Zegera House Of Cakes

Zegera House Of Cakes

Share

tunatengeneza na kuuza vipodozi vya ngozi na mwili

16/05/2025

Haya tupe odavyako leo kupitia 0676512794

18/09/2023

Kwa wenye shida ya chunusi madoa, maku yanzi na ngozi kufubaa surubisho ni igiha The art of skin care iliyotengenezwa kwa liwa, manjano vit E n.k inaondoa sell za ngozi zilizokufa, inaondoa madoa na makunyanzi na kuifanya ngozi yako ikiwa safi na nyororo isiyo na makunyazi utaipata kwa 15,000 gram 150 na 20,000 gram 250 ...karibu dukani kwetu ilala mtaa wa arusha na pangani namba zetu 0654010104

15/09/2023

Kampun ya Igiha tumekuletea seti nzima ya nyele ambapo kuna herba stimming 8000 herba hair shampoo 10,000 na herbal hair food 8000 ambapo kwa pamoja vinasaidia muzuia nywele kukatika, vinakuza nywele, zinatibu kabisa mba, vinakuza nywwle na kufanya nywele ziwe nyeusi vyote vipo dukani kwetu ilama mtaa wa arusha na pangani

15/09/2023

Kampuni ya igiha tumekuletea mafuta bora ua nywele kwa nywele za dawa na za natural ni IGIHA HERBAL HAIR FOOD yanaondoa mba, yanalainisha nywele, yanakuza nywele na yanafanya nywele kua nyeusi yanapatikana dukani kwetu ilala mtaa wa arusha na pangani kwa bei ya 8000 madogo na 10,000 makibwa

15/09/2023

Herbal steaming, imetengenezwa kwa kutumia habiscus, karafuu na black seed. Inalainisha nywele, inaondoa mba, inajaza na kukuza nywele pia inapunguza mvi. Ipo seti nzima yaani shampoo 10,000 steaming 8000 na mafuta 8000 karibuni tunapatikana ilala mtaa wa Arusha na pangani

30/08/2023

Hii serum inapatikana dukani kwa 35000 ukichanganya kwenye lotion yeyote au body cream unakua na rangi nzuri moja na bila sugu tunapatikana dar ilala mtaa wa arusha pangani namba zetu 0654010104

29/08/2023

Snail sun screen ipo dukani kwetu Ilala mtaa wa Arusha na pangani kwa Tsh 35,000 tuu

29/08/2023

Haya wale wenzangu na mimi tunaotaka ku glow tuu na kubaki na rangi zetu njoo uchukue hii kwa Tsh 28,000 tuu utajipatia na serum matata kwa 18,000 tuu tutakuchanganyia bapahapa ukifika nyumbani ni kupaka tuu zinapatikana hapa dukani kwetu Ilala mtaa wa Arusha na pangani

29/08/2023

Hii serum inakufanya uwe na unyevu, inaondoa madoa na chunusi inang'arisha ngozi unaweza kuichanganya kwenye body cream au lotion ya mwili, pia unaweza kuichanganya kwenye moisturizer yako ya usoni na ukayafurahia matokeo yake mazuri utaipata kwa bei ya tsh 18,000 tuu hapa dukani kwetu Ilala mtaa wa arusha na pangani

29/08/2023

Ipo dukani kwa bei rafiki kabisa ya Tsh 55,00 tuu

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dodoma?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address


Mipango Dodoma
Dodoma