask
Reja reja 3,000/=
Jumla kuanzia 15 ni 2,000/=
16/05/2025
Hii ni mask ya salicylic acid yenye nguvu mara 3 ya salicylic acid ya kawaida; Mask hii ina faida zifuatazo kwenye ngozi
1. Hufungua na kusafisha matundu ya ngozi (pores)
2. Hupana na kuzuia kutoka chunusi za mara kwa mara ikiwemo blackheads na white heads
3. Hudhibit kiwango cha mafuta kwenye ngozi, kwa kupunguza uzalishaji wa sebum
4. Huondoa seli mfu (dead skin) kwenye ngozi na kupungu,a miwasho na wekundu❤️
Ni mask nzuri sana kwa watu wenye ngozi za mafuta na wale wanaosumbuliwa na chunusi mara kwa mara
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dodoma