ritha_beautyhouse

ritha_beautyhouse

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from ritha_beautyhouse, Beauty, cosmetic & personal care, Dodoma.

Ritha_beautyhouse tunahuduma ya vipodozi na urembo, nywele aina zote, nguo za ndani, tuanafanya make up aina zote, online shop kwa waliombali, tunapatikana mtama-lindi, karibuni

23/02/2026

0620508163

Photos from ritha_beautyhouse's post 10/02/2026

Swipe 👉👉
New Stock hot and chic♥️♥️
Sets Hizo ziko Full, na ni stainless hazipauki
tunauza moja 25,000/=

Instagram

simplebutclassy everydayjewelry affordableluxury minimaljewelry womensaccessories fashionaccessories trendylook styleinspo giftideas qualityjewelry tanzaniabusiness shopsmart onlineshoppingtz fashiontz accessoriestz instafashion instastyle
stainlesssteelset stainlesssteeljewelry

Kwa Orders 0620508163

09/02/2026

Ondoa weusi sugu katika maeneo mbalimbali kwenye ngozi yako, ukiwa na hii scrub
Inamchanganyiko wa Turmeric Extract 100% natural(manjano), AHA na Glycolic acid ambazo zina mchango mkubwa katika kung’arisha ngozi🥰e”

Elf 15

04/02/2026

Zimerudi tena vipenzi vyangu hii nimoja ya lotion isiyo bagua wala kuchagua aina na rangi aya ngozi yako, inakupa unyevu wakutosha,
🤍kwa mnaotaka kumaintain rangi za ngozi zenu jambo ni hili hapa

Elf25
biasharatz






skingoals
selfcare
beautyroutine
instabeauty
explorepage

👉 Tip ndo

Photos from ritha_beautyhouse's post 02/02/2026

Elf50
Ukiwa na hii lotion sahau kuhusu michirizi, sugu 🥰 inakupa mng’ao, inafaa kwa mtu mweusi na mweupe. 🔥rithabeauty_kwa_huduma_bora GlowSecret




HealthySkin
NaturalGlow

BeautyTanzania
GlowGoals
💦0620508163

28/01/2026

Clear skin starts here ✨
PanOxyl Face Wash 🧼
✔️ Inapunguza acne & pimples
✔️ Inasafisha pores kwa undani
✔️ Inafaa oily & acne-prone skin
💯 Matokeo yanaonekana BPanOxyl . Elf25

24/01/2026

Huu mwaka niko na nyie vipenzi vyangu, ntahalikisha mnapendeza🤭🤭
Zimefika hizi cream pendwa jaman kwaajili ya
🫧kurainisha ngozi
🫧inatibu changamoto mbali mbali zangozi, kuungua na jua, allergy au kuungua na vipodozi vikali
🫧na ina moisturize ngozi

Elf30
TanzaniaBeauty





Skincare

12/12/2025

This is my month to bloom, to shine, and to receive all the love I deserve.

16/05/2025

Hii ni mask ya korea imetengenezwa na bamboo charcoal extract na ina faida zifuatazo

1. Hufyonza sumu na uchafu uliopo kwenye ngozi
2. Hufyonza mafuta yaliyozidi kwenye ngozi na kuiacha ngozi ikiwa na balance ya mafuta
3. Huongeza unyevu nyevu kwenye ngozi
4. Itakupa ngozi smooth /laini
5. Inatuliza ngozi

INAMFAA NANI?
1. Mtu aliyeacha kutumia vipodozi venye viambata sumu au k**a vinavyojulikana vipako hii itamsaidia kufyonza sumu zilizoachwa kwenye ngozi na vipako hivyo
2. Mtu ambae anatumia vipako itamsaidia kupunguza athari na sumu inayotaka na kipako chake
3. Mtu mwenye wekundu, itamsaidia kutuliza ngozi yake
4. Mtu mwenye mafuta mengi usoni lakini hawana unyevu(oil dehydrated skin)itamsaidia kufyonza mafuta na kuipa ngozi yake unyevu wa kutosha
5. Ni nzuri sana k**a una oil acne prone skin yani kwa mwenye chunusi zinazotokana na mafuta mengi usoni

Bei ya mask
Reja reja 3,000/=
Jumla kuanzia 15 ni 2,000/=

16/05/2025

Hii ni mask ya salicylic acid yenye nguvu mara 3 ya salicylic acid ya kawaida; Mask hii ina faida zifuatazo kwenye ngozi

1. Hufungua na kusafisha matundu ya ngozi (pores)
2. Hupana na kuzuia kutoka chunusi za mara kwa mara ikiwemo blackheads na white heads
3. Hudhibit kiwango cha mafuta kwenye ngozi, kwa kupunguza uzalishaji wa sebum
4. Huondoa seli mfu (dead skin) kwenye ngozi na kupungu,a miwasho na wekundu❤️

Ni mask nzuri sana kwa watu wenye ngozi za mafuta na wale wanaosumbuliwa na chunusi mara kwa mara

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dodoma?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address


Dodoma