Afya630
Tunatatua chngamoto mbalimbali za kiafya kwa wanawake na wanaume
17/07/2023
Mwanao anapitia changamoto sugu za ngozi ??
🌹Muoshe kwa kupitia sabuni hii ya asali mwitu
_Inaondoa vidonda vya kichwani vile vinavyotoa usaha na kuuma
_Inaondoa vibalango
_Inaondoa vipele
_Inaondao miwasho na kujikuna kwa mtoto
_Inaondoa vipele vile vinavyotokea kwenye kwapa
_Inaondoa Mba wa ngozi
_Inafanya ngozi kuwa laini na nyororo
_Inaondoa malengelenge
_Inaondoa harufu mbaya ya kwapa .
Ni kwa tsh 15,000 tu
Kuipata piga 0744252893
17/07/2023
JE unachangamoto yoyote ya ngozi ??
_Chunusi ,madoa sugu, ngozi kavu ,Mba wa ngozi ,miwasho ,vipele , ngozi kutoa unga unga , vipele vya ndefu ,vibalango , allergy na pumu ya ngozi .
Tumia sabuni hii yenye mchanganyiko wa viambata asilia ikiwemo asali ya nyuki wa wadogo umalize changamoto zote niliizotaja na nyingine nyingi ,
Sabuni hii inatunza pia ngozi ya mtoto
Inapatikana kwa tsh 15,000
Mawasiliano 0744252893 .
23/03/2023
VYANZO VYA MIMBA KUTUNGA NJE YA KIZAZI
_maambukizi ya PID
_Mirija kuziba ,kujaa maji au usaha
_Maambukizi ya fungus sugu na UTI
_Uvimbe kwenye kizazi na kwenye mayai
_Kutoa mimba Mara kwa Mara
_Kuharibikiwa mimba
Je Unahitaji msaada wa kuondoa tatizo moja kwa moja nitafute
Madhara makubwa Ni kukatwa mrija na unaweza kupoteza uwezo wa kuzaa Tena
0744252893
20/02/2023
TIBA SAHIHI YA MIGUU KUFA GANZI NA KUWAKA MOTO
Matatizo ya miguu/mikono kuhisi ganzi au maumivu husababishwa na kuumia au kudhoofika kwa Neva za pembezoni mwa mwili (peripheral neuropathy), hivyo kusababisha kupotea kwa uwezo wa kufanya kazi wa neva katika eneo husika (miguuni au mikononi).
DALILI ZA TATIZO
>>Mtu kuhisi miguu/mikono kufa ganzi
>>Maumivu au kuhisi k**a vile moto unawaka miguuni au mikononi
>>Kuhisi k**a vile umevaa soksi au gloves wakati hujavaa
>>Kuhisi k**a vile kuna kitu chenye ncha kali kinakuchoma miguuni au kwenye vidole
HIZI NDIZO SABABU ZA KUDHOOFIKA KWA NEVA HIZO
>>Kupungua kwa virutubisho mwilini. Hapa tunamaanisha mwili kutokuwa na Vitamin za kutosha hasa mkusanyiko wa Vitamini B Complex
>>Matumizi ya dawa fulani kwa muda mrefu mfano TB na ARV
>>Uzito mkubwa wa mwili. Hii hupelekea maumbile ya viungo vya mwili mfano umbile la uti wa mgongo huonekana tofauti na ilivyo kawaida. Kubadilika huku husababisha baadhi ya Neva katika uti wa mgongo zikandamizwe zaidi na misuli/uzito wa mwili na hivyo kusababisha Neva hizo zishindwe kufanya kazi vizuri, matokeo yake unaanza kuhisi maumivu au miguu/mikono kufa ganzi
>>ugonjwa wa kisukari
>>shinikizo la damu
TIBA TUMIA ZINC & OXYGEN KWA SIKU 60
DOSE KWA SIKU 30 NI TSH 160,000
piga simu kupata huduma 0744252893
0744252893
02/02/2023
✅PAMOJA NA HAYO TENDO LA NDOA HALIPASWI KUWA ;
❌Na maumivu makali unafanya kumridhisha mwenza wako
❌Unafanya lakini Ni mkavu Sana
❌Unafanya na huna hisia
❌Unafanya na unapata michubuko
❌Unafanya na unahisi uke unawaka moto
❌Unafanya lakni ni mpaka upakwe mate
❌Unafanya lakini ni mpaka upakwe mafuta
❌Unafanya lakini unatokwa na damu baada ya tendo
❌Unafanya lakini hufiki kileleni Wala hujui kileleni Ni wapi .
✍Huu Ni utumwa njoo upate suluhisho la changamoto zote hizo na nyingine nyingi za uzazi uweze kufurahia Tena tendo la ndoa na mwenza wako .
Kwa TSH 50,000 Tu
Piga simu
0744252893
08/01/2023
JE PID INAKUTESA SANA ?
08/01/2023
*TATIZ0 LA KUZIBA KWA MIRIJA na KUJAA MAJI* ✍️
Hali ya kujaa maji kwa mirija ya uzazi huitwa *hydrosalpinx* kwa kitaalam.
Ni tatizo ambalo hujitokeza kwa wanawake kutokana na maambukizi ya magonjwa ya zinaa yasiyotibiwa(pelvic inflammatory disease).
Mara nyingi husababisha tatizo la ugumba na maumivu ya kiuno ya muda mrefu.
👉Mirija ya uzazi hujishikiza upande wa kulia na kushoto wa tumbo la uzazi.
👉Hupitisha Mayai kila mwez kutoka kwenye ovari kwenda kwenye mji wa uzazi.
👉Urutubishaji wa Mayai hutokea kwenye mirija hii. USHAURI NA MATIBABU TUPIGIE 0744252893
08/01/2023
Immunity booster
Afya Ni mtaji wako wa kwanza Kali afya yako .
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Address
Majengo
Dodoma
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |