musaada kwa waitaji wa afya

musaada kwa waitaji wa afya

Share

tiba asilia Tanzania pata tiba mbadala popote walipo kinga ni nzuri kuliko tiba

06/10/2023

𝗛𝗔𝗕𝗔π—₯π—œ 𝗭𝗔 π—Ÿπ—˜π—’ 𝗑𝗔 𝗧𝗔𝗔π—₯π—œπ—™π—” π—‘π—π—˜π— π—” π—žπ—ͺ𝗔 π—ͺ𝗔𝗑𝗔𝗗𝗔𝗠𝗨 π—ͺπ—’π—’π—§π—˜
+255684331888 π— π—”π—¦π—žπ—œπ—‘π—œ.+255684331888
β– UMASKINI NI NINI?
naam swali zuri hili nimeulizwa sana na wanafunzi wangu leo tukiwa katika darasa la 9 wiki ya mwisho tukielekea kumaliza elimu ya awali na kutunukiw kile wanachokihitajia.
β– UMASKINI:ni hali ya kutokuwa na uwezo wa kufanya zaidi ya kile unachokihitajia.
β– AINA ZA UMASKINI.
β–ͺ︎Umaskini wa fedha
β–ͺ︎Umaskini wa fikra
β– UMASKINI WA FEDHA:huna uwezo wa kula unachotamani Kula,huna uwezo wa kuvaa kazi unaloliona mbele yako kwa sababu huna fedha,huna uwezo wa kulala nyumba nzuri,hoteli nzuri kwa sababu huna fedha.
β– UMASKINI WA FIKRA:huna uwezo wa kutoka uliopo ukasogea juu zaidi hii inabebwa na kuoga je roho za mabibi na mababu zako ziliogopa na je ningekuwa na kuoga leo ungekuwa hapo.
β– FIKRA ZAKO ZIRUHUSU ZIWAZE MAKUBWA NA YENYE FAIDA.
KARIBU ARDHI YA AMANI.

25/09/2023
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dodoma?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Dodoma