Victoria na afya zetu

Victoria na afya zetu

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Victoria na afya zetu, Health/Beauty, Dodoma tz, Dodoma.

29/08/2021
29/08/2021

Vyakula vitano vinavyo boresha afya ya uzazi wa mwanamke
1. Broccoli
2. Samaki
3. Matunda jamii ya zabibu
4. Maharage
5. Almonds (lozi)

Photos from Victoria na afya zetu's post 27/08/2021

FAHAMU TIBA ASILI ZA MAGONJWA SUGU

LADY CARE SULUHISHO LA MATATIZO KWA WANAWAKE
1. Inatibu kizazi kwa ujumla
2. Inatibu ugumba
3. Inaondoa uvimbe (fibroids) kwenye kizazi
4. Inatibu matatizo ya hedhi ( menstrual disorder)
5. Inaondoa kutokwa na uchafu
6. Inatibu UTI sugu, STI, PID na fangasi
7. Inaweka mlingano wa homoni sawa kwa wanawake
8. Inasaidia kuondoa uwezekano wa kupata cancer ya mfuko wa kizazi
9. Unazibua mirija katika mfuko wa uzazi
10. Inatibu chango

BEI 10000/=

DAWA YA CHEST CURE

Hii ina tibu mafua sugu
Kikohozi cha muda mrefu
Allergy zote
Vichomi visivyo.kwisho
Tezi
Vidonda.na.muwasho.kooni
Pumu

Bei.yake ni 10000/- tu!

ORGANIC NUTRIENT

Inatibu
1. Presha
2. Kisukari
3.Bawasiri
4.UTI sugu
5. Baridi Yabisi
6. Vidonda vya tumbo
7. Shida ya macho yenye ukungu
8. Inatibu fibroids na vimbe nyingine zote
9. Inatibu PID
10. Inaupa mwili nguvu na inatibu maumivu ya viungo
11. Inaponyesha majeraha ya moto na majeraha mengine mwilini

Bei yaje.ni.Tsh 10000

GENTLE POWER

Inatibu matatizo.ya nguvu za.kiume
Kuimakisha misuli ya uume na kufanya mwanaume afurahie tendo.la.ndoa
Inarubisha manii
Ina tibu tezi dume, ngiri, chango
Inatibu matatizo ya kibofu cha.mkojo

Bei yake.ni Tsh 10000 tu

RM MASSAGE OIL

Hii ni dawa asilia ya kuchua isiyo na kemikali yeyote yenye kumaliza maumivu ya misuli na viungo kwa haraka pia inafaa sana kwa watu walio pooza na kiarusi ili waweze kupona kwa haraka

Bei yake ni 10000/-

PURIFIER

Inatibu
1. Kuondoa sumu mwilini
2. Vidonda vya tumbo
3. Kibofu Cha mkojo
4. Matatizo ya kizazi
5. Shida za Figo na ini
6. Baridi yabisi
7. Bawasiri
8. Inasafisha damu
9. Inaondoa mafuta machafu
10.inatibu UTI
11. Kuondoa ganzi mwilini
12. Kuumwa na viuongo miguu mgongo
magoti na kiuno
13. Presha na kisukari

Bei ni Tsh 10000/-

Tupigie kwa namba 0674878689

23/08/2021

Huduma ya kusafisha damu na kuondoa uchafu mwilini (Dialysis) ni ghali sana. Hufanywa baada ya kuharibika kwa figo. Kwa Tanzania, gharama hizi hufikia walau milioni 1 kila wiki, zaidi ya milioni 50 kwa mwaka. Tunza figo zako kwa kudhibiti kisukari, presha pamoja na kutunza uzito

19/08/2021

Vitamin C inayopatikana kwenye pera huwa ni nyingi sana kuzidi ile inayopatikana kwenye embe, chungwa, ndimu pamoja na aina zingine nyingi za matunda tuliyozoea kutumia kila siku. Ni silaha muhimu katika kuboresha kinga ya mwili kipindi hiki. Muhimu,hakikisha unalitafuna vizuri!

19/08/2021

Ndizi mbivu inasaidia utengenezaji wa homoni itakayokufanya uwe na furaha.

Ni tunda linaloweza kubadili mhemuko (mood), unashauriwa usile kupita kiasi, ndizi mbili kwa siku zinatosha.

18/08/2021

KISUKARI husababisha :
- Upofu
- Figo kushindwa kufanya kazi
- Ugonjwa wa moyo
- Kiharusi
- Kupoteza viungo hasa miguu
- Uume kushindwa kufanya kazi

✅Ni muhimu kudhibiti Sukari ya kwenye damu kupitia lishe Bora, mazoezi na kupima mara kwa mara.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dodoma?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dodoma Tz
Dodoma
0