AFYA: ushauri nasaha katika jamii

AFYA: ushauri nasaha katika jamii

Share

Karibu katika huduma madhubuti ya afya yako Kutana na mtoa huduma kwa ushauri na tiba

14/08/2020

AFYA: ushauri nasaha katika jamii Send a message to learn more

30/07/2020

Toa huduma POPOTE ulipo na �Afya ya mama na mtoto� Tanzania
info...
CALL:
WHATSAPP:
+255 766 181 183

Tanzania and others country in East Africa community �

22/07/2020

SOMA SHUHUDA HII UJIFUNZE👇

Habari Dr yani sijaamini k**a hata femicare inaweza kuleta miujiza k**a hii iliyonitokea Mimi...Leo nimepima na mm Mungu amenikumbuka unajua zile fangus zilikua zinasababisha Mimi nisishike ujauzito na hata mume Wangu aliniambiaga ila baada yakutumia femi fungus ziliisha kabisa Leo ndio mume Wangu ananiambia ile dawa ulikua unatumia ndio imesaidia maana Yale mafungus yasingeisha kupata ujauzito ingekua sio rahisi!!!Nna furaha kubwa sana sana maana miaka mitatu nilikua sijaconcieve na nnafanya s*x na Mr bila kinga yoyote mpaka mwaka Jana mwezi Wa nane tumeingia kwenye ndoa bado sipati mimba nilitumia sana dawa za Hosp za fungus za kunywa na zakuingiza chini lakn nlikua napata nafuu tuu then fungus wanarudi tena kwa kiasi kikubwa!!!naomba nisiseme mengi niishie hapa naomba nikushukuru tena sana sana na Mungu akutunze uendelee kusaidia wengine🙏🙏🙏.
___________________

Bado Mungu ananipa nguvu yakuisaidia jamii yangu ya Tanzania! Karibu sana *Afya ya mama na mtoto* +255766181183

Au bofya link hii upate unachokitaka👇🏻
https://chat.whatsapp.com/Dp86UQDk21CLA2dX35R1hO

Tunahitaji Ushuhuda wako kwa waTanzania waliokata tamaa.

🤰🏻AFYA YA MAMA NA MTOTO🤱🏼 05/06/2020

sasa endelea:
TIBA YA FUNGUS SUGU UKENI

kutibu fangasi hii japo wengi mmekua mkitumia na kupona lakini kwa muda fungus hujirudia

Muone daktari kwa ajili ya uchunguzi na atakupa _Cotrimazole_ na _ketoconazole_ ni kati ya dawa zinazotumika mara kwa mara. Imerepotiwa fangusi kujirudia tena huhitaji tiba madhubuti yenye nguvu yakuponya kikamilifu zaidi ya tiba za awali; so
FANYA HIVI KUJIKINGA NA FUNGUS;

⏩ Futa maji vizuri baada ya kuoga. Sehemu za siri futa kwa ungalifu kwa taulo kavu liloanikwa juani.

⏩ Vaa nguo ambazo hazikubani sana ili kuruhusu hewa kupita ukeni.

⏩Vaa nguo safi baada ya kuoga ambayo imefuliwa na kuanikwa juani ili kuua bacteria, wote.

⏩ Usipende kukaa kwenye viti ambavyo havina uwazi wa kupitisha hewa kuruhusu uke kupumua.

*TIBA YA UHAKIKA KWA SIKU 6-7 UNAPONA KABISA NA KUFURAHIA SIKU ZOTE NI*

Je umesumbuliwa na fungus ya kujirudia rudia jibu ni *fermicare* na utokomeze kabisa adha ya tatizo lako lililodumu bila kupata tiba

Kwa mawasiliano +255766181183

ONYO:
wanawake wengi wamekua na kasumba yakununua dawa bila ya kuwasiliana na watoa huduma mwisho wa siku kupata madhara kwa matumizi mabaya ya tiba; sasa chukua na namba hio juu na utapata maelekezo sahihi kuhusu afya na tiba ya uzazi.

