musaada kwa waitaji wa afya
tiba asilia Tanzania pata tiba mbadala popote walipo kinga ni nzuri kuliko tiba
πππππ₯π ππ πππ’ π‘π π§πππ₯πππ π‘πππ π ππͺπ πͺππ‘ππππ π¨ πͺπ’π’π§π
+255684331888 π ππ¦πππ‘π.+255684331888
β UMASKINI NI NINI?
naam swali zuri hili nimeulizwa sana na wanafunzi wangu leo tukiwa katika darasa la 9 wiki ya mwisho tukielekea kumaliza elimu ya awali na kutunukiw kile wanachokihitajia.
β UMASKINI:ni hali ya kutokuwa na uwezo wa kufanya zaidi ya kile unachokihitajia.
β AINA ZA UMASKINI.
βͺοΈUmaskini wa fedha
βͺοΈUmaskini wa fikra
β UMASKINI WA FEDHA:huna uwezo wa kula unachotamani Kula,huna uwezo wa kuvaa kazi unaloliona mbele yako kwa sababu huna fedha,huna uwezo wa kulala nyumba nzuri,hoteli nzuri kwa sababu huna fedha.
β UMASKINI WA FIKRA:huna uwezo wa kutoka uliopo ukasogea juu zaidi hii inabebwa na kuoga je roho za mabibi na mababu zako ziliogopa na je ningekuwa na kuoga leo ungekuwa hapo.
β FIKRA ZAKO ZIRUHUSU ZIWAZE MAKUBWA NA YENYE FAIDA.
KARIBU ARDHI YA AMANI.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dodoma