manka_afyauzazi
Nawasaidia wanawake kuondokana na changamoto ya mfumo wa uzazi kiujumla.
NAMNA YA KUOSHA UKE
Habarini wadau wangu Wa nguvu,Leo nataka nitoe somo maalumu kwa wanawake, Siku hizi nimekua nikipata maswali mengi sana yahusuyo kutokwa na uchafu sehemu za siri Mara kwa Mara katika kuchunguza nimegundua kwamba wanawake wengi hua hawajui namna ya kusafisha uke zao na k**a haujui kuosha uke nakuambia utaendelea kukesha hospitali ukilalamika kuhusu uchafu na kuwashwa ukeni
NAOMBENI TUFUATENI NINACHOSEMA KWA WANAWAKE
1) USIPIGE DEKI(DOUCHING):Kumekua na kasumba wanawake wengi wanadanganyana kuhusu kuosha uke kwa kutumia kidole ,kitambaa,sabuni nk.Nataka niwaambie watu wangu huo ni upotoshaji na jua kwamba uke unajiosha wenyewe kabisa. Usije ukaingiza kidole ndani ya uke kwa minajili usafi,huu ni kuzidi kujiharibu kwani kwa kufanya hivo kutaondoa wale bakteria wazuri na walinzi Wa uke na kuwapa nafasi wale fangasi na vimelea Wa kisamaki kupata nguvu ya kushambulia uke.KAMWE USIPIGE DEKI UKE
2) FUTA SHAVU LA NDANI: Katika kujiswafi andaa kitambaa safi kiloeke kwenye maji safi bila ya sabuni na baada ya hapo futa shavu lako la ndani pande zote mbili ,baada ya hapo futa na kwenye makutano ya shavu la ndani na nje,Usitumie nguvu kubwa kusafisha maana unaeza kuchubua mashavu yako.
3) OSHA SHAVU LA NJE: Kwenye kuosha shavu la nje waweza kutumia kitambaa kisafi na sabuni kidogo ,tumia sabuni ambazo hazina dawa ,futa kwa kuanzia mbele kwenda nyuma na usisugue kwa nguvu
4) OSHA MAUMBILE YA NJE(VULVA): Kwa hapa nje unaeza kuosha k**a kawaida kwa kutumia maji safi na sabuni,sabuni ni za kawaida sio zile zenye dawa. Maeneo ya nje sote tunayafahamu bila shaka.
5) USAFI WA MAENEO JIRANI; kuna kusafisha maeneo jirani na uke k**a eneo kati ya uke na haja kubwa, unaweza kusafisha maeneo haya kwa sabuni za kawaida ,kumbuka wakati unasafisha nakushauri anzia mbele kwenda nyuma ili usije ukahamisha bacteria kutoka nyuma na kuwaweka kwenye uke ambao wanaweza kuuletea uke shida.
6) ACHA KUTUMIA S*X TOYS ,ACHA KUINGIZA NDIZI,KAROTI,BIRINGANYA,WATER COMPRESSOR UKENI.
NIMEMALIZA KUANDAA HII MAKALA KAFUPI KA KUSAFISHA UKE,NAAMIN KAMEKUSAIDIA KIDOGO.
KUNA UPOTOSHAJI UNAENDELEA KWAMBA USIPOINGIZA KIDOLE UTANUKA UCHI,HII SIO KWELI KWANI KUINGIZA INGIZA VIDOLE.
USHAURI NASAHA
PIGA AU WHATSAPP
0746 096 695
13/05/2023
Pale unakuwa na Furaha yako..
manka_afyauzazi
13/05/2023
LEO HII NI MAMA, INAWEZEKANA KUONDOA UVIMBE BILA OPERATION.
Leo nataka nikupe ushuhuda wa dada ambae aliteseka na UVIMBE kwa zaidi ya miaka 7.
Huyu dada aliniona hapahapa kwenye hii page akanitumia reports zote za madactari bingwa waliowahi kumhudumia.
Reports zilionesha hana uwezo wa kupata mtoto sababu ule UVIMBE ulikuwa mkubwa sana na ulichukua eneo kubwa sana la kizazi.
Madactari waliambiwa Uvimbe wake ni mkubwa sana isingewezekana kuukata hivyo ni lazima atolewe kizazi.
Alingangaika na uvimbe kwa zaidi ya miaka saba.
Madactari walimwambia haiwezekani kupata mtoto maisha yake yote.
Wakati wa Bwana ndio wakati sahihi
Uvimbe siyo mwisho wa maisha
Hizo ni changamoto tu za uzazi na zote zinasuluhisho.
Kila mwanamke ni mama,sasahivi ana mtoto wa miezi 9.
Namshukuru Mungu sana kwa ajili yake.
Haijalishi report ya madactari
Operation siyo suluhisho
Ukikata uvimbe utaota tena,kwa sababu chanzo bado kipo.
Usishughulike na matokeo, tibu chanzo kwanza.
INAWEZEKANA KUONDOA UVIMBE BILA OPERATION.
Njoo tukusaidie
Nipigie au watsap 0746096695
manka_afyauzazi
13/05/2023
PCOS
Kwenye o***y kuna follicles ambazo zikipata changamoto ikiwemo infection ..hu develop Fluid filled sac au Folicular cist hii ndio PCOS .
Kwa kuwa O***y ni kiungo cha uzazi ambacho kinatengeneza hormone nyingi za uzazi k**a FSH (follicle stimulating hormome) - kupevusha mayai LT (lutenizing hormone) - ovulation , progestorene hormone, estrogen hormone n.k...
Lazima Mtu mwenye tatizo la PCOS lazima atapata tatizo la mvurugiko Wa horomone /mvurugiko Wa hormone...na Ndo hili tatizo linalowatesa wanawake washike ujauzito
Kwa elimu zaidi Piga 📞+255746096695
manka_afyauzazi
04/05/2023
Kwanini uvumilie Hali,usifiche dear,nipo tayari kuzungumza na wewe....Niko na package nzuri sana na ya uhakika asilimia mia moja 💯
Nipigie au whatsup nikupe package yako
Ushauri nasaha bure karibu
📞0746096695
06/07/2022
Tuwasiliane piga 📞 simu +255 746 096 695
06/07/2022
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dodoma