Join our WhatsApp group👇🏼

🤰🏻AFYA YA MAMA NA MTOTO🤱🏼 WhatsApp Group Invite

🤰🏻AFYA YA MAMA NA MTOTO🤱🏼 05/06/2020

*Hello morning👋🏻*
Mwanamke Lady's sasa fuatana na mimi asubuhi hii
*SULUHISHO LA FUNGUS YA KUJIRUDIARUDIA*
(Jisomee makala hii kupitia WhatsApp group:👇🏼
https://chat.whatsapp.com/Dp86UQDk21CLA2dX35R1hO *▬▬▬▬▬▬▬▬▬▬*
_©january_)

Sababu, dalili, matibabu na kinga ya fangasi sehemu za siri kwa mwanamke
husababishwa na fangasi aina ya Candida albicans. Ugonjwa huu huitwa vaginal candidiasis kwa kiingereza ni kati ya magonjwa ambayo husumbua wanawake mara kwa mara.
Maambukizi;

*Fangasi ya ukeni* *huambukizwa kwa njia* *ya*
⏩ _Vyoo vichafu.

⏩Kuchangia nguo za ndani na taulo.

⏩Uwezekano wa kupata fangasi ya uke au fangasi ya uke *kujirudia* *rudia* unaongezeka pale ambapo mwanamke ana;

⏩Kisukari.

⏩ujauzito.

⏩Anatumia antibiotics kwa muda mrefu.

⏩UKIMWI.

⏩Joto, unyevu mwingi na nguo za kubana huchangia pia kutokea kwa fangasi ukeni.

Ugonjwa huu haumbukizwa pia kwa njia ya ngono.

_DALILI ZA UGONJWA_

Fangasi ya ukeni inaweza kuleta dalili zifuatazo;

⏩Kuwashwa sehemu za siri hasa kwenye uke na mashavu ya uke.

⏩Kutokwa na maji maji meupe mfano wa maziwa kutoka kwenye uke ambayo hayana harufu mbaya.

⏩Maumivu wakati wa kukojoa kwa baadhi ya wagonjwa. Mara chache hali hii hutokea, ikisabaishwa nakuchubuka wakati wa kujikuna.

*Matibabu*

Matibabu ya awali ya fangasi ya uke hutumia dawa za kuua fangasi (antifungals).

Mara nyingi dawa za kuingiza kwenye uke (vaginal pessaries) hutumika kwa muda wa siku 3 mpaka 6 na hizi hutoa matokeo mazuri sana (femicare)

Wakati mwingine dawa za kunywa zinaweza kutumika kutibu fangasi hii japo wengi mmekua mkitumia na kupona lakini kwa muda fungus hujirudia

Muone daktari kwa ajili ya uchunguzi na atakupa _Cotrimazole_ na _ketoconazole_ ni kati ya dawa zinazotumika mara kwa mara. Imerepotiwa fangusi kujirudia tena huhitaji tiba madhubuti yenye nguvu yakuponya kikamilifu zaidi ya tiba za awali, so,
FANYA HIVI KUJIKINGA NA FUNGUS
⏩ Futa maji vizur baada ya kuoga. Sehemu za siri na...
(Soma makala hii kupitia👇bure

🤰🏻AFYA YA MAMA NA MTOTO🤱🏼 WhatsApp Group Invite

🤰🏻AFYA YA MAMA NA MTOTO🤱🏼 02/06/2020

Leo jifunze jinsi yakutunza mwonekano wako wa nje kwa kutumia bidhaa au dhana rahisi na madhubuti kupambana na kulinda ngozi zetu hususa ni kwa waliopoteza urembo na mwonekano wao wa asili.

Wengi mmekua mkitumia bidhaa nyingi tena kwa ghalama ya hali yajuu ili kurejesha ule mwonekano wa asili au kuzidisha kabila, lakini kumbuka unapotumia bidhaa zenye nguvu za kurainisha ngozi na kuweka mwonekano usio wa asili ni kosa kubwa katika miili yetu, hivyo leo jifunze kuurudisha mwonekano wako kwakutumia bidhaa bora zisizo na kemikali na asili na rafiki kwa afya ya ngozi zetu na mwili kwa ujumla

Kwa mwanamke tumia *LADY LOVELY*

Kifurushi hiki kimejaza zana au bidhaa zuri sana kuweka mwonekano wako wa asili uliopotea na kujenga mili kikamilifu k**a *_mwanamke asili yake urembo_*💃🏻
Jifunze zaidi kupitia Out WhatsApp👇🏾👇🏾 group: https://chat.whatsapp.com/Dp86UQDk21CLA2dX35R1hO

Ukiwa nakifurushi cha *LADY LOVELY* au hatak**a huna *LADY LOVELY* kumbuka kutumia kila siku sabuni zuri na asili kwa mwiliwako;
©Afya ya ngozi leo
+255766181183
Asanteni🛍️💃🏻

Katika sekta hii ya sabuni (bidhaa za usafi) wanawake wengi wanakumbana na changamoto nyingi sana ambapo huwapelekea kutumia ghalama kubwa sana ili kuweka urembo wake wa asili mwisho wa siku kununua bidhaa za urembo zilizo na athali ambapo wengi niliokutanana na kuwaondolea matatizo ya *AFYA YA NGOZI* ni wale waathirika wa madawa ya urembo

Sasa fuatana na mimi leo +255766181183
®urembo

Tumia sabuni hii kila siku uone mwonekano wako sasa


ni sabun iliyotengenezwa kwa asali mwitu, green tea (majani ya chai) liwa na mbeg za zabibu... Hakuna kemikali; imetengenezwa katika maabara na kuthibitishwa nchini marekani na FDA na TFDA kwa Tanzania, Anatichaerbalsoap hufanyakazi nyingi na za maajabu.
1.KUONDOA MATATIZO YOTE YALIYOSHINDIKANA NA MAGAGA MGUUNI
Hutengeneza seli zilizokufa kwa kuondoa rangi ya madoa, alama za kuungua ktka ngoz na kupunguza mlundikano wa mafuta unaosababisha chunus zisizo...

🤰🏻AFYA YA MAMA NA MTOTO🤱🏼 WhatsApp Group Invite

🤰🏻AFYA YA MAMA NA MTOTO🤱🏼 30/05/2020

UMEPATA SOLUHISHO LAKUDUMU UNALOLITAFUTA KWA MUDA MREFU?

SASA UTAPATA SULUHISHO LA TATIZO LAKO UKIWA NYUMBANI

FUATANA NAMI SASA

Leo nitazungumza nanyi kwa ufupi kuhusu_
*NAMNA YA KUTUMIA TIBA LISHE (FOOD SUPPLIMENT TREATMRNT) KATIKA KUPAMBANA NA UGONJWA WA KISUKARI*

Kuugua ugonjwa wa kisukari sio mwisho wa maisha. Ni vyema kuhakikisha unatumia tiba sahihi ili kupona ugonjwa wa kisukari.

Ugonjwa wa kisukari huathiri mifumo mbalimbali ya mwili na huweza kuleta madhara makubwa k**a uyaonayo sasa kwamacho hata yasiyoonekana kwa macho

Mifumo mitatu katika mwili wa binadamu huadhiriwa zaidi kwa kiasi kikubwa na ugonjwa wa Kisukari hivyo madhara yake hupelekea mifumo mingine kuathirika pia.

Mifumo hiyo mitatu inayoonesha kuathirika zaidi ni:

1. Damu yenyewe kwa kuongezeka kwa kiwango cha sukari kwenye damu

2. Moyo, mishipa ya damu na mzunguko wa damu mwilini na kwenye ubongo.

3. Kinga za mwili na celi za mwili.
Hivyo ili uweze kupona unahitaji kuhakikisha unashughulikia hayo maeneo matatu kwa ufasaha zaidi.

:USHAURI:
Nenda kituo cha Afya ukaanze tiba haraka na ikiwa tatizo la Sukari kwako imekua :la kudumu: ni muhimu ukatumia tibalishe zenye uwezo wa kuufanya mwili wenyewe ukapambana na tatizo hilo kikamilifu leo

Kwa kuendelea na mada yetu leo nitaelezea bidhaa moja (tiba lishe) yenye uwezo mkubwa wa kupambana na kuleta balance ya sukari kwenye damu kwa kuufanya mwili kupambana kikamilifu na ugonjwa huu ambao umekua na athari ya kudumu katika jamii yetu

Sasa fuatana na AFYA YA MAMA NA MTOTO leo

Leo tutaendelea na tibalishe yenye uwezo wa kurekebisha ufanisi wa moyo, mirija ya damu na mzunguko wa damu mwilini na kwenye ubongo kisha tutamalizia na namna tunavyoweza kupandisha kinga za mwili na kuponya majeraha k**a vidonda vitokanavyo na magonjwa makubwa k**a Kisukari n.k na kuinua cell za mwili.
*Karibuni sana.*
Sasa ungana nasi
Join our WhatsApp group:
https://chat.whatsapp.com/Dp86UQDk21CLA2dX35R1hO*
Afya ya mama na mtoto*
*_+255766181184 SM

🤰🏻AFYA YA MAMA NA MTOTO🤱🏼 WhatsApp Group Invite

03/05/2020

AFYA: ushauri nasaha katika jamii

ENDOMETRIOSIS'

Ijue tatizo la indometriosis ''ENDOMETRIUM"
Endometrium ni Ukuta Wa ndani Wa kifuko cha uzazi..na ukuta huu hujengeka na kubomoka kila mwezi na kusababisha Hedhi kwa mwanamke.
Kujengeka na kubomoka kwa ukuta huu Endometrium ndani ya kifuko cha uzazi husabsbishwa na Mabadiliko ya kiasi cha hormone za uzazi mwilini.

Ni ugonjwa unao sababishwa na uwepo wa tishu zinazo fanana na ukuta wa ndani ya mfuko wa uzazi Endometrium kujengeka sehemu nyingine kwenye mwili k**a
_ Karibu na ovar
_ Kwenye kifuko cha uzazi
_ kwenye njia ya haja kubwa.
_ Kwenye kibofu cha mkojo.
_ Tumbon.

Tishu hizi hujengeka na kubomoka kila mwezi k**a ilivyo endometrium kutokana na mzunguko wa mwezi na kutengenza hedhi.

SABABU YA UWEPO WA ENDOMETRIOSIS.
Kwa ufupi hakuna sababu ambayo ishabainika kuwa kinasababisha tatizo la indometriosis bali Inaaminika kuwa kiasi kidogo cha damu kinacho ingia tumboni wakati wa hedhi kupitia mirija ya uzazi (fillopian tube) hubeba seli ya Endometrium ambazo huota sehemu mbalimbali za mwili

DALILI ZA UWEPO WA ENDOMETRIOSIS .

_ Maumivu makali ya tumbo hasa chini ya kitovu wakati wa hedhi.
_ Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
_Kutapika damu au kuharisha damu wakati Wa hedhi.
_Maumivu ya kiuno na mgongo.
_Kuhisi uwepo Wa ujauzito wakati hana mimba.
_Kushindwa kushika ujauzito
_ kutokwa na Damu nyingi kupita kiasi wakati wa hedhi.

MADHARA YA ENDOMETRIOSIS.
_Kupatwa na uvimbe kwenye mji wa uzazi.
_ mimba kuharibika mara kwa mara
_Inaweza ikawa chanzo cha saratani ya kizazi
_Inaleta madhara makubwa ya figo na Mapafu.
▶ Unahitaji Virutubisho vya Aina 3 Ili kuondoa kbs Tatz k**a Hili.
⏩FEMI' with FeminineCleanser, Hii itakusaidia kuondoa Fangas ukeni,Uti sugu,Miwasho na Kufanya uke Uwe Msafi n.k
⏩ REF'YHUNZ Hii itakusaidia Kwa Matatizo yote Ya hormony na Kuondoa Vivimbe vyote tumboni na sehem zingine za mwili bila upasuaji na kufanya Hormony ziwe Balance ili Kutungisha Mimba.
Ushauri/tiba +255766181183AFYA: ushauri nasaha katika jamiiAFYA: ushauri nasaha katika jamii

03/05/2020

ENDOMETRIOSIS'

Ijue tatizo la indometriosis ''ENDOMETRIUM"
Endometrium ni Ukuta Wa ndani Wa kifuko cha uzazi..na ukuta huu hujengeka na kubomoka kila mwezi na kusababisha Hedhi kwa mwanamke.
Kujengeka na kubomoka kwa ukuta huu Endometrium ndani ya kifuko cha uzazi husabsbishwa na Mabadiliko ya kiasi cha hormone za uzazi mwilini.

Ni ugonjwa unao sababishwa na uwepo wa tishu zinazo fanana na ukuta wa ndani ya mfuko wa uzazi Endometrium kujengeka sehemu nyingine kwenye mwili k**a
_ Karibu na ovar
_ Kwenye kifuko cha uzazi
_ kwenye njia ya haja kubwa.
_ Kwenye kibofu cha mkojo.
_ Tumbon.

Tishu hizi hujengeka na kubomoka kila mwezi k**a ilivyo endometrium kutokana na mzunguko wa mwezi na kutengenza hedhi.

SABABU YA UWEPO WA ENDOMETRIOSIS.
Kwa ufupi hakuna sababu ambayo ishabainika kuwa kinasababisha tatizo la indometriosis bali Inaaminika kuwa kiasi kidogo cha damu kinacho ingia tumboni wakati wa hedhi kupitia mirija ya uzazi (fillopian tube) hubeba seli ya Endometrium ambazo huota sehemu mbalimbali za mwili

DALILI ZA UWEPO WA ENDOMETRIOSIS .

_ Maumivu makali ya tumbo hasa chini ya kitovu wakati wa hedhi.
_ Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
_Kutapika damu au kuharisha damu wakati Wa hedhi.
_Maumivu ya kiuno na mgongo.
_Kuhisi uwepo Wa ujauzito wakati hana mimba.
_Kushindwa kushika ujauzito
_ kutokwa na Damu nyingi kupita kiasi wakati wa hedhi.

MADHARA YA ENDOMETRIOSIS.
_Kupatwa na uvimbe kwenye mji wa uzazi.
_ mimba kuharibika mara kwa mara
_Inaweza ikawa chanzo cha saratani ya kizazi
_Inaleta madhara makubwa ya figo na Mapafu.
▶ Unahitaji Virutubisho vya Aina 3 Ili kuondoa kbs Tatz k**a Hili.
⏩FEMI' with FeminineCleanser, Hii itakusaidia kuondoa Fangas ukeni,Uti sugu,Miwasho na Kufanya uke Uwe Msafi n.k
⏩ REF'YHUNZ Hii itakusaidia Kwa Matatizo yote Ya hormony na Kuondoa Vivimbe vyote tumboni na sehem zingine za mwili bila upasuaji na kufanya Hormony ziwe Balance ili Kutungisha Mimba.
Ushauri/tiba +255766181183AFYA: ushauri nasaha katika jamiiAFYA: ushauri nasaha katika jamii

🤱🏼🤰🏼Afya ya mama na mtoto💊🥬 30/04/2020

Takwimu iliyoandaliwa na watoa huduma wa *Afya ya mama na mtoto* ndani ya mwaka mmoja kuanzia March 15/2019 hadi Apli. 29/2020 inaonyesha ongezeko la matatizo ya afya ya uzazi nchini kwa wanawake kwa kiasi kikubwa, ambapo jamii yetu yatupasa kuchukua hatua zaidi ili kukabiliana na matatizo yanayoipata jamii hii hasa waathirika wengi ikiwa ni Mwanamke na watoto, huku wanaume wakisumbuliwa na magonjwa makubwa k**a Pressure, kisukari na Tezi dume.

Afya ya mama na mtoto inajitahidi sana kutibu matatizo hayo kikamilifu, hakika tunajivunia Afya ya mama na mtoto nchini.

Afya ya mama na mtoto imechukua hatua kubwa sana katika kutoa msaada kwa wanawake wengi, sasa unaweza hudumiwa popote ulipo ukiwa ndani ya moja ya group zilizoanzishwa kwa dhumuni la kufikisha huduma nchi nzima

Sasa naileta kwenu Leo k**a mwanga wenu wote mnaosumbuliwa na matatizo ya uzazi k**a, Matatizo yatokanayo na Uzazi wa mpango, Ugumba, UTI sugu, PID na matatizo makubwa k**a saratani, Fibroids sugu n.k

Ingia katika group hili maalumu kwa Afya ya mama na mtoto kupata ushauri, tiba pia utajifunza kuhusu uzazi

👇🏾👇🏾👇🏾
https://chat.whatsapp.com/JM9wJG7HHQhJyTBGzLD05i

Umepata suruhisho lakuduma wewe mam unaesumbuka na Uzazi bila tumaini

🤱🏼🤰🏼Afya ya mama na mtoto💊🥬 WhatsApp Group Invite

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dodoma?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Mlimani City Dar Es Salaam
Dodoma

Opening Hours

Monday 02:00 - 17:00
Sunday 02:00 - 17:00